HOTUBA YA WAZIRI MKUU MOHAMMED SHAMTE UN

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 9. 12. 2015
  • 1963

Komentáře • 30

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv Před rokem +4

    Daah inasikitisha kwa kweli kumbe zanzibar ilikuwa ni nchi kamili yenye kiti chake umoja wa mataifa kwa kweli jicho linatoka machozi nikiskia hii historia ya nchi yetu ila naamini iko siku zanzibar tutapata mamlaka yetu ya kuamua chochote tunachotaka kama zamani bila ya kuingiliwa na yoyote InshaAllah

  • @allykhamis3378
    @allykhamis3378 Před 2 lety +6

    Hasadi ni mbaya sana ona Zanzibar ilivyo fanyiwa hasadi na nyenyerere mpaka akaifikisha hapa tulipo sasa dah masikini mama yangu zanzibar

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go Před 7 měsíci +2

    Eeh Mungu sikia kilio cha Wazanzibari kuwa na nchi yao yenye mamlaka kamili 😢

  • @zanziboysaid952
    @zanziboysaid952 Před 2 lety +2

    It brings tears once when we here such a things like these, let Zanzibar be free from Tanganyika

  • @saidhamad7504
    @saidhamad7504 Před 4 lety +2

    We can't here this voice anymore... but we can surely get back our country again

  • @alialamoudi9729
    @alialamoudi9729 Před rokem +3

    Huyo sultani ni mwananchi NA ni mzaliwa pemba NA alikua anapendwa NA wananchi NA alisherekea uhuru wa zanzibari kama watu lakini ungereza NA nyerere hawataki dola ya kiislaam kuwa jirani NA tanganika ikafutwa serekali mzima NA kuua watu wasio NA makosa wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi bila huruma wakawazika pamoja katika mashimo makuubwa wakawazika

    • @shabanikipongo1431
      @shabanikipongo1431 Před rokem

      Dhuruma iliyofanywa na watu kusahau harakati za mzee MOHAMMED SHAMTE, itaigharimu Zanzibar kizazi hadi kizazi na kuungana na vibaraka kuifanya Zanzibar kuwa dora ndogo kuliko Tanganyika wakati history inasema Zanzibar ndio ilikua dora kubwa hata wajerumani walipokuja Tanganyika kuanzisha makoloni yao wali ripoti ktk Dora ya Zanzibar na kupewa kibali cha kuingia bara sehemu kubwa ya pwani ni Dora ya Zanzibar kuanzia ukanda wa bahari ya Hindi yote leo Zanzibar imebaki na kibakuli tu na bado kinatazamwa

  • @kassimhaji1141
    @kassimhaji1141 Před 2 lety +3

    Waengerza ndo walotutia kwenye matatizo yote hayo Kwa kushirikiana na vibaraka wake

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis1261 Před 2 lety +4

    Sidhani huko makaburini km wana amani kwa dhima walobeba

  • @mwigaadam9076
    @mwigaadam9076 Před 2 lety +2

    Ikowapi ile Zanzibar ya ndoto yetu 😬😂

  • @gangmore9091
    @gangmore9091 Před 4 lety +6

    Zanzibar ilikua kimataifa inajulikana leo ukisema zanzibar adi ufafanue ilikua n passport n.k rohombaya ya nyerere kuichafua zanzibar

    • @seifabdulwahid4579
      @seifabdulwahid4579 Před rokem

      Hy ccm ya ,Zbar ndo washenzi kwa sbb ya maslahi yao q

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 Před rokem

      @@seifabdulwahid4579 naam ndio mana wapo tayr kutoa roho z watu

    • @seifabdulwahid4579
      @seifabdulwahid4579 Před rokem +1

      @@gangmore9091 Washenzi tena kutwa unawakuta misikitini unasali nn km unawadhumu watu haki zao

    • @gangmore9091
      @gangmore9091 Před rokem

      @@seifabdulwahid4579 ili usionekane mnafiki bc ujitie kwenye dini ndio mana wamewateka Mashekhe kuwa karibu nao

  • @user-un3hr5kh6z
    @user-un3hr5kh6z Před 9 dny

    Aaaaa Nyerere kumamayo

  • @hamilsaleh-zo3hp
    @hamilsaleh-zo3hp Před 2 měsíci +1

    Nchi mnapa karume kanaipeleka bara. Sasa onjeni, mtakwa kama libya

  • @salimharrasy7047
    @salimharrasy7047 Před 2 měsíci

    Let's blem them self's.
    As Zanzibaris suppose to be no multi party from 1950s.

  • @bennymochiwa4800
    @bennymochiwa4800 Před 3 lety +4

    kiukweli kbs walichokifanya Nyerere na karume kamwe hawatasamehewa na wazanzibar

  • @nuramoboy
    @nuramoboy Před 5 lety

    This was a great speech and great quotation

  • @amoursaid2700
    @amoursaid2700 Před 6 lety +4

    Free zanzibar

  • @user-tx2zj1qq1o
    @user-tx2zj1qq1o Před měsícem

    Nchi ilikuwa kwa Wazanzibari ss imechukuliwa na Wazanzibara

  • @ahmedalbalooshi8518
    @ahmedalbalooshi8518 Před 2 měsíci

    Jamani lawama infaa itupiwe kia upande kwa yaliyotekea .Wapi umesikia nchi inapokea uhuru,wakati haina jeshi,ikajikalia tu bila kufanya mipango ya kujihami?