Hongereni sana sitosheki kuskiza huu wimbo hakika ujumbe umefika salama kwa hadhira haswa vijana wetu, Upande wa mavazi mmeweza zaidi ya kuweza proud of you keep it up
Wow, just WOW This is mind blowing, uimbaji wenu , mpangilio wa sauti , mavazi, ujumbe. ...... vyote vyamtukuza Mungu Mmenikumbusha choir flani ya arusha sikuimbuki wanaitwaje waliwahi imba a wimbo entitled** NANI KAMA ZAKAYO*
Wosia-Ni wimbo mtamu sana,ni raha yangu nikiwa studioni niicheze wimbo huu wasikilizaji na mwashabiki wangu wafurahishwe na pia waelimishwe #TeamHolyTrinity #TeamKenyaTz
Asante sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwa jalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Kweli wimbo huu naupenda sana,, hongereni sana mliimba vizuriii na UJUMBE ni mzuri mnoo watoto wetu wakifuata watafika WATAKAPO kimaendeleo kwa kumshirikisha Mungu.
Mt Daud mmefikisha ujumbe kwa wimbo mzuri maana dunia sio mbaya wanadam ndo wabaya ukikubal kukosana shetan anakutumia ,Holy Trinity hongera kwa kazi nzur video iko clear hongera kwenu kwa wanakwaya kwa uinjilishaj 🙏
Wimbo mzuri. Ila mazingira ya video, hayavutii, na inaonyesha wazi kwamba Tanzania imegeuka jangwa. Watu, tumekata miti, bila kupanda miti, na mwisho tunaanza kulalamika mabadiliko ya tabia nchi. Serikali Haina budi kuhimiza wananchi kupanda miti. Tunaelekea kuwa jangwa
I really love this nice song. And iam broud to be Catholic.. It's amazing and fatastic. God bless u.. Bikira Maria atuongoze mwa manae.. Watching from Saudia
Nmebarikiwa sana na huu wimbo.Kama vile mt augustino alivyosema kuimba nikusali Mara mbili,hakika nimesali na nmeupata usia huu mtamu.....hongereni mno kwa uimbaji
Well said! I’m publishing a weekly CZcams video on episodes from the life of Don Bosco, entitled ST JOHN BOSCO by JOE ZAMMIT. In this series I’m narrating events and miracles from the splendid life of Don Bosco. St John Bosco used to perform a miracle almost every day, through the intercession of Mary Help of Christians. From the lives of saints we can learn how to love God more and draw closer to him. Thank you.
Naomba like yako kama bado unausikiliza wimbo huu
Wimbo mzur
2024
Nyimbo zenu tamu kweli 1:21
Hongeleni mbarikiwe sana
😊😊😊😊😊😊😊😂😊
Nyimbo tamu tamu sana Wanakwaya wenzangu but Tanzania mko juu sana, Mwenyezi Mungu na awabariki sana pia padre wenu. Kenya twawatapua sana
Najivunia kuwa mkatoriki
Nawapongeza mmefanya utumishi. Endeleeni na mausia kwa jamii. Mungu awabariki🙏
Ujumbe mzuri kuna jirani kanikwaza nimrjikuta nafarijika mno. Kujua kusehe
Jamaaaaaani dada Nestaaa, dunia inapita...msamehe bure ila mshauri pia
Ubarikiwe mtunzi
Ubarikiwe pianist
Mbarikiwe waimbaji
Nimeipenda sana hii
Imenifanya nione fahari juu ya kanisa takatifu katoliki la mitume.
Mwenyeher Emmanuel dalzon
na abarikiwe sana daktari kwenye kinanda!
Asante
Fahari ya Mtukula ...Wimbo Umetulia na Umefikisha Ujumbe Uliokusudiwa...Ahsanteni Sana
Usikubali kukosana na mtu!!!!🙌🙌🙌🙌🙌 Mungu awatie nguvu muendelee kuinjilisha
Dunia inapita achana na mambo yake...mbarikiwe sana waimbaji kwa kuinjilisha❤❤
Nimefurai kwakusikiliza wimbo uhu ninzuri sana n'a niosia mzuri kwawatoto wetu naMungu awabariki sana walioimba wimbo uhu.
Wosia ulio na mafunzo kweli. Mbarikiwe wana kwaya wa Mtakatifu Kizito Makubuli.
Wameimba vizuri, pia kuna Ubunifu safi kabisa 👏👏👏
Kazi nzur
Kabisaaa nmebarikiwa vyakutosha
Good song, good message. I hope akina Nyamwi wamesikia. Nanyi Holly Trinity mmh...Yaani hata hamkosei!! Nitawatafuta brothers.
@@HOLYTRINITYSTUDIOS Amina. Nanyi mzidi kubarikiwa sana
Wondeful
Wimbo wenye wosia kamili ,,,napendezwa na huo wimbo sana ,,hapa Kenya mwapendwa sana ,,,proud to be a Catholic
Mwakola mno, nmewaona watu wa nyumban wote nawafahamu, ila hii nyimbo ni nzuri sana, jitahidi kuitangaza itawatoa kwa kufahamika zaida
Wimbo mzuri sana nimepata faraja moyoni mwangu nimejifunza vingi kupitia wimbo huuuu
Hongereni sana sitosheki kuskiza huu wimbo hakika ujumbe umefika salama kwa hadhira haswa vijana wetu,
Upande wa mavazi mmeweza zaidi ya kuweza proud of you keep it up
Naupenda sana huu wimbo mbarikiwe Kwaya yetu ya MT. Daudi Parokia ya MT. Yuda Thadei-Mutukula 🔥🔥🔥
Wimbo mziri sana mara nyingi nausikiliza
Najivunia ukatoliki
😵😵😵😵😵😵😵😵🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄😒😒😒😒😒😒😒🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢🤢
Judith from Kenya nimafurahi sana kwa wimbo huh thank you God bless you abandentley,
Hongereni kwa wimbo mzuri na mavazi mazuri mungu awabariki.
Hongereni sana wana kwaya kwa wimbo mliyo imba mungu awabariki maana imenigusa sana 😃😆
My mom words when i joined campus🙏🙏
Nyimbo nzuri wosia
I love this one million times
I can listen to it a whole day 😉 Tanzania mmbarikiwa lot of love from Kenyans
Soo touching indeed..be blessed Tanzania...nice message indeed..sooo wooow(◍•ᴗ•◍)❤
Mbarikiwe kwa wimbo mzuri sana hakika nimeinjoy
And the world we shall pass try to live everyone with peace❤❤❤ (waebrania 12:14)
Hongereni sana Vijana wa Mutukula, wimbo mzuri sana 👏👏👏👏💕💕💕🔥🔥🔥
Hakika kupitia huu wimbo nipo shule ninakiri kuupokea wosia huu nitauishi nakuufanya kuwa taa na Nuru katika maisha yangu yote
Wimbo huu una maudhui mazito sana,hongera sana mtunzi na wanakwayawote
Wow! Wosia mzuri kweli...Mungu Mwenyezi akawanehemeshe zaidi waimbaji wa MT. DAUDI
Hongera kwa wimbo mtamu na wenye mawaidha mazuri mno kwa watoto wangu..nimeucheza mchana wote Hadi nikatamani kufika nyumbani Kenya na Tanzania
Wow, just WOW
This is mind blowing, uimbaji wenu , mpangilio wa sauti , mavazi, ujumbe. ...... vyote vyamtukuza Mungu
Mmenikumbusha choir flani ya arusha sikuimbuki wanaitwaje waliwahi imba a wimbo entitled** NANI KAMA ZAKAYO*
fantastic Catholic song nimebarikiwa sana
Mbarikiwe wanakwaya kwa kazi kubwa ya uinjilishaji mnayoifanya mungu azidi kuwapa aftanjema ili muiendeleze kaziyake 👍🌹💯
Wosia-Ni wimbo mtamu sana,ni raha yangu nikiwa studioni niicheze wimbo huu wasikilizaji na mwashabiki wangu wafurahishwe na pia waelimishwe #TeamHolyTrinity #TeamKenyaTz
Mwenye copy anitumie wadau nimeguswa sana
@@damianimasakila8872 Naomba Nota
Can't get enough of this song, very educative song. May God bless with greater minds for more ones. Mary ngina from machakos Kenya
Hongereni wimbo mzuri sana
Hongera Sana mandugu jirani wa Tanzania kwa choir nzuri keep up mbarikiwe sana
Asant mungu you up Fuji l9guys 44ttttfgtpoo6yghuulllllkoly guy Byrd
Eeeehhh,Nimesikia wimbo wenye Maneno Makubwa kweli kweli, Mungu Azidi kuwasaidia kweli,Mubarikiwe Sana,
Asante sana kwa maneno ayo yenye kujenga katika maisha yetu Mungu awabariki na kuwa jalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Wimbo mtamuu...enyewe sameha mara sabini...sio vyema kuwa na kinyongo na MTU..mbarikiwe milele..nawapenda
Sauti safi
Mavazi safi
Utunzi safi,
Kinanda safi
Ujumbe safi
Mbarikiwe sana, mwakola muno
Wimbo mtamu kwa maudhui na sauti zilizolainishwa.Vyombo vilivyo lainishwa na visivyo na kelele💙💙💙👍👍
Mungu awaongezee kipaji kwani Wimbo huu unagusa sana maadili ya kidini by Henry Tryphon Lwekengo
Mungu awabariki na kuwa Linda katika maisha yenu yote nakuwajalia nguvu za roho mtakatifu ili mpate kumtumikia siku zote zamaisha yenu amina
Wimbo mtamu kweli. Nimebarikiwa sana nikiwa hapa Kenya
Kazi nzuri sana,Hii fundisho kubwa,Nimewapenda sana,Mama Bikira awaombee kwa Mwanae hekima na busara za nyimbo hizi zitufundishe
Kwa kweli hayo no mawaidha nzuri kupitia wimbo Huu,,,mola Na azibariki Sauti zenu kabis
Kweli wimbo huu naupenda sana,, hongereni sana mliimba vizuriii na UJUMBE ni mzuri mnoo watoto wetu wakifuata watafika WATAKAPO kimaendeleo kwa kumshirikisha Mungu.
Mungu awabariki sana kua fundisho hio ! From Burundi 🇧🇮🇧🇮
I found my namesake. Thank you Lord 🙏
gongera cna burundi
Nimebarikiwa Sanaa ,. Pia nimejifunzaaa ,. Na kunikushaa dunia ipojee ,. Asante I Sanaa God bless US
Achana na urafiki. Urafiki mubaya . usije ukapotea dunia yenye giza 🥰🥰 asante sana 2mebalikiwa sana 🙏🙏🙏🙏 from tz 🇹🇿
Hongereni sana kwa wimbo mzr
Encouraging song mtumishi Anastasia..kongole naye Mungu akujalie miaka nyingi ya utumishi 🙏🙏
Hi wimbo inanifurahisha. Kila saa nikiimba hii nakuanga na smile kubwa sana. I love this song
Wimbo safi kabisa...
Sauti safi kabisa..
Kaka mutongore Ni Moto mwingine huu baada ya birthday yako kupita mwaka mwingine wa mafanikio hongera sana
Asante sana Elton.. Ubarikiwe saana
@@kaigamutongore8791 kaka hongereni sana.
Naomba nota za huu wimbo
@@kaigamutongore8791 tuko pamoja kaka
HONGERENI SANA FROM MWL. JOSHUA S SARUTWE(MTAMBO MAN)
OGANIST NI NANIIII HAPOOO( DVD TUNAOMBA NA OGANIST AONEKANEEE HAPOOO)
Jamani huu wimbo nausikiliza mpaka basi. Naupenda sana sana siuchoki kuusikiliza. Ni mzuri mno. Catholic raha sana
Mbarikiwe nyimbo nzuri watching from saudia.i real miss my church
Wooow!! Hongereni Holy Trinity kwa kazi nzuriiii👍👍
Mt Daud mmefikisha ujumbe kwa wimbo mzuri maana dunia sio mbaya wanadam ndo wabaya ukikubal kukosana shetan anakutumia ,Holy Trinity hongera kwa kazi nzur video iko clear hongera kwenu kwa wanakwaya kwa uinjilishaj 🙏
Nimekua machozi ya furaha kwa ajili ya huu wimbo
@@HOLYTRINITYSTUDIOS nimelia machozi ya furaha kwa huu wimbo mbarikiwe sana
Hongereni sana wanakwaya wa Mt Daud patokia ya Mt Yuda Thadei Mtukula Mungu awabariki sana kwa kutuinjilisha kwa njia ya uimbaji.
Nasema Asante mungu wangu kwa ulinzi wako mkuu kupita wimbo huu najivunia sanaa
Mungu azidi kuwabariki sana Alex kapirimposh 🇿🇲🇿🇲🇿🇲💓💓🌼
Safi sana.... Hongereni Wadau😋😋😋👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
imependeza SNA hongeni sn
I cant get enough of this song!!! Haki listening 👂 all the way from 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Nice Song be blessed
Wimbo mzuri ambao wanikumbusha mahagizo niliyopatia watoto wangu kila wanapoenda shule mbali na sisi wazazi
Wimbo mzuri sana na saut tamu na ujumbe maridhawa mbarikiwe wanakwaya wa Mt Daud
Wimbo mzuri sana asanteni
Waooooo ameeen mimi nimejifunza vyema 🙌 kweny huu mwimbo be blessed
Wimbo mzuri. Ila mazingira ya video, hayavutii, na inaonyesha wazi kwamba Tanzania imegeuka jangwa. Watu, tumekata miti, bila kupanda miti, na mwisho tunaanza kulalamika mabadiliko ya tabia nchi. Serikali Haina budi kuhimiza wananchi kupanda miti. Tunaelekea kuwa jangwa
Wow. Mbarikiwe xna very nice song 🔥🔥♥️♥️
Pongezi zangu pikea
Amina Amina, amani ya Mungu iwe juu yenu Roho Mtakatifu awaongoze tena zaidi ya hii na mbarikiwe nyote
Hongereni sana love Catholic kiberege, mungu awabariki awatie nguvu
I really love this nice song. And iam broud to be Catholic.. It's amazing and fatastic. God bless u.. Bikira Maria atuongoze mwa manae.. Watching from Saudia
Mungu awazidi kuwabariki na kuwalinnda nawatakie
utumie mwema
Kwa kweli naupenda wosia ulioko katika wimbo huu
Hongereni sana kwa kazi nzuri. Mzidi kubarikiwa.
Kwaya ya mtakatifu Daudi sig'rendi jamani.mjitahidi mavazi wanawake.pia hongereni kwa wimbo mzuri
Hongereni kwa kazi nzuri mungu awabariki sana nimeupenda wimbo jamani
Mbarikiwe nyote washiliki mulioweza kukamilisha kazi hii Mungu yupo pamoja nanyi 🙏🙏🙏
Nmebarikiwa sana na huu wimbo.Kama vile mt augustino alivyosema kuimba nikusali Mara mbili,hakika nimesali na nmeupata usia huu mtamu.....hongereni mno kwa uimbaji
Naupenda Sanaa huu wimboo Amina mung niongozee katik maisha angg
I heard a colleague listening to this song I went searched for it. I thank God for this voices. Mother Mary pray us
Nimependa vocal, message na utulivu wa waimbaji
Hongereni sana kwa wimbo mzuri.....hakika ujumbe mzuri saaana
Nanunua emb kwasababu yahuu wimbo natoa machozi yafulaha ninapo usikiliza
Najivunia kua mkatoliki jamani had raha sana nyimbo nzuri sana
Love it 😍♥️
Wimbo huu umajaa ujumbe
May God bless this choir for me 🙏❣️
Asante sanà Kwa huu ujumbe..Mungu aendelee kubariki hii Kwaya.Mt.Daudi utuombee
Wimbo mzuri sana umenigusa hadi nimewaita wanangu wausikilize kwa kutulia
Hongereni kwa uinjilishaji huu mzuri, ninaomba nota za wimbo huo wa WOSIA.
mbarikiwe
Mungu awabariki sana mwendelee kusimama Imala Kwa kuinjilisha neno la mungu wimbo huu unanibariki sana
I Love this song with all my heart. ASANTE MTUNZI, MAWAIDHA MUHIMU KWA MAISHA YA MWANADAMU.🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Aminaa...!!! Msamaha ni kila kitu kwa maisha yetu
Hapa mmefanya kazi ya maana sana. Ujumbe mzuri pia sauti mashuhuri
Mmeiba vizur Sana Da Jack nakuona katika ubora wako product ya Rubya.
Mungu awabariki kwa wimbo mzuri
Wonderful song,
wonderful VIDEO .... 4K MMEFIKA WOW
God bless you.
From Kenya
Asante kwa sala zenu
Well said! I’m publishing a weekly CZcams video on episodes from the life of Don Bosco, entitled ST JOHN BOSCO by JOE ZAMMIT. In this series I’m narrating events and miracles from the splendid life of Don Bosco. St John Bosco used to perform a miracle almost every day, through the intercession of Mary Help of Christians. From the lives of saints we can learn how to love God more and draw closer to him. Thank you.
Wimbo mzuri sautinzur sana hongereni sana 🙏 🙏
I just like the message in the song,"Usikubali kukosana na MTU Kwa sababu yoyote Ile"
Ongeleni sana mungu azidi kuwabariki na awapemaisha mema namarefu amen 🇿🇲🇿🇲😆💓
Roho yangu imetulizwa na huu wimbo..... What a sweet song!
I love tanzanian songs usikubali kukosana na watu ,from nairobi kenya
I love the song,,,hongereni wapendwa wa yesu
Ee Bwana Yesu bariki maisha yangu na yawanangu
Naupenda huu wimbo sana,heko kwenu wanakwaya kazi jema🇰🇪🥰.