'Nitaitafutia Simba umaarufu nje ya Tanzania na Pesa' Barbara Gonzalez
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2020
- “Nimekuwa nikitekeleza majukumu ya Afisa mkuu mtendaji wa klabu Simba kwa niaba ya Mohamed Dewji @moodewji kwa miaka 4 sasa.”
Mtendaji mkuu wa Simba @simbasctanzania ya Tanzania Bi Barbara Gonzalez.
#Simbasc
#BarbaraGonzalez
#Maono
Good Gonzalez👍
Cc wanasimba tunakutakia aman na upendo kwenye kaz yko pia mungu akuongoze vyema kabsa🙏
Ahsante sana dada yangu Barbara..nahisi ni Mimi peke yangu ninayekuelewa..
Walikuzarau kwa kuwa ni mwanamke. You are superwoman, you are real showing it not only in Tanzania but worldwide. I love you Barbara.
Hongera Sana my C . E .O I love your Speech Simba will the best Club in Africa kupitia usimamizi mzuri naamini katika utendaji wa huyu Dada wanawake katk nafasi hizi huwa wako vizuri kuliko wanaume siyo wafisadi pia kusimamia kampuni isipate hasara
Ahsanteeeeeeee😍😍😍Nakupenda bulee
Jifunze kuziba masikio uende mbele
Njoo uinue Simba yetu babla akina mangungu watuachie team yetu wapigaji wale
True beautiful
Mm ndo nimekuelewa hatari unanipa raha kwa hy mipango mkakati wa kuiona simba nje ya Tz wengine hawapendi. Tunakuombea utimize malengo yako nasi tuendelee kufurahi.
Uko vizuri
Hongera piga kazi.
Yupo smart i like her
Thanks so.much my sister good jobs message from USA today
Kweli bongo tunashids ya uelewaaaa
Uyu dada anaupiga mwingi sana
Simba daima
nimekuelewa CEO
I trust you
Asante
Dadayetu rudi hatuna raha utoporo wanakera mpka basi😂😂😂😂
Nice Madame.
Good luck
Dakika chache umeongea lakn point tupu
Piga kz dd cc wanna Simba tunakuamini
Truly
😍😍😍😍
Rudi dada simba inasumbua sana tena. Akina magungu wakapumzike tu
UNAJUA mtu NI yule unae msikia akijieleza, daah tunawatu makini Sana inchi hiii. Kigwa unatukosea sana
Upovizuli
Yani Mimi kama mwanasimba nakusapoti asilimia 100
Huyu ana uwezo mkubwa kuzidi hata senzo na ana mtazamo wa mbali zaidi kuliko senzo
Piga kazi umfunge mdomo #hamiskigwangwala
Tuunge mkono juhudi za viongozi sio tuanze mizozo isiyo na maana, huyu atawajibika vyema na kuleta mafanikio. Au ndio bora aliyejiunga na yanga ?
Ww dada ni msomi sn achana nao piga kazi.kingwangwala anachuki tu kwanin hakupewa mkopo na mo.kwaiyo kaona bifu ahamishie kwako.dada chapa kazi kunawakati utajaribiwa ili kukatishwa tamaa ila we ni mwanamke namin unaweza sn.
Kigwangala afanye siasa aachane na mpra
KIGWA kaa kushoto tushamuelewa biidada
Dear Barbara, we as Simba fans we love you, PIGA KAZI watakuelewa tu
Kuna viongozi wa timu fulani inavaaga jezi zinafanana na mapapai kwenye interview zao utafikiri genge la wahuni linabishana
Gonzale binti wa watu huna makuu piga kazi babla
kumbe anajua kiswahili vzur hiv,,,,
Baba yake mcolombia na mama ni mtanzania
Mi mwenyewe huwa nawaza Amejifunzia wapi kiswahili laini namna hio?
Unajiamini! Una akili! Unaelewa majukumu yako! Wasemayo watu kuhusu "gender" au ushabiki tu wa vyama usikuvunje moyo! Chapa kazi "cute lady" mpaka watu waone aibu! Simba loves you!
Kuifanya simba iwe maarufu sio kufanya tours simba yenyewe kujibebea vikombe kama mo alishaenda mpka nje juve porto mpka arsenal kula england tena african billionaire lkn ipo kawaida bado sembuse wewe barbra. Nunueni wachezaji mushindane na kina pyramid na mazembe mubebe champions league ndo itakuwa maarufu. Kama followers kwenye mitandao hata juma lokole ana followers.
Akili zako fupi kama maisha ya funza...Mbona #Recista City ni timu maarufu na aina ubingwa wa Uefa champion..?Sevila iliwai kuwa bingwa hata wa laliga toka mwaka 2000..?Mbona hapa Tanzania inajulikana si kwasababu walikuja kutarii na mechi ya kirafiki ikawaongezea idadi ya watu wa kuifatilia...Aston Vila malayamwisho kuchukua Ubingwa wa ligi mwakagani? Mbona saizi hata watu ambao walikuwa hawafatilii timu za England waliijua si kwaajili ya Samata kusajiliwa pale....Sasa izo connections za kibiashara ndio utengeneza wigo mkubwa wa Brand ya timu...ndio izo mbio zakutafuta ubingwa wa Africa uanze...Usiwe unapenda kukanusha kila unachokiwaza wewe ukajua ndio sahihi...Fikiri kabla haujalopoka...!
Hyu atakua demu wa carlinhos
Atakula kwa macho
Nadhan kalinyo kila nyumba ya utopolo atakula anachotaka
Kibwabwa kile kikalinyo
@@godfreymasele8853 Utaona sasa we subiria
Kalinyo mwenyewe mrembo.
Unaweza itafutia timu umaarufu nje ya nchi wakati ndani ya nchi inatoa droo na timu mbovu, Simba damu NGUVU MOJA
Kweli wewe mfu ulie hai , hivi kweli we unajua mpira au unachangia tu ? Huko ulaya sio ndroo timu ya juu inayochukua kombe inafungwa na ya mwisho kama haitoshi Barcelona alipigwa 3 bila majibu na alaves ktk ligi wakati ni kibonde wakupibdukia
CEO Kaweka vizuri
Mapato -mnataka kupitisha bakuli
Matumizi- Wazee wa simba wamebanwa bawapati kitu
Brand ya Simba.. Mnyama afahamike A.kusini, Misri, Tunisia, Ivory Coast, Congo
Simba itapaa
Kwahio timu nzuri haitoi droo? Kwel we bado kiazi
Angelson yaan ww ni mshamba kweli mbona timu zinafungwa 8 hyo drow INA shida gan
Good sana my dear sister by to day Am say God protect & blessing you somuch beautiful of Africa tupeleke kwenye mpira wakisasa dada yangu mpendwa mm sina tatizo naww wanasimba wote in Tanzania out Tanzania wote wana kuunga mkono wabaraka mti wenye matunda dada ww sisi wanasimba wote tunaitaji matunda ya Amani kulatena kwenye chanvuli tunataka tukiwa tunakwenda kwamkapa tunakunywa juice huku tukiangalia following football
Msijidai mtafungwa mpaka mtachanganyikiwa hamna timu nyie mnawarembo wacheza shoo mtaona ngoja yaanze mashindano
Naona uñateseka mzee na povu Kama Lote!! Zama zimebadilika lazima tuwakere
Rudi dada simba inasumbua sana tena. Akina magungu wakapumzike tu