Simba imepambana Sana kufika hapo ilipo haikuwa rahisi... Mungu amuone mangungu na try again kwa jicho la huruma wanachama watambua juhudi zao wapunguze hasira makosa yarekebishwe safari iendelee 😁
Kweli ni mbumbumbu huelewi kitu ndani ya miaka miwili yanga imetoka nafasi ya 75 na point 0.5 na Leo hipo nafasi ya 13 ikiwa na point 31 jiulize ikiendelea na huo muendelezo kufika namba 3 itachukua nafasi ya ngapi😂
Nimekuelewa sana Mzee Mbwaduke, Simba Ina Possibility ndogo sana Msimu ujao kushiriki Club Bigwa Africa.
Mungu ipenguvu Simba ishiriki ya mabingwa
Ndoto hizo, tena za mchana, jkt wanawatoa jasho, Azam kesha funga goli 1-0, simba bado 0-0
TUNAKUPENDA SANA KWA UCHAMBUZI WAKO UPO VZR SANA
Rama nakukubali sana mwalimu WA datar
Haya sasa kolo fc kuweni makini na hili darasa mpaka mwisho mtajua hamjui.
asante bingwa wa uchambuzi tanzania ماشاالله
Tunakushukuru kwa kutuelimisha kaka na simba yetu.👍👍👍❤
Wanaumia sana kuskia simba anapasuwa anga hapo bado ngoja msimu ujao
Asante mwalimu kwa kutuelimisha😅
Nimekuelewa sana simba nguvu moja
Upo vizuri
Waelimishe utopolo maana hawajui mpira
Oyoòoo
Asante saana mzee wa data
Superb
Utopolo hawajui hilo
Utopolo wana shirika lao wanalotoa vilabu bora africa
Simba imepambana Sana kufika hapo ilipo haikuwa rahisi... Mungu amuone mangungu na try again kwa jicho la huruma wanachama watambua juhudi zao wapunguze hasira makosa yarekebishwe safari iendelee 😁
Mangungu na mwenziwe wamejitahidi sana kuvuruga sifa ya Simba. Wahurumiweje kwa hilo?
Uto wanalia kwa kusikia hayo.
Utopolo watachangia kweli hii maada
Nnachokusifu hauchambuagi kishabiki
Simba atakua pot gani kwanafasi atakayokua kwamaana ya klabu bingwa au shilikisho barani Africa akifuzu hatua ya makundi
Uto wanateseka
big up Mzee wa data
hii ni habari mbaya sana kwa mrengo wa kulia🤣
pamoja sana
SI kuna AFL msimu ujao, hatuna tena Confederation.
Tuna kuelewa kiongoz
Tunasubiri wazee wa jangwani wachangie mada hii.
Vp kuhusu nyuma mwiko?
Hatakama hawapendi uto imekula kwao
Mr.data
Na ktk hilo shirika lao utopolo wanashika nafasi ya kwanza afrika
Ukubwa
Simba lazima iwe nafasi ya pili ifuzu
Subutuuu,, njoo uchukue ml 5 kwangu. Nakuahidi ki ukweli
Uto hawapendi kusikia uchambuzi huu,
🤣🤣🤣🤣🤣
Sasa mbina mnaficha na nembo
Kuna watu huwa hawapendi kusikia hiyo kitu 😂😂😂😂
Wanatumia Sanaa ila huo ndiyo ukweli wenyewe 😅😅.. African league tunacheza tena 😂😂
Na ligi ya mabingwa hampo
Kwa hiyo Azam akipambana tunaenda naye League ya mabingwa, Simba wanaenda Shirikisho kama bado CAF hawajalifuta😅
Utopolo itawachukua miaka 10 kufika huko.
Kweli ni mbumbumbu huelewi kitu ndani ya miaka miwili yanga imetoka nafasi ya 75 na point 0.5 na Leo hipo nafasi ya 13 ikiwa na point 31 jiulize ikiendelea na huo muendelezo kufika namba 3 itachukua nafasi ya ngapi😂
@@radhiamussa1629 pimbi nyie
@@radhiamussa1629 Hapo ni majini yaliwasaidia