Bwana Mkubwa- Kwaya ya Kristu Mfalme, Chalinze ( HD official videos)

Sdílet
Vložit

Komentáře • 46

  • @mmatengowaagati226
    @mmatengowaagati226 Před 2 lety

    Duh.. kazi bora kibisa

  • @joshuandiema9908
    @joshuandiema9908 Před 3 lety +4

    A very powerful voice as wells good dancing styles with perfect moves,watching from Eldoret Kenya

  • @mussaananiasmyonga727
    @mussaananiasmyonga727 Před 5 lety +1

    Najivunia kuwa mkisto mkatoliki. Hongera sana kazi njema na utume mwema

  • @devidkingu2439
    @devidkingu2439 Před 4 lety

    Hongereni , Mungu awabariki.
    Hongera Mr Felix kwa kuendelea kumtumikia Mungu kwa kuimba , zaidi ya miaka 20 sasa umesimama katika utume huu.

  • @hekimakuciga7512
    @hekimakuciga7512 Před 4 lety +1

    Kwakweli hongeleni sana

  • @boniphacecharles1764
    @boniphacecharles1764 Před 6 lety +7

    Wanaokosoa nahisi sio wakatoliki,wimbo mmoja unaweza kuimbwa na kwaya zaidi ya moja,mmefanya vizuri sana hongereni

    • @veronicamwita7304
      @veronicamwita7304 Před 5 lety

      Boniphace Charles kwel kbs

    • @jepkemei
      @jepkemei Před 2 lety

      Ila mimi si mkatoliki lakini huu wimbo naona umeimbwa vizuri kabisa.

  • @adeodatapetro7915
    @adeodatapetro7915 Před 5 lety

    Hongereni sana kwa kazi nzuri waumini tukumbuke kwamba hii ni kazi ya mungu tusiangalie tu uuzaji wa cd

  • @graceopiko5715
    @graceopiko5715 Před 3 lety

    Hakuna kinachoshidikana kwa mungu sema Neno

  • @benleyan
    @benleyan Před 6 lety +1

    Hongereni! Mmeimba vizuri. Wanaokosoa siwaelewi hata kidogo. Hakuna wivu katika kutangaza neno la Mungu

  • @teclafusi135
    @teclafusi135 Před 3 lety

    Chalinze wanajihidi sana kwenye kuimba

  • @kaijagezake7963
    @kaijagezake7963 Před 6 lety +1

    Kiukweli hii kwaya naipongeza kwa hatua hii
    Kwenye album hii wameimba vizuri sana
    Mola awazidishie kwa uinjilishaji murwa kabisa

  • @petronilamassae7257
    @petronilamassae7257 Před 6 lety +1

    Hongereni saana wanakwaya.yaani mmeimba vizuri mnoo,maneno yanasikika vizuri sana hakuna sauti za mvumo kama kwaya ya Mt.Augustino Chamazi.

  • @anthonywillbrord5188
    @anthonywillbrord5188 Před 5 lety

    Hongereni sana wapendwa kwa wimbo mziri wenye kujaa tafakari na mafunzo

  • @johnjm3858
    @johnjm3858 Před 5 lety

    Naomba notes za huu wimbo ,nimeutafuta SMN sijauona

  • @wahindiakwembe8066
    @wahindiakwembe8066 Před 5 lety

    Mungu hashindwi na jambo tukimwamini

  • @gabrielkijoji6713
    @gabrielkijoji6713 Před 6 lety

    mubarkiwa kwa kaz nzur bwana yesu awe nany

  • @juliusmpasa634
    @juliusmpasa634 Před 4 lety

    Sema neno moja

  • @kawagogerald1711
    @kawagogerald1711 Před 5 lety

    kazi mzuri hongereni sana

  • @quenbertmtavangu3483
    @quenbertmtavangu3483 Před 4 lety

    Wimbo mkali sana

  • @reginahmaithya7262
    @reginahmaithya7262 Před 5 lety

    This song really speaks to me.
    Hongera

  • @user-xk5tq7hm5y
    @user-xk5tq7hm5y Před 10 měsíci

    Lyrics

  • @isayamziwanda4768
    @isayamziwanda4768 Před 6 lety

    Iko vzuri

  • @johanessindano3275
    @johanessindano3275 Před 6 lety

    kan watunzi wameisha jmn

  • @elenzianngaponda4591
    @elenzianngaponda4591 Před 6 lety

    Safi

  • @elnamhangaelnamhanga5153

    sy vizur kurudia kaz ambayo imeganyw na wenzenu mnapenda mtelemko

  • @JacobThomas-vk9hk
    @JacobThomas-vk9hk Před 6 lety

    Mmeimba vzuri lakini mmeiga wengine

  • @thadeomluge2169
    @thadeomluge2169 Před 6 lety

    Hamkuwa na sababu ya kurudia wimbo walioimba wenzenu.!!
    Tena kwa kiwango cha chini yao!!!

    • @mamatuishi-mamatuondoke8822
      @mamatuishi-mamatuondoke8822 Před 6 lety

      Wow,Wapendwa mola wetu Awabariki ♡♡♡♡♡♡♡♡♡

    • @alexkamuhangire8156
      @alexkamuhangire8156 Před 5 lety

      hapana hakuna aliyerudia wimbo huo bali sisi tuliomba huyo mwl kutoka chamazi akatutungia huo wimbo tukamlipa elfu 30000,tukarekodi kipindi tunakalibia kuzindua tukasia wimbo unapigwa kumbe alituuzia wimbo akautoa kopi alafu akafundisha kwaya yake naautoa hatukuwa nanamna ikabidi na sisi tuzindue album yetu na ndo wimbo uliokuwa umebeba album yetu,ndo hivyo by katibu kwaya ya kristo mfalme chalinze.

    • @augustinomagoti3228
      @augustinomagoti3228 Před 5 lety +1

      Thadeo Mluge Acha ushamba wewe yawezekana hata dini na kuimba kwenyewe umeanza ukubwani,nyimbo za R.C zinaibwa mahali popote Tanzania na Duniani unataka kuniambia nyimbo zinazoimbwa na kwaya yenu zote zimetungwa na walimu wenu?

    • @thompsonmasologo5093
      @thompsonmasologo5093 Před 5 lety +1

      Me naona jamaa wako sawa tu maana kama kuiga hata Augustino chamazi wameiga fuatilia alivyoanza ala mpiga kinanda wao kama si uigaji ni nini ko usitoke povu mkuu

  • @kharidially3327
    @kharidially3327 Před 5 lety

    sijaelewa huo wimbo mmetunga nyie au niwa st Agustino chamanzi

    • @augustinomagoti3228
      @augustinomagoti3228 Před 5 lety

      Kharidi Ally Kama ndio hivyo hata hao Augustino sio wao fatilia vzr

    • @thompsonmasologo5093
      @thompsonmasologo5093 Před 5 lety

      Hata Augustino hawajatunga wao,kwani kurecord wimbo mpaka muwe mumetunga wenyewe mkuu?

  • @piussilongo5388
    @piussilongo5388 Před 6 lety

    Mbona mnarudia kazi iliyofanywa na wenzenu

    • @eliceelly9067
      @eliceelly9067 Před 6 lety

      kwani ni kosa?

    • @aggnesshamiss4879
      @aggnesshamiss4879 Před 5 lety

      wakatoriki ni wamoja sana kuludia vyimbo so shida ;hongereni sana kwa kushirikiano wenu mungu awabariki sana awape nguvu kuonesha upendo ******

    • @glorykimambo1401
      @glorykimambo1401 Před 3 lety

      @@aggnesshamiss4879 kumba sawa,
      ila sio kwa kurekod kazi ya mtu na kuiza bila idhini yake.

  • @adeodatapetro7915
    @adeodatapetro7915 Před 5 lety

    Hongereni sana kwa kazi nzuri waumini tukumbuke kwamba hii ni kazi ya mungu tusiangalie tu uuzaji wa cd

  • @gabrielkijoji6713
    @gabrielkijoji6713 Před 6 lety

    mubarkiwa kwa kaz nzur bwana yesu awe nany