hakika bernard mukasa.,mungu akuweke miaka mingimingi, hakika wewe ni hazina kubwa kwa kanisa katoliki,tunakuomba kwa uwezo wako tengeneza au ibua warithi wako kuendeleza karama hiii kubwa. mungu awabariki wanabukoba.🎉
Asante Mungu kwa kipaji cha Mukasa..Askofu Kilaini you're the best..nakumbuka utoto wangu ukiwa askofu mkuu msaidizi jimbo kuu la DSM late 90's..ulifanya kazi kubwa mno katika jimbo..umeuvaa uhusika katika huu wimbo.Mungu azidi kukutunza..Hongereni wanakwaya Bukoba mpo juu mmeutendea haki wimbo...kuanzia mavazi,sauti,mandhari..So proud of you all..God bless❤
TYKRISTU. NAMI NAUNGANA NA WIMBO HUU KWA MATENDO MAKUU ALIYONITENDEA MUNGU TRH 10.5 MAANA NILIPATA MTIHANI MGUMU SN LKN MUNGU KANIVUSHA NISEME NINI EEE BWANA. UBARIKIWE SN MKASA WA WIMBO HUU UMENIGUSA MOJA KWA MOJA KBSA.
Nilifunzwa kuwa mkatoliki na mama yangu mkubwa na ndiye aliyenileya nikiwa mdogo. Aliupenda sana huu wimbo nikiwa na miaka mitano. Mpaka sasa nina miaka 34. Nimeukumbuka juzi tarehe 4 mwezi huu. Sikujuwa kama kumbukumbu zangu zilikuwa namshukuru kwa maisha yake kwangu na pia kwa maisha yake hapa duniani. Tarehe 8 ameaga dunia na leo tumempumzisha kwenye nyumba yake ya milele. Asante Mungu kwa maisha yake kwa kunikuza kimwili na kiroho 😤😤
Benard Mkasa,hekima ya wazazi wako Mzee Wlllia na Mama Revina Mkasa,wanavyoipenda dini.Benard ubarikiwe na familia yako.Mungu aeatunze,wimbo mzuri sana.
Wimbo huu unabeba ujumbe wa shukrani Kwa zawadi ya maisha ya Mhashamu Baba Askofu Kilaini anayeimba kwa hisia kali katika maadhimisho ya Jubilee yake ya miaka 50 ya upadre. Hongera sana Baba.. na hasa ubeti wa "changamoto nilizopitia" namwona Baba anashika kichwa....inanikumbusha uhalisia wake. Hongera sana Baba, hongera sana Bwana Bernad Mukasa na wanakwaya wote!
Hongera Baba Askofu Kilaini Mungu azidi kukubariki kwa kazi yako ya kutuongoza sisi kondoo wa Mungu. Pia pongezi sana ndugu Benard Mukasa kwa kipaji ulichopewa na Mungu uzidi kutuinjilisha.
Hakika nyimbo nyimbo hii imegusa watu wengi kwa jinsi ilivyopigwa vizuri na ilivyodansiwa vyema kwa Kiutukufu sana wa wa KIMUNGU umegusa wengi hasa mimi naomba uendelee kufunguliwa ktk douwiloding tukiwa popote unatupatia kutafakari leo nakuta umezuiliwa nimeuzunika ponyeni Roho kwa tenzi Kama hii Asante Mungu katika sifa Unashuka na kutuponya mbarikiwe sana
Kiukweli nimemwaga machozi ya furaha. Hongera sana mwalimu Bernard Mukasa, Mungu akuongezeye nguvu tele. Hongereni pia kwa wana kwaya wote. Kazi nzuri sana
Nyimbo nzuri sana jamani nimesikiliza zaidi ya mara kumi...nimebarikiwa sana na nyimbo hii. Kati kati ya safari changamoto kubwa nilipitia,lakini kwa wema wako ukanivusha nikavuka salama🙏🙏🙏
Kati ya nyimbo za kushukuru ninazozipenda huu wimbo ni wa kwanza, maana naweza kuusikiliza huu wimbo siku nzima bila kubadilisha wimbo mwingine. Mbarikiwe sana wanakwaya pamoja na mtunzi hakika mmeutendea haki
Wimbo mzuri sana, naweza sikiliza hata mara 10 kwa siku. Mhashamu askofu Kilain umeuvaa uhusika vilivyo. Mbarikiwe wote mliohusika kuanzia mtunzi, mpiga kinanda , ngoma , wanakwaya nk
Kadri ninavyousikiliza mwili unasisimka❤
Mungu ambariki mtunzi na kwaya hii bila kumsahau Baba Askofu Kilaini
hakika bernard mukasa.,mungu akuweke miaka mingimingi, hakika wewe ni hazina kubwa kwa kanisa katoliki,tunakuomba kwa uwezo wako tengeneza au ibua warithi wako kuendeleza karama hiii kubwa. mungu awabariki wanabukoba.🎉
Proud to be a Catholic Bernard Mukasa Mungu azidi kukulinda kazi yako ni njema
Benard Mkasa kazi unayoifanya ya uinjilishaji malipo yako mikononi mwa Mungu, hakika Mungu akubariki na uzao wako. Wimbo una maudhui mazito sana.
HAKIKA BENARD MUKASA... Kipaji mungu kampa...n tunu ya kanisa katolik... Hongereni wana kwaya.. Hongera ake kwa miaka 50 ya upadre
Asante Mungu kwa kipaji cha Mukasa..Askofu Kilaini you're the best..nakumbuka utoto wangu ukiwa askofu mkuu msaidizi jimbo kuu la DSM late 90's..ulifanya kazi kubwa mno katika jimbo..umeuvaa uhusika katika huu wimbo.Mungu azidi kukutunza..Hongereni wanakwaya Bukoba mpo juu mmeutendea haki wimbo...kuanzia mavazi,sauti,mandhari..So proud of you all..God bless❤
WE,,,,Kiswahili
TYKRISTU. NAMI NAUNGANA NA WIMBO HUU KWA MATENDO MAKUU ALIYONITENDEA MUNGU TRH 10.5 MAANA NILIPATA MTIHANI MGUMU SN LKN MUNGU KANIVUSHA NISEME NINI EEE BWANA. UBARIKIWE SN MKASA WA WIMBO HUU UMENIGUSA MOJA KWA MOJA KBSA.
Ahsant mungu mapito mengi sana umenilinda na kunisaidia
Nasadiki kwa kanisa moja takatifu katoriki la mitume..
Niseme nini ee Bwana?🤲
Nilifunzwa kuwa mkatoliki na mama yangu mkubwa na ndiye aliyenileya nikiwa mdogo. Aliupenda sana huu wimbo nikiwa na miaka mitano. Mpaka sasa nina miaka 34. Nimeukumbuka juzi tarehe 4 mwezi huu. Sikujuwa kama kumbukumbu zangu zilikuwa namshukuru kwa maisha yake kwangu na pia kwa maisha yake hapa duniani. Tarehe 8 ameaga dunia na leo tumempumzisha kwenye nyumba yake ya milele.
Asante Mungu kwa maisha yake kwa kunikuza kimwili na kiroho 😤😤
Pole sana. Astarehe kwa amani
Tumshukuru Mungu kwa kila jambo
Pole sana dear, Mungu ampokee katika utukufu wake mbinguni ❤
6:11 ❤😢😢
Asante sana kwa wimbo huu mm niliuimba nilipotoka ulinzi wa amani kongo mt mikael kawe
Mungu akupe amani ipitayo amani
Nakumbuka sana Ile siku na gwanda zenu
🔥🔥
Barikiwa Nassoro
Bernad Mukasa na kapotive nzima mnafanya kazi nzuri ya utume Mungu awabaliki sana wimbo mzuri I a'm proud to be roman Catholic ☺️☺️
...Proud of being catholic ...wimbo mzuri sana kwakweli jaman, be blessed ...ila nataman sku moja nikutane na mukasa nipige nae hata picha tu
Benard Mkasa,hekima ya wazazi wako Mzee Wlllia na Mama Revina Mkasa,wanavyoipenda dini.Benard ubarikiwe na familia yako.Mungu aeatunze,wimbo mzuri sana.
Wow! Sauti zimepangwa zikapangikwa.Mungu awape afya nzuli mzidi tena na tena
Hàkika wimbo huu unatuongoza hata sisi kumwambia Mungu asante. At 58, I really appreciate the unrestricted love from My good God.
Hakika tuseme nini kwa mungu mapito nimengi lakini anatuvusha tunashukuru Sana 🙏🙏🙏🙏😢
The bit hits differently ❤️It both touches the heart 🎉
Kwakweli niseme nini, Mungu wangu sina cha kusema bali Mungu wangu nakushukuru kwa ukarimu wote ulio nitendea. Na Barikiwa sana na huu wimbo 🙏
Napenda Baba wimbo huu umemjaa hkika umeibeba safari yke ya wito
Hatunabudi kusema asante mungu kila wakati
Hongera Sana mtunzi wawimbo huo naupenda sana
Mi maneno yameniishia ila mukasa we mwamba sana nataka sana nikuone kwa macho yangu we king bless you boy and you family much respect brother mukasa
So proudly to be CATHOLIC
Nawapa vyema wanyumbani nikiwa kenya jirani yangu kalaudi w kyelima nakuona
Nahuyu mzee kwa unyenyekevu wa kukubali ajimwage hivi mbele na wanakwaya ni muujiza. Nitaomba wimbo huu ùwe maalumu kwa waimbaji wetu na wtu woke
Wimbo huu unabeba ujumbe wa shukrani Kwa zawadi ya maisha ya Mhashamu Baba Askofu Kilaini anayeimba kwa hisia kali katika maadhimisho ya Jubilee yake ya miaka 50 ya upadre. Hongera sana Baba.. na hasa ubeti wa "changamoto nilizopitia" namwona Baba anashika kichwa....inanikumbusha uhalisia wake. Hongera sana Baba, hongera sana Bwana Bernad Mukasa na wanakwaya wote!
Hongereni sanaa Wanakwaya kutoka Bukoba
Asante ubarikiwe umeniokoa Sana jaman mungu amfikishe mbali zaid my dear friend neema umesharudi
Kazi nzuri mwalimu mkasa pongezi wote na baba askofu kwa wimbo huu bora
Mukasa mukasa mukasa nimekuita mara 3 hakika mbinguni malaika wanakusubiri ukaongoze waimbaji
Safi sana mbarikiwe wimbo Mzuri sana .
Hongera Sana kwa wimbo mzuri wajina wangu
Nice to hear from you niseme Nini bwana thank you may God bless u mniombee pia Mimi Niko chuo Cha mziki arusha
Mungu awabariki sana KMK kwa kutuinjilisha
Hakika am proud to be catholic,,ujumbe mzur kwe
Hongera Baba Askofu Kilaini Mungu azidi kukubariki kwa kazi yako ya kutuongoza sisi kondoo wa Mungu. Pia pongezi sana ndugu Benard Mukasa kwa kipaji ulichopewa na Mungu uzidi kutuinjilisha.
Daima nitaiishia imani KATOLIKI milele na milele
Hakika nyimbo nyimbo hii imegusa watu wengi kwa jinsi ilivyopigwa vizuri na ilivyodansiwa vyema kwa Kiutukufu sana wa wa KIMUNGU umegusa wengi hasa mimi naomba uendelee kufunguliwa ktk douwiloding tukiwa popote unatupatia kutafakari leo nakuta umezuiliwa nimeuzunika ponyeni Roho kwa tenzi Kama hii Asante Mungu katika sifa Unashuka na kutuponya mbarikiwe sana
Aksante waimbaji.Nimebariki kupitia hii nyimbo. Bwana awabariki.
Smart song,inanipa nguvu hasa hapa Mandera mpakani mwa Somalia
Ahsante Baba Askofu Kilaini kwa umahiri wako
Nimeneemeka na baraka kusikiliza wimbo huu
Kiukweli nimemwaga machozi ya furaha. Hongera sana mwalimu Bernard Mukasa, Mungu akuongezeye nguvu tele. Hongereni pia kwa wana kwaya wote. Kazi nzuri sana
Hzi nyimbo hatuwez zipata kupitia boomplay music
Asante sana kwa wimbo wenye mguso ndani ya moyo asante sana
Ahsant San jaman nakupenda San hii nyimbo
Nakumbuka mwaka 2020 nikiwa chuoni tukiwa ktk mashindano ya kwaya 16
Safi sana mungu awalinde zaidi mzidi kutuinjirisha Kwa nyimbo nzuri kama huu
Nisemee ninj.ewe.bwanaaa❤🎉
Namba niandike Barua rasmi kwa Idara ya Katekes utunukiwe cheti cha Doctor of catholic miusic
Nyimbo inabariki na kusisimua mbarikiwe wainjilist wote muendee kutupatia nyimbo nzur zaidi
Asante sana kwa wimbo nzuri, niseme Nini
Asante sana kwa wimbo nzuri sana hongera sana
Nimeguswa Sana na huu wimbo kulinga na mapito niliyopitia
Ubarikiwe sana 🙏🙏🙏
Nafarijika Sana nikisikia wimbo huu
Asanteni mbarikiwe wimbo mzuri sana
Nyimbo nzuri sana jamani nimesikiliza zaidi ya mara kumi...nimebarikiwa sana na nyimbo hii. Kati kati ya safari changamoto kubwa nilipitia,lakini kwa wema wako ukanivusha nikavuka salama🙏🙏🙏
Asanteni Sana wanakwaya kwa utume wenu. IAM proud to be a Catholic
The bishop! wow! he must be in charge of liturgy. The song itself, wah, for real, asante mungu nakushukuru!
Proud to be a Catholic! Nice song Mungu awabariki sana
Really
8:47 9:48 9:48 ahsnteni mbarikiwe sana watu wa mungu mwimbo mzuri sna na mungu awape nguvu aman na baraka za kumtumikia yeye daima
Nimeguswa sana na mapito ninayo pitia
My daily song!! The Bishop is amazing I tell you!!
Nyimbo nzuri sema kuna sehemu wameingiza maneno yao
Amina wimbo huu umenibariki sans mpaka nimetokwa na machozi ya furaha
❤❤ Wimbo Mzuri sana Hongera kwa waimbaji
Hakika ni wimbo mzuri mno
Wimbo huu tumeubariki uwe wa Taifa wa Katoliki😅🙏
Kati ya nyimbo za kushukuru ninazozipenda huu wimbo ni wa kwanza, maana naweza kuusikiliza huu wimbo siku nzima bila kubadilisha wimbo mwingine. Mbarikiwe sana wanakwaya pamoja na mtunzi hakika mmeutendea haki
Nimependezewa nawimbo naommba notazake
Jaman imenibarik Sana mungu aendelee kuwalinda nakuwabariki waimbaji Hawa..
Hongereni sana Wana Mt. Don Bosco Kwa kazi nxurii😍😍😍Mungu awabariki sana.🙏🙏🙏
PROUD TO BE A CATHOLIC
Utume mama. By macha
8:27 8:28 8:29
hongereni sana jaman kwa kumuimbia Askofu wetu vizuri sana
Baba Askofu ubarikiwe Sana. Ujaliwe utume mwema baba
Kweli huwa nabarikiwa sana nawimbo huo mahalum wa jubile ya baba kilaini
Wimbo nzuri sanaaa Mungu awabariki Sanaaa... Nimepata ujumbe nzuri kutoka kwenu
SO WONDERFUL BE BLERSSED ALL
Nicely done! Asante ndugu Mkasa. Hongera Bab Askofu Kilaini!
Kapotive you are the best. Nawakubari sana na sio mimi tu bali watu wengi
Wimbo mzuri Sana. Hongereni👏👏👏👏👏
Get addiction to this song najipata nikiimba zaidi ya mara 10 kwa siku mbarikiweni sana kwa kazi nzuri👏👏👏
Askofu anayefikika kabisa.
Hakika Mungu ni mwema kila wakati yatupasa kushukuru bila kuchoka.
Wimbo umebeba ujumbe mzito sana
Hongereni Sana wanna bukoba furaha kw a kweli nawatakia uinjilishaji na utume mwema was kwaya
I love this song to the moon and back 💕 ❤️ 💛 💖 💓
Kweri kabisa Niseme Nini ni wimbo mzuri OYee Askof KILAHINi kwa kuimba wimbo huu mzuri Mbarikiwe sana wahimbaji kwa nyimbo nzuri.
Roho yangu imefurahishwa na uimbaji wenyu zaidi, nyimbo tamu na zenye uinjilishaji mkubwa. Proud to be catholic
Wimbo mzuri sana, naweza sikiliza hata mara 10 kwa siku. Mhashamu askofu Kilain umeuvaa uhusika vilivyo. Mbarikiwe wote mliohusika kuanzia mtunzi, mpiga kinanda , ngoma , wanakwaya nk
Mm nikiingia tu you tube lazima niwepo huku.kwasiku labda mara 30 inafika,afu usiku nauweka nakesha na huu wimbo
Tunabarikiwa sana🔥🔥🔥🔥
Hongereni sana na mungu awabariki
Huu wimbo unagusa mioyo ya watu, safi sana mtunzi na wanakwaya wote,bila kumsahau Askofu wetu Baba Methodius Kilaini.
Wimbo mzuri nasikiliza natafakari mpaka machozi yananitoka,Mungu awabariki Kwa kutufikishia ujumbe mzuri wa tafakari,Askofu kilaini🙌🙌
Askofu kilaini,man of the match,
Kiufupi hongereni sana waimbaji ,mmeimba vizuri sana
The song elevates me every time I listen to it. This is God given straight from heaven. God bless you all.
Mungu awabariki sana Kwa wimbo huu.
Am addicted to this song. Huyo pianist...ni another level
Your bishop is having a blast, well done
good staff. God bless you guys
Amen ninavyojisikia sijui nifanyeje. Atukuzwe baba.
Mpate kubarikiwa
This is my best song
We really all of us need to thank God together with our Bishop Kilaini for his mercy
Hakika wimbo uko vizuri sana hongereni kwa kuutendea haki.organist ni fire mko vizuri
Niseme Nini