ASKOFU Dr SHOO AVUNJA UKIMYA MSIMAMO WA K.K.K.T KUHUSU SAKATA LA BANDARI
Vložit
- čas přidán 20. 08. 2023
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Katoliki pekee ndio wapo direct
Sababu Wana nufaika kwa kupitisha mizigo Bila kulipia mda umefika sasa nao walipie mizigo yao
Well said,lets unit in this critical time,Tanzania inaenda kuongoza Africa mashariki na kati so vita vya kiuchumu ni vita mbaya maadui wasitumie mpasuko wowote kuturudisha nyuma
Asikof hana msimamo! Mtu wa Mungu unatakiwa kuwa wazi siyo kumung'unya maneno
We huna hekma acha mzee aongee
Hawa wote wameibuka baada ya kusikia waraka wa katoliki duuh kwani mwanzo walikuwa wapi😂😂😂
Kila kitu kina mwanzo, Bandari miaka yote ilikuwa imekodiwa kumetokea nini kukodiwa sasa na DP World.😊😅
Iwe kanisa katoliki
Iwe vyama vya kisiasa
Iwe yeyote yule
Maamuzi ya mwisho ni ya serikali.
Ndio maana serikali huwa inakosolewa inapokea ushauri,maoni na fikra mbadala lakini haipokei amri. narudia tena haipokei amri.
Sasa kuna baadhi ya watu wanafikiri kuwa labda taasisi Fulani ikitoa Tamko ndio serikali itaufyata
wasijidanganye. pia kuna watu wanalazimisha maoni yao yatekelezwe na yasipotekelezwa wataingia barabarani!!!! Yaani kuna watu wa ajabu humu!!!
@@hajihassan5433 Nani alikuwa amekodi
Askofu Shoo umeonyesha ukomavu na nini hasa ya kuwa kiongozi wa dini!! Hongera kwako!!
Hana ukomavu wowote..tamaa inamwendesha tu
@@prosperitymaarifa3324 ingekua wewe
Askofu ana taka maokoto kwa mama😂😂 ikikupendeza chukua na hawa😅😅😅😅 najua mmeelewa kazi yako haina makosa😢😢😢
Alisemaga tutamkumbuka
Amini apo usikute kashapewa nusu bado nusu yake
Alisemq tutamkumbuka
Mungu ikikupendeza beba na hawa miungu wa Tanzania
Hongera sana Askofu Shoo, we all support Madame President!! Kazi iendelee!!
Huyo askofu hajielewi!
@@jemamhagama4978 hahahaha,,, mtateseka sana mwaka huu!!
huyu Askofu anakimavi sio bure
Askofu Anajua kusoma vizuri hotuba angalia vizuri video
Askofu acha kuwa mwanasiasa na mnafiki Yesu hakumwogopa Pilato kukwambia ukweli hata kt hatari ya kufa we una Imani gani watu wanateseka Sana kumbuka Yesu aliwasamehe dhambi Magdalena na Mnyanganyi na watoza ushuru lakini sio Wanafiki ebu acha kumsifu Raise kwa unafiki umepewa mamlaka na Mungu atakulinda ukiwa kt Haki Kama Tech katoliki
Mama kama wewe na Bodi yako unaona inafaida kwa Taifa wewe Usijali Kodisha tu sisi tunataka Maslahi ya Taifa Maana Hospitali tupate Madawa kwawakati bili kunyanyasika
Huyu Baba Nimemuelewa mno Ni Mzalendo wa Kweli wa Hii Nchi hana mbambamba
Kama wale jamaa Wazee wa Waraka
Wa Kichungaji ni Wabinafsi
Wazee wa Madili Bandarini
Mzalendo Mwenzangu Mungu akubariki na abariki huduma yako
Hujamuelewa! Huyu hayuko na serikali! Yuko na wananchi. Tatizo umesikiliza alafu kuelewa kwako ndo changamoto.
Wewe nijinga mno
Mungu asimame nasii
Tutaona federeshini zingine watasemaje , maana we unaonekana mpigaji
Hayo ni maoni ya askofu sio ya waumini
We baba nakuheshimu sana Ila kwenye hili umeonyesha unafiki na upraise team, hili swala watu wanaanza kuwekewa kesi za uhaini, wabunge wamepiga kura, huyo mama wa Kambo kakaa kimya alafu unasifia, wewe ni Yuda uliyevaa vazi la dini
Amesifia Nini hapo Sasa huuoni anasisitiza raisi asije akaligawa tarifa?
Kweli
Mungu asimame nasi
Hovyo 😊
Kazi eyendelea ❤❤
Huo ni msimamo wa askofu shoo wala sio wa waluteri kama unabisha wapige kura utajua msimamo wao.
Jamani huyu askofu vipi ? Nae kapiga?kwa nini asiulize maswali muhimu kuhusu huu mkataba mwisho wake ni lini?
Wanaendelea kumlisha mama matango pori🙄.
😭😭😭😭🙉 Askofu unajaribu kulifunga kwa bandeji donda lililooza ata kunuka, Ni Kam unakubali na kukataa huoni unaliaibisha kanisa lako ata waliokusanyika apo wanakushangaa wanabaki tu kupongeza kinafiki.
Huelewi point tu hapo. Hongera Daktari Askofu Mungu akutunze
Museveni kashasema hataki usenge na usagaji..uwekezaji wenye manufaa ya raia maskini sio udini na ....hatutaki usenge na usagaji kwenye taifa letu tukufu..
Mimi nahamia katoriki maana naona baba ask anajiumauma tu.
😂😂😂😂kuongea mbele ya President famasiala nn
Hujaondoka nenda tuachie KKKT YETU
Mzee umepewa rushwa ya arambee moto utakuwakia kwa mungu
Kama huo moto unawasha ww sawa
Tatizo viongozi wetu wa Dini sijui wamekuaje wamekua waoga kusema ukweli , wamekua na muheshimiwa nyingi hadi nachukia , hawanyooshi mstari kumwambia mtu ukweli hapa unakosea rekebisha , kitu wanachoona cha maana ni kuita muheshimiwa nyingi, na kupiga picha na Raisi na kumshika mkono alafu iweke ukisha piga picha
Hapa ndio anaongea Sasa SI mweshimiwa ni rahisi huyo ni lugha kurigana na mazingira elewa. Huwezi kuongea lugha nyingine. Askofu Daktari Hongera kwa kuongea kwa busara Ujumbe Umemfikia mama
Hilo nionyesho siyo askofu
Unajifurahisha na ufaham mdogo ulionao
Askofu Yudah a.k.a askof maokotooo
Askofu mnafiki
Walio mkana YESU wapo wengi ata akirudi muda huu atatamani aondoke tena na asirudi Bali garika ipite tena . Wasitokee akina Nuhu, Bali kitokee kizazi kipya. Bado WAYUDA wapo wengi.😂
Alijua wazi YESU akituma nauli kuna watakao mkana nakula nauli alisema tumsubiri arudi aje atufate alijua hata wakati wa mwisho watu wengi watamkana akiwepo ASKOFU
Inakujaje hii ya YESU hapo
Hapa pana askofu kweli??? Kwa nin unazunguka zunguka ivo...mmmh ni kweli gharama ya kusimamia ukweli inaweza lipwa na mpagani kuliko hawa tunaowaita viongoz wa din
Awa viongozi wa dini wanafanya nini kwenye uchumi na kwenye siasa.
Huyu naye mh! keshachukua maokoto😅😅
Mimi nawauliza bungeni walipopitia hawakufuatilia kuhusu Mashirika ya Dini hizi kuhusu uangizaji wao au misiada wanaoletewa toka nchi mbambali,kuwa kunastamp Rubber, nasema Labda ndio hiyo ,viongozi wetu wadini wanahofia?
Sjawahi kuona askofu wa hivi
Asikofu sema ukweli ulivyo na kiti chako kitakatifu sema kwa haki pale unapoona haki usimungunye maneno we nimtu wa mungu na msimamizi wa wanyonge hiyo ni hukumu baadae utuulizwa na mungu
Hajamumunya maneno hapa ameongea kisomi kwelikweli
Sijamwelewa nn anaongelea nasikia tu Mweshiniwa raisi Mweshimiwa raisi da 😢😢 kuifika nchi ya Ahadi ni shughuli sana ngja nikasikilize wimbo wa ney naona huyu mzee ananichanganya tu
Kasema vizuri. Kuwa wanahaki ya kuonya pale wanapoona mambo hayaendi yanavyotakiwa. Sema vyombo hivi vya habari vinakata hawaonyeshi yote.
Saw saw Baba tumekulewa Baba
Biblia imekataa kujipendekeza
Serikali kuweni makini hamuwezi amua mambo makubwa ya kiuchumi kama haya kwa kusikiliza viongozi wa dini. Cha msingi zingatieni faida na hasara za kiuchumi
Maokoto ongea tukuelewe...be direct bro!
Kanisa la kkkt ni kanisa la kibiashara Tanzania lilishapotea serekali ya CCM ilishawameza.waumini ondokeni ktk hili kanisa geukieni kwa makanisa yanayosimama na wananchi.ameongea porojo hapo shoo umeligawa kanisa
Hofu na woga ndiyo kitu kitakachoendelea kutuumiza. Sema una imani siyo tuna imani. Mtajipendekeza mpaka lini? Siku 1 Ndugai alisema, ipo siku nchi itapigwa mnada. Ukitazama kwa jicho la 3, wote waliokuwa na msimamo kipindi cha MAGUFULI, walitolewa wakawekwa mamluki ili kutimiza malengo. Viongiz jiangalieni, machafuko mnayatafuta kwa juhudi zenu.
ww askof unafikiriwa 😅
Mimi nakichwa kigumu hata mkiniombea 😅😅 nacho omba bandari zetu zirudi.
Kwani zimeenda wapi aisee
@@slymsameer5415Huyu hata hiyo bandari ndio nini hajuwi
Wawafute wale wazembe kwenye bandar wanaosema mtandao uko chini ambao hawanyooshi ,,, wezi ndo waondolewe iv kweli nchi nzima imeshindwa kuendesha bandari , watenge hela za kupanua bandari , Kama za walivyofanya kwenye bwawa la nyerere , waboreshe ili iendelee kua ya nchi yetu , ,
Kotaana munama ongera kaka kwa maneno mazuri
Uyu hapana 😅😅😅 Mbona anauma uma maneno 😢😢😢
Uelewa wako mdogo huwezi mwelewa mtu wa PHD wewe.
Askofu wangu tafadhali sana be specific to the specific matter.
😂😂😂Amezunguuka mno! Sijui anaogopa nini! 🤔😅😅🤣
Askofu ameuma na kupuliza😂
Hovyooo
Mama chapa kazi wache waseme
Kwaiyo vyote vya bandar iv ndo mnapost mbona na amjapost wanao pinga achen izwooo
Mimi sijamuelewa naona anayumbisha tuu kama nae ameshakula posho😊
Sisi acha tuhamie katoliki hatuna askofu hapa ..huyu ni mnafiki.anawinda maokoto.
Na mnafiki kweli kweli mm mwenyew na hamia katoliki KUANZIA Leo hajui anaongea nn ovyo kabisa utafikiri sio MCHAGA anaongea utumbo hapa hatutaki bandari zetu ziende kwa watu mjinga kweli anajipendekeza hapa
Kabisaa Mimi nimeshaenda kujiandikisasha kwa padre
Hamjaenda Bado ondoken haraka tuachie Askofu wetu
@@obinasimbeye1750 mwizi huyu anawinda maokoto huyu Ila ajue Ile ni taasisi kubwa kkkt kubwa kuliko yy waumini hawajapenda
Bora konzi Moja na ukimya kuliko makofi elfu na kelele
Askofu Shoo very janjative anauma na kupulizia😅
Serikali haina dini. Rais anauwezo wa kutenda bila kufuata ushauri wa Baraza la mawaziri. " Mwisho wa kunukuu
Huonimsimamowako mwenyewe shoo national wwaumini wrote usitusemee
Nendeni mkseme sasa
wakatoliki mnatumiwa na mataifa ya ulaya hasa yale ya magharibi ambayo yameanza kuona ushilikiano na urusi unazidi kuimarika selikali kuweni na jicho latatu hawa pamoja na chadema ilawanajificha kwenye dini
Sasa habari za ulaya zinatokea wapi. Kwani huyu askofu ni wa katoriki. Msiweke udini ktk mambo ya muhimu viongozi wako walikua wapi kutoa waraka?. Je maaskofu wamekosea kuitetea bandari?
Amelamba asali huyo asikofu
ASKOF UMEELEWEKAA NA WAMEKUELEWAA
Huyu Mpumbavu Saana, Sasa Yaongea Nini Pumba Tupu
Naomba waluther wengeakili msome hizi coment za waamini wenu harafu mtuambie kama mnaasko wa kuwa tetea hapo
Askofu unapuyanga, kwa nini usiseme makosa ya huo mkataba?
Sio kwamba raisi hatumpendi.Raisi tunampenda sana lakini hili swala la bandari kwenye huo mkataba likoje?
Binadamu hawana wema, wamesahau yote aliyoyafanya mama, mama amewarudisha watu nyumbani, mama ameruhusu mikutano ya hadhara, mama amewatoa watu jela, mama ameondoa chuki zakisiasa, mama amejenga mashule, n.k.
Lkn yote wamesahau, sasa wanatukana viongozi Kwa jambo la bandari.
Eti nchi inauzwa,,,,,,
Nawewe unaongea utumbo hapo
Mbna IPO nusu haipostiwi yote tuone mwisho alizungumzia nn naona media nyingi zinaishia hapa
Askofu Shoo very janjative anauma na kupulizia
Nimepata msamiati mpya janjative 😁😁😁
Nonsense kabisa bora angenyamaza kabisa
Nimepoteza bando bora kitizama connections ila hii ni PUMB****
😂😂😂😂
askofu shoo tatizo ni hapa mlikutana viongozi wote vipi kansa katoliki lichepuke lite tamko peke yao tulitegemea ktk walaka ule tungeona wajumbe kutoka as I mbalimbali vingozi wamadhehebu mbalimbali ulakini wetu kwanini watoe msisimamo wa kansa katoliki ? badala ya msimamo wa viongozi wote tunaamini katoliki wamejifanya kondoo kumbe mbwa mwitu
Sasa wewe hapo unaingiza udini. Kama viongozi wako walisema sisi msituhusishe ktk waraka wenu.
Yaani mama ningekuwa mie ningejilia vyangu nikatoka hawana kheri hao kwani unadhani wao wakristo hawajua kama dp world akikamata tutapata faida zaidi ya waliokuwepo? Wanajua saana lakini roho mbaya tu achananao tusije tukagombana kwa sababu zisizo na maana wengine tumeolena humu ndani
Pumbavu huna akili tunacho lalamikia nivipengele vibadilishwe we tahila
Wewe askofu acha kujipendekeza mwambie ukweli hatutaki kuuzwa bandari
Mh!umelisemea kanisa.
Hatujashirikishwa ni mtazamo wake na familia yake
Hahaha Maokotoo
Uwekezaji wa bndari ni muhimu
Tunajua ww unataka uwekezaji sina imani na askofu
Wazee walishindwa kazi acha mama apige kazi tupate maendeleo siku zote mama ndiye mwenye uwezo mkubwa wa kulea familia hawezi kuuza mali ya familia yake
Yaan mama afanye kazi upate maendeleo. Kivp
Kuna watu hamjielewi. Yani bora liende
Sasa rais yuko hapa, je angesemaje sasa?? Hamna namna zaidi tu ya kuipongeza serikali. Ni hivi tu, hivi hata kama ni ww, rais yuko hapa utafanyaje?? Huwezi kusema ovyoovyo, hii ni serikali, itakupoteza aise!! Sio kwamba anaogopa hapana, lkn kuna namna ya kusema lkn sio kukosoa serikali hadharani. Sio hivo. Askofu uko sahihi kabisa.
Mtumishi wa mungu haogopi kusema ukweli hata mbele ya raising chukulia mfano akina abelinego waliotupwa ktk ziwa la moto je walimuogopa mfalme? Ni wazi hana nguvu za kimungu
@@user-wu8fd2ur5x bac Eliya hakuwa na nguvu za kimungu alipomkimbia Yezebeli? Iko namna ya kusema mbele ya serikali. Huwezi kuikosoa waziwazi. Hapana sio hivo.
Sidhan kama itakuwa rahisi askofu kueleweka hapa kashindwa kuweka wazi msimamo wao kama taasisi, Lugha ya kukutana na rais ndo aliyoitumia na hali ndo inazidi kuwa mbaya
Kasema kanisa linaunga mkono uwekezaji,huyu mzee anajishushia heshma kanisa lenyewe Kila siku linabomoka shame on him
Huyu askofu anaweza kusaliti hata kanisa. Ni askofu kweli haiwezekani unafiki kama huu anawatia aibu waamini wake
Shida hamuelewi
MCHAGA huyu pesa mbele na kkkt tunawajua akili hawezi kueleza bayana ili we ongea mkataba hatuutaki waumini wako HAWAUTAKI elewa shooo sio kung'ata na kupuliza hapo
Mh! Hata hao hawaping uwekezaj na huo ukimya wa rais ndo inaleta mashak her aseme neno itasaidia
huyu jamaa hata sijamwelewa MB zangu zimeenda bure
Huwezi mwelewa wewe PHD hiyo uelewa mdogo unatoka kapa
Anataka wawekezaji wawe wazungu
Shoo acha unafiki wewe, toa msimamo wako, acha kula big G, una unga mkono nini sasa!?
Askofu acha unafiki kumpa rais mafuta kwa mgongo wa chupa unachefua watu
Wewe ni askof lkin hujielew
Askofu Mdomo mzito ww hufai Mbele za Bwana
😂😂😂
Usimhukumu aise hahahahaha jmn
Chenga Tu
KANISANI HALIPINGI UWEKEZAJI,, SISI VIONGOZI WA DINI ZOTE TULIOMBA KUJA KUKUONA, ,,,TULIKULETEA MAONI YETU KAMA TAASISI MADHEHEBU YOTE ,CCT TEC, BAKWATA, UKAAHIDI MAONI HAYO UTAYAPELEKA KWA WATAALAMU UTAYAFANYIA KAZI ,,,
Sijaona huja zenye mashiko
😂😂😀nchi yang
Ni wapumbavu Tu ndio watakaokupinga Kwa maneno haya!!!
Kama walivyo wapumbavu watakayemsikia huyo anayezungumza
@@ibrahimmuheza9737 utateseka sana mwaka huu pimbi wewe
Kama wanavyoteseka wote wasio na akili timamu wasiojua kusoma na kuelewa hata kama wanazulumiwa
Mnafki huyo
ASKOFU HAKUNA MGAWANYIKO!!KILICHOPO NI CHUKI NA UHASIDI!
SIO KILA MBWA ABAYEBWEKA USIKU ANAMZUIA MWIZI!!
MBWA WENGINE HUBWEKA TU KWA SABABU AMEMSIKIA MBWANA MWENZAKE ANABWEKA!!