Video není dostupné.
Omlouváme se.

MAZITO, SAKATA LA MWENYEKITI UVCCM KAGERA LAFIKIA PABAYA "ACHUKULIWE HATUA KALI, IWE MFANO"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 04. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 18

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur Před 3 měsíci

    Hongera sana Mbunge kuliona hilo

  • @WilbertChambilo-yl1kc
    @WilbertChambilo-yl1kc Před 3 měsíci +1

    Achukuliwe hatua za kisheria.

  • @sarahkadugu4367
    @sarahkadugu4367 Před 3 měsíci +1

    Kwa nini ukufundishwa Hekima. Huna huruma hata kidogo juu ya Familia yako. Mhhhhh kwenye jamii hufai sijui nani alikupa hata Uongozi wewe

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Před 3 měsíci

    Sijaona alichotukana hapo,

  • @beinafuu6219
    @beinafuu6219 Před 3 měsíci

    Huyu uwenda katoa mambo ya sirini mwa .....kwa hiyo hawawezu kumfanya kitu chochote miaka mia. Na n8 bado k8jana ngoja atafute cheo jaman

  • @user-gc1ez1yv4k
    @user-gc1ez1yv4k Před 3 měsíci

    Mungu ataitwa mungu 2020 kwenye uchaguzi,mlifanya mlivotaka na mlivyoweza .Chini ya mwenda zake.Mwaka huu sijui mtamtegemea nani !

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 Před 3 měsíci

    Hiyo ni jinai au ni madai!

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 Před 3 měsíci

    Hatua ya mbunge kulisema ni sahihi, wapinzani wanaangalia hatua gani wamechuku]iwa vinginevyo watatoa matamshi yanayofanana na ndipo balaa tunalaani mambo ya namna hiyo

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 Před 3 měsíci

    Nchi ya akina yaheeer

  • @yusuphahmed-yt5gg
    @yusuphahmed-yt5gg Před 3 měsíci

    Nawewo wanaongeaga bila kufikiria

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q Před 3 měsíci

    Kutaka kujipendekeza kukizidi uleta madhara

  • @user-fy3cy5fe6q
    @user-fy3cy5fe6q Před 3 měsíci

    Yesu alizalilishwa licha ya binadamu nyamazeni tena nyie mnaongeaongea ndio mnaomzalilisha sasa

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r Před 3 měsíci

    Kwani kafanya nini

  • @georgemahenge
    @georgemahenge Před 3 měsíci

    Unatakiwa uka nyee ndoo.na porisi wanamwangaria tu.

  • @AffectionateFood-rz5sv
    @AffectionateFood-rz5sv Před 3 měsíci

    Politically,kumpoteza mtu ni kwa njia ya hoja na si kwa vioja kama wengi wanavyodhania.
    Mwenyekiti wa uvccm alikuwa sahihi politically,but,wengi wa walio mtafsiri haikuwa dhamira yake. Vijana ni tanuri la kuwaoka viongozi wa leo na kesho hivyo ni imani yangu kijana huyo hajaungua ndani ya tanuri.
    Kijana alikuwa anatimiza majukumu yake kwa chama kwa kumlinda mwenyekiti wake. Watu wasihamaki kwa kauli ya kijana bali wasikitike kwa kauli za wanaomtusi mwenyekiti wa ccm taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama,Samia Suluhu Hassan
    Kulinda ujamaa na kujitegemea ni jukumu la uvccm.0

    • @MathewNathan-yb2bz
      @MathewNathan-yb2bz Před 3 měsíci

      Hivi ww unawajua vizuri ccm au huwajui.watu ni kweli wanatekwa na kuuawa.Mwenyekiti wa uvccm kaongea kauli ambayo ina utata na ya hovyo sana.Wanaomtusi rais na huyu mwenyekiti wote ni wahalifu sawa na tena huyu ndio katoa kauli mbaya zaidi.ccm inatakiwa iwaandae vijana wenye maono kweli kweli na walio tayari kusimamia utawala bora na kutenda haki sio huyu mwenyekiti sijui wamemokota wapi.kwanza ilitakiwa kwa kauli yake ajiuzulu tu.

    • @robertmsukwa8466
      @robertmsukwa8466 Před 3 měsíci +1

      Mtu akikosea tuache kuweka siasa huyu kapuyanga na ww unaunga mkono kisiasa kuwa atawapoteza kisiasa sawa hata lisu alinusulika kupotezwa kisiasa sasa sjui uni uelewa hili jambo halishabiliani na siasa achukuliwe tu hatua za kinizamu pamoja na maonyo ya kuchunga kauli zake mbovu za kufikilisha kiasi hiko