Utinzi wa Bernard Mukasa na kuimbwa na Kwaya ya mt. Kizito, Parokia ya Makuburi, Dar es salaam Tanzania. (St. Kizito Choir, Makuburi Catholic Parish, Dar es Salaam Tanzania)
Again and again i 've been listening to it since 2011 to date....mmetoka mbali ndugu some faces from this point to date....hongeren na muishi kwa undugu huu KMK....
Hongera Sana wanakwaya kwa Uinjilishaji mzuri hiyo ni Ibada ya Kiwango kikubwa Mungu Azidi kutubariki hasa Kipindi huki cha Maajilio Napenda Sana Uinjilishaji katika kwaya
mim lilian kiukwelu kway ya mtakatifu kizito mko vinzuri mungu awabariki sana nikisikiza hizi nyimbo huws nafarijika sana pia huwa nafarijk ansant utume mwema
kwa kweli Mungu acheni aitwe mueza wa yote kaifanya kwaya ya mtakatifu kizito kuwa chombo cha uenezaji injili aswaaa kwa kweli mnaweza May God bless be upon you all mtakatifu kizito
Fridolinus Mushobozi hapa anaonekana mdogo kimaumbile. Sauti nzuri. Makuburi ni kielelezo chema kwetu sisi waimbaji wakatoliki wa kanda ya Afrika Mashariki.
kiukwel mmeutendea haki wimbo kuanzia waimbaji mpak mpigaji, mmetisha sana ila nashindwa kuupat nataman niwe nao hat kwenye cm roh yangu itafrah saaan.
Hakika Mwenyezi Mungu ni mmoja na atabaki kuwa mmoja akhasante
We are singing this song in our church nowadays and its sooooo good 👍🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤️❤️❤️👏👏👏
Kuishi kwetu ni kristo rahaa sana mungu awabariki sana
Jaman kwaya hii inatisha sana ukweli lazima ubaki... hongera sana mukasa na mpiga kinanda wake! du! naona wivu!
angela
From Kenya but ukweli usemwe mko juuuuuu sana
Heee am. Ugandan but this pianist my goodness 🤭🤭🤭🤭🤭🤭nikazi nzuri ndugu ubarikiwe🙏🙏
A good song in deed.During my stay at Kibabii University,Kenya we loved singing it during mass.
From Kenya🇰🇪♥️
Again and again i 've been listening to it since 2011 to date....mmetoka mbali ndugu some faces from this point to date....hongeren na muishi kwa undugu huu KMK....
Hongera mpiga kinanda umekulia hukuhuku, Mungu akufadhili!
Mungu ni mmoja Hakuna mwingine asanteni.
Kweli mukasa ana kipaji cha ajabu,hongera sana na mungu akuzidishie katika utume wako,endelea kumtumikia bwana kwa utunzi wa nyimbo
may our arlmight god blecc u guys u real do a good thing
Hongera Sana wanakwaya kwa Uinjilishaji mzuri hiyo ni Ibada ya Kiwango kikubwa Mungu Azidi kutubariki hasa Kipindi huki cha Maajilio Napenda Sana Uinjilishaji katika kwaya
kweli ni mmoja na ndie peke ake YESU KRISTO.......AM PROUD TO BE CHRISTIAN
Mshobozi mungu akujaalie zaidi ili uitangaze injiri kwa njia hiyo kweli kinanda kinakujua hongereni sana
Ni Mmoja, Kuishi kwetu ni Kristo. Our Good Lord & God will always protect us.
imelia mbiu ya mtume paulo ❤am blessed to be acathoric nice messages be blessed singers
Asante mungu awabariki kwa nyimbo nzuri kiukweli mt kizito mnajitahidi kwa kuimba
12 years back!!! Mmetisha sana MKM huchoki wimbo unaoimbwa na hii kwaya!!!
mim lilian kiukwelu kway ya mtakatifu kizito mko vinzuri mungu awabariki sana nikisikiza hizi nyimbo huws nafarijika sana pia huwa nafarijk ansant utume mwema
Naupenda sana huu wimbo! Mukasa atabaki kuwa mtunzi bora wa nyimbo.....Hongereni sana Makuburi
Vizur sana
Ama kweli nyie wenzetu mnajua
Ee mungu tujalie neema ya kukupenda daima, najivunia ukristo, mungu tufanye tuwe wamoja Kama upendavyo wewe pekee
Theresia Paul mtume
Aminaa
Hakika ni mmoja tuu...
Hakika kuishi kwetu ni Kristo pekee
NICE ONE ASANTENI, HUYU MPIGA KINANDA ALIKUWA COLLAGE MET WANGU. KILA LA HERI WIMBO MZURI SANA
Inapendeza sana
Kwangu mm kuishi ni kristo nahata kufa kwangu ni faida. Barikiwa sanaaa
I can't even get tired of watching this choir,they are so inspiring, just know you have one of your number fans this side.
Ahsante kwa uwimbaji wetu mungu azidi kukubarik
Daah nmeutafuta sana huu wimbo hatimaye leo nmeupata 😘😘😘
hongereni kwa kumsifu mungu kwa nyimbo
napenda mnavyoimba mungu awabariki
Such a nice song...but another of my favourite old kmk song Msifu bwana sipati, please help 😊
Wabule Grace. From Uganda. I really appreciate the wonderful work the pianist does almost in every choir. He is very grate.
Jamaniiiiii hongereni sana . wimbo wenu wagusa sana wakristo. Mungu nanyi
kwa kweli Mungu acheni aitwe mueza wa yote kaifanya kwaya ya mtakatifu kizito kuwa chombo cha uenezaji injili aswaaa kwa kweli mnaweza May God bless be upon you all mtakatifu kizito
Organist is exceptional
kweli ni mmoja nakuishi kwangu ni Kristu hata kufa kwangu ni faida
Asante sana mungu awaongoze kuptia jina la yesu Christu.
.good song hit song by the Catholic kweli kuishi kwangu faida
Ndio kuishi kwetu ni kristo
wimbo safi kabisa. tafadhali mtume lyrics tuimbe pamoja
Dah naupendaga huu wimbo sana
Sure am proud to be a Catholic
Wimbo mzuri sana ndugu zangu
kwangu kuishi ni kristo na kufa ni faida,gudi sana waimbaji Mungu awape tumaini jipya kila wakati
Fridolinus Mushobozi hapa anaonekana mdogo kimaumbile. Sauti nzuri. Makuburi ni kielelezo chema kwetu sisi waimbaji wakatoliki wa kanda ya Afrika Mashariki.
I listen & learn through this everyday, yes ni mmoja no one like JESUS
Chricensia Mathew Congratulations 🎊 brother
I'm very proud to be Catholic.
what a song!!!! so nice..
wimbo mzuri sana
I FIRMLY BELIEVE THAT OUR LIVING IS SO FAITHFUL TO US HIS CHILDREN.THROUGH HIS DIVINE WILL THIS WOULD BE MARCHING SONG FOR MY LOVELY WEDDING DAY!!!.
hiyo nimeipenda. mpigakinanda kapiga vvizuri sana, na waimbaji wameimba na kunesa vizuri sanaaa..
Mtakatifu kizito keep it up
Thank you very Much Rigogo..Amina...baraka tele ziende kwako kwa kupendezwa na kazi hii ya Mungu..@Donat445
Ekinanda nomaya kukikuntula kwakwel katonda akwebembere ntukushabila okuguma
mbarikiwe sana...sauti nzuri sana mungu awabariki
mbarikiwe wana wa mungu n kwel n mmoja
among the best song i lyke 2 hear, congrats!
kwangu kuishi ni kirsto na kufa ni faida ahsante sn barikiwa sn waimbaji
Ama Keli ni mmoja hakuna mwingine zaidi yake
Kwa maranyingine nimeukumbuka huu wimbo❤
Am in love with the song🎉 congrats 👏
kiukwel mmeutendea haki wimbo kuanzia waimbaji mpak mpigaji, mmetisha sana ila nashindwa kuupat nataman niwe nao hat kwenye cm roh yangu itafrah saaan.
Mko vizuri wapemdwa
Umetisha Sana huu wimbo yan nizaid ya Sana
kujet kwng kusmm kwang hongela mt kizito kwa ujumbe mzito
wow! nice song from kinanda up 2 uwimbaji unanikumbusha wimbo wa mali yako
keep it up makuburi Mungu u pamoja nanyi!!!!
wimbo safi sana mungu awajaze neema
ooh! the song is so nice!!!!!!!!!!!!!
Niice song
Kweli emeliya mbiu ya mtume paulo hongeleni sana wimbo mzuli sana huu
Longo Miwuoro Sauti Safi kweli Bwana Yesu apewe sifa erokamano
Hongera sana
kweli imelia mbiu, wimbo mzuri Kweli
The song is so good it's very inspiring too young pple
Naupenda ukatoliki wangu ,hakika nitadumu kwenye imani hii
As usual KMK never disappoint....to more and more years of serving God
Huu wimbo umenigusa
Amen
2022…. And loving the song!
This choir is awesome! You guys always lift me and I feel next to Jesus Christ!. I adore you ..good work
Nyimbo mzur sana naipenda kuliko
kweli mnainjilisha jaman
1 Peke yake NI MUNGU PEKEE
asanteni kwa kuhubiri injiri kwa njia ya nyimbo
This song is lovely and lively. Wonderful KMK Makuburi choir 👌👌
naifurahia kazi yenyu saana
Well done members of st. Kizito choir thank for serving the Lord.
*Mukasa and Organist Mushobozi well arranged vocals and instruments 🌟🌟
very nice song I like
nyimbo zenu nikizisikiliza nafarijika sana jaman
Nikweli kabisa ni moja ni Yesu tu
have liked it may God bless you
and also bless all you talk with about
the good news.
Nikisikia nyimbo zetu najisikia Niko Nyumbani
Amina sn mwenyenz mungu hawabark
nyimbo zina ujumbe Nemo la mungu
what a nice song....God bless u all
napenda kwel nyimbo
Naupenda sanaaa
Catholic jaman .... 😘😘😘 proud to be 🙂
kweli kila nilichonacho ni kristo
Maisha yangu yote ni kristo
Proud to be christian
Niceee
Kweli kuishi kwetu ni Kristo
Thank you,I'm blessed
I am more than happy guys for this song! It is my favourite one,... May my God and yours bless you all speccially the composer and organist
nyimbo ina ujumbe mzur kwel mbarikiwe sana
nice
Hakika tumtumikie Mungu Katika maisha yetu
safi sana mbarikiwe na mungu
awesome! nimeipenda sana