Daah inasikitisha kwa kweli kumbe zanzibar ilikuwa ni nchi kamili yenye kiti chake umoja wa mataifa kwa kweli jicho linatoka machozi nikiskia hii historia ya nchi yetu ila naamini iko siku zanzibar tutapata mamlaka yetu ya kuamua chochote tunachotaka kama zamani bila ya kuingiliwa na yoyote InshaAllah
Huyo sultani ni mwananchi NA ni mzaliwa pemba NA alikua anapendwa NA wananchi NA alisherekea uhuru wa zanzibari kama watu lakini ungereza NA nyerere hawataki dola ya kiislaam kuwa jirani NA tanganika ikafutwa serekali mzima NA kuua watu wasio NA makosa wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi bila huruma wakawazika pamoja katika mashimo makuubwa wakawazika
Dhuruma iliyofanywa na watu kusahau harakati za mzee MOHAMMED SHAMTE, itaigharimu Zanzibar kizazi hadi kizazi na kuungana na vibaraka kuifanya Zanzibar kuwa dora ndogo kuliko Tanganyika wakati history inasema Zanzibar ndio ilikua dora kubwa hata wajerumani walipokuja Tanganyika kuanzisha makoloni yao wali ripoti ktk Dora ya Zanzibar na kupewa kibali cha kuingia bara sehemu kubwa ya pwani ni Dora ya Zanzibar kuanzia ukanda wa bahari ya Hindi yote leo Zanzibar imebaki na kibakuli tu na bado kinatazamwa
Jamani lawama infaa itupiwe kia upande kwa yaliyotekea .Wapi umesikia nchi inapokea uhuru,wakati haina jeshi,ikajikalia tu bila kufanya mipango ya kujihami?
Daah inasikitisha kwa kweli kumbe zanzibar ilikuwa ni nchi kamili yenye kiti chake umoja wa mataifa kwa kweli jicho linatoka machozi nikiskia hii historia ya nchi yetu ila naamini iko siku zanzibar tutapata mamlaka yetu ya kuamua chochote tunachotaka kama zamani bila ya kuingiliwa na yoyote InshaAllah
Hasadi ni mbaya sana ona Zanzibar ilivyo fanyiwa hasadi na nyenyerere mpaka akaifikisha hapa tulipo sasa dah masikini mama yangu zanzibar
Eeh Mungu sikia kilio cha Wazanzibari kuwa na nchi yao yenye mamlaka kamili 😢
It brings tears once when we here such a things like these, let Zanzibar be free from Tanganyika
We can't here this voice anymore... but we can surely get back our country again
Huyo sultani ni mwananchi NA ni mzaliwa pemba NA alikua anapendwa NA wananchi NA alisherekea uhuru wa zanzibari kama watu lakini ungereza NA nyerere hawataki dola ya kiislaam kuwa jirani NA tanganika ikafutwa serekali mzima NA kuua watu wasio NA makosa wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi bila huruma wakawazika pamoja katika mashimo makuubwa wakawazika
Dhuruma iliyofanywa na watu kusahau harakati za mzee MOHAMMED SHAMTE, itaigharimu Zanzibar kizazi hadi kizazi na kuungana na vibaraka kuifanya Zanzibar kuwa dora ndogo kuliko Tanganyika wakati history inasema Zanzibar ndio ilikua dora kubwa hata wajerumani walipokuja Tanganyika kuanzisha makoloni yao wali ripoti ktk Dora ya Zanzibar na kupewa kibali cha kuingia bara sehemu kubwa ya pwani ni Dora ya Zanzibar kuanzia ukanda wa bahari ya Hindi yote leo Zanzibar imebaki na kibakuli tu na bado kinatazamwa
Waengerza ndo walotutia kwenye matatizo yote hayo Kwa kushirikiana na vibaraka wake
Sidhani huko makaburini km wana amani kwa dhima walobeba
Ikowapi ile Zanzibar ya ndoto yetu 😬😂
Zanzibar ilikua kimataifa inajulikana leo ukisema zanzibar adi ufafanue ilikua n passport n.k rohombaya ya nyerere kuichafua zanzibar
Hy ccm ya ,Zbar ndo washenzi kwa sbb ya maslahi yao q
@@seifabdulwahid4579 naam ndio mana wapo tayr kutoa roho z watu
@@gangmore9091 Washenzi tena kutwa unawakuta misikitini unasali nn km unawadhumu watu haki zao
@@seifabdulwahid4579 ili usionekane mnafiki bc ujitie kwenye dini ndio mana wamewateka Mashekhe kuwa karibu nao
Aaaaa Nyerere kumamayo
😂😂😂
Nchi mnapa karume kanaipeleka bara. Sasa onjeni, mtakwa kama libya
Let's blem them self's.
As Zanzibaris suppose to be no multi party from 1950s.
kiukweli kbs walichokifanya Nyerere na karume kamwe hawatasamehewa na wazanzibar
Sahihi
Kabisa
@@sadakhamis1261 umeonaeeh?
Zanzibari imetekwa NA ruhusa ya wangereza NA nyerere
Swadakta
This was a great speech and great quotation
Free zanzibar
Nchi ilikuwa kwa Wazanzibari ss imechukuliwa na Wazanzibara
Jamani lawama infaa itupiwe kia upande kwa yaliyotekea .Wapi umesikia nchi inapokea uhuru,wakati haina jeshi,ikajikalia tu bila kufanya mipango ya kujihami?