🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2023
  • 🔴#LIVE: RAIS SAMIA - "HAKUNA MWENYE UBAVU WA KUUZA NCHI"
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Komentáře • 232

  • @AhmadAbdalla-mq3dp

    Saanteee MH RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA WATANZANIA,,,UMEELEWEKA MAMA MUUNGWANA HANA MAKUU,,🌹🙏🙏🙏🌹

  • @samwelyesaya1202

    Mama mkataba huu hatuutaki sitisha halafu tangaza tenda nyingine ya uwekezaji kwenye bandari zetu kwa uwazi makampuni yashindanishwe kwa uwazi

  • @user-kg5yu4kg9p

    Hakika namuomba mwenyezi mungu amuongoze rais wetu kutuvusha ktk hili maana maadui wa nchi ni baadhi ya watanzania wachache.

  • @user-tt8dn3nn2t

    Asantee sana mheshimiwa raisi wetu allaah akulinde na wasaidizi wako wote ktk serikali yetu tukufu aamiinn

  • @user-ir3od2bv7s

    Mh Raisi Tekeleza majukumu yako Nchi unaipeleka vizuri saaana, Mwenyezi Mungu akubariki sana.

  • @joojombi2341

    Manshallah ubarikiwe bora umeyasema wapotoshaji wenye roho mbaya na uchochezi mafatani wakubwa wengi wapo Tzd. Hasa Chadema wachonganishi sana hao

  • @joachimmbosha5796

    Mungu ajalie kanisa katika Utumishi wa kimungu,Mungu bariki Tanzania.

  • @marialesulie6798

    Hotuba imetulia maneno ni mtamu sana. Bandari zetu nazo ni tamu sana tunazipenda kuliko chochote.

  • @marialesulie6798

    Rais wetu Umeongea vizuri sana. Matendo huongea kwa sauti kuliko maneno.

  • @nicholasmhina8705

    Nakuelewa sana Rais wangu Mungu akupe maisha mrefu

  • @donkingtraders692

    Mama Mungu akutangulie pambana mama ....tupo nyuma yako

  • @Sarafinasauli

    Mkataba unakuja hadi kubadilisha sheria zetu za ndani duuh tumefika kubaya sana mama leta wawekezaji hadi taasisi za uma maana maana tumekuwa kichwa cha wandewazimu tunaonekana hatujielewi ndio maana hubabaishwi na husikilizi maoni ya wengi ila unafanya uonavyo tu

  • @markosabale3839

    Asante rais ujumbe wako ni hakika na thabiti hao wanaohadaa watu ili wajipatie sifa kwa Nia ya kujaribu kuvuruga amani washindwe kwa dmu ya yesu

  • @josephnjiloi7939

    hongera sana mama

  • @mselematrans3474

    Pambana Mama hakuna mwenye ubavu wa kuivunja amani tulioitafuta kwa jasho katika Nchi hii. Piga kazi Mama na Kazi iendelee

  • @josephmantago2837

    Tatizo la watawala wa kisiasa wanamilikishwa nchi na watu nakutunga sheria za kuwalinda na kujimilikisha raslmali za nchi wakiuza na kula matunda ya nchi huku wananchi walibebeshwa mizigo ya kodi kwa ajiri ya starehe zdo

  • @user-ro4tl6ei2b

    Mama pole na kazi samahani nakuomba shughulikia swala la umeme mkowa wa SONGWE tunateseka sana au tuombee sola china

  • @TimotheoGadiel-xw5zm

    Hongera kushiriki siku hii ya mhim kwa kanisa hili.

  • @marialesulie6798

    Maadili pia yanajengwa kwa kukopi kitoka kwa viongozi wetu. Watoto wanakopi kwa viwango vikubwa sana yola kwa wazazi wao. Ni ngumubkukataza mtoto kuiba wakato baba au mama ni mwezi.

  • @user-vx1bm9mh3r

    Hongera kanisa hongera viongozi wetu na hongera Mama tunakupenda na tunakuombea Mungu akubariki na kukulinda