WENYEVITI WA VIJIJI, WAONYA VIKALI KUAMUA KESI ZA UBAKAJI NA ULAWITI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 04. 2024
  • Mwenyekiti wa jumuia ya Wazazi(ccm)mkoa wa dodoma Samuel Marcela amewataka wazazi wilayani kondoa kuwapeleka watoto shule na kuwalea katika Maadili kwani watoto ndio mtaji wa kesho,Huku akiwataka wenyeviti wa vijiji na mtaa kuacha tabia ya kusuluhisha kesi za ubakaji na ulawiti.
    Marcela ameyasema hayo wakati wa maadhimisho ya wiki ya wazazi kimkoa yaliyofanyika wilayani kondoa ikiambatana na upandaji wa miti katika shule ya sekondari ya Kata ya bolisa

Komentáře •