Video není dostupné.
Omlouváme se.

Holy Trinity Studio - Nikushukuruje Bwana ( Official Music Video )

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 08. 2024
  • SONG LYRICS
    SWAHILI & ENGLISH
    Nikushukuruje Bwana
    How should I thank you Lord?
    Ee Mungu wangu nakushukuru
    Oh my God, I thank you
    umenitendea mema mengi Bwana
    You have been so good to me, Lord
    asante asante
    thank you
    Mungu wangu nashukuru
    My God, I thank you
    Ee Mungu wangu nakushukuru
    Oh my God, I thank you
    umenitendea ukarimu Bwana
    you have been generous to me, Lord
    asante asante
    Thank you
    Mungu wangu nashukuru
    My God, I thank you.
    Mungu wangu, Bwana wangu, ninakushukuru sana
    Oh Lord, my God, I thank you enormously
    kwa upendo na wema wako Bwana
    for your love and kindness, Lord
    sijui mimi nikushukuruje Bwana
    I wonder how amply I should thank you Lord
    kadiri ya wingi wa ukarimu wako Bwana
    for the greatness of your generosity, Lord
    Mungu wangu, Bwana wangu, ninakushukuru sana
    Oh Lord, my God, I thank you enormously
    kwa upendo na wema wako Bwana
    for your love and kindness, Lord
    sijui mimi nikushukuruje Bwana
    I wonder how amply I should thank you Lord
    kadiri ya wingi wa fadhili zako Bwana
    for the greatness of your kindness, Lord!
    1. Bwana Mungu wangu, Mungu wa Abraham
    Lord my God, God of Abraham
    uliyegawanyisha bahari ya Shamu, wana wa Israeli wakavuka salama
    He who divided the Red Sea, made the Israelites cross safely
    umedhihirisha wema wako kwangu Bwana
    you have revealed your goodness unto me, oh Lord!
    2. Unaninyeshea mvua ya Baraka
    You keep me showered with blessings
    na kuniangazia nuru ya uso wako
    and shine upon me the light of your countenance
    umenizungushia nyimbo za ushindi
    you have surrounded me with songs of victory
    wema wako kwangu hauna kipimo Bwana
    your goodness to me is infinite, oh Lord!
    3. Umenijalia familia bora
    You have blessed me with a great family
    ilojaa upendo na moyo wa Imani
    full of love and a heart of faith
    umenizawadia na marafiki wema
    you have gifted me good friends
    wanishikao mkono kwa upendo Bwana
    who lovingly hold my hand, oh Lord!
    4. Siku zote Bwana unanilinda vema
    Lord, you always protect me well
    chini ya mbawa zako Bwana niko salama
    In the shadow of your wings oh Lord, I take refuge
    nikukoseapo Bwana wanisamehe
    whenever I sin against you Lord, you have been merciful to forgive me
    na kunirejesha kwako kwa upole Bwana
    and restore me to your good paths tenderly, oh Lord!

Komentáře • 512

  • @jacintastacy9823
    @jacintastacy9823 Před rokem +54

    Kama umewatch zaidi ya mara tano pita na like 🥰what a wonderful and nice song

  • @user-wb3ut9tn6v
    @user-wb3ut9tn6v Před 8 měsíci +12

    Mm nimewatch Zaid ya mara 20 naomben like zenu

  • @markmurithi3960
    @markmurithi3960 Před 2 měsíci +2

    Nasherehekea siku ya kuzaliwa kwangu...nakushukuru sana Mungu wangu kwa Yale umenitendea ❤❤

  • @afraziakapongwa5350
    @afraziakapongwa5350 Před 2 lety +5

    Hakika huu wimbo tokea nimeufaham kila ninavo amka asubuh naamka nawo Mungu awajalie nyote mlio shiriki katika wimbo huu awajalie wema na baraka na awaoneshe njia pasipo na njia katika utume wenu, najivunia kuwa mkatoriki jaman

  • @MariaPhilipo-e2p
    @MariaPhilipo-e2p Před měsícem +2

    Ukishajua tu kwamba kuna Mungu maisha yako yanabadilika asee😊😊❤❤ nice mesage

  • @frankchibago3206
    @frankchibago3206 Před 3 lety +7

    Mungu wangu ni kushukuruje Mana wewe ni mwema kila waKati,kila wakati wewe ni mwema

  • @patrickmkambilwa9932
    @patrickmkambilwa9932 Před 3 lety +6

    Ongereni sana watumishi wa Bwana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina

  • @deogratiusdominick8882
    @deogratiusdominick8882 Před 3 lety +6

    Asante sana MUNGU wangu kwa upendo na wema wako kwangu,,,,,, UTUKUZWE MILELE MUNGU WANGU,,

  • @benjaminmichel7451
    @benjaminmichel7451 Před 3 lety +6

    Aisee hii nyimbo ni 🔥 🔥,
    Dah aisee naona Kama nilichelewa kuusikia huu wimbo

  • @maryjulius101
    @maryjulius101 Před 3 lety +6

    Tunapaswa kumshukuru MUNGU kwa yote anayotujaria MUNGU awabariki waimbaji kwa wimbo wenye TAFAKARI nzuri

  • @melkiadeskalisto8918
    @melkiadeskalisto8918 Před 3 lety +6

    Paul Msoka MUNGU Ana onesha makubwa sana ndani yako

  • @festojrtz9620
    @festojrtz9620 Před 3 lety +9

    Nyimbo Nzuri Saana HOLY TRINITY Hamjawahi kutoa kitu Kibaya Hongereni Saana. Mbarikiwe Saana

  • @georgekabelwa8962
    @georgekabelwa8962 Před 3 lety +6

    Hakika huu ndio muziki mtakatifu,utunzi bora kabisa

  • @irenemaliwa4379
    @irenemaliwa4379 Před 3 lety +3

    Mungu wa mbinguni azidi kuwatumia kipekee muzidi kuieneza injil ya Bwana nabarikiwa Sana na huu wimbo

  • @tylookwambosh985
    @tylookwambosh985 Před 3 lety +4

    Sauti nzuri hizo Mungu awabariki

  • @lucykiria6454
    @lucykiria6454 Před 3 lety +9

    Sichoki kuutazama huu wimbo..Mungu azidi kuwabariki

  • @dagrasgwahila2042
    @dagrasgwahila2042 Před 3 lety +4

    Sauti ya pili ni hatari. Mungu azidi kutukuzwa

  • @nicolausclemence7008
    @nicolausclemence7008 Před 3 lety +14

    Sauti, mpangilio, miitiko,vyombo, mixture yake ni kiwango Cha juu Sana, Baraka za Bwana ziwe pamoja nanyi. Tunamtukuza Kristo

  • @liliankinyanjui6756
    @liliankinyanjui6756 Před 3 lety +3

    Naskia mbingu zafunguka ,, naskiza nikiwa Dubai mbarikiwe sana kwa kutubariki na huu wimbo ,,tunawapenda Sana

  • @helenawilliam9832
    @helenawilliam9832 Před 3 lety +4

    Pokea shukurani zangu bwana pia, kazi nzuri ni kazi ya ukombozi

  • @japhetpetro9598
    @japhetpetro9598 Před 3 lety +42

    Safii RC Ni Dini Bora Duniani.

  • @StudioiRisPro
    @StudioiRisPro Před 3 lety +8

    Nzuri iyo Brothers

  • @respiciuscornery9202
    @respiciuscornery9202 Před 3 lety +7

    Huu wimbo nautaza mara tano kwakutwa. Hakika unaujumbe mzuri barikiwa

  • @elizabethqumunga1328
    @elizabethqumunga1328 Před 3 lety +4

    Mungu awabariki kwa nyimbo nzuriiii wenye ujumbe mzito ndani yake

  • @maureenmowakimani2729
    @maureenmowakimani2729 Před 3 lety +5

    Namshukuru bwana hata zaidi wimbo huu kweli ni wa faraja

  • @dovelinkcyber3957
    @dovelinkcyber3957 Před 3 lety +4

    Wimbo safi sana na una maneno yakutia moyo, kwa kweli yale Mungu ametutendea ni mengi, sijui nimshukuruje Bwana kwa kadiri ya fadhili zake

  • @piusjeremia687
    @piusjeremia687 Před 3 lety +5

    Wimbo mzuri sana pongezi nyingi kwa aliyetunga pia wanakwaya ✌✌

  • @ipyanakajembula3661
    @ipyanakajembula3661 Před 3 lety +8

    Mziki Safi Kabisa Mungu Awabariki

  • @dominicmatata1813
    @dominicmatata1813 Před 3 lety +7

    Tuzidi kumshukuru Mungu. Asanteni sana.

  • @machoziasa6936
    @machoziasa6936 Před 3 lety +4

    Hongereni san bwan yu pamoja nanyi

    • @saimonshija6152
      @saimonshija6152 Před 3 lety

      Kalihiyo, Mungu azid kubariki kazizako by Mr simando

  • @dativateti4572
    @dativateti4572 Před rokem +2

    Wimbo umejaa baraka nyingi. Naomba nota zake tafadhali

  • @cosmasfesto5519
    @cosmasfesto5519 Před 3 lety +5

    Hongereni sana kwa wimbo mzuri

  • @despinamdende9810
    @despinamdende9810 Před 3 lety +13

    Hongereni sana.waimbaji.
    hongera sana mwalimu POUL MSOKA.
    HONGEREN SANA HT 👍👍

  • @anastaziarock1437
    @anastaziarock1437 Před 3 lety +2

    Jamani hongereni wimbo mzuri sana naninajivunia kuwa mkatoliki

  • @nemangowi1418
    @nemangowi1418 Před 3 lety +5

    So amazing. Love it mmejua kumuimbia MUNGU.

  • @lucresiapeter1385
    @lucresiapeter1385 Před 3 lety +4

    Video nzuri sana hongereni umetamani wimbo usiishe naangalia tuuuuu

    • @tatukivugo5333
      @tatukivugo5333 Před 3 lety

      Asante Mungu kwa wema wako.Mungu awabariki sana Msoka familia na Kikundi kilichoandaa no faraja sana.Mungu awabariki sana.

    • @msokasgallery8323
      @msokasgallery8323 Před 3 lety

      Amina. Nawe ubarikiwe sana Lucresia

  • @otuke56
    @otuke56 Před rokem +2

    Msoka family, Benard Mukasa and freinds hii nyimbo inapunguza hata stress kwa kichwa isee❤

  • @deotarimo4270
    @deotarimo4270 Před měsícem

    Abarikiwe mtunzi na waimbaji wote walioshiriki wimbo mzuri sana.

  • @godkingtz1364
    @godkingtz1364 Před 3 lety +2

    Anasaut nzur Mungu ambariki sana ,wimbo mzur sana💞

  • @user-bd9nn1sx9d
    @user-bd9nn1sx9d Před rokem +2

    What do you always do with your friends,,,big challenge,,, God bless you for the good choir,,big up msoka's friends

  • @lameckd7995
    @lameckd7995 Před 3 lety +4

    Hongeren xna.kwa wimbo mzuri wapendwa wainjilishi wa.mungu

  • @revocatusmboro5086
    @revocatusmboro5086 Před 3 lety +9

    Wimbo mzuri sana kwa ajili ya tafakari ya ukuu wa Mungu maishani mwetu. Thanks mtunzi endelea kumtukuza Mungu kwa kipaji chako cha utunzi.

  • @benitokizamuri8435
    @benitokizamuri8435 Před 3 lety +4

    Hongeren nyote mlioshiriki katika wimbo huu hakika nimzuri

  • @godfreymajoa4100
    @godfreymajoa4100 Před 3 lety +2

    Asanten kwa ujumbe wimbo mzuri mungu awabariki

  • @tinohmichaely5999
    @tinohmichaely5999 Před 3 lety +1

    Raha ya milelee uwapeee €££ee bwana na mwanga wa milelee uwaangazieee waendeleee kukusifu na kukuhimidi mungu wa majeshiii nawapenda xana wimbo mzurii unabariki kwa kweliiii,

  • @salomesalome7298
    @salomesalome7298 Před 3 lety +4

    Hakika Najivunia kuwa mkatoriki .asant sana wanakwaya kwa kazi nzuriiiiiiiiiiiiiiiiimnoooooooooooo .

  • @rosetarimo2076
    @rosetarimo2076 Před 3 lety +5

    Wahoo...sijui nikushukuruje Bwana kwa wingi wa fadhila zako..mbarikiwe sana Msoka's friend

  • @laurentmuoja3141
    @laurentmuoja3141 Před 3 lety +1

    Hongereni sana watumishi ama. Kweli mumetumia karama zenu vizuri sana pia. Video iko vizuri sana tena sana kazi ni mzuri sanaaaaa Mungu awabariki sana

  • @shaneryndunguru6070
    @shaneryndunguru6070 Před 3 lety +10

    Mungu Awabariki sana kwaya nzuri nimeipenda

  • @manase_fast_courier
    @manase_fast_courier Před rokem +2

    watoto wa msoka wanaona aibu😜......wimbo mzuri sana asee

  • @rogatusrogatus9931
    @rogatusrogatus9931 Před 3 lety +4

    Kristu, hongereni mnoo kwa kazi nzuri

  • @augustinemaingu
    @augustinemaingu Před 3 lety +5

    Abarikiwa sana Msoka kwa utunzi bora

  • @L_twaxiebae123...
    @L_twaxiebae123... Před 4 měsíci

    Hii nyimbo inanibariki sana❤❤❤❤ nataman hata Mungu aje apa nmuimbie

  • @dorotheaMarseli
    @dorotheaMarseli Před dnem

    Naipenda sana hii nyimbo Mungu awabaliki

  • @modesternorbert9728
    @modesternorbert9728 Před 3 lety +4

    Wimbo mzuri sana asanteni mbarikiwe Mungu azidi kuwatia nguvu

  • @josephgeorge4353
    @josephgeorge4353 Před 3 lety +2

    Rahasana kwa Bwana Mungu ashukuriwe kwa yote.

  • @davidkobero6977
    @davidkobero6977 Před 3 lety +1

    safi sanaaaaaaa

  • @nikolausnalisis7074
    @nikolausnalisis7074 Před 3 lety +2

    Mungu awbaliki wimbo mzuli sana

  • @LudvicNgugi-kx5xb
    @LudvicNgugi-kx5xb Před 9 měsíci +1

    Mungu awazidishie nguvu na upendo yakumtumikia. Ahsante Kwa sauti na nyimbo nzuri.

  • @lucymgimba5463
    @lucymgimba5463 Před 3 lety +9

    Romani sihami

  • @alexinahmogunde5276
    @alexinahmogunde5276 Před 3 lety +2

    MUNGU awabariki nakuwa linda Amen

  • @yosephersambala8299
    @yosephersambala8299 Před 3 lety +4

    Oh haleluya Asifiwe Mungu aliye juu

  • @user-wm3wn6lx2r
    @user-wm3wn6lx2r Před 10 měsíci +1

    NAMSHUKURU MUNGU KWA WIMBO MZURI, ASANTE SANA MARAFIKI WA PAUL MSOKA. HUYU NI MWALIMU WANGU WA KISWAHILI, NAKUKUMBUKA SANA MWALIMU. MUNGU AKUTUNZE!

  • @dorotheaMarseli
    @dorotheaMarseli Před dnem

    Naamini wengi tutajiunga na kwaya ❤❤❤❤❤

  • @fransiskokameguzi2480
    @fransiskokameguzi2480 Před 3 lety +2

    Hii nzuri Sana😍😍🤩😀🎅🧞

  • @tatukivugo5333
    @tatukivugo5333 Před 3 lety +3

    Mbarikiwe sana wapendwa

  • @sport-vm3yj
    @sport-vm3yj Před 3 lety +1

    MAMBO MATANO USIYOYAJUA KUHUSU MBEGU ZA KIUME...!!!
    Sote tunafahamu kua mbegu ya kiume ni muhimu sana katika kutungwa kwa mimba,Japo wakati mwingine mbegu hiyo hukosa vigezo ambavyo hufifiza shughuli hiyo.
    nitaeleza mambo kadhaa kuhusu mbegu ya kiume
    1.Ubora wa mbegu ya kiume huendana na vyakula anavyokula mwanaume;
    Hii inamaanisha kua mwanaume anapokula vyakula vyenye virutubisho vingi ndivyo hivyo na ubora wa mbegu zake hua imara na bora zaidi
    2.Kutofanya mapenzi hupunguza ubora wa mbegu za kiume;
    Hii ina maana kwamba kwa mwanaume ambaye hafanyi mapenzi hupelekea mrundikano wa mbegu na mrundikano huo hupelekea mbegu kuanza kuharibika,
    utafiti ulifanyika na kuonesha kua mwanaume anayefanya mapenzi angalau mara nne kwa mwezi hutoa mbegu bora zaidi
    3.Technolojia ya WIFI,Bluetooth pamoja na laptop huathiri ubora wa mbegu za kiume;
    Hapo nyuma iliaminika kua joto la laptop pekee ndilo huathiri ubora wa mbegu lakini hali ni tofauti hivi sasa kutokana na ukuaji wa teknolojia imegundulika kua wireless na bluetooth pia huathiri ubora wa Mbegu za kiume
    4.Mbegu za kiume huishi kwa takribani siku saba;
    Hapa namaanisha kua mbegu za kiume zinaweza kaa ndani ya mwili wa mwanamke zikiwa hai kuanzia siku mbili hadi saba
    5.Mfumo mbaya wa maisha hupunguza ubora wa mbegu za kiume;
    Unywaji wa pombe,uvutaji wa sigara,unywaji wa kahawa na unene kupindukia hupunguza kasi ya mbegu za kiume hivyo kuchangia katika ugumba kwa mwanaume.
    Prepared by Afya kiganjani Coach NUTRITIONAL CLINIC
    For more help Contact with us :-
    (+255) 0766289090 (whatsapp/call/sms) 🤳👨🏻‍⚕️
    Ukiwa umependa makala hii na ungepanda kupata elimu sahihi ya afya kila siku, usihaau kuliki ukurasa Wetu ili kutopitwa na makala zetu pendwa za afya.
    Pia Unaweza kuwa mwalimu kwa wengine kwa KUS-hare makala hii zaidi na zaidi ili wengi wapate Elimu hii uliyoipata wewe.
    “JIFUNZE na Chukua Hatua Juu Ya Afya Yako”.

  • @hgk322
    @hgk322 Před 3 lety +5

    Hellen kutoka Saudia arabia

  • @noelbabuya
    @noelbabuya Před 3 lety +6

    Iko safi uimbaji wenye mvuto

  • @leopoldwilliam2128
    @leopoldwilliam2128 Před 3 lety +4

    Kazi nzuri sana

  • @Kingdon8765
    @Kingdon8765 Před 2 lety +1

    Mungu awabariki na kuwajalia nguvu za Roho mtakakatifu ili mpate kumtumikia siku zote za maisha yenu amina

  • @priscajoseph8518
    @priscajoseph8518 Před 3 lety +2

    Jamani mbona naona waimbaji Wa Kwaya tofauti natamani kujiunga tumsifu Mungu pamoja

  • @franciscambala7882
    @franciscambala7882 Před 3 lety +2

    Kila mwenye uhai na Amsifu Bwana

  • @juliethkayenzi4160
    @juliethkayenzi4160 Před 3 lety +2

    Kazi nzuri mungu mwema awabariki mmeniinjilisha

  • @golingoibenzi2142
    @golingoibenzi2142 Před 3 lety +3

    Hongerq sana ,wimbo.mzuri mbalikiwe zaidi

  • @paulkavengih1536
    @paulkavengih1536 Před 3 lety +3

    My always favourite song naipenda sana

  • @magdalenebundi2581
    @magdalenebundi2581 Před dnem

    sauti mmebarikiwa kweli

  • @francenguruchuma9029
    @francenguruchuma9029 Před 3 měsíci

    Tuzidi kuzifurahia nyakati..nyimbo imenikumbusha mbali sana... Mbalikiwe sana

  • @nemeskakuru4699
    @nemeskakuru4699 Před 2 lety

    Kweli huu ndo utume wa uimbaji,ila Paul Mike Msoka anatisha Mungu amlinde na ampe nguvu za kuendelea kumtumikia kwa kipaji hiki alicho nacho

  • @SimonKioko-lx2fp
    @SimonKioko-lx2fp Před 2 měsíci

    This song remind me how far the lord has taken me.... Blessings zinamiminika .

  • @charlesjkyallo5835
    @charlesjkyallo5835 Před 3 lety +7

    NIMEMPENDA HUYU DESPINA GAFLA MAJAMAA,,,,,,*CANT STOP WATCHING ...KAZI NZURI KWELI

  • @velonicacharles-6124
    @velonicacharles-6124 Před měsícem

    Hongereni nyimbo nzuri sana huwa inanipa faraja

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 Před 3 lety +7

    Mafundi wote wako hapo mtaachaje kutubariki jamn!!!🙏🙏🙏Mungu azidi kuwatunza daima!!! Nawapenda kutoka moyoni♥️♥️♥️

  • @damodargeita9039
    @damodargeita9039 Před 3 lety

    DAH UNABURUDIKA NA KUHUDHUNIKA VYOTE KWA WAKATI MMOJA NA KUFARIJIKA HUMO HUMO . ASANTE KWA DINI HII YENYE MIZIZI DUNIANI KOTE

  • @DivineNyaanga-kv9rb
    @DivineNyaanga-kv9rb Před 9 měsíci +2

    Yaani wimbo safi asante Mwenyezi Mungu wow amen🙏🙏

  • @protassabato6630
    @protassabato6630 Před 3 lety +4

    Ushauri. Muwe mnaweka Mawasiliano ya kwaya husika au kikundi husika.

  • @venerandafredrick6531
    @venerandafredrick6531 Před rokem +2

    Wimbo huu nimeusikia tr 3/10/2022 nikiwa kwenye Costa tunaenda kumzika Bibi yangu Mwanza hakika ulinifariji ikabidi nitafute

  • @kwayabikiramariamamawashau2448

    HONGERENI SANA.... MUNGU APEWE SIFA MILELE

  • @marcogululi4595
    @marcogululi4595 Před 3 lety +1

    Safi

  • @majaliwasuleiman1885
    @majaliwasuleiman1885 Před 3 lety +6

    Aiaseeee nzuri kweli
    Hongereni sana

  • @crediuskyando6906
    @crediuskyando6906 Před 3 lety +5

    Hongereni kwa kazi nzuri na ujumbe mzuri

  • @rachaelntinyari8934
    @rachaelntinyari8934 Před 3 lety +3

    Mbarikiwe sana kwa kulifanya ombi langu kwa njia ya uimbaji🤲...Mungu wa rehema azidi kuwabariki ..toka Kenya🇰🇪

  • @perpetuahmungai5988
    @perpetuahmungai5988 Před 3 lety +8

    Wow! Wow! Wow! Yaani huu wimbo upon juu Sana, sichoki kuusikiliza. Msoka friends, you're truly great. Holy Trinity you did it again, huwa ham-dissapoint hata. Mungu awanemeeshee baraka tele tele.👌top notch

  • @ambrosethomas5922
    @ambrosethomas5922 Před 3 lety +4

    Safi sana.

  • @simongift-official3433
    @simongift-official3433 Před 3 lety +3

    Wimbo huu wapendeza sana.mola na azidi kuwabariki

  • @elielepetit8107
    @elielepetit8107 Před 3 lety +3

    ayiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!nigushukuruje bwana!!!!!

  • @wewacha
    @wewacha Před měsícem

    The far the Lord has brought me till today I am grateful to God and for this song is a testimony

  • @josephfalaghamoja7800
    @josephfalaghamoja7800 Před 3 lety +5

    Mungu awajalie maisha mema na matunda ya upendo katika ndoa na family yenyu. Congratulations Mr& Mrs Msoka👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @lenatusmgimwa1715
    @lenatusmgimwa1715 Před 3 lety +2

    Wimbo mzuri sana hongera kwa mtunzi pia waimbaji wote

  • @laurentkadodi6480
    @laurentkadodi6480 Před 3 lety +1

    Sawa nimewaelewa Hongereni sana kwa uinjilishaji wenu usiochosha kwa mtazamaji na msikilizaji mwenye mapenzi mema .