NIGUSE BWANA -Perfecto Mtuka (Official video)
Vložit
- čas přidán 6. 01. 2022
- "Nafsi yangu inakutamani ewe Mungu wangu kama maji baridi kwa mtu mwenye kiu"
Karibu ujipatie nakala yako ya albamu yetu mpya inayojulikana kwa jina "Niguse Bwana" Wasiliana nasi kujipatia nakala yako
Song Description
Title: Niguse Bwana
Composer: Perfecto Mtuka
Choir: St John Paul II Mbeya Choir
Audio and Video: Rajo Production
Organist: Ray Ufunguo
Contact information
Mawasiliano na kwaya:0783-851920, 0717-770882
Mawasiliano na Mtunzi (Perfecto Mtuka): 0767-711741 - Hudba
Honestly, I lack words to express my feeling towards this choir. Mungu baraka zako wazidishie hawa waimbaji
Amina
Nyie nihatari
Njoo kwangu bwana kaa ndani yangu na uniponye●○●○ ...nzuri hio mungu awabariki
Kazi nzuri sana
Tumshukuru Mungu
Emma
Mmmmm jamani, yaani mmeimba hadi raha hadi machungu yanahama moyoni.
Hongereni sana
Asante sana Yovina, Endelea kubarikiwa🙏
Mungu azidi kuwapa maujuzi zaidi nabarikiw sana kupitia uinjilishaji wenu
Hongerani jamani kwa kipaji hicho Cha uimbaji hakika Mungu azidi kuwainua zaidi
Hongereni sana
Likes za Ranjo, did we forget RAY GUYS? it's him and he always get his job right ,God keep you forever, live long!!!
Na hizi je? czcams.com/channels/enSaMf2P6bqpiVNBRHa6Nw.html
Good performance,God is seeing your hard work.keep up
Mungu ni tumaini letu sote TU kazi ya mikono yake tuzidi kumhimidi.
Hongeren wanakwaya mnatukonga mioyo
Kwa kweli kwaya hii ninaipenda Mungu azidi kuibariki zaidi na zaidi
Mmmm jamani. Wimbo ni mtamu hadi machungu yanahama rohoni. Hongereni sana.
Nafurahia sana nyimbo zenu... Mungu wa mbinguni awabariki mnoo🙏🙏🙏
Asante sana🙏, Ubarikiwe pia
Kazi nzuri wapendwa hongereni sana 👏 m-barikiwe sana
hongera jamani kazi zuri mungu azidi kubariki kazi ya mikono yako
Niguse bwana nafsi yangu itapona. 👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
Amina Aleluya
Nawapenda sana wapendwa ktk bwana,nikskliza na kutama video zenu huwa nataman kuja kuimbia mbeya, tupo pamoja sana mbarikiwe
The best JMC Hongera Perfecto Mtuka kwa utunzi huu na ubora wa picha na sauti wa RAJO
Amina🙏
Nyie jamaa mna balaa
Naomba nijulishwe njinsi nitakapopata nakala la toleo hili tafadhali
Kazi nzury kabisa. Hongereni🥰🥰🥰
Mmmmm amani, kwa kuimba huko nafsi yangu hakika imepona.
Hongereni sana kwa kazi nzuri dears mzidi kudumu katika utume huu
kazi nzuri sana . niguse bwana
Kazi nzuri hongereni sana kwa utume
Mungu azidi kumibariki
This is JMC, Imara na bora zaidi kila kukicha.
nimewapenda kabisa mtuka uko sawa kabisa
Kama kawaida yenu.
Very nice 🌹👏!!!
Wimbo mzuri Sana. Mungu aendelee kuwatia nguvu ktk kuimba
kazi nzuri hongereni sana
Ahsante sana @St. Gregory The Great Choir.
Sasa tunaanza kushuhudia kazi zinazopeleka muziki wa kanisa katoliki katika ngazi zingine za juu za idi.Sina maneno ya kuelezea uzuri wa kazi Hii na itoshe kusema the best for now in Tanzania.Hongera Sana JMC,RAJO and whoever involved
Tazama hii pia kisha toa maoni yako czcams.com/channels/enSaMf2P6bqpiVNBRHa6Nw.html
Mungu azidi kuwabariki katika uimbaji wenu.
👏👏🙏🙏
Hongereni sana kazi mzuri wapendwa
Asante sana🙏
Hongereni kwa uinjilishaji na utume mwema
Amina
Ahsanteni Waimbaji wote....Mtunzi wa huu wimbo ......Nyote mbarikiwe
Amina
Mungu awabariki wimbo mzuri mno ukiusikiliza kwa hisia ni Kama uko mbinguni kabisa
Hongeren sana.. Mwenyezi Mungu azid kuwabariki sana sana🙏 I wish na mm siku moja niimbe nanyi nawapenda JMC❤️
Nice song congratulations,
Daaaaaaaaaaaaaaaa.........................mmetisha sana kwa Wimbo huu, ile style ya kucheza ni Noumer
Very ripe with message and technology
What a distinguished liturgical rhythm!!!
Great work, congratulations JMC and Rajo productions
Kwakweli hii kwaya ni extra ordinary 🙌👏👏👏 congratulations guys M.Mungu aendelee kuwatumia ktk kazi yake
Indeed
Penda sana hivi pia czcams.com/channels/enSaMf2P6bqpiVNBRHa6Nw.html
Mambo ni moto aisee🙌🙌
czcams.com/channels/enSaMf2P6bqpiVNBRHa6Nw.html
Hongereni sana...kazi nzuri👏👏nimependa hii sana... ningepewa nafasi kujiunga na hii kwaya,nisingepotesa ata sekunde Moja🥰
Niguse kweli imenigusa
Amina@Gervas
Tanzania mnaimba jameni🙏🙏🙏🙏🙏i salute ❣️❣️❣️, dance pia n viwango vya juu🙏🙏🙏🙏
Thanks @Lumos
Bwana niguse...
Oooh wawoooo! Amazing one! It's awesome
Mbarikiwe waimbaji wetu
Wowoowoo! Nimebarikiwa
Daah I am proud to be catholic
czcams.com/channels/enSaMf2P6bqpiVNBRHa6Nw.html
Kazi nzuri
Tumwimbie Bwana hongereni Kwa utume
God job fellows
Dah! Nzuri hiyo? Mungu azidi kuwapandisha katika viwango vya juu Sana Kama tai. Ili sifa , heshima, na utukufu ziendelee kumiminika kwake.
Kazi safi wanakwaya
Not forgetting the production team
Napenda nyimbo zenu zote
Nimependa hongeren ndugu
Good
nice work.
Hi CF
@@charlesjkyallo5835 hlw
Nawapenda Sana kibinafsi, karibuni Kenya-subukia shrine. Mungu azidi kuwabariki Sana .
@@charlesjkyallo5835 tuombe mungu tutakuja tena tuliishia taveta apo
@@charlesjkyallo5835 asante. Tumwombe Mungu, tutafika
Bwana awakumbukeni
Hongereni sana waimbaji
Perfecto pafekto pafekto! Sawa bwana! Kongole JMC! Kazi moja tamu upeo🔥🔥🔥
Hapa vipi czcams.com/channels/enSaMf2P6bqpiVNBRHa6Nw.html
Mungu akuzidishie kaka mtuks da hi nyimbo jamn faraja toshelez kwangu
The best from the best Choir! #JMC wa viwango vya juu
Kazi nzuri sana hongereni wapendwa wangu
Amina amina usisahau kulike kusubscribe na kushare ndugu
Zamani sana na notification juu
You showing greatness.Mungu awajaze baraka tele kwa kazi hii iliyotukuka
Mungu awabariki sana mmenibariki sana Kwenye nyimbo Tumsifu Mungu na nyimbo zenu zote ni nzuri nawaombea kila la heri katika Maisha yenu pia Mwenyezi- Mungu awajalie kila hitaji la mioyo yenu 👏👏🙏🙏🙏
Saaaaaafiiiiiiiiiiiiii sana. Jamani nasikia raha kuwa mkatoriki hadi mbinguni.
❤❤❤❤catholic song
Barikiweni waimbaji
Waooooooo hongerenii sana JMC
Awesome ❤️❤️🇰🇪
Amen
JMC ni another level 😂🔥🔥🔥
Wimbo huu mara ya kwanza kuusikia nilibarikiwa Sana mungu awabariki Sana🙏🙏🙏🙏🙏
Mutuka perfecto got the teste also. I always find myself loving his music 🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼🎼
The unique moves, heavenly voices, this choir is great 👏👌
Nice one. Am blessed
Yes! This is JMC. Keep going..... You're always perfect. Congratulations brother Perfecto Mtuka for the perfect compose of the song. Am blessed...... That style you killed guys
czcams.com/channels/enSaMf2P6bqpiVNBRHa6Nw.html
Noma sana Noma sana
Nice composition,production,Dressing ,styles, and voice .congrats JMC
Niguse bwana wangu nafsi yangu amen🙏🙏🙏🙏🙏.
Kazi njema sana,hongereni sana,hakika nimebarikiwa sana kwa wimbo huu. Mungu awape kibali zaidi cha kubuni namna njema ya kumwabudu Mungu!
Perfectly fine
Wow👏👏👏amazing voices
czcams.com/channels/enSaMf2P6bqpiVNBRHa6Nw.html
This album is full of hit songs. Hongereni sana
Asante sana Hosana, Karibu👏
Hizo dance moves zinaweza👏
I like it. So so nice
This performance belongs in a class of it's own. Breathtaking excellence.!!
Thank you Onyango George👏👏👏
Beautiful , very beautiful , marvellous Perfecto Choir. Thank you for your very good work / effort and committiment.
Safi sana mungu awabariki
Perfect Perfect Perfect as Perfecto
wow nice 🤗😘❤️
Mungu awabariki
Mungu awabariki sana👐👐👐
czcams.com/channels/enSaMf2P6bqpiVNBRHa6Nw.html
Am proud to be Catholic church nikiwa huku Zambia toka Sumbawanga
🔥🔥🔥
Incridible 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥this is JMC i know 🤝🤝🤝🤝big up Mtuka👏👏👏👏
This is a hit song 🔥🔥🔥,kazi nzuri sana.
OH MY!!
Feeling blessed 🇰🇪 kenya nijazwe roho mtakatifu.... Na roho itulie
Amina@Joseph