Niseme Nini - By Bernard Mukasa, JBC Choir - Bukoba Parish

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 03. 2022
  • Hudba

Komentáře • 269

  • @jeremiahjahulula7868
    @jeremiahjahulula7868 Před 11 měsíci +10

    Kadri ninavyousikiliza mwili unasisimka❤
    Mungu ambariki mtunzi na kwaya hii bila kumsahau Baba Askofu Kilaini

  • @bestamsumange9289
    @bestamsumange9289 Před 10 měsíci +12

    hakika bernard mukasa.,mungu akuweke miaka mingimingi, hakika wewe ni hazina kubwa kwa kanisa katoliki,tunakuomba kwa uwezo wako tengeneza au ibua warithi wako kuendeleza karama hiii kubwa. mungu awabariki wanabukoba.🎉

  • @roseasimwe827
    @roseasimwe827 Před 10 měsíci +10

    Proud to be a Catholic Bernard Mukasa Mungu azidi kukulinda kazi yako ni njema

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 Před rokem +17

    Benard Mkasa kazi unayoifanya ya uinjilishaji malipo yako mikononi mwa Mungu, hakika Mungu akubariki na uzao wako. Wimbo una maudhui mazito sana.

  • @frankmhoja2460
    @frankmhoja2460 Před 2 měsíci +2

    HAKIKA BENARD MUKASA... Kipaji mungu kampa...n tunu ya kanisa katolik... Hongereni wana kwaya.. Hongera ake kwa miaka 50 ya upadre

  • @graceandrew3988
    @graceandrew3988 Před 9 měsíci +5

    Asante Mungu kwa kipaji cha Mukasa..Askofu Kilaini you're the best..nakumbuka utoto wangu ukiwa askofu mkuu msaidizi jimbo kuu la DSM late 90's..ulifanya kazi kubwa mno katika jimbo..umeuvaa uhusika katika huu wimbo.Mungu azidi kukutunza..Hongereni wanakwaya Bukoba mpo juu mmeutendea haki wimbo...kuanzia mavazi,sauti,mandhari..So proud of you all..God bless❤

  • @theresiapatrick7860
    @theresiapatrick7860 Před 2 měsíci +4

    TYKRISTU. NAMI NAUNGANA NA WIMBO HUU KWA MATENDO MAKUU ALIYONITENDEA MUNGU TRH 10.5 MAANA NILIPATA MTIHANI MGUMU SN LKN MUNGU KANIVUSHA NISEME NINI EEE BWANA. UBARIKIWE SN MKASA WA WIMBO HUU UMENIGUSA MOJA KWA MOJA KBSA.

  • @RuesFedrick
    @RuesFedrick Před 4 dny +1

    Ahsant mungu mapito mengi sana umenilinda na kunisaidia

  • @devidkingu2439
    @devidkingu2439 Před 2 lety +10

    Nasadiki kwa kanisa moja takatifu katoriki la mitume..
    Niseme nini ee Bwana?🤲

  • @manyorifrancis8348
    @manyorifrancis8348 Před rokem +20

    Nilifunzwa kuwa mkatoliki na mama yangu mkubwa na ndiye aliyenileya nikiwa mdogo. Aliupenda sana huu wimbo nikiwa na miaka mitano. Mpaka sasa nina miaka 34. Nimeukumbuka juzi tarehe 4 mwezi huu. Sikujuwa kama kumbukumbu zangu zilikuwa namshukuru kwa maisha yake kwangu na pia kwa maisha yake hapa duniani. Tarehe 8 ameaga dunia na leo tumempumzisha kwenye nyumba yake ya milele.
    Asante Mungu kwa maisha yake kwa kunikuza kimwili na kiroho 😤😤

  • @nassorotryphonenassoro2542

    Asante sana kwa wimbo huu mm niliuimba nilipotoka ulinzi wa amani kongo mt mikael kawe

  • @evancefesto
    @evancefesto Před 2 měsíci +2

    Bernad Mukasa na kapotive nzima mnafanya kazi nzuri ya utume Mungu awabaliki sana wimbo mzuri I a'm proud to be roman Catholic ☺️☺️

  • @solanuskomba82
    @solanuskomba82 Před 9 měsíci +8

    ...Proud of being catholic ...wimbo mzuri sana kwakweli jaman, be blessed ...ila nataman sku moja nikutane na mukasa nipige nae hata picha tu

  • @ChristerShao
    @ChristerShao Před 10 měsíci +4

    Benard Mkasa,hekima ya wazazi wako Mzee Wlllia na Mama Revina Mkasa,wanavyoipenda dini.Benard ubarikiwe na familia yako.Mungu aeatunze,wimbo mzuri sana.

  • @paulmutoro2687
    @paulmutoro2687 Před 10 měsíci +4

    Wow! Sauti zimepangwa zikapangikwa.Mungu awape afya nzuli mzidi tena na tena

  • @furahajames4085
    @furahajames4085 Před 11 měsíci +6

    Hàkika wimbo huu unatuongoza hata sisi kumwambia Mungu asante. At 58, I really appreciate the unrestricted love from My good God.

  • @JoyceMkeka
    @JoyceMkeka Před 3 měsíci +2

    Hakika tuseme nini kwa mungu mapito nimengi lakini anatuvusha tunashukuru Sana 🙏🙏🙏🙏😢

  • @user-vj5mo1xf6r
    @user-vj5mo1xf6r Před měsícem +2

    The bit hits differently ❤️It both touches the heart 🎉

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 Před 2 měsíci +1

    Kwakweli niseme nini, Mungu wangu sina cha kusema bali Mungu wangu nakushukuru kwa ukarimu wote ulio nitendea. Na Barikiwa sana na huu wimbo 🙏

  • @victorishengoma5724
    @victorishengoma5724 Před rokem +4

    Napenda Baba wimbo huu umemjaa hkika umeibeba safari yke ya wito

  • @JASSONEVARISTER-sz2bi
    @JASSONEVARISTER-sz2bi Před 4 měsíci +2

    Hatunabudi kusema asante mungu kila wakati

  • @ATANASCHOBARIKO
    @ATANASCHOBARIKO Před 5 měsíci +1

    Hongera Sana mtunzi wawimbo huo naupenda sana

  • @SanyagiKulwa
    @SanyagiKulwa Před 13 dny

    Mi maneno yameniishia ila mukasa we mwamba sana nataka sana nikuone kwa macho yangu we king bless you boy and you family much respect brother mukasa

  • @ConsolathaUpendo-po5tf
    @ConsolathaUpendo-po5tf Před rokem +7

    So proudly to be CATHOLIC

  • @gracefeldinandi838
    @gracefeldinandi838 Před rokem +5

    Nawapa vyema wanyumbani nikiwa kenya jirani yangu kalaudi w kyelima nakuona

  • @BetraminoJulius
    @BetraminoJulius Před 3 měsíci +1

    Nahuyu mzee kwa unyenyekevu wa kukubali ajimwage hivi mbele na wanakwaya ni muujiza. Nitaomba wimbo huu ùwe maalumu kwa waimbaji wetu na wtu woke

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Před rokem +5

    Wimbo huu unabeba ujumbe wa shukrani Kwa zawadi ya maisha ya Mhashamu Baba Askofu Kilaini anayeimba kwa hisia kali katika maadhimisho ya Jubilee yake ya miaka 50 ya upadre. Hongera sana Baba.. na hasa ubeti wa "changamoto nilizopitia" namwona Baba anashika kichwa....inanikumbusha uhalisia wake. Hongera sana Baba, hongera sana Bwana Bernad Mukasa na wanakwaya wote!

  • @marylyimo6519
    @marylyimo6519 Před rokem +3

    Hongereni sanaa Wanakwaya kutoka Bukoba

  • @AvelineKiria-np9mn
    @AvelineKiria-np9mn Před rokem +2

    Asante ubarikiwe umeniokoa Sana jaman mungu amfikishe mbali zaid my dear friend neema umesharudi

  • @jamesnyamwaya1841
    @jamesnyamwaya1841 Před 10 měsíci +2

    Kazi nzuri mwalimu mkasa pongezi wote na baba askofu kwa wimbo huu bora

  • @geofreynyakana
    @geofreynyakana Před 10 měsíci +1

    Mukasa mukasa mukasa nimekuita mara 3 hakika mbinguni malaika wanakusubiri ukaongoze waimbaji

  • @alphoncerutumo1644
    @alphoncerutumo1644 Před 5 měsíci +1

    Safi sana mbarikiwe wimbo Mzuri sana .

  • @benmbwilinge2816
    @benmbwilinge2816 Před rokem +5

    Hongera Sana kwa wimbo mzuri wajina wangu

  • @kirighawilberd6351
    @kirighawilberd6351 Před 2 lety +9

    Nice to hear from you niseme Nini bwana thank you may God bless u mniombee pia Mimi Niko chuo Cha mziki arusha

  • @paulinalusazi3560
    @paulinalusazi3560 Před měsícem +1

    Mungu awabariki sana KMK kwa kutuinjilisha

  • @michaelmwembezi5998
    @michaelmwembezi5998 Před rokem +4

    Hakika am proud to be catholic,,ujumbe mzur kwe

  • @josephkulija293
    @josephkulija293 Před rokem +8

    Hongera Baba Askofu Kilaini Mungu azidi kukubariki kwa kazi yako ya kutuongoza sisi kondoo wa Mungu. Pia pongezi sana ndugu Benard Mukasa kwa kipaji ulichopewa na Mungu uzidi kutuinjilisha.

  • @geofreynyakana
    @geofreynyakana Před 10 měsíci +1

    Daima nitaiishia imani KATOLIKI milele na milele

  • @AngelMassawe-nz9sk
    @AngelMassawe-nz9sk Před rokem +1

    Hakika nyimbo nyimbo hii imegusa watu wengi kwa jinsi ilivyopigwa vizuri na ilivyodansiwa vyema kwa Kiutukufu sana wa wa KIMUNGU umegusa wengi hasa mimi naomba uendelee kufunguliwa ktk douwiloding tukiwa popote unatupatia kutafakari leo nakuta umezuiliwa nimeuzunika ponyeni Roho kwa tenzi Kama hii Asante Mungu katika sifa Unashuka na kutuponya mbarikiwe sana

  • @mariemeni5939
    @mariemeni5939 Před 4 měsíci +3

    Aksante waimbaji.Nimebariki kupitia hii nyimbo. Bwana awabariki.

  • @petrobenson2932
    @petrobenson2932 Před 9 měsíci +2

    Smart song,inanipa nguvu hasa hapa Mandera mpakani mwa Somalia

  • @prospervedasto4366
    @prospervedasto4366 Před 8 měsíci +1

    Ahsante Baba Askofu Kilaini kwa umahiri wako

  • @yohanadeus1292
    @yohanadeus1292 Před měsícem +1

    Nimeneemeka na baraka kusikiliza wimbo huu

  • @claudekalimbirirontabaza7467
    @claudekalimbirirontabaza7467 Před 10 měsíci +4

    Kiukweli nimemwaga machozi ya furaha. Hongera sana mwalimu Bernard Mukasa, Mungu akuongezeye nguvu tele. Hongereni pia kwa wana kwaya wote. Kazi nzuri sana

  • @oliversangawe-cn2jj
    @oliversangawe-cn2jj Před rokem +5

    Hzi nyimbo hatuwez zipata kupitia boomplay music

  • @user-dt2tc2gb4l
    @user-dt2tc2gb4l Před 6 měsíci +1

    Asante sana kwa wimbo wenye mguso ndani ya moyo asante sana

  • @user-wy7md3kg7q
    @user-wy7md3kg7q Před 7 měsíci +1

    Ahsant San jaman nakupenda San hii nyimbo

  • @BahatiAdam-lo6xx
    @BahatiAdam-lo6xx Před 7 měsíci +1

    Nakumbuka mwaka 2020 nikiwa chuoni tukiwa ktk mashindano ya kwaya 16

  • @user-ge4gy6ly5l
    @user-ge4gy6ly5l Před rokem +3

    Safi sana mungu awalinde zaidi mzidi kutuinjirisha Kwa nyimbo nzuri kama huu

  • @mosesokeyo2824
    @mosesokeyo2824 Před měsícem +1

    Nisemee ninj.ewe.bwanaaa❤🎉

  • @BetraminoJulius
    @BetraminoJulius Před 3 měsíci +1

    Namba niandike Barua rasmi kwa Idara ya Katekes utunukiwe cheti cha Doctor of catholic miusic

  • @glorypeter1194
    @glorypeter1194 Před rokem +3

    Nyimbo inabariki na kusisimua mbarikiwe wainjilist wote muendee kutupatia nyimbo nzur zaidi

  • @user-ix8qr4bn9z
    @user-ix8qr4bn9z Před 5 měsíci +1

    Asante sana kwa wimbo nzuri, niseme Nini

  • @user-ix8qr4bn9z
    @user-ix8qr4bn9z Před 6 měsíci +1

    Asante sana kwa wimbo nzuri sana hongera sana

  • @GaudenciaKija-ji9qs
    @GaudenciaKija-ji9qs Před rokem +3

    Nimeguswa Sana na huu wimbo kulinga na mapito niliyopitia

    • @KAPOTIVE
      @KAPOTIVE  Před rokem

      Ubarikiwe sana 🙏🙏🙏

  • @user-qn7ug6pz6p
    @user-qn7ug6pz6p Před 6 měsíci +1

    Nafarijika Sana nikisikia wimbo huu

  • @velonicacharles-6124
    @velonicacharles-6124 Před 3 měsíci +1

    Asanteni mbarikiwe wimbo mzuri sana

  • @josephinekessy1994
    @josephinekessy1994 Před 2 lety +8

    Nyimbo nzuri sana jamani nimesikiliza zaidi ya mara kumi...nimebarikiwa sana na nyimbo hii. Kati kati ya safari changamoto kubwa nilipitia,lakini kwa wema wako ukanivusha nikavuka salama🙏🙏🙏

  • @josephelias7364
    @josephelias7364 Před 2 lety +15

    Asanteni Sana wanakwaya kwa utume wenu. IAM proud to be a Catholic

  • @ceciliaotwane3906
    @ceciliaotwane3906 Před rokem +10

    The bishop! wow! he must be in charge of liturgy. The song itself, wah, for real, asante mungu nakushukuru!

  • @marytairo4981
    @marytairo4981 Před 10 měsíci +7

    Proud to be a Catholic! Nice song Mungu awabariki sana

  • @ranveelkamsanga745
    @ranveelkamsanga745 Před 7 měsíci +1

    8:47 9:48 9:48 ahsnteni mbarikiwe sana watu wa mungu mwimbo mzuri sna na mungu awape nguvu aman na baraka za kumtumikia yeye daima

  • @okrasamson4137
    @okrasamson4137 Před 3 měsíci +1

    Nimeguswa sana na mapito ninayo pitia

  • @jsifuna
    @jsifuna Před 10 měsíci +12

    My daily song!! The Bishop is amazing I tell you!!

  • @johnmwakipongo3536
    @johnmwakipongo3536 Před 25 dny

    Nyimbo nzuri sema kuna sehemu wameingiza maneno yao

  • @user-pb3db2rl7d
    @user-pb3db2rl7d Před 10 měsíci +1

    Amina wimbo huu umenibariki sans mpaka nimetokwa na machozi ya furaha

  • @mahungujulius1788
    @mahungujulius1788 Před 11 dny

    ❤❤ Wimbo Mzuri sana Hongera kwa waimbaji

  • @jeromemushaijaki6354
    @jeromemushaijaki6354 Před rokem +2

    Hakika ni wimbo mzuri mno

  • @JoyceMlwale
    @JoyceMlwale Před 3 dny

    Wimbo huu tumeubariki uwe wa Taifa wa Katoliki😅🙏

  • @jenifadaniel7752
    @jenifadaniel7752 Před rokem +4

    Kati ya nyimbo za kushukuru ninazozipenda huu wimbo ni wa kwanza, maana naweza kuusikiliza huu wimbo siku nzima bila kubadilisha wimbo mwingine. Mbarikiwe sana wanakwaya pamoja na mtunzi hakika mmeutendea haki

    • @eliudi
      @eliudi Před 9 měsíci

      Nimependezewa nawimbo naommba notazake

  • @EudosiaTango-pu7jg
    @EudosiaTango-pu7jg Před rokem +2

    Jaman imenibarik Sana mungu aendelee kuwalinda nakuwabariki waimbaji Hawa..

  • @joycengolly547
    @joycengolly547 Před 2 lety +7

    Hongereni sana Wana Mt. Don Bosco Kwa kazi nxurii😍😍😍Mungu awabariki sana.🙏🙏🙏

  • @judithkerengi5517
    @judithkerengi5517 Před 6 měsíci +1

    PROUD TO BE A CATHOLIC

  • @user-qn4tx8do4g
    @user-qn4tx8do4g Před rokem +2

    Utume mama. By macha
    8:27 8:28 8:29

  • @marthauisso5803
    @marthauisso5803 Před rokem +2

    hongereni sana jaman kwa kumuimbia Askofu wetu vizuri sana

  • @fatumamaiga8496
    @fatumamaiga8496 Před rokem +2

    Baba Askofu ubarikiwe Sana. Ujaliwe utume mwema baba

  • @sadiguillaumesadi7345
    @sadiguillaumesadi7345 Před rokem +1

    Kweli huwa nabarikiwa sana nawimbo huo mahalum wa jubile ya baba kilaini

  • @marylyimo6519
    @marylyimo6519 Před rokem +3

    Wimbo nzuri sanaaa Mungu awabariki Sanaaa... Nimepata ujumbe nzuri kutoka kwenu

  • @annamushi7758
    @annamushi7758 Před rokem +3

    SO WONDERFUL BE BLERSSED ALL

  • @pondapapa8371
    @pondapapa8371 Před rokem +4

    Nicely done! Asante ndugu Mkasa. Hongera Bab Askofu Kilaini!

  • @georgekazaula3123
    @georgekazaula3123 Před 3 měsíci

    Kapotive you are the best. Nawakubari sana na sio mimi tu bali watu wengi

  • @paskaziayaheze962
    @paskaziayaheze962 Před 2 lety +6

    Wimbo mzuri Sana. Hongereni👏👏👏👏👏

  • @carolnderi5004
    @carolnderi5004 Před rokem +2

    Get addiction to this song najipata nikiimba zaidi ya mara 10 kwa siku mbarikiweni sana kwa kazi nzuri👏👏👏

  • @eustadiusfidelis3895
    @eustadiusfidelis3895 Před rokem +2

    Askofu anayefikika kabisa.

    • @ibrahimmeresho797
      @ibrahimmeresho797 Před rokem

      Hakika Mungu ni mwema kila wakati yatupasa kushukuru bila kuchoka.
      Wimbo umebeba ujumbe mzito sana

  • @candymarandu2230
    @candymarandu2230 Před rokem +1

    Hongereni Sana wanna bukoba furaha kw a kweli nawatakia uinjilishaji na utume mwema was kwaya

  • @gracewamaitha7382
    @gracewamaitha7382 Před 9 měsíci +1

    I love this song to the moon and back 💕 ❤️ 💛 💖 💓

  • @dorothymbuere5832
    @dorothymbuere5832 Před rokem +2

    Kweri kabisa Niseme Nini ni wimbo mzuri OYee Askof KILAHINi kwa kuimba wimbo huu mzuri Mbarikiwe sana wahimbaji kwa nyimbo nzuri.

  • @henrykimani1664
    @henrykimani1664 Před 11 měsíci +3

    Roho yangu imefurahishwa na uimbaji wenyu zaidi, nyimbo tamu na zenye uinjilishaji mkubwa. Proud to be catholic

  • @scholasticanikata5477
    @scholasticanikata5477 Před 2 lety +31

    Wimbo mzuri sana, naweza sikiliza hata mara 10 kwa siku. Mhashamu askofu Kilain umeuvaa uhusika vilivyo. Mbarikiwe wote mliohusika kuanzia mtunzi, mpiga kinanda , ngoma , wanakwaya nk

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 Před rokem

      Mm nikiingia tu you tube lazima niwepo huku.kwasiku labda mara 30 inafika,afu usiku nauweka nakesha na huu wimbo

    • @juliusdanson225
      @juliusdanson225 Před rokem

      Tunabarikiwa sana🔥🔥🔥🔥

    • @godfreymbame9592
      @godfreymbame9592 Před rokem

      Hongereni sana na mungu awabariki

    • @wilbroadfredrick5630
      @wilbroadfredrick5630 Před rokem

      Huu wimbo unagusa mioyo ya watu, safi sana mtunzi na wanakwaya wote,bila kumsahau Askofu wetu Baba Methodius Kilaini.

    • @adelinandahani949
      @adelinandahani949 Před rokem +1

      Wimbo mzuri nasikiliza natafakari mpaka machozi yananitoka,Mungu awabariki Kwa kutufikishia ujumbe mzuri wa tafakari,Askofu kilaini🙌🙌

  • @alphoncempiti9505
    @alphoncempiti9505 Před rokem +1

    Askofu kilaini,man of the match,
    Kiufupi hongereni sana waimbaji ,mmeimba vizuri sana

  • @user-lq2be9sb7q
    @user-lq2be9sb7q Před 10 měsíci +5

    The song elevates me every time I listen to it. This is God given straight from heaven. God bless you all.

  • @beatricemichael6376
    @beatricemichael6376 Před měsícem

    Mungu awabariki sana Kwa wimbo huu.

  • @winfrednkatha6159
    @winfrednkatha6159 Před rokem +5

    Am addicted to this song. Huyo pianist...ni another level

  • @sarahambajo2873
    @sarahambajo2873 Před rokem +15

    Your bishop is having a blast, well done

  • @geraldkishenyi5786
    @geraldkishenyi5786 Před 2 lety +2

    Amen ninavyojisikia sijui nifanyeje. Atukuzwe baba.

  • @doreenongele-kx4vt
    @doreenongele-kx4vt Před rokem +1

    Mpate kubarikiwa

  • @akwelinamassawe3655
    @akwelinamassawe3655 Před rokem +1

    This is my best song

  • @bibianarugaimukamu4095
    @bibianarugaimukamu4095 Před 8 měsíci +2

    We really all of us need to thank God together with our Bishop Kilaini for his mercy

  • @user-yv1lw2sn4i
    @user-yv1lw2sn4i Před rokem +1

    Hakika wimbo uko vizuri sana hongereni kwa kuutendea haki.organist ni fire mko vizuri

  • @Shemahonge-ku7xx
    @Shemahonge-ku7xx Před měsícem +1

    Niseme Nini