RAIS DKT. SAMIA AKIZINDUA BARABARA YA SUMBAWANGA - MATAI - KASANGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 22. 08. 2024
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akizindua Barabara ya Sumbawanga Matai Kasanga ikiwa ni sehemu ya Ziara yake Mkoani Rukwa leo tarehe 16 Julai, 2024.

Komentáře • 11

  • @Saki930
    @Saki930 Před měsícem +2

    Hongera kwa Mh.Rais kwa kuendelea kuijenga nchi yetu

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 Před měsícem

    Kazi iendelee lets the work continue 🇹🇿🇹🇿🇹🇿✅

  • @JacksonMtese-gn4so
    @JacksonMtese-gn4so Před měsícem +1

    Hongera a country on a move

  • @issaidrisamusa5962
    @issaidrisamusa5962 Před měsícem +1

    Kama Taifa tuwe na maono ya muda mrefu, hii barabara Bado haina hadhi ya kuzinduliwa na Raisi . Ni kauchochoro traffic lights hamna

  • @isakhamisi8923
    @isakhamisi8923 Před měsícem

    Hii barabara yenyewe mbona inaonekana haina ubora sina uhakika hata kama itafika hata miaka miwili haijahitajia ukarababu wanaohusika waangalie kama hakukuwa na ubadhirifu hapo kwa wasimamizi.

  • @EvaMwangunule
    @EvaMwangunule Před měsícem

    Angekuwepo jpm angewadabisha wote wariohusika kukubari utumbo huhu warosimamia ujenzi wakindiga uchafu tuuu😂😂😂😂😂😂😂

  • @Ammarah0688
    @Ammarah0688 Před měsícem

    Hazeeki bi mkubwa

  • @user-hq5we6xm5u
    @user-hq5we6xm5u Před měsícem

    Mama chapa kazi ilii Tanzania ijulikane kiulimwengu edereza
    Mazuri ya mtagulizi wako mzee jpm hapa kazi tuu bruedoza ni Mimi juma toka mbarara Uganda mtanzania harisii mama nakunga mkono

  • @Ammarah0688
    @Ammarah0688 Před měsícem

    Mbona mama anakua mweupe kwan anapiga kitaulo 🤣

  • @astrinomgesi-np5xv
    @astrinomgesi-np5xv Před měsícem

    Ongea juu ya mahindi kuporomoka mbunge

    • @issaidrisamusa5962
      @issaidrisamusa5962 Před měsícem

      Mahindi kuporomoka mtazamo wako ni upi maana mwaka jana tukipiga kelele chakula bei juu.