Video není dostupné.
Omlouváme se.
Další v pořadí
Automatické přehrávání
Premier van Bangladesh uit eigen land gevlucht na wekenlange protestenNOS Jeugdjournaal
zhlédnutí 33K
Minister Faber over uitgeprocedeerde MikaelRTL Nieuws
zhlédnutí 2,4K
Hulpdiensten massaal uitgerukt voor ingestort hotelDe Telegraaf
zhlédnutí 38K
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedyCRAZY GREAPA
zhlédnutí 34M
They got a Golden Buzzer 🤣✨America's Got Talent
zhlédnutí 49M
Comfortable 🤣 #comedy #funnyMicky Makeover
zhlédnutí 12M
#JasonDeruloTV // 🐠 #GotPermissionToPost From @reellifestylefishing #SpicyMargaritaJason Derulo
zhlédnutí 3,5M
VIJANA WA LEO NA MOHAMMED KAWAIDA (MWENYEKITI UVCCM) - 21.12.2022Channel ten
zhlédnutí 1K
Uithijsen viaduct trekt veel bekijksOOG Groningen
zhlédnutí 7K
MWIGULU AMVAA ESTER BULAYA / UNANIANGALIA SANA MIMI / WABUNGE HAMUONI AIBUGangana Info Channel
zhlédnutí 178K
MBOWE AFUNGUKA “NITACHUKUA MAKOMANDOO, WADOGO LAKINI BALAAH, NAWAHITAJI MAKOMANDOO”Millard Ayo
zhlédnutí 108K
VZÁJEMNĚ SI TVOŘÍME TEN NEJHORŠÍ TUNING! 😂MENTSGARAGE
zhlédnutí 285K
Jak Vypadají Noví Nejbohatší Youtubeři v Česku?Bige
zhlédnutí 532K
JO PARIS 2024 - Céline Dion chante "L'hymne à l'amour" sur la Tour Eiffel à la cérémonie d'ouvertureEurosport France
zhlédnutí 6M
Finger Heart - Fancy Refill (Inside Out Animation)FASH
zhlédnutí 29M
Mom's Unique Approach to Teaching Kids Hygiene #shortsFabiosa Stories
zhlédnutí 39M
Hardest Basketball Shots Ever 😳Red Bull
zhlédnutí 36M
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedyCRAZY GREAPA
zhlédnutí 34M
Cool Items!🥰 New Gadgets, Smart Appliances, Kitchen Tools Utensils, Home Cleaning, Beauty #shortsCool Items Official
zhlédnutí 58M
Hongera sana Mbunge kuliona hilo
Achukuliwe hatua za kisheria.
Kwa nini ukufundishwa Hekima. Huna huruma hata kidogo juu ya Familia yako. Mhhhhh kwenye jamii hufai sijui nani alikupa hata Uongozi wewe
Sijaona alichotukana hapo,
Huyu uwenda katoa mambo ya sirini mwa .....kwa hiyo hawawezu kumfanya kitu chochote miaka mia. Na n8 bado k8jana ngoja atafute cheo jaman
Mungu ataitwa mungu 2020 kwenye uchaguzi,mlifanya mlivotaka na mlivyoweza .Chini ya mwenda zake.Mwaka huu sijui mtamtegemea nani !
Hiyo ni jinai au ni madai!
Hatua ya mbunge kulisema ni sahihi, wapinzani wanaangalia hatua gani wamechuku]iwa vinginevyo watatoa matamshi yanayofanana na ndipo balaa tunalaani mambo ya namna hiyo
Nchi ya akina yaheeer
Nawewo wanaongeaga bila kufikiria
Kutaka kujipendekeza kukizidi uleta madhara
Yesu alizalilishwa licha ya binadamu nyamazeni tena nyie mnaongeaongea ndio mnaomzalilisha sasa
Kwani kafanya nini
Unatakiwa uka nyee ndoo.na porisi wanamwangaria tu.
Politically,kumpoteza mtu ni kwa njia ya hoja na si kwa vioja kama wengi wanavyodhania.
Mwenyekiti wa uvccm alikuwa sahihi politically,but,wengi wa walio mtafsiri haikuwa dhamira yake. Vijana ni tanuri la kuwaoka viongozi wa leo na kesho hivyo ni imani yangu kijana huyo hajaungua ndani ya tanuri.
Kijana alikuwa anatimiza majukumu yake kwa chama kwa kumlinda mwenyekiti wake. Watu wasihamaki kwa kauli ya kijana bali wasikitike kwa kauli za wanaomtusi mwenyekiti wa ccm taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mama,Samia Suluhu Hassan
Kulinda ujamaa na kujitegemea ni jukumu la uvccm.0
Hivi ww unawajua vizuri ccm au huwajui.watu ni kweli wanatekwa na kuuawa.Mwenyekiti wa uvccm kaongea kauli ambayo ina utata na ya hovyo sana.Wanaomtusi rais na huyu mwenyekiti wote ni wahalifu sawa na tena huyu ndio katoa kauli mbaya zaidi.ccm inatakiwa iwaandae vijana wenye maono kweli kweli na walio tayari kusimamia utawala bora na kutenda haki sio huyu mwenyekiti sijui wamemokota wapi.kwanza ilitakiwa kwa kauli yake ajiuzulu tu.
Mtu akikosea tuache kuweka siasa huyu kapuyanga na ww unaunga mkono kisiasa kuwa atawapoteza kisiasa sawa hata lisu alinusulika kupotezwa kisiasa sasa sjui uni uelewa hili jambo halishabiliani na siasa achukuliwe tu hatua za kinizamu pamoja na maonyo ya kuchunga kauli zake mbovu za kufikilisha kiasi hiko