Bernard Mukasa - Niseme Nini (Official Video)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 12. 2017
  • Bernard Mukasa - Niseme Nini

Komentáře • 357

  • @berychrys2678
    @berychrys2678 Před 3 lety +14

    Hadi huu mmeutunga nyie🙌🏽🙌🏽🙌🏽 God's manifestation in your family is tremendous.. Mlipewa talanta 5 na kwakweli mmepata maelfu zaidi.. God bless you mno nawapenda sana jaman😥 sio kwa kunigusa hivi na your songs😭

  • @eriminashayo1341
    @eriminashayo1341 Před 3 lety +15

    Huu wimbo unanibariki sana kama na ww upo kama mm shusha like hapo 🙏🙏🙏

  • @divinajoseph2760
    @divinajoseph2760 Před 3 lety +6

    Ahsante Mungu nakushukuru kwa mema yote unayonijalia siku hadi siku. Nakuomba Mungu uilinde familia hii ya Bw & Bibi Mukasa wazidi kukutumikia wewe katika siku zote za maisha yao. Kwakweli wananibariki kwa nyimbo zao nzuri

  • @gabrielnyambu8287
    @gabrielnyambu8287 Před 4 měsíci +2

    Mwalimu Mukasa wewe ni neema inayoishi, tunzi zako hunibariki sana na nilifurahi sana kukuona jumapili ya matawi kwenye performance yako hapa Githurai Kenya. Barikiwa baba

  • @salomekamendi2458
    @salomekamendi2458 Před rokem +9

    Huu wimbo umenikubusha mateso Nilitezwa na familiar ya mzee wakati aliponiacha 2002 lakini leo hii hakuna mwingine anapedwa kuliko mimi na kupitia rehema na neema zake Mungu..Barikiweni sana mr/ mrs mukasa kupitia nyimbo zenu hua tunafarijika ..Long life🙏

  • @charlesmillinga992
    @charlesmillinga992 Před 4 měsíci +2

    Bernado Mukasa kaka.

  • @saraboniphace7670
    @saraboniphace7670 Před 2 lety +2

    Mekumbuka mwalimu wangu anapigana kutufundishwa huu wimbo iseee tulipoujua ulikuw mtamu Sana nazipenda nyimbo zako sinawahi kuona wimbo wako mbaya nzuri Sana mungu awalinde

  • @JohnmaryBirungi
    @JohnmaryBirungi Před 3 měsíci +1

    Wimbo mzuri Sana unanikumbusha kushukulu kwa mema mengi ya mwenyezi mungu

  • @NeemaKiria-wz5gh
    @NeemaKiria-wz5gh Před 2 měsíci

    Wimbo huu umefanyika baraka Sana Moyoni mwangu❤❤

  • @avitbuchwa2353
    @avitbuchwa2353 Před 2 lety +1

    I wish Mr Bernard Mukasa had a chance to work together with the late Mwl Niwagila Mutongole. I listen to Muka's songs I get the same quality and talent I used to see from Mwl Mutongole. God bless you!

  • @anthonykimanthi2551
    @anthonykimanthi2551 Před 2 lety +2

    katikati ya safari maji yote yakamwagika lakini kwa wema wako ukayazoa yakajaa upya

  • @user-sz3kz2wf5n
    @user-sz3kz2wf5n Před 4 měsíci +1

    Ubarikiwe San

  • @valentinewamboi4490
    @valentinewamboi4490 Před 2 lety +2

    So emotional l do remember My mother, may the almighty God bless you

  • @clementmarandu2712
    @clementmarandu2712 Před 2 lety +1

    Wimbo mzuri sana uliyojaa mafundisho makubwa kwamba tusikate tamaa na baada ya kufanikiwa tumshukuru Mungu na kumpa sifa tele

  • @stacykibutu365
    @stacykibutu365 Před 4 lety +1

    Huu wimbo wanifarijisha kweli kweli

  • @remigiusjuvenary3099
    @remigiusjuvenary3099 Před 2 lety +4

    One of the Swahili Catholic Anthems ...ahsante Bernard na Mama

  • @lucasmaro4172
    @lucasmaro4172 Před 2 lety +2

    Mbarikiwe sana kwa Uinjishaji. Wonderful song.

  • @lutigardkomba1215
    @lutigardkomba1215 Před 2 lety

    Nikutukuze vipi Mungu wangu

  • @linahmadawe2823
    @linahmadawe2823 Před 4 lety +2

    Mungu awabariki sana Mr&Mr's Mukasa nyimbo zenu zina tafakar nzuri sanaa,

  • @raymondmushi3310
    @raymondmushi3310 Před 4 lety +2

    Bernad Mukasa ubarikiwe sana. Wabarikiwe na wanakwaya wote wanaoziimba nota kama ulivyozipangilia kwani mnatubariki sana kwa njia ya uimbaji. Hakika tutamsifu Bwana duniani na mbinguni pia

  • @faridakibadu1213
    @faridakibadu1213 Před 3 lety

    Nan Kama Bernard mukasa namkubali sana

  • @munlagloryzingwe6487
    @munlagloryzingwe6487 Před rokem +1

    Event I don't understand this song but I really love it

  • @mariamlote2183
    @mariamlote2183 Před rokem

    Asante kwa utume Mungu azidi kukuzia kipaji chako

  • @bensonotieno7901
    @bensonotieno7901 Před 4 lety +1

    uu wimbo unanibariki sana

  • @awardngailo5233
    @awardngailo5233 Před 4 lety +1

    Nawakubali sana nyimbo zao zinaniimarisha sana kiroho kwakwel

  • @user-fn9mr3xe3k
    @user-fn9mr3xe3k Před 8 měsíci

    Nabarkiwa sana na wimbo huu

  • @josephinekieti4683
    @josephinekieti4683 Před 2 lety +13

    I can't get enough of this song, I keep on replaying it.

  • @totimusmodest8241
    @totimusmodest8241 Před 2 lety +2

    Mdogo wangu Mkasa na Familia yako wokovu u ndani ya nyumba yenu, kupitia wimbo huu familia zinatafakari na waliokata taamaa wanainuka, mubarikiwe sana

  • @agripinaapolinary1362
    @agripinaapolinary1362 Před 9 měsíci

    Mungu ibariki familia hii ninaipenda sana

  • @AgnesMwita-nb3cx
    @AgnesMwita-nb3cx Před 8 měsíci

    Aise ama kweli aliyepewa kapewa na Bernard umepewa kipaji Cha pekee

  • @sarahchiliko1060
    @sarahchiliko1060 Před 3 lety +2

    I love you my Roman Catholic gospel

  • @gertrudekopiyo
    @gertrudekopiyo Před rokem +2

    Thank you, my Sister, my Brother. I am blessed fully. God bless you

  • @stevembuhilo2956
    @stevembuhilo2956 Před 4 měsíci +1

    Asante kwa ujumbe wenye faraja,,unanifuuuutaaa mschoz

  • @upendoinaction4724
    @upendoinaction4724 Před 4 lety +2

    Asante sana Bw. Bernard Mukasa na familia yako kwa kutuzaidia kusali mara bili kila siku!

  • @levinamukandara6970
    @levinamukandara6970 Před 2 lety +7

    How gifted you are to praise the Lord as family. Blessed couple indeed! Big up

  • @jamespetro6773
    @jamespetro6773 Před 2 lety

    Mungu awarki kwa ujumbe mzuri

  • @gustavkunkuta6733
    @gustavkunkuta6733 Před 3 lety +1

    Hao 257 waliodislike walikosea wakabonyeza bila kukusudia. Hata kama si fan wa Benard, siwezi kuthubutu kudislike wimbo huo wa kumshukuru Mungu.

  • @muendoandrew
    @muendoandrew Před 5 měsíci

    I had been praying to God when He answered my prayers miraculously i was overwhelmed..that moment in the parking lot i made the sign of the cross and immeditely this song came to mind..i played it immediately..i live not to forget that day..thank you God..i don't know how to thank you..i will raise the cup of salvation..

  • @leahburchard3738
    @leahburchard3738 Před 2 lety

    Mungu awabariki daima ktk utume huu wa uimbaji

  • @bahatimungundomteteziwetum4360

    Ubarikiwe sanaaa! Umenigusa Sana wimbo huu. Big up!

  • @priscamsomba4224
    @priscamsomba4224 Před 2 lety

    Wimbo huu umenigusa.barikiwa sana watumishi wa mngu

  • @kamanzielias3585
    @kamanzielias3585 Před rokem

    Mungu akutunze Ben tunajivunia sana

  • @katommbusa4559
    @katommbusa4559 Před 6 lety +17

    Familia Mukasa, mubariwe jamaani. Niusikiapo huo wimbo wenu najawa utulivu na kumshukuru Mungu kunusurika kifo mara nne. Jina la Mungu na lihimidiwe. Anicet Mbusa

    • @sarahsangija2913
      @sarahsangija2913 Před 6 lety

      Hakika hata mm hunikumbusha mbali sana, Mungu apewe Sifa daima

  • @user-tn2pg6xe2y
    @user-tn2pg6xe2y Před rokem

    Mungu azidi kuwapa nguvu

  • @orollahcharlse6488
    @orollahcharlse6488 Před 4 lety +12

    Niseme nini mim 😭 nitamke maneno gani kinywani nikushukuru jinsi gani nisimulie vipi mim. Aiseee nabarikiwa sanaaa

  • @maurusmwajombe492
    @maurusmwajombe492 Před 3 lety

    Hongereni sanaaaa familia ya mkasa

  • @hellenmnubi2851
    @hellenmnubi2851 Před 3 lety +1

    Hakika nafarijika Sana na huu

  • @Spirit.23
    @Spirit.23 Před 4 lety +2

    Sauti ya pendeza sana,mmbarikiwe milele

  • @ignasjosephmwinuka3666

    Bernad Mukasa, ni sala zetu Mungu azidi kukupigania na kukulinda family yako imekuwa mfano kwa namna halisi ya upendo, familia yako ni mfano unaoishi wa kumtukuza Mungu kwa kusali mara mbili (kuimba) kama alivyosema mtakatifu Augustino, tunashukuru Mungu kwa karama yako na familia yako

  • @dorischuwa3641
    @dorischuwa3641 Před 2 lety +1

    Niseme tu Bwan Mungu asante nakushukuru🙏🙏

  • @kamukamasylvia9640
    @kamukamasylvia9640 Před 4 lety +7

    It was not by a mistake that God joined you together as a family. Thanks for maintaining your great gift. Be blessed

  • @robertmahucha5715
    @robertmahucha5715 Před 3 lety +1

    magumu niliyo pitia yakataka kunikatisha tamaa lakini MUNGU alitaka niendelee na mwisho leo nimefahuru mitihani yangu, MUNGU nakushukuru

  • @achiecaren2908
    @achiecaren2908 Před rokem +1

    Good job, sweet voice blessed family.

  • @skoraskora8093
    @skoraskora8093 Před 2 lety

    Hongereni sana kwa utume huo

  • @elizabethtreshory7776
    @elizabethtreshory7776 Před 4 lety +1

    Nimebarikiwa sana na nyimbo hii pia albamu nzima mungu awatunze daima

  • @njugunawjulius4412
    @njugunawjulius4412 Před 3 lety

    Baraka kila niuskiapo...

  • @josephinekieti4683
    @josephinekieti4683 Před 2 lety +3

    This song touches my life, thank you Mukasa, reminds me nishukuru Mungu.

  • @agustinotadeo8554
    @agustinotadeo8554 Před 4 lety +1

    Sina cha kusema Mungu wangu, umenitendea mm na familia yangu kadiri ya mapenzi yako. Ahsante Nashukuru

  • @leonardmwankemwa7223
    @leonardmwankemwa7223 Před 4 lety +1

    you are role models of most of us

  • @kathanjeable
    @kathanjeable Před 3 lety

    tumebarikiwa hapa kamurima catholic church

  • @beatricejames7207
    @beatricejames7207 Před rokem

    Mungu azidi kuwainua

  • @johnedmundmachota7582
    @johnedmundmachota7582 Před 5 lety +6

    Ww ni mtunzi bora wa muda wote Bernard tangu nipo mdogo umekuwa ukininjilisha

  • @bonifacejohanes895
    @bonifacejohanes895 Před 2 lety

    Mungu akubariki sana huyu mwenye jina la shahidi wa Uganda. Tunamshukuru Mungu kwa kipaji hiki na ujumbe wa kutukumbusha makuu ambayo Mungu ametutendea

  • @angelinakemuma2748
    @angelinakemuma2748 Před 4 lety +15

    We are proud of you, Mukasa family. Thank you for helping us praise our God better

  • @raymondlaurent9403
    @raymondlaurent9403 Před 2 lety

    Hakika katikati ya safari maji yalimwagika lkn Bwana uliyazoa na kuyajaza upya.. Asante-Nakushukuru Baba..

  • @user-dg7vf1mx4m
    @user-dg7vf1mx4m Před 6 měsíci

    sauti tamu sana ,,,so blessing

  • @mgenileonora9717
    @mgenileonora9717 Před 2 lety

    Nisimulie vipi mimi,mapito niliyopita, kuja hapa.Asante Mungu wangu nakushukuru

  • @Spirit.23
    @Spirit.23 Před 3 lety +10

    I listen to this song every single day and any time I face a challenge and it gives me peace in my heart, it's a very special and powerful song to me,be blessed the Mukasa family and Merry Christmas in advance

  • @stephenshio588
    @stephenshio588 Před 5 lety +3

    Hongera sana Ndugu Mukasa na wife, hiyo ni nyumba ya mziki mtakatifu, Mungu awabariki

  • @jeanpierrendayishimiye9454

    This song is pleasant to the Ear. Bless my Brother. You have a good gift of singing Religious songs.

  • @josephinebiringanine7113
    @josephinebiringanine7113 Před 4 lety +1

    Niseme nn mm bwana😭....niseme tu asante Nakushukuru Baba 🙏😭 guys always be blessed I love you sooooooo much 🥰

  • @marianabachilula8756
    @marianabachilula8756 Před 11 měsíci

    Mbarikiwe Sana, kwa Wimbo wenu, wenye Ujumbe Mkuu ktk Maisha yetu, tusisahau Kumshukuru Mungu kwa kila Jambo, nimebarikiwa sana!

  • @user-te1mo4hq4s
    @user-te1mo4hq4s Před 9 měsíci

    Yaan mm huu wimbo unanikumbusha mbali sana hasa mapito ya kupotelewa na wapendwa wang wazaz wang baba na mama yang 😢

  • @jamesbenjamin5969
    @jamesbenjamin5969 Před 5 lety

    Katikati ya safari maji yale yakamwagika chini lakin kwa wema wako ukayazoa yakajaaa upya.....

  • @schophimamandago9141
    @schophimamandago9141 Před 4 lety

    Amen hakuna Zaid ya axant

  • @alfredphantaleo4529
    @alfredphantaleo4529 Před 3 lety

    Kwakeli mkovizuri nafamilia mwenyezi mungu awape Manisha marefu muendelee kumtumikia muendelee pia kwenda kupanda mbegu kwingineko wanako hitaji huduma zenu

  • @gladysjebiwot6562
    @gladysjebiwot6562 Před 5 lety +5

    Anytime I listen to this song I feel that I have not done enough in my faith.....God bless you

  • @paskalinasalia8041
    @paskalinasalia8041 Před 3 lety

    Jamani MUNGU awabariki. Natamani Sana Nami MUNGU anipe mume mwimbaji🙏🙏🙏🙏

  • @fidesrwemera3710
    @fidesrwemera3710 Před 3 lety

    Nawapenda bure nyie watu, ahsante kwa kutulisha neno LA uzima

  • @susannyaguthii4713
    @susannyaguthii4713 Před 4 lety +1

    Even i lack a word to say . Only to say thanks God. Amen

  • @meypaulin6138
    @meypaulin6138 Před 3 lety

    Mbarikiwe Sana nawapenda Sana nyimbo zenu uwa zinanibariki Sana

  • @Jonathan95311
    @Jonathan95311 Před 6 lety +3

    Wimbo mzuriiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii sana!!!!!!!!!

  • @GastonCanuty-tx6pp
    @GastonCanuty-tx6pp Před měsícem

    Wimbo mzur sana

  • @dominicmwanzia9919
    @dominicmwanzia9919 Před 5 lety +4

    Nafurahia nyimbo zako nikiwa hapa Kenya.Naomba nota za sikia sauti bwana

  • @angiemambo6192
    @angiemambo6192 Před 4 lety +3

    Am proud of you, mukasa family,hope one day i will meet you poeple you tell me the secret i like singing.

  • @thomshumbusho5446
    @thomshumbusho5446 Před 5 lety +1

    Wimbo huu umekuwa sala yangu ya kila Asubuhi. Mungu aendelee kuwabariki.

    • @bridgitmutuku4140
      @bridgitmutuku4140 Před 2 lety

      Very nice song na maneno nzuri ,,,congrats Bernard with your family napenda songs zako sana

  • @jamesbenjamin5969
    @jamesbenjamin5969 Před 5 lety

    Mungu akupe miaka mingi zaidi ili tuweze kumjua Mungu kupitia nyimbo zako

  • @dreusebiusjmikongoti248

    Hongereni sana👏

  • @user-mn3ik1rx1e
    @user-mn3ik1rx1e Před 9 měsíci

    Wimbo mzuri sana

  • @user-uw7nv9gj9q
    @user-uw7nv9gj9q Před 5 měsíci

    Ata mimi kunakitu nimekumbuka

  • @zawadiagape9762
    @zawadiagape9762 Před 3 lety +1

    Nisimulie VIP Mimi 🙏

  • @lilianalara8007
    @lilianalara8007 Před 2 lety

    Amina nimebarikia

  • @jamesbenjamin5969
    @jamesbenjamin5969 Před 5 lety +1

    Hakika ni zaidi ya Kipaji, Sifa na Utukufu vimrudie Mungu

  • @godefridamunyaga4605
    @godefridamunyaga4605 Před 4 lety +1

    Ninabarikiwa Sana na nyimbo zenu haswa huu Niseme Nini. Asanteni Sana ndugu yangu na wifi yangu. Mbarikiwe Sana.

  • @yusterkonga6904
    @yusterkonga6904 Před 5 lety +1

    naupend sn huu wimbo .....sina cha kusema zaid ya kukushukuru mungu wang

  • @user-xw2ss1yi5w
    @user-xw2ss1yi5w Před 9 měsíci

    Sending love from Botswana🇧🇼🇧🇼

  • @patrickkambale777
    @patrickkambale777 Před 5 lety +6

    Hakika una zaidi ya kipaji,Mungu akujalie miaka 2000

  • @paschalnwanakulya3347
    @paschalnwanakulya3347 Před 4 lety

    Mungu ni mwema kama ni vipaji mnavyo Endeleeni na uinjilishaji

  • @Jaycarls
    @Jaycarls Před 5 lety

    🤲🤲🤲 Mungu aibariki kazi ya Mikono yako... Hongera kwa kutumia kipaji ulichopewa na Mungu kumrudishia sifa na Utukufu🤲 Binafsi natamani niimbe km wewe😥😥😥

  • @puritygakii2993
    @puritygakii2993 Před 4 lety +3

    You are a blessing to many
    Especially me... Your songs uplift me da
    day by day.... Be blessed 🙏