RAYVANNY Ashindwa Kupiga SHOW CANADA/Adai Kufanyiwa FIGISU/Aomba Msamaha kwa mashabiki

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 07. 2024
  • Mwanamuziki #Rayvanny ameshindwa kufanya show yake huko nchini Canada ambayo alipaswa kuifanya usiku wa kuamkia leo July 7,2024
    .
    Kwa mujibu wa Rayvanny anadai kuwa kuna sababu zilizo nje ya uwezo wake zilizopelekea kushindwa kufanya show.
    .
    Ikumbukwe masaa machache nyuma Rayvanny alilalamika mashabiki kuzuiwa kuingia ukumbini na walio ndani wakitoka nje hawakuruhusiwa kurudi ndani tena
    .
    Kutokana na kushindwa kufanya show hiyo Rayvanny amewaomba radhi mashabiki waliojitokeza kwenye show hiyo na kuwaaihidi kuzungumza na waandaaji wa show ili airudie show wakati mwengine na waliolipa tiketi wataingia bure
    _________________________________________________________________________________
    Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe CZcams channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
    _________________________________________________________________________________
    Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp
  • Zábava

Komentáře • 5

  • @user-pk1yl7zt8p
    @user-pk1yl7zt8p Před 10 dny +3

    😂😂😂😂😂😂😂za uso izooo mpaka ache kudanganya kua Albania kua show ilikua akye akubal kat zote huwag anandndia2 kwa tenga

  • @dollabrucy
    @dollabrucy Před 10 dny +2

    Tatizo la wasani wa Tanzania ukiwapa show hawataki kuangalia nguvu za promoer mtu kama pck niwakuandaa show wameziwiya watu juu promoter nitapeli hamedanganya wenye ukumbi

  • @VitusEmmanuel-pe3yi
    @VitusEmmanuel-pe3yi Před 10 dny +3

    Uongo huo kala za uxo

  • @CantonaKunona
    @CantonaKunona Před 10 dny +3

    Alikiba yupo hukoo Shtuka kaka😂😂