ASKOFU Dr SHOO AVUNJA UKIMYA MSIMAMO WA K.K.K.T KUHUSU SAKATA LA BANDARI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2023
  • Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
    BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
    Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
    Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
    Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Komentáře • 194

  • @financemanager1711
    @financemanager1711 Před 11 měsíci +9

    Katoliki pekee ndio wapo direct

    • @abdullatifshambe280
      @abdullatifshambe280 Před 11 měsíci

      Sababu Wana nufaika kwa kupitisha mizigo Bila kulipia mda umefika sasa nao walipie mizigo yao

  • @faridhassan6834
    @faridhassan6834 Před 11 měsíci +1

    Well said,lets unit in this critical time,Tanzania inaenda kuongoza Africa mashariki na kati so vita vya kiuchumu ni vita mbaya maadui wasitumie mpasuko wowote kuturudisha nyuma

  • @mafurumatijo8803
    @mafurumatijo8803 Před 11 měsíci +18

    Asikof hana msimamo! Mtu wa Mungu unatakiwa kuwa wazi siyo kumung'unya maneno

  • @karumemohamedy1462
    @karumemohamedy1462 Před 11 měsíci +15

    Hawa wote wameibuka baada ya kusikia waraka wa katoliki duuh kwani mwanzo walikuwa wapi😂😂😂

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 11 měsíci +1

      Kila kitu kina mwanzo, Bandari miaka yote ilikuwa imekodiwa kumetokea nini kukodiwa sasa na DP World.😊😅

    • @jambo3751
      @jambo3751 Před 11 měsíci

      Iwe kanisa katoliki
      Iwe vyama vya kisiasa
      Iwe yeyote yule
      Maamuzi ya mwisho ni ya serikali.
      Ndio maana serikali huwa inakosolewa inapokea ushauri,maoni na fikra mbadala lakini haipokei amri. narudia tena haipokei amri.
      Sasa kuna baadhi ya watu wanafikiri kuwa labda taasisi Fulani ikitoa Tamko ndio serikali itaufyata
      wasijidanganye. pia kuna watu wanalazimisha maoni yao yatekelezwe na yasipotekelezwa wataingia barabarani!!!! Yaani kuna watu wa ajabu humu!!!

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 11 měsíci

      @@hajihassan5433 Nani alikuwa amekodi

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 11 měsíci +5

    Askofu Shoo umeonyesha ukomavu na nini hasa ya kuwa kiongozi wa dini!! Hongera kwako!!

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs Před 11 měsíci +11

    Askofu ana taka maokoto kwa mama😂😂 ikikupendeza chukua na hawa😅😅😅😅 najua mmeelewa kazi yako haina makosa😢😢😢

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 Před 11 měsíci +5

    Mungu ikikupendeza beba na hawa miungu wa Tanzania

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 11 měsíci +2

    Hongera sana Askofu Shoo, we all support Madame President!! Kazi iendelee!!

  • @Nyamko-christmas
    @Nyamko-christmas Před 11 měsíci +1

    Askofu Anajua kusoma vizuri hotuba angalia vizuri video

  • @gemmamwajombe3169
    @gemmamwajombe3169 Před 11 měsíci

    Askofu acha kuwa mwanasiasa na mnafiki Yesu hakumwogopa Pilato kukwambia ukweli hata kt hatari ya kufa we una Imani gani watu wanateseka Sana kumbuka Yesu aliwasamehe dhambi Magdalena na Mnyanganyi na watoza ushuru lakini sio Wanafiki ebu acha kumsifu Raise kwa unafiki umepewa mamlaka na Mungu atakulinda ukiwa kt Haki Kama Tech katoliki

  • @amsiabbas3809
    @amsiabbas3809 Před 11 měsíci +2

    Mama kama wewe na Bodi yako unaona inafaida kwa Taifa wewe Usijali Kodisha tu sisi tunataka Maslahi ya Taifa Maana Hospitali tupate Madawa kwawakati bili kunyanyasika

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 11 měsíci +3

    Huyu Baba Nimemuelewa mno Ni Mzalendo wa Kweli wa Hii Nchi hana mbambamba
    Kama wale jamaa Wazee wa Waraka
    Wa Kichungaji ni Wabinafsi
    Wazee wa Madili Bandarini
    Mzalendo Mwenzangu Mungu akubariki na abariki huduma yako

    • @engineertarimo7345
      @engineertarimo7345 Před 11 měsíci

      Hujamuelewa! Huyu hayuko na serikali! Yuko na wananchi. Tatizo umesikiliza alafu kuelewa kwako ndo changamoto.

    • @user-jf8by1cg5k
      @user-jf8by1cg5k Před 11 měsíci

      Wewe nijinga mno

  • @jofreyiyoya9757
    @jofreyiyoya9757 Před 11 měsíci +1

    Mungu asimame nasii

  • @damymzuri9989
    @damymzuri9989 Před 11 měsíci +3

    Tutaona federeshini zingine watasemaje , maana we unaonekana mpigaji

  • @lovisfrederick3629
    @lovisfrederick3629 Před 11 měsíci +2

    Hayo ni maoni ya askofu sio ya waumini

  • @AlenKinyina
    @AlenKinyina Před 11 měsíci +1

    We baba nakuheshimu sana Ila kwenye hili umeonyesha unafiki na upraise team, hili swala watu wanaanza kuwekewa kesi za uhaini, wabunge wamepiga kura, huyo mama wa Kambo kakaa kimya alafu unasifia, wewe ni Yuda uliyevaa vazi la dini

    • @obinasimbeye1750
      @obinasimbeye1750 Před 11 měsíci

      Amesifia Nini hapo Sasa huuoni anasisitiza raisi asije akaligawa tarifa?

  • @ngombegeorge3577
    @ngombegeorge3577 Před 11 měsíci

    Kweli

  • @Electrical83
    @Electrical83 Před 11 měsíci +1

    Mungu asimame nasi

  • @alphadreammedia
    @alphadreammedia Před 11 měsíci

    Hovyo 😊

  • @rosemarymunyi5035
    @rosemarymunyi5035 Před 11 měsíci

    Kazi eyendelea ❤❤

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754 Před 11 měsíci +1

    Huo ni msimamo wa askofu shoo wala sio wa waluteri kama unabisha wapige kura utajua msimamo wao.

  • @theresiakessy4747
    @theresiakessy4747 Před 11 měsíci +3

    Jamani huyu askofu vipi ? Nae kapiga?kwa nini asiulize maswali muhimu kuhusu huu mkataba mwisho wake ni lini?

  • @titosanga9602
    @titosanga9602 Před 11 měsíci +1

    Wanaendelea kumlisha mama matango pori🙄.

  • @AugustinMpeta-te4fm
    @AugustinMpeta-te4fm Před 11 měsíci +1

    😭😭😭😭🙉 Askofu unajaribu kulifunga kwa bandeji donda lililooza ata kunuka, Ni Kam unakubali na kukataa huoni unaliaibisha kanisa lako ata waliokusanyika apo wanakushangaa wanabaki tu kupongeza kinafiki.

    • @obinasimbeye1750
      @obinasimbeye1750 Před 11 měsíci

      Huelewi point tu hapo. Hongera Daktari Askofu Mungu akutunze

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Před 11 měsíci

    Museveni kashasema hataki usenge na usagaji..uwekezaji wenye manufaa ya raia maskini sio udini na ....hatutaki usenge na usagaji kwenye taifa letu tukufu..

  • @frbm1729
    @frbm1729 Před 11 měsíci +6

    Mimi nahamia katoriki maana naona baba ask anajiumauma tu.

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 Před 11 měsíci

    Mzee umepewa rushwa ya arambee moto utakuwakia kwa mungu

  • @hosianamosha389
    @hosianamosha389 Před 11 měsíci +2

    Tatizo viongozi wetu wa Dini sijui wamekuaje wamekua waoga kusema ukweli , wamekua na muheshimiwa nyingi hadi nachukia , hawanyooshi mstari kumwambia mtu ukweli hapa unakosea rekebisha , kitu wanachoona cha maana ni kuita muheshimiwa nyingi, na kupiga picha na Raisi na kumshika mkono alafu iweke ukisha piga picha

    • @obinasimbeye1750
      @obinasimbeye1750 Před 11 měsíci

      Hapa ndio anaongea Sasa SI mweshimiwa ni rahisi huyo ni lugha kurigana na mazingira elewa. Huwezi kuongea lugha nyingine. Askofu Daktari Hongera kwa kuongea kwa busara Ujumbe Umemfikia mama

  • @SilvesterRaphael-xb6it
    @SilvesterRaphael-xb6it Před 11 měsíci +1

    Hilo nionyesho siyo askofu

  • @suleimanismail8414
    @suleimanismail8414 Před 11 měsíci +1

    Askofu Yudah a.k.a askof maokotooo

  • @AlexAnthony-vi1ph
    @AlexAnthony-vi1ph Před 11 měsíci +2

    Askofu mnafiki

  • @kiizamrashani7223
    @kiizamrashani7223 Před 11 měsíci +2

    Walio mkana YESU wapo wengi ata akirudi muda huu atatamani aondoke tena na asirudi Bali garika ipite tena . Wasitokee akina Nuhu, Bali kitokee kizazi kipya. Bado WAYUDA wapo wengi.😂

    • @hawabeka5353
      @hawabeka5353 Před 11 měsíci

      Alijua wazi YESU akituma nauli kuna watakao mkana nakula nauli alisema tumsubiri arudi aje atufate alijua hata wakati wa mwisho watu wengi watamkana akiwepo ASKOFU

    • @obinasimbeye1750
      @obinasimbeye1750 Před 11 měsíci

      Inakujaje hii ya YESU hapo

  • @williamgeorge-hd2tn
    @williamgeorge-hd2tn Před 11 měsíci +1

    Hapa pana askofu kweli??? Kwa nin unazunguka zunguka ivo...mmmh ni kweli gharama ya kusimamia ukweli inaweza lipwa na mpagani kuliko hawa tunaowaita viongoz wa din

  • @user-em5xj3rc5k
    @user-em5xj3rc5k Před 11 měsíci

    Awa viongozi wa dini wanafanya nini kwenye uchumi na kwenye siasa.

  • @user-ss5um5bc5p
    @user-ss5um5bc5p Před 11 měsíci

    Huyu naye mh! keshachukua maokoto😅😅

  • @KhalfanNahay-ol4lq
    @KhalfanNahay-ol4lq Před 11 měsíci

    Mimi nawauliza bungeni walipopitia hawakufuatilia kuhusu Mashirika ya Dini hizi kuhusu uangizaji wao au misiada wanaoletewa toka nchi mbambali,kuwa kunastamp Rubber, nasema Labda ndio hiyo ,viongozi wetu wadini wanahofia?

  • @Maxpaul-oi8pw
    @Maxpaul-oi8pw Před 11 měsíci +2

    Sjawahi kuona askofu wa hivi

  • @winfredkaroli5065
    @winfredkaroli5065 Před 11 měsíci +1

    Asikofu sema ukweli ulivyo na kiti chako kitakatifu sema kwa haki pale unapoona haki usimungunye maneno we nimtu wa mungu na msimamizi wa wanyonge hiyo ni hukumu baadae utuulizwa na mungu

    • @obinasimbeye1750
      @obinasimbeye1750 Před 11 měsíci

      Hajamumunya maneno hapa ameongea kisomi kwelikweli

  • @ozuabrahamu8079
    @ozuabrahamu8079 Před 11 měsíci

    Sijamwelewa nn anaongelea nasikia tu Mweshiniwa raisi Mweshimiwa raisi da 😢😢 kuifika nchi ya Ahadi ni shughuli sana ngja nikasikilize wimbo wa ney naona huyu mzee ananichanganya tu

  • @mbekimillya9550
    @mbekimillya9550 Před 11 měsíci +1

    Kasema vizuri. Kuwa wanahaki ya kuonya pale wanapoona mambo hayaendi yanavyotakiwa. Sema vyombo hivi vya habari vinakata hawaonyeshi yote.

  • @medymlwale9834
    @medymlwale9834 Před 11 měsíci

    Saw saw Baba tumekulewa Baba

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 Před 11 měsíci +2

    Biblia imekataa kujipendekeza

  • @user-em5xj3rc5k
    @user-em5xj3rc5k Před 11 měsíci

    Serikali kuweni makini hamuwezi amua mambo makubwa ya kiuchumi kama haya kwa kusikiliza viongozi wa dini. Cha msingi zingatieni faida na hasara za kiuchumi

  • @financemanager1711
    @financemanager1711 Před 11 měsíci

    Maokoto ongea tukuelewe...be direct bro!

  • @user-dv7kg9qv2w
    @user-dv7kg9qv2w Před 11 měsíci

    Kanisa la kkkt ni kanisa la kibiashara Tanzania lilishapotea serekali ya CCM ilishawameza.waumini ondokeni ktk hili kanisa geukieni kwa makanisa yanayosimama na wananchi.ameongea porojo hapo shoo umeligawa kanisa

  • @nyemombinda3006
    @nyemombinda3006 Před 11 měsíci

    Hofu na woga ndiyo kitu kitakachoendelea kutuumiza. Sema una imani siyo tuna imani. Mtajipendekeza mpaka lini? Siku 1 Ndugai alisema, ipo siku nchi itapigwa mnada. Ukitazama kwa jicho la 3, wote waliokuwa na msimamo kipindi cha MAGUFULI, walitolewa wakawekwa mamluki ili kutimiza malengo. Viongiz jiangalieni, machafuko mnayatafuta kwa juhudi zenu.

  • @kelvinbizzoboy3298
    @kelvinbizzoboy3298 Před 11 měsíci +1

    ww askof unafikiriwa 😅

  • @mafurumatijo8803
    @mafurumatijo8803 Před 11 měsíci +8

    Mimi nakichwa kigumu hata mkiniombea 😅😅 nacho omba bandari zetu zirudi.

    • @slymsameer5415
      @slymsameer5415 Před 11 měsíci

      Kwani zimeenda wapi aisee

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 Před 11 měsíci

      ​@@slymsameer5415Huyu hata hiyo bandari ndio nini hajuwi

  • @ngombegeorge3577
    @ngombegeorge3577 Před 11 měsíci

    Wawafute wale wazembe kwenye bandar wanaosema mtandao uko chini ambao hawanyooshi ,,, wezi ndo waondolewe iv kweli nchi nzima imeshindwa kuendesha bandari , watenge hela za kupanua bandari , Kama za walivyofanya kwenye bwawa la nyerere , waboreshe ili iendelee kua ya nchi yetu , ,

  • @clemenceshoo7377
    @clemenceshoo7377 Před 11 měsíci

    Kotaana munama ongera kaka kwa maneno mazuri

  • @user-wy3di8ej3p
    @user-wy3di8ej3p Před 11 měsíci

    Uyu hapana 😅😅😅 Mbona anauma uma maneno 😢😢😢

    • @obinasimbeye1750
      @obinasimbeye1750 Před 11 měsíci

      Uelewa wako mdogo huwezi mwelewa mtu wa PHD wewe.

  • @pendaelmollel1847
    @pendaelmollel1847 Před 11 měsíci

    Askofu wangu tafadhali sana be specific to the specific matter.

    • @j.c.maxima816
      @j.c.maxima816 Před 11 měsíci

      😂😂😂Amezunguuka mno! Sijui anaogopa nini! 🤔😅😅🤣

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Před 11 měsíci

    Askofu ameuma na kupuliza😂

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532 Před 11 měsíci

    Hovyooo

  • @maji106
    @maji106 Před 11 měsíci +1

    Mama chapa kazi wache waseme

  • @gazzomaster9462
    @gazzomaster9462 Před 11 měsíci

    Kwaiyo vyote vya bandar iv ndo mnapost mbona na amjapost wanao pinga achen izwooo

  • @thrillingpoint2132
    @thrillingpoint2132 Před 11 měsíci

    Mimi sijamuelewa naona anayumbisha tuu kama nae ameshakula posho😊

  • @prosperitymaarifa3324
    @prosperitymaarifa3324 Před 11 měsíci +4

    Sisi acha tuhamie katoliki hatuna askofu hapa ..huyu ni mnafiki.anawinda maokoto.

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 Před 11 měsíci

      Na mnafiki kweli kweli mm mwenyew na hamia katoliki KUANZIA Leo hajui anaongea nn ovyo kabisa utafikiri sio MCHAGA anaongea utumbo hapa hatutaki bandari zetu ziende kwa watu mjinga kweli anajipendekeza hapa

    • @EliatoshaLema-rw5hm
      @EliatoshaLema-rw5hm Před 11 měsíci +1

      Kabisaa Mimi nimeshaenda kujiandikisasha kwa padre

    • @obinasimbeye1750
      @obinasimbeye1750 Před 11 měsíci

      Hamjaenda Bado ondoken haraka tuachie Askofu wetu

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 Před 11 měsíci

      @@obinasimbeye1750 mwizi huyu anawinda maokoto huyu Ila ajue Ile ni taasisi kubwa kkkt kubwa kuliko yy waumini hawajapenda

  • @adenadolph1951
    @adenadolph1951 Před 11 měsíci

    Bora konzi Moja na ukimya kuliko makofi elfu na kelele

  • @valerianakilumile8517
    @valerianakilumile8517 Před 11 měsíci

    Askofu Shoo very janjative anauma na kupulizia😅

  • @thedriver.michael.3975
    @thedriver.michael.3975 Před 11 měsíci

    Serikali haina dini. Rais anauwezo wa kutenda bila kufuata ushauri wa Baraza la mawaziri. " Mwisho wa kunukuu

  • @vivianikiria143
    @vivianikiria143 Před 11 měsíci +1

    Huonimsimamowako mwenyewe shoo national wwaumini wrote usitusemee

  • @user-rq1ld8wy3t
    @user-rq1ld8wy3t Před 11 měsíci

    wakatoliki mnatumiwa na mataifa ya ulaya hasa yale ya magharibi ambayo yameanza kuona ushilikiano na urusi unazidi kuimarika selikali kuweni na jicho latatu hawa pamoja na chadema ilawanajificha kwenye dini

    • @user-wu8fd2ur5x
      @user-wu8fd2ur5x Před 11 měsíci

      Sasa habari za ulaya zinatokea wapi. Kwani huyu askofu ni wa katoriki. Msiweke udini ktk mambo ya muhimu viongozi wako walikua wapi kutoa waraka?. Je maaskofu wamekosea kuitetea bandari?

  • @Furahamwasyika
    @Furahamwasyika Před 11 měsíci +2

    Amelamba asali huyo asikofu

  • @husseinmwanjela8644
    @husseinmwanjela8644 Před 11 měsíci

    ASKOF UMEELEWEKAA NA WAMEKUELEWAA

  • @Jafaryahmada
    @Jafaryahmada Před 11 měsíci

    Huyu Mpumbavu Saana, Sasa Yaongea Nini Pumba Tupu

  • @GaudenceSanga-lr6zo
    @GaudenceSanga-lr6zo Před 11 měsíci

    Naomba waluther wengeakili msome hizi coment za waamini wenu harafu mtuambie kama mnaasko wa kuwa tetea hapo

  • @furahachuma9039
    @furahachuma9039 Před 11 měsíci

    Askofu unapuyanga, kwa nini usiseme makosa ya huo mkataba?

  • @peterdoisso2414
    @peterdoisso2414 Před 11 měsíci

    Sio kwamba raisi hatumpendi.Raisi tunampenda sana lakini hili swala la bandari kwenye huo mkataba likoje?

  • @abuuthauran9933
    @abuuthauran9933 Před 11 měsíci

    Binadamu hawana wema, wamesahau yote aliyoyafanya mama, mama amewarudisha watu nyumbani, mama ameruhusu mikutano ya hadhara, mama amewatoa watu jela, mama ameondoa chuki zakisiasa, mama amejenga mashule, n.k.
    Lkn yote wamesahau, sasa wanatukana viongozi Kwa jambo la bandari.
    Eti nchi inauzwa,,,,,,

  • @lembodila4655
    @lembodila4655 Před 11 měsíci

    Mbna IPO nusu haipostiwi yote tuone mwisho alizungumzia nn naona media nyingi zinaishia hapa

  • @valerianakilumile8517
    @valerianakilumile8517 Před 11 měsíci

    Askofu Shoo very janjative anauma na kupulizia

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 11 měsíci

      Nimepata msamiati mpya janjative 😁😁😁

  • @jlyimu1990
    @jlyimu1990 Před 11 měsíci

    Nonsense kabisa bora angenyamaza kabisa

  • @benjaminbahati1431
    @benjaminbahati1431 Před 11 měsíci +1

    Nimepoteza bando bora kitizama connections ila hii ni PUMB****

  • @user-rq1ld8wy3t
    @user-rq1ld8wy3t Před 11 měsíci

    askofu shoo tatizo ni hapa mlikutana viongozi wote vipi kansa katoliki lichepuke lite tamko peke yao tulitegemea ktk walaka ule tungeona wajumbe kutoka as I mbalimbali vingozi wamadhehebu mbalimbali ulakini wetu kwanini watoe msisimamo wa kansa katoliki ? badala ya msimamo wa viongozi wote tunaamini katoliki wamejifanya kondoo kumbe mbwa mwitu

    • @user-wu8fd2ur5x
      @user-wu8fd2ur5x Před 11 měsíci

      Sasa wewe hapo unaingiza udini. Kama viongozi wako walisema sisi msituhusishe ktk waraka wenu.

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 Před 11 měsíci

    Yaani mama ningekuwa mie ningejilia vyangu nikatoka hawana kheri hao kwani unadhani wao wakristo hawajua kama dp world akikamata tutapata faida zaidi ya waliokuwepo? Wanajua saana lakini roho mbaya tu achananao tusije tukagombana kwa sababu zisizo na maana wengine tumeolena humu ndani

    • @user-jf8by1cg5k
      @user-jf8by1cg5k Před 11 měsíci

      Pumbavu huna akili tunacho lalamikia nivipengele vibadilishwe we tahila

  • @majebelemathis9991
    @majebelemathis9991 Před 11 měsíci

    Wewe askofu acha kujipendekeza mwambie ukweli hatutaki kuuzwa bandari

  • @beatusgosbert-qb6sy
    @beatusgosbert-qb6sy Před 11 měsíci

    Mh!umelisemea kanisa.

  • @hamissalum6023
    @hamissalum6023 Před 11 měsíci

    Hahaha Maokotoo

  • @kassimumnape3627
    @kassimumnape3627 Před 11 měsíci

    Uwekezaji wa bndari ni muhimu

  • @KideArowo-zb7vv
    @KideArowo-zb7vv Před 11 měsíci

    Tunajua ww unataka uwekezaji sina imani na askofu

  • @youssefsanje8743
    @youssefsanje8743 Před 11 měsíci +1

    Wazee walishindwa kazi acha mama apige kazi tupate maendeleo siku zote mama ndiye mwenye uwezo mkubwa wa kulea familia hawezi kuuza mali ya familia yake

  • @MichaelMathew-ke6bi
    @MichaelMathew-ke6bi Před 11 měsíci

    Sasa rais yuko hapa, je angesemaje sasa?? Hamna namna zaidi tu ya kuipongeza serikali. Ni hivi tu, hivi hata kama ni ww, rais yuko hapa utafanyaje?? Huwezi kusema ovyoovyo, hii ni serikali, itakupoteza aise!! Sio kwamba anaogopa hapana, lkn kuna namna ya kusema lkn sio kukosoa serikali hadharani. Sio hivo. Askofu uko sahihi kabisa.

    • @user-wu8fd2ur5x
      @user-wu8fd2ur5x Před 11 měsíci

      Mtumishi wa mungu haogopi kusema ukweli hata mbele ya raising chukulia mfano akina abelinego waliotupwa ktk ziwa la moto je walimuogopa mfalme? Ni wazi hana nguvu za kimungu

    • @MichaelMathew-ke6bi
      @MichaelMathew-ke6bi Před 11 měsíci

      @@user-wu8fd2ur5x bac Eliya hakuwa na nguvu za kimungu alipomkimbia Yezebeli? Iko namna ya kusema mbele ya serikali. Huwezi kuikosoa waziwazi. Hapana sio hivo.

  • @jastinmodest8073
    @jastinmodest8073 Před 11 měsíci

    Sidhan kama itakuwa rahisi askofu kueleweka hapa kashindwa kuweka wazi msimamo wao kama taasisi, Lugha ya kukutana na rais ndo aliyoitumia na hali ndo inazidi kuwa mbaya

    • @user-gg2yf3zl3l
      @user-gg2yf3zl3l Před 11 měsíci

      Kasema kanisa linaunga mkono uwekezaji,huyu mzee anajishushia heshma kanisa lenyewe Kila siku linabomoka shame on him

  • @user-wu8fd2ur5x
    @user-wu8fd2ur5x Před 11 měsíci

    Huyu askofu anaweza kusaliti hata kanisa. Ni askofu kweli haiwezekani unafiki kama huu anawatia aibu waamini wake

  • @faustinombilinyi9809
    @faustinombilinyi9809 Před 11 měsíci

    MCHAGA huyu pesa mbele na kkkt tunawajua akili hawezi kueleza bayana ili we ongea mkataba hatuutaki waumini wako HAWAUTAKI elewa shooo sio kung'ata na kupuliza hapo

  • @ShabaniOnyango-gm3vz
    @ShabaniOnyango-gm3vz Před 11 měsíci

    Mh! Hata hao hawaping uwekezaj na huo ukimya wa rais ndo inaleta mashak her aseme neno itasaidia

  • @adrianobihabwa3464
    @adrianobihabwa3464 Před 11 měsíci

    huyu jamaa hata sijamwelewa MB zangu zimeenda bure

    • @obinasimbeye1750
      @obinasimbeye1750 Před 11 měsíci

      Huwezi mwelewa wewe PHD hiyo uelewa mdogo unatoka kapa

  • @abdullatifshambe280
    @abdullatifshambe280 Před 11 měsíci

    Anataka wawekezaji wawe wazungu

  • @bushbabytz
    @bushbabytz Před 11 měsíci

    Shoo acha unafiki wewe, toa msimamo wako, acha kula big G, una unga mkono nini sasa!?

  • @gemmamwajombe3169
    @gemmamwajombe3169 Před 11 měsíci

    Askofu acha unafiki kumpa rais mafuta kwa mgongo wa chupa unachefua watu

  • @stephanoerasto5681
    @stephanoerasto5681 Před 11 měsíci

    Wewe ni askof lkin hujielew

  • @jacksonngusi4122
    @jacksonngusi4122 Před 11 měsíci

    Askofu Mdomo mzito ww hufai Mbele za Bwana

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 Před 11 měsíci

    Chenga Tu

  • @andreamndeme3482
    @andreamndeme3482 Před 11 měsíci

    KANISANI HALIPINGI UWEKEZAJI,, SISI VIONGOZI WA DINI ZOTE TULIOMBA KUJA KUKUONA, ,,,TULIKULETEA MAONI YETU KAMA TAASISI MADHEHEBU YOTE ,CCT TEC, BAKWATA, UKAAHIDI MAONI HAYO UTAYAPELEKA KWA WATAALAMU UTAYAFANYIA KAZI ,,,

  • @nicodemusfidelis3772
    @nicodemusfidelis3772 Před 11 měsíci

    Sijaona huja zenye mashiko

  • @shijakashita9915
    @shijakashita9915 Před 11 měsíci

    😂😂😀nchi yang

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před 11 měsíci +1

    Ni wapumbavu Tu ndio watakaokupinga Kwa maneno haya!!!

    • @ibrahimmuheza9737
      @ibrahimmuheza9737 Před 11 měsíci

      Kama walivyo wapumbavu watakayemsikia huyo anayezungumza

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 Před 11 měsíci

      @@ibrahimmuheza9737 utateseka sana mwaka huu pimbi wewe

    • @ibrahimmuheza9737
      @ibrahimmuheza9737 Před 11 měsíci

      Kama wanavyoteseka wote wasio na akili timamu wasiojua kusoma na kuelewa hata kama wanazulumiwa

  • @user-jd9cn6yx2g
    @user-jd9cn6yx2g Před 11 měsíci

    Mnafki huyo

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 Před 11 měsíci

    ASKOFU HAKUNA MGAWANYIKO!!KILICHOPO NI CHUKI NA UHASIDI!
    SIO KILA MBWA ABAYEBWEKA USIKU ANAMZUIA MWIZI!!
    MBWA WENGINE HUBWEKA TU KWA SABABU AMEMSIKIA MBWANA MWENZAKE ANABWEKA!!