Video není dostupné.
Omlouváme se.
CHACHU YA FURAHA-THE LOVOS (official Gospel Video-HD)
Vložit
- čas přidán 24. 06. 2018
- Wimbo huu umetungwa na Ndg. Fortune Shimanyi, ukiwa na mmoja kati ya Nyimbo 8 zilizounda Album ya ndoa iitwayo PINGU ZA MAISHA.
Toleo hili la nyimbo maalum za ndoa, zimetungwa na watunzi mbalimbali zikiwa ni maalumu kwa harusi ya Ndg. Perfecto Mtuka iliyofanyika August 2017.
Nyimbo zote zimeimbwa na The Lord's Vooce Squad-MBEYA
Audio; Triple J
Video; tanganyika productons
Huu wimbo ni mzurii sana na unaujumbe bomba aya jmn ambao bado wanaungalia na kuupenda 2023 like zenu apa
Hakika nitakua chachu ya furaha ya mume wangu Mungu utakapo nijalia Amina 🙏🙏🙏🙏❤
Hello ulishapata mume au bado. Tafadhari nijulishe.
enyewe ntakua chachu y furaha kw mume ambaye ntapewa ,,,wale wanatazama 2024 1st may npeeni likes
My favorite song proud to be Catholic member ❤❤❤❤❤
Weweeee nakubali mnaimb vzur sana hakika katoliki tumebarikiwa kwa kila kityu najivunia kuwa mkatoliki
Acha niisikilize kila siku huenda Mungu na yeye atanifanya niwe chachu kwa mtu kupitia huu wimbo eeeee Mungu nasubiri wakati wako amen
Magazetl leo
Eee mungu baba naomba unipe mume mwema ili niwe chachu yake. Najivunia kuwa R.C wanakwaya mungu a wabariki
Naomba pia Mungu anipee mke mwema nikuwe chachu ya furaha kwake,.tuombeane
Proud to be a Catholic wimbo mtamu mbarikiwe sana
Upendo hufumu siku zote chachu ya furaha my favorite song indeed
Siku ya ndoa yangu nitaukomesha huu wimbo!!Eeh Mungu nisaidie nifikie hii siku njema Ameen
T
Amen mungu nami nifanye chachu kwa mume wangu
Najivunia kuwa mkenya nikiwa saudi Arabia.Napenda saana ninachotasama hapa na wimbo pia.Barikiweni woooote!!
Wimbo wangu pendwa niliotumia kwenye harusi yangu
Naupenda sana huu wimbo sijawai kuchoka kuusikia huu wimbo toka nilipo imbiwa kwenye ndoa yangu
Wimbo huu unastahil zaid ya 10M viwers ❤🎉chukuen maua yenuu
Naomba mungu anisaidie nipate mume bora niwe chachu kwake , wimbo huu utanihusu hatariii , hongereni sana waimbaji
Utapata
Congratulations my brothers and sisters may God grant you more years so as to keep the fire of praise alive.
0752921601
Give time to your dream s
@@nicksonkinyaga9976 veve mwakinyaga inamba utawe yeki? 👀😂😂😂😂😂
Asanteni sana watumishi wa Bwana kwa ujumbe iyi yenye umuhimu sana katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Mlijitahidi sanaaa .Mungu Aendelee kuwabariki na Kuwalinda,
Utume mwema katika Bwana wetu Yesu Kristu
Nimebarikiwa sana na huu wimbo,MUNGU amubariki mtunzi na waimbaji wote
RC raha sana ambao hawajui kama kuna raha karibu mujionee
@tanganyika productions tunaomba mtuwekee wimbo tangazo kwa ulimwengu.
Mungu awabariki sana kwa wimbo wenu mzuri ni wimbo wenye ujumbe uliokamilika
Mungu nam naomba nipate mume bora naiman nitafikako 2 huku🙏🏻
Am proud to be a catholic church.well done
Also me I proudly ...... To be a Catholic.....
Karibuni Kenya hata Siku moja mshiliki nasi.Mungu awabaliki
Ongereni,sana,inapendezapia,kalibuni,mshiriki,nasi,
Nymbo ni nsuri🎉🎉🎉🎉 4:ll
Mungu kweli ni chachu ya furaha yangu
Mungu azidi kuwainua ili mwendelee kuinjilisha jamii yake hususan vijana wasiopenda kufunga ndoa kwa hoja kwamba kwanza wayajaribu magari yao ndo wafunge ndoa...!!!!
Nakuona dadaangu kipenzi saada maganga unajitahid kucheza kihaya
Ongera mnanitia moyo kwa uinjilishanji wenu natamani ningejiunga nami nikate kino na mabenga nalitanji hizo kanda zenu hapa KENYA be blessed
Asantee Mungu kwa kunifanya Mkristu Mromani nakupenda Mungu wangu na dini yangu🙏🙏🌹
Like it
Naangalia leo tarehe 15 October but still I love the dong mbarikiwe sana
Bwana nijalie upendowetu udumu daima sikuzote zamaisha yetu asante sana Kwamaneno yenye kujenga katika maisha yetu yote Mungu awabariki na kuwalinda na kuwajalia nguvu zaroho mtakatifu ili mpate kumtumikia sikuzote zamaisha yenu amina
My favorite song!!!😍😍😍 Can't wait to play it at my wedding! God bless you guys!
Me too
Asante mungu kwa kunifanya kuwa mkristu wa romani katoriki
Una bahati sana kuwa Mkatoliki ndugu yangu,hongera
oh god what a nice song. we kenyan catholics would love to sing just like our tanzania catholic neibours(from nyanza kenya).
Yaan wimbo mzr mpk nasikia loho mwili wote wa fulahia ongereni
Aise wameimba vizuri Sana hongerani sana
Well done
Wimbo mtamuuuuuu 🥰🥰🥰😘😘😘💞💞💞💞💞aikua raisi
Asante Mungu kwa kunijalia kuwa mkristo wimbo mzuriiiiiiii
Mungu Awabariki na Mwanga Wa Roho Mt.uwashukie mzidi kuwa Hodari mzidi kuimalisha Neno la Mungu kupitia Uimbaji
Sijutii kurudia hii nyimbo inanipa furaha mda wote
Merci à Dieu.Merci à la Chorale pour sa contribution à l'évangélisation du monde. Que Dieu bénisse la Tanzanie.
Wimbo mzuri sana natamani siku ya harusi yangu uchezwe
Wimbo mzr xana mlijtahd aiseeee
Nina siku siendi kanisani sasa naanza kwenda wimbo huu umenibariki sana, mungu awatie nguvu.
Uwe unakwenda kanisani unakoswa baraka za Mungu na mambo mazur Kama haya yanakupita mpendwa
Nice song.. Waouh I fall in love with not only choir, but also with Tanzania girls and the language. Can someone invite me there??? I'm from Cameroon... Lol
That's great...
Welcome if you wont mind contacting me...
@@claverymbede3681 waouh really!! So I'm going to plan my trip
Your so welcome madame
Mbarikiwe sana kwa uinjilishaji wenu
Bwana awepamoja nanyi daima amen
Kwa wimbo huu, Mungu tangulia na kuongoza ndoa zote.
Niwape hongera namungu awajalie kwakuimba vizuri Mimi huku najivunia kuwa mkatoliki safi
Hongereni sana wakatoliki wenzangu
Mungu awaabariki ktk utume wenu hiyo ni hatua nzuri sanaa (quality Video)
God bless u all, I wish I was born in tanzania
Mungu nisaidie nami cku ikifika nifurahie hiv rahaa balaa
What song, very nice, God bless you abundantly
Nitawaalika katika jubilee YANGU Yandoa miaka25. Mbarikiwesana
Am Catholic in baptism forever ever
Victor Thomas amen
Sijajuta kuwa sehemu ya familia ya production yenu.... its amazing, dance nzuri sana mpangilio kila kitu safi.... Kongole!!!!!!!!!
Remigius Kawala asaaaaante sanaaaaaa kaka.
Karibu
Kwaya mt Anna old maswa
Kwaya mt katarina wa Siena mkuu rombo
Remigius Kawala naomba mnitumie nota hizi kwa b.njiru@yahoo.com
Ben Njiru natumai ombi lako limefika mahala sahihi... @Tanganyikaproduction
Laima nitacheza juu wimbo kwa harusi uangu ijapokuwa prospective groom hajui Kiswahili. Ataketi tu aniangalie, acheke.
Hakika mnamtukuza Mungu
Huu wimbo umenigusha waimbaji na wote mlioshiriki Mungu awambariki.
Bwana awe nanyi daima amen
God
Listening, listening, listening. I love the song.Thanks to the singers. You are rich of good voices.
Mungu azidi kuwatunza zaidi katika utume wenu wa uimbaji wimbo mzuri sana yaani napenda kuusikiliza kila wakati
iwish ck ya harus yangu huu wimbo waurudie hat mar zote. Naupenda sana mbarikiwe waimbaji
Hii albamu imenikosha sana nahamasika kumtafuta mwenzangu ili nufunge naye pingu za maisha ila muweke na kinonile basi
I just realized today that it's a wedding song. DUH!!! Moto sana
wapi mpiga tarumbeta,, nakubali .....
Hongereni sana ila kinanda kimechukua muda mrefu sana
Vraiment qui chante bien prie doublement
Nyimbo nzuri sana.
Ujumbe safi.
Mpangilio wa sauti, vyombo, uko kamili.
Hi wimbo ni tamu sana, sijui nifanyaje?
Aisee!!! Mtanifanya nipasuke maana ninawamisi kupita maelezo!! Kikubwa ninawapa kongole kwa uinjilishaji wenu, ninawaombea mdumu katika umoja na upendo ktk kumtumikia Mwenyezi Mungu!!
Renatus Matogollo James Amina
Maombi yangu kwenu
1. Inapatikana madukani, na je Morogoro tunaipataje??
2 Mko tayari kuja kuimba kwenye ndoa yangu?? Jamani ninabarikiwa sana nanyi lkn je Aneth (mama Glory) mbona simuoni??
Wimbo nmzuri kwakwel
Dah kwakweli Nyimbo zenu zimetulia nachukua album yote. Nikae nayo imenigusa moyo na imenipa hamasa ya kuoa jaman
I looooove this song so much. It will be sung on my wedding day Majaliwa. I promise.
Heureux à vous mes chaires
wimbo mtamu sana congratulation kwa mtunzi na waimbaji wote
Very smart composition guys,, keep it up
Mungu ni mwema
huu wimbo naupenda sana jaman,mbarikiwe sana
Thanks for your job.This song is one of my favourite. The presentation is CAPTIVATING.
HAYA BANA,NGOJA NIFUNGE NDOA MMENIWEZA HATIMAE;
Mpiga kinanda..nimekukubali kwa pedal ulipigaa..
Big up..!!
Mungu azidi kuwabariki, nyimbo nzurii sanaaa nimeipenda mpaka basiiii kuanzia sauti, staili za kucheza ni kisasa zaid nikutakieni kila lakheri kwa ajili ya majitoleo yenu.
Wow dadaangu Josephine lucas
Mungu awabaliki
Wimbo mzuri sana hongereni na kazi ya kuinjirisha.
Always you will be our role model, we appreciate what you are doing! May God bless you @Vice chairman of Choir from SAUT-mbeya
Hongereni sana katika utumishi wenu.
Jamani mnaimba vizuri mbarikiwe
My favorite song 2018 - 2019. Tutautumia pia kwenye harusi yangu nitakayofunga mwezi Oktoba. Dogo Shimanyi andaa na mwingine zaidi ya ule wa FUTA WASIWASI KABISA....
Naeza pataje huo wimbo
Nimejifuza sana huu wimbo nategemea kutumia huu tarehe 09/11/2019 MSIMBAZI PAROKIANI HADI UKUMBINI KARIBUNI SANA WOTE
Mungu nijalie na mm ndoa siku 1 huu wimbo umekuwa baraka kwangu
Hongereni sana mumeimba kwa furaha kuuu
Nakupenda sana uu wimbo
Mmetisha hongereni sana
Nimemuona rafiki yangu Mwl. George Sekuzi.
By Jonathan Ntale
Zanzibar.
Mpiga tarumbeta penda sana wew be blessed guys
Sichoki"kuitazama hii"nyimbo natamani"kuowa
hakika ata mimi nitakua chachu kazi nzuri Mungu awape nguvu tengeneza na hubili tena
Mko vizuri asante kwa kunibariki na wimbo wenu
What a song!!!!!! Lovely. Mbarikiwe sana kwa kazi yenu nzuri.
Mbarikiw xan watumish
Asante mungu kwa kunipa uhai ,napenda Sana kwaya
Ahaaaa mpiga tarumbeta oyeeeeee..uko vizur mbaba
Thanks sana sana this song really graced my wedding
Kenya mpo kweli
Eeeee tupo
Wlcm
Hongeren wakatoliki