WAFANYABIASHARA DARAJANI SOUK WALIA NA RAISI MWINYI
Vložit
- čas přidán 19. 05. 2024
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Hatar maisha haya ALLAH tusaidie waja wako maoovu yamekidhir na hatutaki kuomba toba
Tatzo la hii nchi wanaotoa tasmini ya kodi za biashara na milango sio wafanya bishara ni watu waliopo tu maofisini hawawezi kujua changamoto tunazopitia wafanya biashara
Lipeni kodi iliowekwa na sio kulalamika tu kama hamuwezi si muirudishe milango ya watu na mtengeneze yenu kisha muweke kodi munayoitaka nyinyi au
Hadithi
"haingii peponi anayekusanya kodi" (imepokewa na imam Abuu Dauud)
Allah alikwisha sema dhulma haidumu ikidumu inaangamiza ndo haya Sasa njaa imezid maisha magumu biashara haziendi shida tu
Heee subuhanallah iyo pesa kweli nyingi
Musaraka ni kiongozi mzuri sana na anaguza maisha ya wananchi ila kwa nguvu alionayo hawezi tatua haya ni majukumu ya mkuu wa mkoa yupo wp???
umesema kweli . maana tumeshuhudia akiwa mkuu wa wilaya akilisha mtama njiwa hapo darajani na kusema hayo ndio maendeleo yanayotakiwa
Hapo bdo ZRA hawana hata huruma
Ss Kama Iyo serekali isaidie wanachi wake ss apo wanakandamiza wanachi mtihani Kwa kweli
Kwenye dhulma hkujawahi kutokea maendeleo patajengwaa pafanywe kubwa njaa naumasikini kuzidi hkuna jengine mungu hajawahi kukosea tukimsahau tukienda kinyume nae atatupa viongozi tunaoendana nao
Ccm wanapenda sana kuwanyonya wananchi
Kwa biashara ilivombovu Zanzibar kwasasa Kodi ya milango ya serekali iwe laki mbili kwa mwezi maana unakaa siku nzima hujauza
Hata ukiuza Millioni kwa siku utasema hauuzi Wazanzibari kwa kulalamika hampo nyuma
Ww tunakujua umsenge ndio hujibiwi nn atadili na mtu anae firwa.
@@ibrahimame9805 mtoto wa kiume una matusi utafikiri Sabri Bachani
Huwezi kumlazimisha mbuzi kunywa maji tukubali tu kwamba maisha yetu ya kimaskini
Tukubali kurudi kwa allha maisha yamekuwa magumu kutokana na matendo yetu sisi wanadamu RIBA imesiri ZINAA ndio usiseme DHULMA kumdhulumu mwenzako asaiv ndio unaonekana mjanja yaani ww ndio mtoto wa mjini tukubali kurudi kwa allha na tuyafuate amri na tuachane na haya mambo yanayoangamiza
Mtihan hu rais angalia hili c hivo wajane watazid wanaume wakikosa kazi
Dah kwakweli Znbr yetu kwisha kabisa kila kitu kinasimiwa na wabongo titaisoma sana namba kwa hali hiii biashara zimekufa kabisa alafu Kodi zipo juuu na Mlima Uhdi
Kod nyingi san
Wengi wenu mumetutowa kwa mlango wa nyuma mumedandia gari ya mbele mulituona tunafaidi
Afrika Afrika Afrika
Alhwa.. Afanyee.. Wepes.. Hilii.. Tatizo.. Si.. LA.. Vyama.. Msitie.. Vyama.. Na.. Wey.. Unosema.. Zanzibar.. Hakuna.. Vyakula.. Tuletee.. Uko.. Kwenu
MAPINDUZ DAIMAAAAAA.....
Chama na wawekezaji. Hahahahajahajanaan
Sasa jamani hayondio matunda ya mapinduz
Pavunjwe paekwe mall kubwa
Andamaneni kama kariakoo daaa
Hatar na nusu
Zanzibar Wananchi hawana kipato cha kula watakuwa na kipato cha kununuwa mahitaji wanayo yataka??? Kodi za maduka mnowatolesha Wananchi ni kubwa sana kwa maduka hayo loooh. .Rais Hussein kwanza wafikiriye Wananchi wacho uwazidishiye mishahara waweze kuishi. Siyo mnafikiriya Watalii kwanza na Wananchi wako kwenye mateso.
Haaaa milioni kumi na2 ni kubwa saana kwa mlango 1 3: kila mlango..utapokea zaidi ya gharama ya hapo kwa mwaka tu!
Sema kimeumana
Tunahangaika bure kwakweli.ivi kweli znz tunalia eti hatuna nyenzo za kiuchumi ktk kukuza pato la serikali pamoja na serikali kw ujumla? Tuna eneo kubwa la kujenga bandari ya kisasa ya kukaa meli za mizigo cargo ships zaidi ya kumi na kuendelea,lkn pia uwanja wa ndege uliopo na pato linaloingia,tuna viwanda vingapi vilifungwa mpaka ivi juzi vya bakharesa vikafungwa?tusifanyiane km watoto wadogo haya mambo ya kiuchumi kw znz ni upande wa 2 uko ndiko wanayoihujumu serikali ya znz pamoja wananchi kw ujumla nyenzo tunazo tunaoneqna muhali.ivi vilango vya darajani haviwezi kutatua matatizo ya nchi hii
UMESOMA LAKINI HUKUFAHAMU.. YAPO MAMBO MENGI YANAYOIFANYA ZANZIBAR KUFIKIA HAPO ILIPO SI SUALA LA KISIASA. MFANO BANDARI TANZANIA BARA ZIPO 3. SOKO LINALOTARAJIWA LA EAST AFRIIKA MBURUNDI, MGANDA, MRUANDA HAWEZI KUTEREMSHA BIDHAA ZANZIAR ANAKIMBIA DOUBLE SHIPMENT AND HANDLING. HIVYO BANDARI YA ZANZIBAR ITABAKI IPO IPO TU. UKILETA KONTENA MOJA 40' SOKSI 2,000,000 WATU WOTE UNGUJA NA PEMBA WATAVAA NA ZITABAKIA. PANA BIASHARA HAPO. UKITOA SADAKA TSH. 2,000,000 WATU WOTE WATAPATA NA CHENJI ITARUDI
CCM Oyeeeee😅😅😅😅😅😅
Maisha ya wa zanzibar ni kunufaisha serekali na watanganyika
Wape Wamasai milango hiyo waeke vinyago hao wazanzibari washazoweya vya bure hamuuzi tatizo lenu ni washirikina munashindana kwa kuzindika majini
Hii ni dhulma rais mwinyi kunawatu wanakuhujumu, angalia sana baazi ya vitu vitafajari haswa vinavyohusu jamii
Saiv kodi ya serikal imekua kubwa kulik ya mtu binafsi duh!
Tatizo hatuna uhuru zanzibar na watuu wananjaa
Wale machinga wa nje wote wangizwe humo ndani
Si alisema ataiweza Zanzbar hyo rais na hao ndo ndugu zake yaanaanza hyo vinyunyu bado mvua
Kwan wamachinga hawaingii apo ndani
Wenyewe kwa Wenyewe wanasokotana Serikali yote wanayo wao bdo wanalalamika waunguja tumetulia tunawatizama tu na kujifanya kujua kwao
HILO NENO. TUACHWE NA KISIWA CHETU KILA SIKU LINAZUKA HILI MARA LILE
Huyu msaraka ni tapeli mkubwa hata sijui ilikuwaje akawekwa mkuu wa wilaya
Duuh
Kiduma chama cha mapinduzi
Sasa nyinyi mulio huko mwalia je sisi tulip pemba
pemba ndio usiseme tumevurumishwa ukoo
Bora kurudi Pemba tuko tulio pamoja na tunyamazishani wenyewe kwa wenyewe
Rais wetu sikiliza vilio vya wananchi wako kweli ni kodi kubwa
Mwinyi hapo hana usemi maana milango sio ya Serikali
Tutafuga mabata umo
Watu wanakata mitaji , et mkakati
Ache I kulalamika hameni 😂😂
Hiyo ndio hoja Wahame tu kwani sisi hatuitaki hiyo milango ila kwa sababu hatuna hizo kodi ndio tumetulia kama alif so na wao wattulie tu wakatafute iliyo rahisi
Hapo wamachinga wasirejeshwe maana usalama utakuwa mdogo ,pia kuhusu maegesho ya magari soon Malindi kutamaliza so ni kuwa na Subra tu kama hamuwezi rudisheni milango halas
Alfatah angalia isije kua unatumika kisiasa...
Ayo yote yasingetokea kama si amani karume mlevi ndio aliendoa freeport sasa munategemea wateja watatokea wapi? Tanzania bara yote ilikua zanzibar, ngazija,kenya,uganda, zambia, Malawi,wote zanzibar, ilikua kituo cha biashara,ikipita sikukuu zanzibar madukani watu wanainga nzi tu,laana yote ni uyo karume leo amekua upande wa upinzani na wenyewe wanamkubali kua ni mkombozi wao
Basi wewe rudisha hiyo freeport
karume hana kosa lolote.nenda KASOME kitabu kimeandika east AFRICA ports cha mwaka 1964 haya yanayotokea yameelezwa humo. wacha ujinga!
Hapana biashara hapo kwa sasa, mwinyi Kapatia sumu
Biashara haipo kwako Ila hapo Biashara kama Kawa tatizo mmezowea umbwanyenye mnataka vya rahisi tu
RAIS ASILAUMIWE. HAPO HAPANA BIASHARA ONDOKA KAWEKE KWARARA, FUONI, KINUNI, KIJICHI MILANGO HUKO ELFU 50'000 IKIWA BIASHARA YAKO NA VITU UNAVYOLETA VIZURI WATU WATAKUFUATA HUKO HUKO USISUBIRS IRUDISHWE STAND KWANI HAO WANATOKEA HUKO HUKO UTAWARAHISISHIA USAFIRI
@@user-xv4tl8iv4l Wambile ndugu maana Hao ni ndugu lawama kila siku
Kodi Inatakiwa isizidi laki mbili
Hahahha kwani milango ya Familia ile hahaha Wazanzibari bhana
Sisi tunakujuwa wewe rais ni mtu wa watu wawekee stend punguza kodi darajani irudi kama zamani zanzibar ni njema yanini mizengwe?
WAMACHINGA WARUSI KWA TANGANYIKA!
Na wazenji walio Dar na wao warudi kwao 😅
@@khamisali5978 fresh taratibu tu zifuatwe mbona fresh sana wa Tanganyika kwao Wazanzibari kwao atakae taka kwenda upande wa pili ni kufuata taratibu tu mbona Wazanzibari kibao wapo mambele na wanaishi?
Kitwana hili lako watatulie hii changamoto
Haina kutatuliwa hiyo asiweza kulipa kodi arudishe mlango tu halas
HILI SI LA KITWANA NAMTETEA HILI LAKE MTU MWENYEWE KABLA YA KUAMUWA KUFANYA BIASHARA LAZIMA UFANYE UTAFITI WA KUTOSHA NA UANGALIE RISK GANI ZIPO KTK BIASHARA HIYO WEWE USITEGEMEE GOOD RETURNS TU . MNAINGI KUFANYA BIASHARA BILA KUSOMA BIASHARA UNAYOTOKA KUFANYA.
@@user-xv4tl8iv4l nani mgeni wa biashara pale kwani ndo kwanza wameanza pale tatizo lipo Mkuu wa mkoa aende akawasikilize na awatatulie kma si lake la nani lako ww unayajuwa lakini majukumu ya Rc au ndo kila kitu ashuke Rais .
Inaumiza Sana kwa kwel hii Kodi kubwa Sana halaf hii changamoto ya wateja waliangalie Sana serekali dah mtihan
Musilie na Mwinyi lilieni na chama cha mapinduzi ccm hichi ni chama cha matapeli ccm mtapeli
Mwinyi anachama chake pekeake au co yeye c makamo mwenye kiti kwaznzbar mwinyi ndio kiongozi mkuu wccm ss waende kwenye ccm ipi umerogwa au😂😂😂
@@kassim1262 aje mufti kutoka makka akijiunga na ccm basi amekwisha afuata sera za ccm ili Nchi itulie kiongozi atoke chama chengine
Kodi sio kubwa hta kidogo iongezwe kodi msimsumbue raisi wetu ccm oyeee
Wwe unarais. Ulimsumbua mamako kuku bebea mimba .hd kukua asiambie km nani .bc mlete mkeo tumwambie shida zetu.
😂😂😂@@ibrahimame9805
Uyu halid ni mwana kharam ndio kajitokeza mbwa mkuwa ww