Utunzi wa Bernad Mukasa katika album ya pasaka yuko Galilaya ya Kwaya ya mt. Kizito, Parokia ya Makuburi, St. Kizito Choir, Makuburi Catholic Parish, Dar es Salaam Tanzania
Huu wimbo nakumbuka tulifundishwa na mwl. Kalole ktk parokia ya lyasa jimbo katoliki la iringa hakika ni mzuri huwa najiskia Furaha sana kila ninapousikiliza,hakuna kitu kizuri kama unacho kifahamu kwa undani wake napenda sana kwaya.
NImependa sana nyimbo zenu zimenifariji sana natamani sikumoja niwaone maconi ila nikombali ya macho yenu ila najuwa tuko pamoja kiroho kwa mawasiliano send email to djoscar86@yahoo.com
My favorite song especially during Easter period.... Thank you Jesus for your sacrifice Thank you God for loving me too much ❤❤
Napenda za nyimbo za Roman jmn,,,, mungu azidi kuwapa pumzi ya kumsifu yeye cku zotr
My favourite song of Easter
Whose is with me now 2021
ST.KIZITO,MAKUBURI MAY THE BLOOD OF OUR LORD JESUS CHRIST PROTECT YOU ALWAYS.......
Sitanyamaza wakati ninafaa kuwapongeza ndugu zangu watnznia kwa sauti nzuri, huwa mnanibariki kabsa, tueneze injili wapendwa, dada yenu mkatoliki mkenya
Huu wimbo nakumbuka tulifundishwa na mwl. Kalole ktk parokia ya lyasa jimbo katoliki la iringa hakika ni mzuri huwa najiskia Furaha sana kila ninapousikiliza,hakuna kitu kizuri kama unacho kifahamu kwa undani wake napenda sana kwaya.
Lyasa jamani, kitambo sana 2009 kwaya ya upadirisho shirikisho
Nakumbuka kwenye
Nakumbuka kwenye upadirisho wa Father vitalis
Ndio msamba
Ulikuwepo?
in serving God nothing is lost...
Big up Bernard mukasa, wimbo unanivutia sana, niliwish one day niwajoin kizito but sikupata nafasi, hope siku moja nitaimba nanyi
Kwel mbalikiwe na Mungu azid kuwainuwa kwa kaz nzur ya mikono yenu
mnanibariki sana waimbaji.mungu awape nguvu na awainue muendelee kumsifu.
Shukrani sana watanzania. Kutoka Italy.
hongela sana mpiga kinanda mwenzagu hakika nimejifunza mengi kupitia wewe big up sana kwa kwaya yote
tunashukuru sana kwa kwaya nzurisana
Na kweli kimeeleweka na kitaeleweka hasa katika kipindi hiki cha Corona
Leo kimefafanuliwa, kimeeleweka!
I just love the transformation....look at you guys...😍 just amazing
0pp
This song inspire me so nice song
kweli hatuna budi kusema kimeeleweka,,,,,,,,,,, wimbo mtamu uliojazwa na utunzi poaz,
wimbo mtamu!kwa kweli kimeeleweka
Mungu yu pamoja nanyi wimbo mzuri
Wanakwaya Makuburi mubarikiwe sana, maana kweli kimefafanuliwa na kueleweka...!
Nawapenda upeo Kmk
Mungu azidi kuwabariki mko vizuri saaana nawakubal kwel mnawezaa katika yeye atutiaye nguvu
kimeeleweka haswaaaaaa; congrats sana wapendwa; be blessed sana tuu;
Kimeeleweka kweliiii ........👏👏👏👏👏👏👏👏
hongera Mukasa kwa utunzi bora kabisa
salam kwenu wanakwaya wa mt.kizito nawakubali sanaaa
B:mukasa nyimbo zako zote nazikubali ubarikiwe sana
helena sozigwa Hsjsjmnatuburudisha tulio mbali
Hongereni sana Mt Kizito kwa ujumbe murua Mungu awabariki sana
2024🎉🎉
wametisha wanakwaya hongereni sn mmependeza sana
That's one of the best played music in Kizito Albums
Yeah.....so Nice
hongera b mkasa kwa utunzi wako
Lovely. Those beats rock.
kudos guys for the good job..endeleeni kumsifu Mungu
Tukumie Yesu Kristo
hongereni mpo vizuri dana mungu awabariki sanaa
Hongera mukasa
inderesting songs keep up.
Mubarakiwe sana
mnanibariki sana
I love listening to this song 😍
kwel mungu awabalk
kweli kimeeleweka
Mko vzr sana
nice song nabarikiwa sana
makuburi rc noma
kweli kimeeleweka kimefafanuliwa
Nawapongeza mungu azidi kuwapanua ktk utumishi wa kutangaza neno LA mungu kweli kimeeleweja
nice song, mbarikiwe sana
Asanten sana
Aleluyaaaaa Amefufuka
I enjoy your singing .How can I make these songs my ringtones.Sarah Kiragu from Kenya
mnatisha Makuburi nimebarikiwa xana
rose muando
Hahaha kweli kimeeleweka
Edsoni Josephat
Kwel kimeeleweka
Saf sn
NImependa sana nyimbo zenu zimenifariji sana natamani sikumoja niwaone maconi ila nikombali ya macho yenu ila najuwa tuko pamoja kiroho kwa mawasiliano
send email to djoscar86@yahoo.com
Nyimbo zilizotungwa na partic sanka ni zipi
ogeleni Sana me nataka arubam nitaipata vip