MBOWE AFUNGUKA “NITACHUKUA MAKOMANDOO, WADOGO LAKINI BALAAH, NAWAHITAJI MAKOMANDOO”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 03. 2022

Komentáře • 245

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Před měsícem

    Pole na kazi mzee mbowe manakazi yako ngumu kwelikweli bila moyo wa wito huwezi kufanya

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před 2 lety +6

    Wewe pia huishi milele Mbowe huna aibu ,hayo maneno yatakukost

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 lety

      Rose huyo hachukui dulu muda si mrefu safari imeshamuivia acha amtukane tu hayati magufuli

    • @benosilwani5208
      @benosilwani5208 Před 2 lety

      @@margarethpolepole7438 Hata wewe safari imeiva, hakuna mtu atabaki. Utakufa pia.

  • @piussimtala5111
    @piussimtala5111 Před 2 lety +4

    Hapo pa Makomandoo!! Yawezekana ndo tatizo lako kubwa!

  • @mwigakatumpula6852
    @mwigakatumpula6852 Před 2 lety +8

    Hiii ni atari kwa usalama wa nchi hatuwezi kwenda ivi yaani siungi mkono kabisaa hili swala.serikali iliangalie hili swala kwa mapana na kwa mstakabali wa nchi 🙌🙌🙌🙌🙆🙆🙆🙆😀

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 lety

      Tena serikali mwiga imfuatilie kwa makini huyu ni gaidi kabisa

    • @mwigakatumpula6852
      @mwigakatumpula6852 Před 2 lety +1

      @@margarethpolepole7438 alipo niacha hoi pale anasema hawa makomando nawatumia maana serikali inawafundisha matumizi ya siraha harafu wana wa fukuza KAZINI sasa sisi tutawatumia. Kwanini nasema ni atari kwanza mtu alikua mtumishi harafu afukuzwe kazi unadhani atakua na mapenzi na serikali yake apo?!

  • @musasaid559
    @musasaid559 Před 2 lety +3

    Unajua kule jela sio pahala pazul wenda ameanza kuchanganyikiwa

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 Před 2 lety +2

    Sawa kbs safi sana jibu zuri sana kuna swali lingine?

  • @charlesjoseph1081
    @charlesjoseph1081 Před 2 lety +10

    Hakika we ni GAIDI acha hao wapuuzi washan gilie

    • @andersonmwenda6390
      @andersonmwenda6390 Před 2 lety +1

      Aliye timamu anakuona ww ndiyo mpuuzi,mjinga mwendokasi,kwa kuwa kajibu swali aliloulizwa

    • @musason1680
      @musason1680 Před 2 lety +1

      Huyu n gaid t ety kupambana na Dola

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 Před 2 lety

      Kabisaa

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 lety

      Charles huyo ni gaidi kabisa maneno yake tu yameshawaingia vizuri watanzania walikuwa wanamtukana igp siro sasa sikia anachosema

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 Před 2 lety +5

    Yaani kweli jpm ....?

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 Před 2 lety +4

    Yaani jasho hilo lote na matamshi hayo ili uchukue nchi kweli? kwa hali hiyo?

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 Před 2 lety

      🤣🤣🤣

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 lety

      Charles musiba hana ubavu huo serikali siyo ya wajinga anajimaliza mwenyewe mitandaoni kuwa chama cha magaidi nani anataka vita kama vya Ukraine

  • @kainimlowe7555
    @kainimlowe7555 Před 2 lety +8

    safari hii watakuunganisha na zumaridi

    • @deus8629
      @deus8629 Před 2 lety +1

      Umenichekesha... Mbowe ni Kiongozi BORA watu wachache ndo wanaomuelewa

    • @asiaokelay8421
      @asiaokelay8421 Před 2 lety

      Zumaridi no 2 kabisa

  • @annajohn2488
    @annajohn2488 Před 2 lety +6

    Hawa wapuuzi et mwendazake ww umepoteza baba mkwe mdogo kwaiyo nao wendazao ht ww utaenda

    • @andersonmwenda6390
      @andersonmwenda6390 Před 2 lety +1

      Umekuwa mjinga mpaka kiswahili kinakushinda?!!

    • @amenaameeena3317
      @amenaameeena3317 Před 2 lety

      Mwendazake sio tusi jamani Acha kumshambulia mbowe mwendazake ni marehumu ILO neno linatumiwa na WA Kenya Ivo Kwa Tz tumezoea kuitwa Hayati au marehemu

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 Před 2 lety

      Cha moto huyo GAIDI MBOWE atakiona.

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 Před 2 lety

      Na yeye atakuwa mwenda zake, mpumbavu sana

    • @ernestwegga6557
      @ernestwegga6557 Před 22 dny

      Hana hekima. Kila mtu ataonja mauti. Inauma sana kumhusisha Jpm na mambo yake

  • @musason1680
    @musason1680 Před 2 lety +6

    Mhuni tu uyu kashazeeka t n uchu wa madaraka tu unamsumbua hana kt anadhan yeye ataishi milele

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 lety

      Kwa kupata urais au kitu chochote aombe mungu sana musa amekwisha huyo amekuwa kama chizi

  • @musasaid559
    @musasaid559 Před 2 lety +3

    Ameanza kuvulungwa ila ukae ukijua kua baba wakambo namama wakambo bora baba wakambo endelea kulopoka watanzania wapo watakuombea tena boya wewe

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Před 4 měsíci +1

    mbowe baba wa democracia tz hata mama wa taifa mama maria nyerere anamjua mbowe ni baba wademocracia kama rais mstaafu wa congo joseph kabila kabange arie tengeneza katiba ya marithiano DRC na kukubali kun'gatuka nakura maisha kwa heshima mpaka afe bira maneno tatizo huku tz mama wa kambo kanogewa na utawala na kuiba mali kam jk wa angushamizoga kila miaka ajui ipo zamu yake yaja nae atakua mzoga tuu amina

  • @kingfocustzog
    @kingfocustzog Před 2 lety +2

    Na ww utakua mwenda zake tu nikajua unaakili kumbe ni tope tu

  • @valencemateru544
    @valencemateru544 Před 2 lety +11

    Aise umenifurahisha wadogo lakini balaa

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 2 lety +5

    Haya mama samia waajiri wote waliongia jeshini jkt mbowe atawabeba wote mkiwaacha jibu ndilo hilo analitoa hadharani vita hiyo viongozi wa dini waliomuombea kwako amekwisha wageuka

    • @mathiaszakaria7052
      @mathiaszakaria7052 Před 2 lety +2

      Hizo ni akili zako hazioni mbali Kama bata

    • @georgegerald4153
      @georgegerald4153 Před 2 lety +2

      hacha kupotosha vitu wewe...Mbowe kasema kuwachukua kwa ajili ya ulinzi wao binafsi dhidi ya watu wasio julikana.

    • @meshackmpalanga9130
      @meshackmpalanga9130 Před 2 lety

      Asante kwa kuwaombea vijana wetu ajira kinamna

  • @msomimosomy9812
    @msomimosomy9812 Před 2 lety +8

    Km sijaelewavle hayomatamshi yanamaanagani au yanafaidagani kwa wtz nataifakwaujumla?

  • @sosomacharles6685
    @sosomacharles6685 Před 2 lety +5

    Na ww utaenda tu huwezi kwepa,ww dhihaki tu.

  • @revocatuscharles934
    @revocatuscharles934 Před 4 měsíci +1

    Tuko wote kwa mahandamano mr mwenyekit nikiwa pande za karagwe mkoa wa kagera

  • @jongwemomumo8729
    @jongwemomumo8729 Před 2 lety +5

    Halafu mlikataa kuwa sio Gaidi 😇😇😇

    • @Teksani
      @Teksani Před 2 lety +1

      Nini maana ya Gaidi?

  • @nikodemmwahangila3334
    @nikodemmwahangila3334 Před 2 lety +1

    Sasa hapo kwenye kutengeneza jeshi makomamdoo hapana tunaenda kwingine huko nikuombe usiongee hiyo kama niwalinzi waajili lakini usiseme hicho ulichosema. Alafu musimuongee magufuli hivyo ukisema mwenda zake huku linatafasiliwa tusi

  • @vradmirlenin8290
    @vradmirlenin8290 Před 2 lety +2

    Umeanza tena kubweka

  • @mhogomchungu7168
    @mhogomchungu7168 Před 2 lety +1

    Huyu kaachiwa juzi kishaanza kiburi na uchochezi

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 Před 2 lety +3

    Huyu kuna kitu sio bure mbona amekua na makali hivi aisee 🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 lety +1

      Edger nandonde huyo jela imemtia uchizi na muda si mrefu atamfuata huyo mwendazake anaemtukana

  • @didimhutila8985
    @didimhutila8985 Před 2 lety +1

    Kwa hiyo we unapambana na dola sio?

  • @noonelike6382
    @noonelike6382 Před 2 lety +3

    Gaidi... Itakuwa ni kweli!..

    • @desderiusluoga7736
      @desderiusluoga7736 Před 2 lety +3

      watanzania wengi hatuna uelewa gaidi angetolewa jela

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 lety +1

      No one like kwani serikali ilikuwa ni wajinga maneno yake si hayo mitandaoni yanatoa jibu

  • @ramadhanimtambo6755
    @ramadhanimtambo6755 Před rokem

    Mhe mbowe kua na walinzi wastani tu nchi inapokua na uongozi bora wa kutosumbuliwa wewe na Jenga Imani na vyombo vyetu vya ulinzi na usalama Kwa wakati huu wa demokrasia makini Toka Kwa mama kama unavyomuamini mama .tunakupenda waaelimishe viongozi wengine siasa za ustaarabu Kwa nyakati mambo yalivyobadilika ahsante

  • @enocksosthenes4505
    @enocksosthenes4505 Před 2 lety +8

    Mwenda zake ni neno linatumika zaidi Kenya likimaanisha marehemu japo halitukiwi kwa watu wenye nyadhifa katika jamii hata Kenya hiwezi ukalitumia kama mbadala wa Hayati. Hapa kwetu Mtu wa hadhi ya JPM linatumika Hayati ndo maana huwezi hata tumia neno Marehemu mfano kwa Nyerere etc. Hivyo heshima tuliyohiwekea ikabaki kuheshimiwa na kulinda matendo ma ya viongozi wetu.

    • @bahatimallya32
      @bahatimallya32 Před 2 lety +1

      Inategemea huyo mwenda zake aliishi vipi nawatu binadamu uwezi kuwaonawezako hawasitahili kuishi wakati wamezaliwa kama wewe anasitahili kuitwa mwenda zake

    • @shadymbuki87
      @shadymbuki87 Před 2 lety +1

      @@bahatimallya32 taahira wewe huwezi kumuita mkuu wa nchi mwendazake, endeleeni yajayo yanafurahisha.

    • @kelvinwilliam5145
      @kelvinwilliam5145 Před 2 lety

      Wafu hawajui neno lolote

    • @sebastianmwantuge5597
      @sebastianmwantuge5597 Před 2 lety

      Tatizo mmezoea kuheshimu mtu kinafiki,ndiyo maana tutabaki kuwa maskini.

    • @salomemchewa5187
      @salomemchewa5187 Před 2 lety

      Kesha anza , huyu kwanini ametoka, mmeona , jeshi ni moja la tanzania nzima, kwanini awe na majeshi yake,, kama ni mabodigar sawa, lakini majeshi, jamani kuweni makini majeshi ya kujitemea ndo yanaleta fujo inch za jirani , tuyakuja kulia, mkiwachia wafanye wanavyotaka

  • @mosesmwafwenga3012
    @mosesmwafwenga3012 Před 2 lety +2

    Kweliiii

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 Před 2 lety +3

    Chama makini

  • @mgallason...5686
    @mgallason...5686 Před 2 lety +2

    Mmh haya bana

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před 2 lety +2

    Yaani mmmh sisemi kitu napita tu

  • @fidahusseinkassim9778
    @fidahusseinkassim9778 Před 2 lety +6

    Tuwe makini watanzania,siasa inapoenda sio sawa, tushikamane tujenge nchi yetu, viongozi wawe makini na maneno wayasema,

    • @nasrahassan7346
      @nasrahassan7346 Před 2 lety +2

      Hakika

    • @shijamasunga6889
      @shijamasunga6889 Před 2 lety

      Hata uasi unatengenezwa hivihivi ni process unaweza sema ni watatu kesho wakawa 50 ww Bila kujua wakifika mia ndo unastuka kumbe ni hatar eee too late

  • @stefanokileo1294
    @stefanokileo1294 Před 2 lety +2

    Ulizi nimuhimu

  • @TheLovejoyz
    @TheLovejoyz Před 2 lety +3

    Walipe ..wakulambe..wasaliti

  • @bajagihaji8923
    @bajagihaji8923 Před 2 lety +5

    Kweli itachukua wakati kwa wapinzani ukiwa na hamasa sana saa ingine yanakutoka maneno ya ajabu

  • @musason1680
    @musason1680 Před 2 lety +1

    Mshaambiwa yee ataendelea kupambana na Dola dadeki huyu angesota t uko

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 2 lety +4

    siasa si maneno ya ovyo juu ya washindani wako bali sera za maana zenye maono ya kumaanisha kuijenga nchi na maendeleo ya wananchi... eee Mwenyezi Mungu Tukumbuke WaTz

    • @kisangageorgethomasi2830
      @kisangageorgethomasi2830 Před 2 lety

      Kwani ww unasemaje?

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 Před 2 lety

      @@kisangageorgethomasi2830 😂😂😂😂

    • @YEHOVATV-mz6sp
      @YEHOVATV-mz6sp Před 4 měsíci

      BEBA KAMUSI YA KISWAHILI HALAFU SOMA MAANA YA NENO SIASA.SIASA NI MFUMO WA JAMII WA KIUCHUMI AU KIUTAMADUNI.PIA SIASA NI MAAMUZI YA BUSARA ILI KUFIKIA JAMBO FULANI .Siasa sio MANENO YA HOVYO JUU YA WASHINDANI WAKO.

  • @georgemhalla8853
    @georgemhalla8853 Před 2 lety +11

    Mbowe umenikera Sana, uliiposema mwendazake! Marehemu lazima astiriwe pls, kuanzia Leo sio shabiki yako Tena. Cz nilikua nakuona mtu wa maana sana, Ila kwa kauli yako hiii yaani ni bure kabisa wew

    • @DAINOSSA
      @DAINOSSA Před 2 lety +3

      Futa i coment yako

    • @bahatimallya32
      @bahatimallya32 Před 2 lety +4

      Wewe nenda tu tupowengi mnoo maana mwendezake alijiona Mungu mtu

    • @siddyoneonlinesi5433
      @siddyoneonlinesi5433 Před 2 lety +3

      Kwan bado upo

    • @haroldtarimo3115
      @haroldtarimo3115 Před 2 lety +3

      Acha kuongopea watu huwezi kuwa mpemzi wa mwendazake at the same time ukampenda Mbowe vitu viwili tofauti we chapa mwendo tu tena faster

    • @marcominja8850
      @marcominja8850 Před 2 lety +2

      Mbona hakuna ubaya wa hilo neno! Angalia kamusi ya kiswahili maana yake aliyeenda mbele za haki, kwa kiingereza departed.

  • @TheLovejoyz
    @TheLovejoyz Před 2 lety +4

    Una takakupinduwa nchi

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 lety

      The livejoyz hana ubavu huo na wanamsikiliza tu kwani serikali ni wajinga atarudi aliko toka waliomuombea msamaha siwanamsikia hao viongozi wa dini

    • @monalisaally4387
      @monalisaally4387 Před 2 lety

      @@margarethpolepole7438 yaan wanamsikia maneno yake ovyoo kabisa

  • @abdumpunda4026
    @abdumpunda4026 Před 2 lety +1

    Unajua kusma vibaya marehemu magufufuli ni vibaya tambua hata wewe utaishi milele na jeuri hiyo unaitowa wap?

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před 2 lety +4

    Mbowe wewe ni kichaa sana eti mwenda zake!!!mpuuzi sana

    • @abdiraheemsheikh5409
      @abdiraheemsheikh5409 Před 2 lety +1

      Unataka amuite jina gani ? Unaelewa maana ya mwenda zake unataka amuite mungu au.

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 lety +2

      Rose huyo anasumbuliwa na laana na akirudishwa gerezani ndiyo imetoka acha abwabwanye tu

    • @manish-fp1fb
      @manish-fp1fb Před 2 lety +2

      Ni mwendazake tu ndio jina linalomfaa... mbona haitwi Mkapa mwendazake.. ukiishi wa watu vibaya ndio matunda yake hayo.

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 Před 2 lety +1

      Mwenda zake kama mwenda zake😂😂😂😂

  • @kambonamahmadoo6814
    @kambonamahmadoo6814 Před 2 lety +4

    HAWANA KITU hawa wachumia tumbo,,wananunulika KIURAHISI,,hawa ndio wale walioambiwa na mwalimu, kuwa wana tabia za kimalaya malaya

  • @deuslucas2256
    @deuslucas2256 Před 2 lety +1

    Muhuni

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Před 2 lety

    Kweli mkuu

  • @nsiaelieza9568
    @nsiaelieza9568 Před 2 lety +3

    People's💪

  • @noelymwakasege2428
    @noelymwakasege2428 Před 2 lety +1

    Tukumbuke kuwa hakuna mtu hata kuwa mwenda zake Kila mtu ataitwa kwa muda wake wew fulai sana kuita mwenda zake kesho mim keshokutw ww mungu mpunzishe ralam rais magufuli

  • @hoseajackson8127
    @hoseajackson8127 Před 2 lety +1

    Kuna siku nilisema serikali ya ccm imekwenda kumnoa mbowe c kumkomesha wala kumdharirisha na kibaya zaidi tz ya leo c ile ya 84 watu wameelimika wanajuwa ukweli,

    • @onesmothimos2635
      @onesmothimos2635 Před 2 lety

      Una maa Nisha Nini mwendazake acha pigo izo ile hotuba ya kanisani Nita ipuuza ukiende Lea kutumia neno ilo Kwa Alie kuwa kipenzi Cha watanzania

  • @lovely-mq4rg
    @lovely-mq4rg Před 2 lety +3

    Amechoka

  • @fredrickjoseph2907
    @fredrickjoseph2907 Před 2 lety +1

    Huyu baba jamani

  • @muhammednassor690
    @muhammednassor690 Před 4 měsíci

    Siasa mh!

  • @annestamwinuka
    @annestamwinuka Před 2 lety +2

    😳😳😳😳

  • @cpamussamwampamba2917
    @cpamussamwampamba2917 Před 2 lety +2

    Hatari sana..... Hilo halikubariki kabisa.....

  • @veriusechrispin9971
    @veriusechrispin9971 Před 2 lety +5

    Kwakweli nimeamini hamna siasa bali mnamapambano na serikari

    • @enocksosthenes4505
      @enocksosthenes4505 Před 2 lety +1

      Yani wanapambana na Hayati. Hii inaonyesha ni jinsi gani chuki zao ni za hybrid na sio za kawaida.

    • @veriusechrispin9971
      @veriusechrispin9971 Před 2 lety +1

      Haswa kaka na tukiendekeza siasa za namna hii tutalipoteza taifa letu zuri tulilo pewa na mwenyezi mungu R.I.P Baba John Pombe Magufuli

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před 2 lety +3

    #NONSENSE

  • @calvinlameck1577
    @calvinlameck1577 Před 2 lety +1

    We taila tu

  • @timotheeciza1592
    @timotheeciza1592 Před 2 lety

    Only God can protect you.

  • @majaliwacosmas3322
    @majaliwacosmas3322 Před 2 lety +1

    Mwenda zake wewe mwendawazimu

  • @user-zl3le1wz2u
    @user-zl3le1wz2u Před 4 měsíci

    Una mawazo ya Gadaf hata kabla ya uchaguzi ,Hatuitaji dictator Tanzania

  • @kuntakinteomolo2832
    @kuntakinteomolo2832 Před 2 lety +3

    Mbona sasa ulikamata kama kuku na hao makomandoo walikuwa wapi mzee

    • @davidnyambuche352
      @davidnyambuche352 Před 11 měsíci +1

      Akikamatwa kihalali na maafisa wa polisi wanaojitambulisha hakuna shida na kwa njia hiyo hawawezi kumuua wala kumdhuru maana wanakuwa washajulikana, makomandoo wanamsaidia kudeal na wasiojulikana na wale wanakamata watu kisirisiri ili wawadhuru bila kujulikana.. Hapo sasa ndo watakutana na makomandoo

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Před 2 lety +1

    Muheshimiwa Mbowe najuwa kabisa wewe ni msomi na unao uwezo mzuri wa kuongoza ila kitu 1 nakiona kwako kwa sasa hutumii muda vizuri.
    Wananchi kwa kweli walio wengi wana mzigo mzito wa maisha mgongoni
    - mfumuko wa bei
    - tozo
    - kodi sumbufu
    - rushwa
    - mauwaji holela
    - ugumu wa kujitibia
    Ila kamanda sisi wanachama wako tunakusikiliza mwanzo hadi mwisho ila hamna sera hata moja ni kulalamika tu.
    Nadhani huyu muda ulikua mtaji mzuri wakuanza kunadi sera zako hayo ya makomando ni yako binafsi.
    Juzi ulikua hai ukasifiya police Leo tena umekuja na la makomando.
    Kitu hamjuwi wa tz walio wengi kwa sasa wako njia panda hawana la kufanya hamna mtu anafurahia Tozo ila 😷😷😷

    • @emanuelmargwe7087
      @emanuelmargwe7087 Před 2 lety

      Kila Jambo na wakati wake, jamaa ndo ametoka gerezani. Hapo hapo aanze na Bei ya sukari 🤣🤣🤣

    • @munguhashindwijambo2681
      @munguhashindwijambo2681 Před 2 lety

      Mbunge wako kazi yake nini?
      Kwanini humwambii mwakilishi wako halali badala yake unasumbuka na mtu asiyemwakilishi wako?
      Mkuu nenda hata kwa polisi, mkuu wa wilaya mkoa, watakusaidia mapema zaidi

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před 2 lety

      @Pius Mpilu
      Mbunge Mimi ni Mbowe, kamanda wangu ni Mbowe sasa unaona sina uhalali wa kumuomba atusemeye?

  • @elizabethnzunda9223
    @elizabethnzunda9223 Před 9 měsíci

    Kuwatumikisha tu watt wa wenzako

  • @musason1680
    @musason1680 Před 2 lety +8

    Huyu jamaa hana akili aliposema neno mwenda zake t ndipo nimeamin hana hata sifa ya kuwa kiongozi ni mhuni t ambae serikali inamvumilia kwa kuogopa makelele ya watu ila ingemwacha asote t uko na huyu mama asipokua makin hawa wahuni watatufikisha pabaya. Mtu hata hajifunzi ety mwenyekt wa chama hata marehem unashindwa kmstr

    • @patientlazaro6930
      @patientlazaro6930 Před 2 lety +1

      Alafu hao makomandoo wanakazi gani.? Kama wanakuwepo na yeye anakamatwa hakuna haja yabkuwa na hao walinzi hawafai. Nenda kamkamate mkuu waheshi na walinzi wake wapo uone😉. Siasa hizi mbovu sana

    • @patientlazaro6930
      @patientlazaro6930 Před 2 lety +3

      Mie mwenyewe alipoosema mwenda zake nimemuoa wajabu.

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 Před 2 lety +2

      Mbowe akili yake finyu sana haoni aibu kauli za matishio ,huyo alitakiwa aendelee kukaa mahabusu, etc anajifanya kuriingaaa

    • @musason1680
      @musason1680 Před 2 lety +1

      @@patientlazaro6930 kabisa huyu n mpuuzi t

    • @ernestlaiza6084
      @ernestlaiza6084 Před 2 lety

      Hata huna akili ww

  • @papaamashana3962
    @papaamashana3962 Před 2 lety +1

    Safi

  • @francomsaki6007
    @francomsaki6007 Před 2 lety

    Sawa sawa

  • @sautikaliitz934
    @sautikaliitz934 Před 2 lety +1

    Mimi napita tuu nisiongee vibaya kesho nikajikuta kuleeeee Ila mama wetu anatoshaaaaaa kazi iendelee

  • @yahayakikoko740
    @yahayakikoko740 Před 2 lety +1

    Mbowe namba kwa kupendwa dunian.

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 lety

      Yahaya usimfurahie huyo anatumiwa kuleta vita na anapewa pesa wewe unaweza kuikabili vita angalia Ukraine

  • @simonlugalila5554
    @simonlugalila5554 Před 2 lety

    Nimekuelewa kiongozi

  • @SampleKiller99
    @SampleKiller99 Před 2 lety

    Amiri Jeshi wa Red Brigade.. 🤪😝

  • @benjamininyambaso5041
    @benjamininyambaso5041 Před 2 lety +1

    Hahhaahhaaha noma😂😂😂

  • @shijamasunga6889
    @shijamasunga6889 Před 2 lety

    Ama kweli mama anaupiga mwingi kama wengi wanavyosema 😀😀😀

  • @jastininjano262
    @jastininjano262 Před 2 lety +1

    Tanzania mbowe

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 Před 2 lety +3

    Peoples power

  • @benphonerepair
    @benphonerepair Před 2 lety +1

    Hyu jamaa msnge Sanaa

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si Před 4 měsíci

    Kwa hiyo unaunda jeshi la kupindua serekali?

  • @user-ks8oy9lt7z
    @user-ks8oy9lt7z Před 4 měsíci

    Sasa una lengo gani mpaka unakusanya makomandoo? Unajua mkubwa hua hatishiwi nyau? Kutafuta makomandoo wasio na zana za kikomando nisawa na mbwa asie na meno sawaaa?

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 Před 2 lety +2

    Red brigade 🤔

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 2 lety +3

    Wera wera. Mbowe komando ni mihimu

  • @moodyzanzibar4336
    @moodyzanzibar4336 Před 7 měsíci

    SASA MBONA MAKOMANDOO MNAFUNGWA NAO HII INAKUAJE??? HAPA SIELEWI KABISA NA MNASEMA WAANAMKATABA NA SERIKALI KIVIPI??

  • @montanatvqv3792
    @montanatvqv3792 Před 2 lety +3

    🤣🤣mbona walivyokuj kukamatwa hawakukuzuia

  • @mwinyikadhi2870
    @mwinyikadhi2870 Před 2 lety +6

    Mbowe hafai kuwa kiongozi hata wa Kijiji hajielewi..sawa na mnywaji wa bangi tu..hajielewi hata kidogo..juzii tu katoka korokoroni kwa huruma na kaongea mbele ya rais tufanye siasa za kistaarabu leo anaongeza utumbo..huyu jamaa keshafilisika kisiasa.

  • @ramadhansylvesterkichele9190

    Si mlisema jpm dictator kisa aliwaziba midomo eeeh? Sasa acha movie aianzeee

  • @hamadsaburi3569
    @hamadsaburi3569 Před 2 lety +1

    Wewe pia mwenda zako mtegemewa wali kuramba ww na makomandoo wako

  • @user-ks8oy9lt7z
    @user-ks8oy9lt7z Před 4 měsíci

    Ushawaponza ao daah!

  • @sixmakochogilbert3331
    @sixmakochogilbert3331 Před 8 měsíci

    Tupo tayar kuungana na ww mbowe

  • @naftalimhemi4163
    @naftalimhemi4163 Před 2 lety

    Raia hana kibali cha kuunda jeshi.

  • @patrickkagito3376
    @patrickkagito3376 Před 2 lety +1

    Huna akili wewe

  • @kennethmwalukama2009
    @kennethmwalukama2009 Před 2 lety +3

    Katika nchi yoyote Ile Sahi kuwa na amiri jeshi wa kuu zaidi ya mmoja . Na majeshi zaidi ya moja Kila moja na amri zake. Mbowe unachemka.

    • @asiaokelay8421
      @asiaokelay8421 Před 2 lety +1

      Kachemka sana tu

    • @annestamwinuka
      @annestamwinuka Před 2 lety

      Anamaluweluwe ya magereza bado hajamtoka sawasawa maana hata nachokiongea hakieleweki sijui amekuwaje yan point zake ni kama za visas shauli yake atarudishwa

    • @storyzatowntz
      @storyzatowntz Před 2 lety +1

      ni jambo la kawaida hilo mbona wanajeshi kibao hata nje wakimaliza majukumu majeshin huja mitaani kuanzisha huduma hizi za VIP Protection kwa wenzetu ulaya ni mambo ya kawaida tu

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu7805 Před 2 lety

    Mwenda zake kama mwenda zake😂😂😂😂

  • @paschalmgashi6704
    @paschalmgashi6704 Před 2 lety

    For my explnc commando hafukuzwi hususan nchi za kiafrika cz serikali inatumia gharama nyingi kwa ajili ya training so kwa mwenye akili unaweza kufikili wapo kwa mh kwa ajili ya nn then wanachopata kinakwenda kwa nan😁😁😁😁😁

    • @columbus2084
      @columbus2084 Před 2 lety

      Research vizuri ndg,,,, wanaachwa na wanapigika njaa na familia zao,,,, mh Mbowe yupo sahihi ndg

  • @hawaelymaricca7602
    @hawaelymaricca7602 Před 4 měsíci

    Nyie mpewe ulinzi wa nini. wapewe haki kivipi , watapigwa tuu. nyie hamjijui ,mnapigwa kwa sababu mnasumbua hamna akili

  • @raiszongo1580
    @raiszongo1580 Před 2 lety +3

    Mbowe kubabakoooh ,mwenda zake bibi yako

  • @SamsungGalaxy-kx2zj
    @SamsungGalaxy-kx2zj Před 2 lety

    Pasuwa mbowe mama kakubali kuyapokea kwa sbb yy ndie alie kutowa kwa siri ilio fichika toka uberijika kaamini kuwaibisha kina Sirro

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 Před 2 lety

      Yatamshinda

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 lety

      Samsung galaxy usibabaike huyo hana kitu awashukuru viongozi wa dini waliomuombea msamaha na jela siyo mchezo baada ya muda si mrefu atavua nguo barabarani

  • @jacksonkileo2242
    @jacksonkileo2242 Před 2 lety +1

    👊👊

  • @yussufrabba2282
    @yussufrabba2282 Před 2 lety

    Nini maana ya mwendazake????nisaidieni I'm from Burundi but living in south africa

    • @margarethpolepole7438
      @margarethpolepole7438 Před 2 lety

      Yusuf mwendazake ni kiumbe aliyefariki na kiswahili hiki kinatumika sana mombasa Kenya

  • @nasrahassan7346
    @nasrahassan7346 Před 2 lety +4

    Yaani mimi tu hapo ile neno mwenda zake uwa silipendi naumia kama anko wangu R.I.P jpm pumzika kwa amani hayati wetu jpm

    • @andersonmwenda6390
      @andersonmwenda6390 Před 2 lety

      Mfuate aliko jinga ww

    • @nasrahassan7346
      @nasrahassan7346 Před 2 lety

      Ukiwemo na ww ujinga eti

    • @mwlpierre
      @mwlpierre Před 2 lety +1

      Sisi duniani niwapitaji hatuna makazi ya milele ndio maana tunasema "mwendazake" kapita kaendazake

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Před 2 lety +9

    Sasa hao komado wako wanaweza kupambana na serikali Mbowe Chadema wacha Ujinga wewe

  • @deonicemollel4205
    @deonicemollel4205 Před 2 lety +2

    Eti nina hatari zaidi ya kupambana na hii Dola hahahah 🤣 we mama legeza legeza macho hapa uone nchi itakapopelekwa laalifu 🤔

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 Před 2 lety

    Unafikiri wale waliotandika kanga zao barabarani walikuwa wanatania!!!! . Tafakari.