UKIONA DALILI HIZI, ANAKUSALITI (HUBBUL HALAL)

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 05. 2024
  • Kutoka AL FATAH TV .
    Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
    #AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
    #AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
    #ZANZIBAR​​

Komentáře • 22

  • @user-wu8yy4mw5p
    @user-wu8yy4mw5p Před 20 hodinami

    Mungu awefedheheshe hapaduniani na kesho akhera wasaliti wote walowasalit waumezao,na wke zao Ammin

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 Před měsícem +1

    Jaman.huyu Dada Aaah Jaman Nampenda Mim Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah Mashallah
    Allah akujaze kher Dada layla Alfattah Allah akujazen kher🤲

  • @user-pw2dv9fr6r
    @user-pw2dv9fr6r Před měsícem +3

    Hahah jamani iyo kauli ya kiarabu imenishtua maana mi kwangu kila wakat mke mdogo 😂 ni kweli au ila tuishi tuishivyo tusijaribu kupinga amri za Allah, mashallah kipindi kizuri sana ,madam Leila na ustadh Allah akulipeni kheri.

  • @mohamededdi7527
    @mohamededdi7527 Před měsícem +4

    Wamekwisha wazinifu, hawana pa kujificha. Kwa dalili hizo wamekwisha..

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 Před 16 dny

    Madini. 🎉🎉🎉❤

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Před měsícem +2

    Naam unaaga tuu Mie niliaga kabisa siwezi USALITI UNAUMA SANA

  • @pilykingo
    @pilykingo Před měsícem

    Kwa honey khani umetisha

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Před měsícem +3

    Jaman hapa pa ALLAH kkuonyesha kwamba mumeo ana anakusaliti mm nlionyeshwa mara kadhaa lkn ckua na dhana wala kufatilia,nlifikiria n ndoto to mume wangu kuchepuka na jirani yangu tena huyo mwanamke alikua mke wa mtu.nlikua naoteshwa wakifanya machafu tena kwenye nyumba yangu..Baadae yakawa wazi hadi leo ndio ndio wako pamaoja na wamezaa waishi pamoja..

    • @aliy3303
      @aliy3303 Před měsícem +2

      Pole Allah naamini amekupa ama atakupa mume bora

    • @bentybenty2343
      @bentybenty2343 Před měsícem +1

      @@aliy3303 Shukran..Allahumah Amiin.

    • @youtuberheart1648
      @youtuberheart1648 Před měsícem +1

      Uliumiaje maskini km nakuona😢pole sana

    • @bentybenty2343
      @bentybenty2343 Před měsícem +1

      @@youtuberheart1648 Alhamdulillah nlimskuru ALLAH kwa kila kitu na nakamuomba anizidishie subra..

    • @youtuberheart1648
      @youtuberheart1648 Před měsícem +2

      Usijali hupo peke ako ata na mm yamenifika ayo ayo allah atupe subrah in shaa allah

  • @user-pw2dv9fr6r
    @user-pw2dv9fr6r Před měsícem +1

    Mwanamke vijisafiri safar vinakuwa vingiii

  • @fatmahamdoun74
    @fatmahamdoun74 Před měsícem +2

    USALITI UNAUMA HASA IKIWA WEWE UMEKAA KWA NIĄ MOJA LOOOH HATARI

  • @user-qh9jj5xz3p
    @user-qh9jj5xz3p Před 21 dnem

    Hapo kwa utani dada yani mtu anakutusi hadi mamako ukiuliza waambiwa n utani

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 Před měsícem

    Kuna wengine hawapokei simu au anablock namba kwa muda anaojiskia,,hii hua ni dalili za nini