Watanzania nawambia kila siku mlilieni Mungu mkuu kwa yote. Siyo wanadamu wapitao. Hamta nielewa kamwe. Akuna kitu kibaya kabisa binadamu anavunja nyumba za WANANCHI kwajili ya nafasi yake alafu anawacha walale nje yeye anakwenda kulala nyumba maalum pazuri. Wakumbuke mtawala wa yote na mtoa hukumu ya haki ni Mungu mkuu pekee yake.. poleni nyote. Amen.
Watanzania nawambia kila siku mlilieni Mungu mkuu kwa yote. Siyo wanadamu wapitao. Hamta nielewa kamwe. Akuna kitu kibaya kabisa binadamu anavunja nyumba za WANANCHI kwajili ya nafasi yake alafu anawacha walale nje yeye anakwenda kulala nyumba maalum pazuri. Wakumbuke mtawala wa yote na mtoa hukumu ya haki ni Mungu mkuu pekee yake.. poleni nyote. Amen.
Wameweka zege hafifu. Wakowapi wazalendo wa taifa letu?. Izo kuta zipo salama?. Askofu kujiua mbona tatizo kubwa. Mungu wetu aturehemu kwa yote. Amen.