RAYVANNY Ashindwa Kupiga SHOW CANADA/Adai Kufanyiwa FIGISU/Aomba Msamaha kwa mashabiki
Vložit
- čas přidán 6. 07. 2024
- Mwanamuziki #Rayvanny ameshindwa kufanya show yake huko nchini Canada ambayo alipaswa kuifanya usiku wa kuamkia leo July 7,2024
.
Kwa mujibu wa Rayvanny anadai kuwa kuna sababu zilizo nje ya uwezo wake zilizopelekea kushindwa kufanya show.
.
Ikumbukwe masaa machache nyuma Rayvanny alilalamika mashabiki kuzuiwa kuingia ukumbini na walio ndani wakitoka nje hawakuruhusiwa kurudi ndani tena
.
Kutokana na kushindwa kufanya show hiyo Rayvanny amewaomba radhi mashabiki waliojitokeza kwenye show hiyo na kuwaaihidi kuzungumza na waandaaji wa show ili airudie show wakati mwengine na waliolipa tiketi wataingia bure
_________________________________________________________________________________
Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu kwa ku-subscribe CZcams channel ya RICK MEDIA. Tufuatilie kupitia Instagram, Facebook na Twitter kwa jina la @rickmediatz
_________________________________________________________________________________
Contact Us Now +255 742 447 854 | Normal Calls & WhatsApp - Zábava
😂😂😂😂😂😂😂za uso izooo mpaka ache kudanganya kua Albania kua show ilikua akye akubal kat zote huwag anandndia2 kwa tenga
Tatizo la wasani wa Tanzania ukiwapa show hawataki kuangalia nguvu za promoer mtu kama pck niwakuandaa show wameziwiya watu juu promoter nitapeli hamedanganya wenye ukumbi
Uongo huo kala za uxo
Alikiba yupo hukoo Shtuka kaka😂😂
😅😅😅😅😅😅