I don't understand the it but i know that they are singing to the glory of God Almighty, Bravo Brethren keep it up and GOD bless and strenghten u all in JESUS name AMEN, ➕➕➕😁👋🙏🏽
40. Ninyi wandugu wa Afrika, wa Asia, wa Ulaya, au wa Amerika! Mlingojea Ujumbe wa Mtayo 25:6 labda katika nchi yenu lakini Mungu ameifanya namna ingine. Kumbukeni Bwana wetu Yesu Kristo! Akiwa kuhani mkuu Melkisedeki, marabi na waandishi waliona kwamba alipaswa kutoka katika kabila la Lawi. Lakini alitoka katika kabila la Yuda. Tena, ujumbe wake na kazi yake zilithibitisha kwamba yeye ndiye Masiya. Na leo juu ya uso wa dunia nzima, ikiwa wewe ni mtoto wa Mungu, nafasi yako ni hapa pamoja na nabii wa wakati wako, nabii Kacou Philippe. Na aliye na masikiyo kwa kusikia asikie .
1. Comme les prophètes de la Bible en avril 1993 moi Kacou Philippe, un homme qui n'avait jamais été dans une église, je reçois en vision la visitation d'un Ange qui me commissionne pour un Message destiné à toute la terre en accomplissement de Matthieu 25:6 et Apocalypse 12:14. C'est ici le récit de ma conversion ainsi que les trois grandes visions de l'appel et commission tels que je les ai reçus : 2. Je suis venu à la conversion le 24 avril 1993 selon Daniel 10:4 à 11 par une vision dans laquelle je me vis debout sur le sable de la mer, puis au sommet d'une haute pyramide, puis à nouveau sur le sable de la mer à un autre endroit et je vis un vieux camion militaire sortir des profondeurs de la mer et s'en aller derrière moi. Je me suis tourné et j'ai vu qu'il contenait des personnes toutes vivantes. C'était des femmes et l'une d'elles était métisse.
Nimependa sana hasa hapo, "Bwana mkubwa tumefanyakazi usiku kucha lakini hatukupata kitu" tena " Hakuna kinachoshindikana kwa Mungu"
Kwa neno lake BWANA MKUBWA, HAKUNA KINACHOSHINDIKANA KWAKE. AMINA. BARIKIWA SANA WATUMISHI WA MUNGU
Nabarikiwa sana ninaposikiliza huu wimbo
Bwana mkubwa .....nami nitazishusha nyavu. hongera sana mtunzi wa huu wimbo
Happiness in god of king you and to miss and to king you man .
Wimbo hut unainua Sana mioyo.ya watu ubarikiwe sana
I find myself replaying the chorus every time I listen to this song😍
I just love it!❗
#Kenyan_catholic_diehard♥️
Thanks
kwaya siku hizi zinajitahidi kweli kweli....Hongereni sana waimbaji
Mungu awaimarishe ili shetani asipate nafasi
Mimi nasema, Mungu ni mwema
Hongereni sana hasa mtunzi, Naimba, kucheza na kutabasamu kwa kujiamini sana huku mkitamka maneno. Hongereni sana,🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Wimbo mzuri kabisa. Nimebarikiwa zaidi. Mungu na aendelee kuwa na waimbaji wote na atuzidishie siku kwa siku.
Nzuri sana
Who cantik cantik ganteng ganteng bagus banget suaranya merdu sekali
Bwana anibariki mimi na mme wangu tuishi kwa kumtegemea mungu tu
This song always uplift me...Kwa sababu najua Bwana wetu ni Mkubwa. Amina
Hakuna kinachoshindikana kabisa.Amen
Mbarikiwe sana wenzangu
Kila nikisikiliza wimbo huu nafarijika sana hongereni Sana kwa uinjilishaji
Vizuri sana
Waaaaooooooo BWANA MUNGU awabariki sana kwa ujumbe mzuri tena wakutitia moyo
Iko vzl hongeren mungu awabariki sana
Huu wimbo umenitoa machozi ya furaha sasa na mm nasema Bwana Mkubwa
Barikiweni sana wapendwa!!
Nimebarikiwa na nyimbo hii
Wimbo mtamu wenye ujumbe mahususi,mkijaliwa karibuni Kenya mkoa wa bonde la Ufa ,Jimbo la Eldoret,parokia ya langas,kwaya kuu ya holy spirit langas.
Ujumbe wa ukweli ...hakuna lisilowezakana mbele ya Mungu Bwana Mkubwa
Naenjoy Sana nsikilizapo kway za Roman catholic
Safi, Wimbo ni mzuri una Ujumbe mahususi kwetu.
Hakuna hakuna kisindikanacho kwa Mungu.....AMINA
Huu wimbo mzuri unaujumbe mzuri mbarikiwe sana waimbaji Wetu .
Beautiful song, beautiful voices love from Zimbabwe. ❤❤❤
Sema neno kama alivyosema petro love this song
Very nice 😘😘😘
Ni Kweli Hakuna kinachoshindikana kwa Mungu,ametushindia Yesu mizigo yetu pale msalabani,wimbo umetulia
Kazi yapendeza vilovyo. Mungu awabariki.
Mko vzr Sana mbarikiwe
KAZI njema pongezi
nice song always makes me feel proud to be catholic.....🙏....keep up the good work
Yesu ametenda kira siku, namushukuru sana
Mrs. Maore told me about me this song, its such a blessing 🎉..❤
I don't understand the it but i know that they are singing to the glory of God Almighty, Bravo Brethren keep it up and GOD bless and strenghten u all in JESUS name AMEN, ➕➕➕😁👋🙏🏽
Hongereni ,wimbo umejaa nasaha, mbarikiwe kwa kuomba vizuri
Who else is from tiktok
Hakuna kinachoshindikanakwa Mungu yeye ni kila kitu baba naMunguwetu anatuwezeshs
Kwa Neno lako nitazishusha nyavu.. Ahsante wimbo mzuri sanA Mungu awabariki
Mungu awaongoze katka safari yenu
Wanakwaya wenzangu poleni sana kwani njia ni Moja kwake ttalejea
Good song wish to join you ...good extremely
napata faraja kusikiliza huu wimbo mungu awabariki sana
Be blessed beautiful choir I don't understand yr language but yhoooo u can sing very nice indeed ( I'm from Lesotho)
Mungu ni mwema msichoke mbarikiwe na bwana awe kiongozi wenyu
Lovely voices put into good use. God bless each one of you.
Wimbo huu naupenda Sana , mungu awepe afya njema
Baraka zake mungu
A fantastic song watching from Nairobi Kenya ,keep up.
WE THANKS GOD
Hakuna kinachoshindika kwa mungu
Beautiful Melody
Nitazishusha nyavu🎹🎶🎺🥁
Nitazishusha nyavu🎼🎣🎏
Hongera saaana,wimbo mzuri
Mbarikiwe kwa nyimbo nzur .
My sweet song that blesses me every morning going to work. ❤️❤️❤️❤️❤️❤️.
August 2020 Mpo?
I love the song fellow teachers may you help me have its music piece kindly
Nyimbo nzr kwel hakuna kinachoshindikana kwa mungu hakika
Wololo.....safi Sana mpaka natamaaani sana ningie Kati yenu
Nice song jmn najiskia raha tupu
This song is really touching.love from MSA
Hakuna Jambo ambalo linamshinda Mungu🎉
proud to be a Catholic.....
Nice Song
Very nice gospel music
I love my religion
Lord 🙏 have Marcy on us
Wimbo mtamu kabisa
PROUD TO BE A CATHOLIC.... WATCHING FROM KISUMU - KENYA.
Tafadhali msiangalie mavazi ya wana kwaya.Muhimu ni maneno ya wimbo.Ni wimbo mzuri,mungu awabiki mzidi kumuimbia
Wambie waelewe km wanataka mavazi waende dukani wakaone
Hakika kwa sasa kunamapinduzi makubwa ktk uimbaji hasa nyimbo za romani zinafanya vizuri sana sana
Kagaruki Fred nzuri sana
Wimbo mzuri ila kina Dada kuweka makoti begani hawajanifurahisha kabisa.
Vp
Hakuna kinacho shindikana kwa munguuuuu
Am proud to be a catholic en may God bless this choir
I'm proud to be catholic thanks be God 🙏🙌
What a wonderful song. Good composure, nice beats , arrangements. In short this song is wow. Still listening in 2020
Enjoying from Kenya
Yaani mmekonga moyo wangu kweli kwa mungu hakuna kinachoshindikana
John polo
Video nzuri
Nice song congratulations. May God strengthen your faith.
Mko vizuri sana. Hakika tutazishusha nyavu kwa neno lake
40. Ninyi wandugu wa Afrika, wa Asia, wa Ulaya, au wa Amerika! Mlingojea Ujumbe wa Mtayo 25:6 labda katika nchi yenu lakini Mungu ameifanya namna ingine. Kumbukeni Bwana wetu Yesu Kristo! Akiwa kuhani mkuu Melkisedeki, marabi na waandishi waliona kwamba alipaswa kutoka katika kabila la Lawi. Lakini alitoka katika kabila la Yuda. Tena, ujumbe wake na kazi yake zilithibitisha kwamba yeye ndiye Masiya. Na leo juu ya uso wa dunia nzima, ikiwa wewe ni mtoto wa Mungu, nafasi yako ni hapa pamoja na nabii wa wakati wako, nabii Kacou Philippe. Na aliye na masikiyo kwa kusikia asikie .
Mungu amekipenda zaidi
Aminaaa! Wimbo umenibariki sana! Mbarikiwe waimbaji na uliyetushirikisha
Vipi gloria nimetumie namba zawako!mimi namber ni 96892011943.asante
Mungu awabariki Sana wimbo mzuri sana
Those who dislikes this song I have this feeling that they are not true Christians...
Nimebarikiwa sana Mungu awabariki kwa uinjilishaji
Wimbo mzuri sana,hongereni sana wanakwaya
Nice massage be blessed
Very nice
Wimbo mzuri wenye himizo
Who senang banget ganteng ganteng cantik cantik bagus banget suaranya merdu sekali keren abis mantap
Hakuna kinacho shindikana kwa Mungu
Rwandan tunabapenda sanaaaa
1. Comme les prophètes de la Bible en avril 1993 moi Kacou Philippe, un homme qui n'avait jamais été dans une église, je reçois en vision la visitation d'un Ange qui me commissionne pour un Message destiné à toute la terre en accomplissement de Matthieu 25:6 et Apocalypse 12:14. C'est ici le récit de ma conversion ainsi que les trois grandes visions de l'appel et commission tels que je les ai reçus :
2. Je suis venu à la conversion le 24 avril 1993 selon Daniel 10:4 à 11 par une vision dans laquelle je me vis debout sur le sable de la mer, puis au sommet d'une haute pyramide, puis à nouveau sur le sable de la mer à un autre endroit et je vis un vieux camion militaire sortir des profondeurs de la mer et s'en aller derrière moi. Je me suis tourné et j'ai vu qu'il contenait des personnes toutes vivantes. C'était des femmes et l'une d'elles était métisse.
amina mbarikiwe sana wana wa mungu
Sweet voices, blessing n encouraging message, God bless you all
jaman kwel hakuna kinacho shindikana kwa MUNGU
Naupenda sana huu wimbo
Watching from Nupuru Village, Goroka, Papua New Guinea. God bless your ministry, Malcolm
Can't argue with the maturity of the voices 🥰
Great song.
nyimbo tamu.. hakuna aliye kama mungu
Iko vizur Mungu awabariki sana