NITAKUPENDA MILELE(official Gospel Video-HD)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 08. 2024
  • Hii ni moja ya kazi inayotarajiwa kutoka mapema mwaka huu. Ni kazi yenye nyimbo 08 AMBAZO NI NYIMBO MAALUM ZA NDOA, nyimbo hizi zimetungwa na watunzi mbali mbali wa tasnia ya Muziki wa Kikatoliki. Kazi hii imefanyika Jijini Mbeya katika Studio za Triple J Records Audio iliyopo maeneo ya Ivumwe chini ya Producer Caleb Mwanjoka na Video imefanywa na Tanganyika Productions chini ya Director Ludovick.
    Nyimbo zilizomo kwenye albam hii zina maudhui ya nyimbo za Ndoa na waimbaji wake wakiwa ni THE LORD'S VOICE SQUAD [LOVOS]

Komentáře • 569

  • @cliffmatheka9410
    @cliffmatheka9410 Před 4 lety +12

    Still watching 15/4/2020
    Wapi hizo likes kama pia wewe unatazama

  • @jameskanja3525
    @jameskanja3525 Před 2 lety +3

    My sweet heart Maggie, nakupenda milele
    We wangu wa maisha nakupenda milele 💟💟💟 Kenya

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 Před rokem

      Loooh nilivyoona maggie moyo ukafanya paaaaaa nikajua my hubby charles kafanya surprise😅😅😅

  • @godfreykapalale1546
    @godfreykapalale1546 Před 3 lety +6

    Kwa Mungu raha saaana,,,, Mungu nilinde mm na mchumba wangu. utukinga na balaa zote ili tuweze kupata sakramenti ya ndoa na wote wenye kukutumainia wewe

  • @ManasseNsengiyumva-jf4wb
    @ManasseNsengiyumva-jf4wb Před 12 hodinami

    ❤❤honera Sana mnaimba vixuri

  • @florahkazimoto7246
    @florahkazimoto7246 Před 3 lety +7

    Kama umebarikiwa na wimbo sema amina

  • @LucyChuwa-ug7hv
    @LucyChuwa-ug7hv Před 3 měsíci +1

    ❤siku nam ntaimbiwa Mungu nisaidie

  • @jamesgachau2566
    @jamesgachau2566 Před 8 měsíci +1

    Recommendable for all married and those planning for their marriages. Kitu kizuri ndugu wenzetu WATANZANIA. God's blessings

  • @MethodSimbeye-iv4lo
    @MethodSimbeye-iv4lo Před 6 měsíci +1

    Asanteni sana Kwa burudani nzuri

  • @layajen1615
    @layajen1615 Před 3 lety +4

    C jawai pendwa ak nikapata wakunipenda ata pasipo pesa ntafurahia

  • @reginacharles6023
    @reginacharles6023 Před 6 lety +4

    Kipenzi cha moyo wangu nakupenda milele na milele amina

  • @lazaroparuason
    @lazaroparuason Před 6 lety +2

    Hivi MC Mabogo kwanini lakini unafanyia hivi?Mungu akubariki.Ngoja nikamuimbie( Juliana wangu),,,Sweety Honey I love her!

  • @cryptocurrencyexplained..5483

    Safii sana naona mambo ni moto

  • @lawrencechando7564
    @lawrencechando7564 Před 5 lety +4

    Nyimbo nzuri na tamu kweli kweli mbarikiwe sana tena sana

  • @pyuritjuvenal7657
    @pyuritjuvenal7657 Před 3 lety +4

    Uwiiiiiii mpka nimetamani kuolewa jmn dah wimbo unanikosha san

    • @rachaelkazimili4092
      @rachaelkazimili4092 Před 3 lety

      Hahaaaa, ujue umenifurahisha Sana mpendwa Mungu akufanyie wepes umpate Alie sahihi

  • @julietnabwire4931
    @julietnabwire4931 Před rokem +3

    The melody, the dancing🎉❤🔥💯 Team Julieh kujeni mpunge mkono
    Hearing this song, I feel the love of God upon me and praying for a SMART husband who wanna love as God does

  • @rahimatanzani6509
    @rahimatanzani6509 Před 5 lety +4

    Jamani huu wimbo ni mzuri sana kwa ambaye hajaoa naomba ajitokeze aje kwangu tuoane ila nataka mume bora na cyo Bora mume nahitaji mume na cyo mwanaume nimefurahisha na hii kwaya sana

  • @upendolokiti2569
    @upendolokiti2569 Před 6 lety +3

    nyimbo nzuri sauti zimepangiliwa nApenda kiitikiiiooo

  • @bright589
    @bright589 Před 4 lety +5

    I do enjoy Tanzanian Catholic gospel music it really makes me feel like I'm in Paradise

  • @reyjosee9390
    @reyjosee9390 Před 6 lety +4

    hii style ya kuwapa ladies makoti ya suti nimependaaa nakupenda milele julianaa

  • @justusaganyilatvonline1417

    Hizi ndo Nyimbo ambazo zitapigwa siku ya ndoa yangu, na zitakuwa zinapigwa nyumbani kwangu kila siku jaman zinahamasisha. 😊😊😊😊

  • @ElizaMnkondya
    @ElizaMnkondya Před 21 dnem

    Mung awabalik saan

  • @maryreginasechali5625
    @maryreginasechali5625 Před 6 lety +2

    Kitendo unachonifanyia mabogo Mungu anakuona. Kila cku nackiliza Leo cku ya nne had nmekua chiz. Mungu akuinue sana.

  • @upendonaftali2331
    @upendonaftali2331 Před 5 lety +5

    Jaman mmeimba vizuri sana,video IPO vizuri sana nimewapenda bure,nataman kujua mnapatikana wap

  • @deliphinanyaki2726
    @deliphinanyaki2726 Před 6 lety +1

    Mbarikiwe kwa nyimbo nzur

  • @beatriceomino7321
    @beatriceomino7321 Před 6 lety +3

    God bless u brother & sister natamani ningekuwa moja wenu

  • @davidlouis987
    @davidlouis987 Před 6 lety +2

    Mko vizuri kwa kazi za Uinjilishaji kwa njia ya Nyimbo

  • @thomaspaul1628
    @thomaspaul1628 Před 5 lety +4

    Nimefurahi nitampenda mke wangu juliana milele kama nimeimbiwa Mm thomas na juliana wangu

    • @akapinga3284
      @akapinga3284 Před 5 lety +2

      dedication to your Mrs Julian, God bless uu

    • @vickydemetrius3461
      @vickydemetrius3461 Před 5 lety +2

      Niliposikia huu wimbo nikamkumbuka best angu bwana ningeujua b4 ndoa ningewashaur muingie nao huu dodoma🙏🙏🙏

  • @mamaaa4583
    @mamaaa4583 Před 3 lety +1

    Mungu wangu nilindie uyu mume wangu niendelee kuinjoy mimi. Asante YESU wangu umejua kunifuraisha🙏🙏🙏🙏

  • @sammyodongo2429
    @sammyodongo2429 Před 4 lety +3

    I tell you,, nimeguzwa Sana mpaka nadondoka machozi jamani heko kwenu 👌👌👌👌

  • @wannaproducts
    @wannaproducts Před 4 lety +5

    Mama mwenye miwani anafanana na mama Janet Magufuli

  • @stellagodfrey2229
    @stellagodfrey2229 Před 4 lety +5

    Nyimbo nzuri had nahis kuolewa olewa😂😂😂

  • @marthagaceri8816
    @marthagaceri8816 Před 6 lety +4

    Wimbo mtamu kama nini!I must download it for my wedding day.Whatever time it will ever happen .😘😘

    • @TanganyikaProductions
      @TanganyikaProductions  Před 6 lety

      Haaaaa haaaaa ok

    • @gabrielmutuku7254
      @gabrielmutuku7254 Před 5 lety +1

      i played this song in my aunties wedding as the entry procession song....its beat...its sweet, clear wording...everyone enjoyed...may the singers be blessed abundantly,,

  • @lusajomwambene9638
    @lusajomwambene9638 Před 6 lety +2

    Mabogo Mabogo Mabogo mmh,,,, Pongezi kwenu nyote kazi nzuri sana Mungu wabariki..

    • @mamatuishi-mamatuondoke8822
      @mamatuishi-mamatuondoke8822 Před 6 lety

      Hadi natamani kuolewa'Mungu awabariki sana mnaoishi ndani ya ndoa♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡

  • @alexmalenda498
    @alexmalenda498 Před 5 lety +3

    Duuuuh huu wimbo unaamasisha kufunga ndoa jmn Mungu nipe mme mwema niweze kufunga na kuimbiwa huu wimbo

  • @suzanshomary7126
    @suzanshomary7126 Před 5 lety +3

    uko mpow kwaya nzima honge sana endeleeni kunjilisha by Robert

  • @salimzaidi9203
    @salimzaidi9203 Před 5 lety +3

    Eee mungu wewe wajua hitaji langu naomba mume mwema nimpende nae anipende mbarilikiwe sana nyimbo nzuri

  • @paulmziba1060
    @paulmziba1060 Před 6 lety +2

    ouky safi sana, kazi nzuri sana, namuona rafiki yangu Fortune J, HONGERENI

  • @warriorprincessharmony
    @warriorprincessharmony Před 2 lety +3

    This song has such sweet memories for me. Unfortunately they were fake.

  • @abbigaelwanyoike7057
    @abbigaelwanyoike7057 Před 2 lety +3

    So nice wish ningekuwa na kipenzi yawa nikiibie wimbo huu

  • @csato9415
    @csato9415 Před 6 lety +1

    Hakika inapendeza sana....! hongera mtunzi ; M C.Mabogo, waimbaji wana wa THE LORD'S VOICE SQUAD, na pia Tanganyikaproduction.

  • @costanciapamphurey9084
    @costanciapamphurey9084 Před 6 lety +2

    wimbo mzur sana Mungu awabariki

  • @abelmgalla1533
    @abelmgalla1533 Před 6 lety +1

    waooooo jaman mnikosha mimi wana wangu wa nguvu kutoka Mbeya green city,hakika mbarukiwe daima

  • @kemimdava5975
    @kemimdava5975 Před 5 lety +4

    Nakupenda milele Alex

  • @albertmmassy1417
    @albertmmassy1417 Před 6 lety +2

    Kazi nzurii #fortune shimanyii

  • @abelmgalla1533
    @abelmgalla1533 Před 6 lety +1

    Sio siri nawapenda jaman,nyimbo nzuriiii siku ya harusi yangu mjiandae mje mnimbie

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x Před 5 lety

      Mungu akujalie uzima na uhai pia mungu akujalie mama bora na cyo bora mama kwa ajili ya watoto wenu

  • @user-jm3qo7md4h
    @user-jm3qo7md4h Před rokem +3

    Ipo siku na Mimi mtaniimbia nyimbo za sakrament ya ndoa

  • @nancyruoruo1025
    @nancyruoruo1025 Před 4 lety +6

    Hakuna mwenye anapongeza huyu ndugu wetu wa trumpet 👌wimbo mzuri sana

    • @jarednyaribo6346
      @jarednyaribo6346 Před rokem

      A wonderful wedding song with deep meaning. Kaa, tulia na cheza Wimbo huu. A blessing to the family ❤

    • @jarednyaribo6346
      @jarednyaribo6346 Před rokem

      A wonderful wedding song with deep meaning. Kaa, tulia na cheza Wimbo huu. A blessing to the family ❤

  • @philberthmoses3794
    @philberthmoses3794 Před 6 lety +2

    Safi sana Wapendwa katika Kristo,Mbalikiwe sanaaaaaaaaaaaaa

  • @daudikasonso3673
    @daudikasonso3673 Před 6 lety +2

    The Beautiful song
    Amazing video
    Am inspired to Marry
    SIFA NA UTUKUFU NA HESHMA VYOTE NI KWA MUNGU

  • @user-rd7jt1vi5x
    @user-rd7jt1vi5x Před 5 lety +4

    Huu wimbo siachi kuangalia kila siku lazima niangalie wanakwaya hongereni sana kwa wimbo mzuri mungu naomba nipe mume nami nije niimbiwe wimbo huu siku ya harusi yangu

  • @genofefapatrickhozzah1394

    Mungu nijalie npate mwenza mwema

  • @FIFO28
    @FIFO28 Před 6 lety +2

    nmependa sana huu wimbo hasa hapo mwanzo mnapobadilisha koti za suti...

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x Před 5 lety

      Mungu azidi kuwapa nguvu mzidi kusonga mbele zaidi nimeupenda huu wimbo mpaka nikataman na mm kuolewa sasa ila nitazidi kupiga magoti nikimuomba mungu anipe mme bora na cyo bora mme nami pia nitakuwa mama bora kwa kizazi changu

  • @dosdisenyo7360
    @dosdisenyo7360 Před 4 lety +2

    Najiweka jina lang hapa faraja mungu nipe mume anipende nakuniimbia nakupenda faraja

  • @edinamassawe1822
    @edinamassawe1822 Před 6 lety +2

    Nzuri mno, barikiwa wapendwa

  • @kapugi
    @kapugi Před 6 lety +2

    Kazi nzuriiiii

  • @felicianluvanda9672
    @felicianluvanda9672 Před 6 lety +4

    Safi sana duuuuuuuu! Nyie watu Mungu aendeleee kuwaongoza nakutoa kazi zingine nyingi zaidi miaka yote

  • @joycekisaka4831
    @joycekisaka4831 Před 4 lety +3

    Waooow Mungu mlete uyo adamu wng na me😅😅jmn wimbo mzur sn Mungu awabariki sn waimbaji wetu🙏

    • @hacqaarab5409
      @hacqaarab5409 Před 3 lety +1

      Adamu wako tena

    • @joycekisaka4831
      @joycekisaka4831 Před 3 lety

      @@hacqaarab5409 ndio jmn me c Eva 😅😅

    • @hacqaarab5409
      @hacqaarab5409 Před 3 lety

      @@joycekisaka4831 jaman joyce ,,,ujue kwa mungu hakiaribiki kitu kama kweli uko single 0715635162 huwez jua mungu amenga nn karibu

  • @johnkimario3607
    @johnkimario3607 Před 6 lety +2

    Yan Kwakweli nagusua sana na hizi nyimbo hongereni iiiiiiiiiiiiiiii sanaaaa

  • @agathaamani1973
    @agathaamani1973 Před 6 lety +2

    Nice song nimebarikiwa sana

  • @veronicahsylivester7426
    @veronicahsylivester7426 Před 6 lety +4

    aiseeee Mungu awabark san itabd nwakod cku ya harus yangu...big up saaaana

  • @adelinemsemwa7793
    @adelinemsemwa7793 Před 6 lety +2

    ncee sana napenda kuimb kama waoo

  • @kusekwakatemi9798
    @kusekwakatemi9798 Před 6 lety +2

    cku ya harusi yangu lazima nimkodi napenda sana nyimbo zenu . mungu amubaliki sana .

  • @lylianwilliam6978
    @lylianwilliam6978 Před 6 lety +2

    I miss my teacher....Mr kisomo! Mungu akubariki sana

  • @doricacharles1628
    @doricacharles1628 Před 5 lety +4

    Uwe maalum kwa mume wangu mpenzi Mr Charles mwita popote alipo. Mungu atulinde na kuipigania ndoa yetu na familia yetu daima kadri ya mapenzi yake.

  • @salimzaidi9203
    @salimzaidi9203 Před 5 lety +3

    Nyimbo nzuri mbarikiwe sana wapendwa ee mwenyezi mungu nakuomb nipe mume mwema niishi nae kwa upendo nitulie nae atulie nami

    • @salimzaidi9203
      @salimzaidi9203 Před 5 lety

      Daniel Charles Rang'ondi Amina napokea katika jina la yesu

  • @kanisiusmarko7852
    @kanisiusmarko7852 Před 6 lety +1

    Duuuuu hiiii nyimbo noma sana, hongereni JMC

  • @veronicamwita7304
    @veronicamwita7304 Před 5 lety +2

    Nitakupenda milele SEVERIN Nitakupenda milele!!!

  • @dicksonpeter3934
    @dicksonpeter3934 Před 6 lety +1

    Daaaaaah kazi nzuri sana aseee

  • @Beatrice.Ndungu
    @Beatrice.Ndungu Před 5 lety +4

    Beautiful.....Listening from +254 Kenya and Yes I want to love Jesus milele na milele. Thank you for your inspiring music

  • @kathurimamwongera6904
    @kathurimamwongera6904 Před 5 lety +3

    Wimbo mtamu kweli wa ndoa.

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x Před 5 lety

      Kama huna mchumba wala kwenye mahusiano njoo tujuane hapa tuanze urafiki huu wimbo ni mzur sana kwa ajili ya ndoa nami naupendaga sana haipiti siku bila kusikiliza jaman mungu nipe nami wangu wa maisha

  • @matlidakwai9156
    @matlidakwai9156 Před 6 lety +2

    mko vizuri, mungu na awabaliki

  • @ivyjepngetich4670
    @ivyjepngetich4670 Před 6 lety +2

    hongera wapendwa GOD bless you

  • @jacksonkamilyus4682
    @jacksonkamilyus4682 Před 5 lety +3

    nitakupenda milele jackson

  • @sylvesterdominic5997
    @sylvesterdominic5997 Před 6 lety +2

    Hongereni saaana ujumbe ni mtamu sana

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 Před 6 lety +2

    mpk raha nimeskia raha sana,hongerni

  • @veromugo1977
    @veromugo1977 Před 6 lety +2

    Am watching you From Kenya,sauti za kupendeza na wimbo mzuri.Barikiweni sana

  • @akwinatahyera6699
    @akwinatahyera6699 Před 5 lety +2

    Hongereni xana kwa nyimbo nzuri

  • @nyamogafamily4262
    @nyamogafamily4262 Před 6 lety +2

    Amani kwenu wapendwa wetu😘😘😘😘tunawapenda mno kwa uwimbaji wenu

  • @jeraldsalehe2791
    @jeraldsalehe2791 Před 5 lety +2

    Mungu nipe mke mwema ili nifunge nae pingu za maisha niimbiwe huu wimbo na wimbo was chachu ya furaha

  • @floramwansnzilamwananzila6098

    Hongera mtunzi wa huu winmbo

  • @jessydaktari5209
    @jessydaktari5209 Před 6 lety +2

    Safiiiiiiiiii 😍😍😍😍👍👍👍👍

  • @heldaoman3070
    @heldaoman3070 Před 6 lety +2

    Haleluyaaa Mungu awabarik sana

  • @awinojuju8522
    @awinojuju8522 Před 5 lety +3

    Nawapendaa pia...Manake naitwaa Juliana wimbo mzurii Mungu awaongozeee sautii nzuri Mungu Awazidishie kipaji na marifaa...

  • @julianakirugu3396
    @julianakirugu3396 Před 5 lety +3

    Mtamu Sana hongeleni

  • @zachariaissa.morogorotz2974

    Wimbo mzuri sana m, balikiwe waimbaji wote

  • @embatidennis6107
    @embatidennis6107 Před 5 lety +2

    I feel one day I should visit this Choir over my Sabathical leave

  • @robert.maganya1051
    @robert.maganya1051 Před 5 lety +2

    Bwana atubariki sote na tudumu ktk upendo Wa kristu

  • @benadetaogesa9193
    @benadetaogesa9193 Před 4 lety +2

    Hakika mbarikiwe huu wimbo napenda kumuwekea mama angu kipenzi ,naye anaitwa Juliana mwaka huu jubilei ya miaka 25 ya ndoa yake hakika ni surprise jmn

    • @dosdisenyo7360
      @dosdisenyo7360 Před 4 lety

      Namm pia dear mama angu anaitwa juliana tunapenda kumwita miss juli

  • @dodyfreylughali6131
    @dodyfreylughali6131 Před 6 lety +3

    Mabogooooooooooo, jamani, brother you are untouchable, raha unayonipa naijua mwenyewe, Mungu azidi kukubariki kaka

  • @laurentnkanga5449
    @laurentnkanga5449 Před 6 lety +2

    Wimbo mzuri

  • @daudimkungu3569
    @daudimkungu3569 Před 6 lety +2

    wimbo mzuri sana

  • @luwonekaandrea1547
    @luwonekaandrea1547 Před 4 lety +1

    Mungu awabariki kwa uimbaji wapendwa tuitangaze injili kwa uimbaji tufike mbali kwa jina la Yesu

  • @franciscosweya9516
    @franciscosweya9516 Před 3 lety +1

    Hakika huwa nabarikiwa sana ninapowatazama mnavyoimba nyimbo zenu. Hongereni ujumbe mzuri mnaotupatia sisi watazamaji na wasikilizaji.

  • @maximilianjoseph7896
    @maximilianjoseph7896 Před 5 lety +1

    Asanteni wanakwaya kwa wimbo mzuri wenye ujumbe wa kutia moyo

  • @tanzanianchiyangutaifalang8376

    Kipenzi cha moyo juliana uko wapi, nitakupenda milele. Naomba MUNGU anipatie mchumba aitwaye Juliana ili siku ya ndoa upigwe wimbo huu.. 🌹🌹🍓🍎🍎♥️♥️

  • @evanceruyumbu6347
    @evanceruyumbu6347 Před 5 lety +3

    Ahsante sana kwa nyimbo zenu.

  • @angelinekiilu1483
    @angelinekiilu1483 Před 4 lety +2

    Sweet ,honey I love you🥰🥰am in tears 24/4/2020

  • @maryreginasechali5625
    @maryreginasechali5625 Před 6 lety +1

    Hizi voko cjui voko ni nahic voko za Shinto. Maana nabarikiwa hadi sielew. Kipenzi cha Moyo wangu nakupenda milele tulia nan. Sweet honey I love u. Tukikoseana basi tuket na tuzunguze. Mzuri wa moyo wangu........duuuh. Mabogo Ubarikiwe kaka angu.

  • @jonathanmasu6803
    @jonathanmasu6803 Před 6 lety +2

    Hakika Mungu asifiwe kwa kuwapa wimbo mzuri na hongereni sana wanakwaya kwa kuimba vzuri. Mungu awabariki kwa utumishi mzuri

  • @msomashija7749
    @msomashija7749 Před 6 lety +2

    Hakika wana Wa mungu