Mt. Kizito Makuburi-YESU NI MWEMA, (official music video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 05. 2011
  • Wimbo huu ni utunzi wa Bernard Mukasa, ulirekodiwa na kuimbea na Kmk Makuburi katika album ya Nyumba ya Roho

Komentáře • 790

  • @beatriceloyang
    @beatriceloyang Před 2 měsíci +32

    Who's here in 2024

  • @pattypatty9315
    @pattypatty9315 Před 2 měsíci +12

    2024 bwana Yesu asifiwe

  • @mauruskomba9187
    @mauruskomba9187 Před 7 měsíci +23

    Nimeanza mwaka 2024 na huu wimbo, naona nina kila sababu ya kusimulia ukuu wa Mungu siku zote za maisha yangu. 🎉🎉🎉❤

  • @winniem8115
    @winniem8115 Před 4 lety +47

    Nimetafakari habari zako nami nashindwa kuelewa kabisa
    Binadamu angenipa neema kesho angechoka kunipa zaidi
    Lakini wewe hauna kikomo, wala mvua yako haina majira
    Bwana, wanyesha mvua, Bwana, kwa walio jangwani
    Bwana, wawasha jua, Bwana, mpaka baharini
    Kweli Bwana wewe ni mwema sana
    Nitasimulia miji, Yesu ni mwema, Yesu ni mwema
    Nitahubiri vijini, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
    Nitayafafanua haya, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
    Watu wote wapate kuyajua, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
    Nitasimulia nchi, Yesu ni mwema Yesu ni mwema
    Niliwaza kwa ubinadamu mpaka mwisho wa kufikiri
    Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu
    Kwa kuwa humtupi anayekutumainia
    Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe
    Uzoefu wa mapito haya ukaninyima usingizi
    Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu
    Kanuni za dunia zikavunja matumaini
    Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe
    Giza lilipotanda mchana likanifunika usoni
    Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu
    Nikapiga kelele hofu kuu ikanisonga
    Ukataka nijipe moyo, nisihofu kitu, kamwe
    < h i t i m i s h o>
    [t|b] Naimba he he, naimba leo
    Naimba he he, naimba mimi
    Ulijua wazi kwamba mimi sikuwa nastahili,
    Kwa sababu mimi mdhaifu mwili na roho
    Ukaruhusu nifanikiwe juhudi zangu
    Makusudi ili nione ukuu wako
    Ndugu wanipende, jamaa waniheshimu
    Marafiki wanijali, wanisaidie
    Ndiyo maana leo, mimi nakurudishia;
    [w] Utukufu ni wako milele
    Sifa heshima ni vyako daima
    Wewe peke yako unastahili
    Usifiwe na uhimidiwe!
    Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante
    Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante
    Nakupa utukufu, kwa kuwa umeniona asante
    Milele na milele, kwa kuwa umeniona asante
    Nakushukuru Bwana, kwa kuwa umeniona asante

  • @user-fredrickmtei
    @user-fredrickmtei Před 2 měsíci +7

    Hongera mtunzi wa kwaya hii

  • @immanicoikonko5287
    @immanicoikonko5287 Před 5 měsíci +25

    Kaiiiiii this song wueeeehhhhh!!!! Powerful!! Praise...Nimetafakari habari zako, nami nashindwa kuelewa kabisaaaaaaa, binadamu angenipa Neema, kesho angechoka kunipa zaidi....lakini wewe Haina kikomo wala mvua zako hazina majiraaaa!!!! This one got to my spirit with immediate Effect....vipi na hiiii....ulijua wazi ya kwamba mimi sikustahili lakini ukaruhusu nifanikiwe juhudi zangu!!! Dahhhhhhhhhh nyieeeeeeee aiseeee this song is preaching a great deal sanaaaaaaaa ❤❤❤❤❤❤Much Love for the song!!!!

  • @PerisMokeira
    @PerisMokeira Před 5 měsíci +7

    It's 2024 still the song like of yesterday,can't get enough of it🙏🙏

  • @SiloRosy-oz1lw
    @SiloRosy-oz1lw Před rokem +7

    Natamani kujiunga na kwaya hii

  • @FraiscaNestory
    @FraiscaNestory Před 2 měsíci +4

    SIFA NA UTUKUFU NI ZAKO MILELE 🙏

  • @JeremiahMatuku-wb3fi
    @JeremiahMatuku-wb3fi Před 3 měsíci +6

    Huu wimbo nasikianga ukinibariki sana

  • @alexminde3129
    @alexminde3129 Před 7 lety +3

    yesu no mwema katika maisha ya kila mwanadamu amina

  • @JanethMadios
    @JanethMadios Před 9 dny +2

    Jamani huu wimbo sina cha kusema kwa kweli, maana umekuwa ukinibariki kila iitwapo leo!.......... mbarikiwe sana watu wa MUNGU❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @petermbinga3128
    @petermbinga3128 Před 5 lety +4

    yesu kweli ni mwema sana mungu wetu yupo hai

  • @shukuranizawadi
    @shukuranizawadi Před rokem +6

    Huu wimbo sisemi k2 kabisa

  • @Ellybeny
    @Ellybeny Před rokem +13

    Hata ipte miaka 100 nikiwa dunian .,,
    Huu ndio wimbo wangu pendwa namba 1

  • @fedhakamili942
    @fedhakamili942 Před 5 lety +4

    Yesu ni mwema kilasiku mungu awazidishie vipaji

  • @VelejilyoMhongole
    @VelejilyoMhongole Před 11 dny +2

    Acheni utani Hawa watu waliimba vizuri vizuri vizuri vizuri.

  • @TibyondimuJooo
    @TibyondimuJooo Před 4 měsíci +2

    Huu wimbo kila niusikiapo unakua mpya masikion mwangu haakika Mungu ni mwema

  • @dannjoroge2002
    @dannjoroge2002 Před rokem +4

    Live long Bernard Mukasa😍😍😘😋🎶🛐🛐🛐🛐🛐🛐

    • @esthernzioka8988
      @esthernzioka8988 Před měsícem

      This man Bernard, God bless him for His own glory.God bless whoever finds comfort in this Godly inspired song, Amen

  • @abelkaka9266
    @abelkaka9266 Před rokem +8

    2023 Utukufu ni wako milele

  • @benoitwaziri2004
    @benoitwaziri2004 Před 4 lety +7

    Bwana asifiwe na furaishwa na wimbo huyu ... from DRCongo

  • @taracisiogikonyo9989
    @taracisiogikonyo9989 Před 5 lety +4

    hongereni sana twangoja vibao vingine Mungu na awajalie neema

  • @georgelucas8031
    @georgelucas8031 Před 4 lety +4

    Nmetafakari habari zako, nami nashindwa kuelewa kabisa, binadamu angenipa neema, kesho angechoka kunipa zaidi, lakini wewe hauna kikomo, wala mvua yako haina majira. Bwana wanyesha mvua kwa walio jangwani, wawasha jua mpaka baharini. Kweli Bwana wewe ni mwema sana.
    Haya maneno yakiimbwa kwa Imani, katika ulimwengu wa roho yanisikika kwa nguvu, kuna namna fulani hivi unaanza kuyaona maisha katika mtizamo tofauti

  • @josephlupasha6228
    @josephlupasha6228 Před 5 lety +53

    Several years down the line, but this song never grows down mtunzi alituliza kichwa akaja na sala hii be blessed.

    • @philiposungu8035
      @philiposungu8035 Před 3 lety

      Aaaàll. À a a a a. A à

    • @angie_dance254
      @angie_dance254 Před 2 lety

      9 eh

    • @nyamohangamahemba534
      @nyamohangamahemba534 Před rokem

      Fffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffffgfyyyyhftfw

    • @puritywanjiku181
      @puritywanjiku181 Před rokem

      @@angie_dance254 kkik88kkkikkkkk8kkkik8kikkikkkkkkkkk8kkk8kkkkkikkkkk8kkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkikkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkkk

    • @julianakitinde7913
      @julianakitinde7913 Před rokem +1

      Indeed

  • @eplisbackchannel2358
    @eplisbackchannel2358 Před rokem +6

    It's now 2023 and the song still afresh in our play list 😀😀

  • @aggreyotieno
    @aggreyotieno Před 9 měsíci +5

    I like Catholic and I urge all the families to be in catholic church, this this the only church which teaches the way of truth. THANKS TO MT. KIZITO FOR THIS GREAT SONG.

  • @justinemaingu1460
    @justinemaingu1460 Před 4 lety +2

    2020 Yesu ni mwema anazidi kutupa baraka tele heri wale ote wanaomtumainia

  • @zinedinezidane2129
    @zinedinezidane2129 Před rokem +4

    Hadi raha jamani

  • @johnsadiki2657
    @johnsadiki2657 Před 5 lety +50

    A trillion likes for this catholic praise and worship song. Never will I leave the catholic church. Singing well is praying twice. Long live KMK Makuburi.

  • @peterevalest-gp7md
    @peterevalest-gp7md Před rokem +2

    Mungu ni mwema nyimbo nzury sana mbarikiwe sana

  • @metrinenasimiyu7588
    @metrinenasimiyu7588 Před rokem +2

    11 years down the line isn't a joke ,wimbo wenyewe waweza dhania uliimbwa jana,maybe some faces were too young now they are full grown kwa kimo na zaidi kwa hekima ya uimbaji

    • @magdalenakulwa4802
      @magdalenakulwa4802 Před rokem +1

      Ni, 2007 rafiki😂... so, ni miaka 16 tangia wareckord audio na ku-shoot video

  • @user-in6me1mx5p
    @user-in6me1mx5p Před rokem +5

    Mungu awabariki sana

  • @veronicamgimba5964
    @veronicamgimba5964 Před rokem +2

    Hata nikiwa sina chakula niusikilizapo huu mwimbo naona Amani tele moyoni na njaa haipo tena mt kizito mbarikiwe sana

  • @morinemuonja3382
    @morinemuonja3382 Před rokem +2

    Mubarikiwe makuburi kwa nyimbo zenu

  • @sarah-hy7gz
    @sarah-hy7gz Před rokem +4

    Mungu ape nguvu Tena atunge nyimbo nzur Sana ubarikiwe Sana 2:54

  • @tasharosre6026
    @tasharosre6026 Před 4 lety +2

    Ni kweli Yesu ni mwema dunia nzima mpate kujua jamani any one watch with me may 14 2020

  • @pasiensiabel7278
    @pasiensiabel7278 Před rokem +4

    Miongoni mwa tungo bora zaidi kuwahi kutokea kwenye kwaya za Tanzania. Be blessed

  • @NeemaKmussa
    @NeemaKmussa Před 4 lety +3

    Nakumbuka enzi hizo nafanya kazi iringa za ndani tulikuwa yunasikiliza kipitia redio Maria 2009- hadi leo28/ 01/2020 Yesu ni mwema

  • @anatolyandrew7777
    @anatolyandrew7777 Před 4 lety +2

    Huu wimbo ni mzr sana jmn hata ipite miaka 50 kama niko hai sintaacha kuusikiliza jmn naupenda san huu wimbo mpaka najion mwenye furah muda wote!
    Naimba eehh! Ulijua wazi kwamba mm sikuwa nastahili kwasabb mm mdhaifu mwili na roho ukaruhusu nifanikiwe juhudi zng makusudi ili nione ukuu wako ndg wanipende,jamaa waniheshimu marafiki wanijali wanisaidie ndio maan leo mm ninakurudishia Utukufu ni wako milele sifa na heshims ni zako daima ww peke yk unastahil uhimidiwe n Utukuzwe amina

  • @rahelmanyama6338
    @rahelmanyama6338 Před 6 lety +2

    Mbarikiwe sana hakika nafarijika sana nikisikiliza nyimbo zenu.hakika yesu ni mwema ck zote

  • @khairatzinzibar1434
    @khairatzinzibar1434 Před 5 lety +2

    Jamani Mungu awabariki kwa wimbo mzuri sana yaani ww acha tu mpaka nimelia kwa kukumbuka ukuu wa Mungu kwa kweli mwanadam angenipa neema angetaka kulipwa na maskini tungekua wageni wa nani tungekufa kama utitiri kwa kweli Mungu ni mwema tumsifuni mpaka kieleweke kwa ukuu wake na utukufu wake

  • @Martha4422
    @Martha4422 Před 13 lety +3

    NYIMBO INA MANENO MAZURI SANA KWELIMWANADAMU ANGENIPA NEEMA ANGENIDAI SIKUMOJA ILANEEMA YAKO MUNGU HAINA KIKOMO, NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUA UMENIONA

  • @PaulineNzioka-tc7iy
    @PaulineNzioka-tc7iy Před 6 měsíci +2

    It is truly said that "old is gold". I've always loved this song since the first time I watched it in 2013. 👏👏

  • @alexblazi4678
    @alexblazi4678 Před rokem +2

    This song never die,me watching 2023🙌

  • @neemasaringe3307
    @neemasaringe3307 Před 6 lety +1

    ukataka nijipe moyo nisihofu kitu kamwe ,jamani kakangu mukasa hongera saana

  • @josephkhanyereri9405
    @josephkhanyereri9405 Před rokem +5

    Who is here in 2023?🔥

  • @nelsonnchimbi5869
    @nelsonnchimbi5869 Před 5 lety +2

    asante mungu maana huu wimbo nimeutafuta nashukuru kwa kuupata . barikiwe sana kwa uwimbaji wenu . by amina nchimbi

  • @HappyJaakim
    @HappyJaakim Před měsícem +1

    Nyimbo nzuri Sana imenifariji sana

  • @lilianpatrick3990
    @lilianpatrick3990 Před 4 lety +4

    Mbalikiwe San wapendw wote mnaoskiliz nyimbo za din

  • @sheckycobb5240
    @sheckycobb5240 Před 3 lety +2

    Nasisimkwa mwili kusikilizia wimbo huu....una uvuvio wa roho Mtakatifu. Kazi nzuri kumsifu Mungu

  • @lelo3106
    @lelo3106 Před rokem +1

    Yesu ni mwema nakupenda yesu kristu

  • @whiteirambona5544
    @whiteirambona5544 Před 4 lety +2

    Wimbo huu naupenda sana. Nausikia Lila Siku asubuhi na jioni. ..unanipa fursa ya kutaja ukuu wa Jesus. Ila tu nigeomba aliye tunza huu wimbo atutilie maneno kwenye vidio ili tuweze tambua maneno yake yote. Juu kama mimi Murundi asiye zoeya vyilivyo Kiswahili cha Tanzania, Kuna maneno ambayo siyadikii vizuri.

  • @antonynganga4186
    @antonynganga4186 Před 4 lety +11

    Wanakizito hongereni...huu wimbo ata Cjui niseme nini jamani...dah!! Naupenda sana..nausikiza kila siku na c choki,Asanteni Sana,barikiweni!!!!!

  • @martinmuthuititotitomuthui3383

    I feel much blessed with this song every time. Proud to be a Roman Catholic believer .in the name of the father the son and of the Holy spirit Amen!

  • @benmshongi3411
    @benmshongi3411 Před 2 lety +16

    Yesu ni Mwema Yesu ni Mwema..my favourite catholic song.,getting to watch this Choir perfoming live is a real life blessing..

  • @Cilouh_Music
    @Cilouh_Music Před 9 měsíci +7

    Today I lost the Teacher Who made me know about the existence of this Hymn😢, It Will forever be special

  • @witinessnombo4717
    @witinessnombo4717 Před 5 lety +2

    Naipenda San hii nyimbo jaman

  • @restitutamartin7455
    @restitutamartin7455 Před 8 lety +94

    i like Catholic Church for ever in my life but i like that song,be blessed all Roman catholic

    • @jeanmubemba1204
      @jeanmubemba1204 Před 5 lety +2

      kwa kweli Benard mukasa amepakwa mafuta ana kipaji cha sana cha kuandika vigongo,huwa anatubariki sana na kwaya yote,barikiwa

  • @marymimina
    @marymimina Před rokem +13

    11 yrs ago and still rocking.....I can only recognize two singers who are still active in this choir to date. May God bless them and KMK at large🙏

  • @tarryfahy4317
    @tarryfahy4317 Před 6 měsíci +3

    I thought it was a new song kumbe it's this old ❤

  • @mercychepkorir656
    @mercychepkorir656 Před 2 měsíci +1

    After meeting Zacharia in person i had to look for his name everywhere and im realizing you are here. My favorite song, God bless you brother

  • @akwinomsombe
    @akwinomsombe Před 19 dny +1

    Wimbo wangu pendwa😊

  • @floramarco255
    @floramarco255 Před rokem +3

    Yesu ni Mwema 🙏

  • @jescamuijsers4206
    @jescamuijsers4206 Před 18 dny +1

    Yesu ni ngome yangu 🙏

  • @emmanuelsadiki7160
    @emmanuelsadiki7160 Před 8 lety +38

    I have 10000 reasons to listen healing songs like these, God talks his people in several ways, among of these ways is through choirs, I'm blessed with your nice songs dears in jesus christ, let God go on blessing you

  • @user-fredrickmtei
    @user-fredrickmtei Před 2 měsíci +2

    Nabarikiwa sanaaa

  • @annielove5351
    @annielove5351 Před 6 dny +1

    MUNGU ni mwema🙏🙏🙏🙏😇

  • @user-fredrickmtei
    @user-fredrickmtei Před 2 měsíci +1

    Hata sasa yesu ni mwema🙏🙏

  • @kipawacrew5639
    @kipawacrew5639 Před měsícem +2

    Nani ametoka tiktok kwa ule mc wa maharusi😂🎉

  • @martinodhiambo1639
    @martinodhiambo1639 Před rokem +3

    Huu wimbo naupenda sana.... the organist , the vocals....wacha tu. Mbarikiwe tena na tena.

  • @zachariagerald
    @zachariagerald  Před 11 lety +6

    Fernndes, this is not a Kenyan choir, it is a Tanzanian catholic Music..
    Glory be to God, and many thanks for all who have given us congrats and positive complements, we are now working on our new album, please pray for us so that through our sings we all praise our reigning God forever... AMEN.. :)

  • @anthonygambishi5580
    @anthonygambishi5580 Před 7 lety +1

    Hongereni kwa nyimbo zenu zenye ujumbe na majitoleo makubwa..Mungu awajarie uharisia katika myoyo yenu..uharisia wa nyimbo zenu

  • @cyrusregnald1718
    @cyrusregnald1718 Před 2 lety +1

    Who come to watch this after tcra do there thing 😃

  • @jacklinechepkoech1865
    @jacklinechepkoech1865 Před 4 lety +8

    Nitasimulia nchi, Yesu mwema!!
    Super! Super! Great voices and spirit!!!!

  • @polinesagina-ut1rs
    @polinesagina-ut1rs Před rokem +2

    Amen amen amen nimebarikiwa sana🙏🙏🙏🙏

  • @dominashirima873
    @dominashirima873 Před 5 lety +1

    Mungu awalinde sana, wengine mmekulia hukuhuku jamani, Mungu naomba uwabariki

  • @justinamwikali4975
    @justinamwikali4975 Před 2 měsíci +1

    Hakika Yesu ni Mwema

  • @fadhilawashiku7
    @fadhilawashiku7 Před 3 lety +2

    Actually,Yesu ni mwema,kazi njema.Mbarikiwe sana.

  • @veronicasyombua6193
    @veronicasyombua6193 Před 2 lety +15

    This song doesn't get old,,I like it...the sweetness of being a catholic😍😍😍

  • @lawrencerogena3929
    @lawrencerogena3929 Před 3 lety +2

    Hii ni kwaya ya ajabu

  • @alexnicholaus9974
    @alexnicholaus9974 Před 11 lety +1

    Pindi ninapo usikiliza wimbo huu,YESU NI MWEMA.na kutafakari nakuwa furaha na amani tele,endeleeni kuinjilisha kwa njia ya nyimbo na;MUNGU AWABARIKI, mt.kizito makuburi choir.

  • @deogratiussweke5007
    @deogratiussweke5007 Před 4 lety +1

    Dah! Tusife moyo tu jamani,.....Ni Mwema kweli.

  • @luxuriantxeryza6476
    @luxuriantxeryza6476 Před 2 měsíci +1

    Kwa kweli yesu ni mwema

  • @izackgarimoshi6828
    @izackgarimoshi6828 Před 4 lety

    Yaan nikisikiia hz nyimbo naona kama hakuna kfooo mungu atuszidie

  • @jaelmgassa3332
    @jaelmgassa3332 Před 7 lety +99

    Barikiweni jamani, Mimi ni Msabato lkn nyimbo zenu zinanibariki saana

  • @elyseekarimu6667
    @elyseekarimu6667 Před 3 lety +1

    Yesu kristu ni mwema

  • @marthamollel-mm5ws
    @marthamollel-mm5ws Před měsícem +1

    Yesu ni mwema.

  • @user-cj4um7ec4g
    @user-cj4um7ec4g Před 8 měsíci +1

    Mtunzi abalikiwe sana

  • @rosepiere1857
    @rosepiere1857 Před 3 lety

    Uwiiii imeimbwa Leo kanisani wote tumesimama na kucheza hakika yesu ni mwema

  • @joshuakaira-fe4yq
    @joshuakaira-fe4yq Před rokem +2

    Inanikumbusha mkoa wa manyara 2008 acha kabisa

  • @angelkaiyula6980
    @angelkaiyula6980 Před 6 lety +1

    Napenda sana kwaya mt kizito wako vizuri hasa kwenye wimbo wa yesu ni mwema mungu hawabariki

  • @kuwomdaniel1982
    @kuwomdaniel1982 Před 6 lety +8

    be blessed St kizito choir I sincerely love this song I also belongs to St kizito small Christian community baragoi catholic church

  • @gracebuhatwa6359
    @gracebuhatwa6359 Před měsícem +1

    Napiga kigeregere

  • @natashajunior4500
    @natashajunior4500 Před 5 lety +7

    This song real encourages me especially this time am preparing for my final year exam-medical school (6years).I really feel overwhelmed but I know God will see me through. Ukataka nijipe moyo nisianguke

  • @karimuhasani1652
    @karimuhasani1652 Před 4 lety +28

    nani anabarikiwa na kwaya hii nzuri 2019

  • @user-me7hb5kr3y
    @user-me7hb5kr3y Před rokem +1

    Looks new & sweet till 2023

  • @BrianKigen-hh2hy
    @BrianKigen-hh2hy Před rokem +1

    yesu ni mwema ni mwema sana

  • @gracebuhatwa6359
    @gracebuhatwa6359 Před měsícem +1

    Naimba leo naimba leo

  • @wesleyrogito8326
    @wesleyrogito8326 Před 5 lety +1

    mungu apariki kanisa letu katholiki na watunzi wetu wenye kibaji na neno LA mungu ienee kote

  • @tomasobiro7443
    @tomasobiro7443 Před 2 lety

    Kweli mtunzi wa wimbo alijazwa na Roho Mtakatifu