Pata Hifadhi Ulaya Kwa Urahisi na Haraka - Fuata Haya
Vložit
- čas přidán 21. 06. 2024
- Hi all,
Hongera kwa mshindi wetu wa pili wa EUR 50, Nitumie information zako. Asanteni kwa wote mlioshiriki,msife moyo endelea kusupport channel tutatangaza tena give away nyingine.
Kwa wale waliokuwa na maswali ya kuja ulaya kama wakimbizi - please make sure unasikiriza hii video hadi mwisho. Kama unaswali acha kwenye comment section.
Please endeleni kunisupport, asanteni sana
#kiswahili #tanzania #ulaya #kenya #diamondplatnumz #swahili #zuchu #kiswahili ##uganda #rwandaupdate #viral #waswahili #watanzania #eastafrica #ukimbizi #daressalaam #zanzibar
Hello,,.Madam Nashkuru Sana.. Nimepata Zawadi Yangu..🙏🙏 Jaman tuendelee kussaport hii chanel ...
ahsante kwa taarifa umeongea vizuri tupo pamoja
Asante nduguyangu sana mimi napenda sana Tafadhali tusaidie ndoto yangu nifike huko
Mimi my sister one day ngoja nimalize masomo tu nina ndoto za kuja ku fanya kaz ya chef cook hotel na kuishi i hope hii njia ya ukimbizi ina weza work pia kwangu one day yes tuombe uzima tu Mungu akubariki unatu sanua ili tusafir wote
Hi, nimekutumia ujumbe kwenye gmail yako hujanijib
I like it gisi unatupa ushauri
Hongera sana dada, kwa kuendelea ku support EURO 50 uko kwenye mission nzuri sana God bless you... binafsi nimekuwa interesting kwa topic ya leo maana inawagusa wengi nikiwemo mimi wanao tafuta njia mbalimbali zinazoweza kuwasaidia kwenda Ulaya... ni shauku yangu kubwa na nina imani nitakuja one day YES.
Utaratibu unaanzaje sasa
I am new subscriber please na wewe ni follow. Kwa msaada zaidi pia nahitaji kupata Information za kuja Ulaya. I have Experience ya nch za kiarabu nimefanya kazi huko miaka 10 ila kwa sasa nahitaji kuingia nch za kizungu please I need your help how I can start
Nakupata vnzr kutoka tanzania asante sana.
Kazi nzuri sana dada❤❤❤
Kazi nzuri san dada
Asante kwa kutupa taarifa muhimu kama hizi
Tunakusapoti tuko pamoja nawewe dada yetu
Tunakupata sana
Asante sana dada kwa maelezo mazuri barikiwa ❤
Asante sana
Kuhusu lugha pia
🎉🎉🎉
Ndomana Tundulisu kakimbilia Belgium
Ndio wapo wengi Kama hao
Asante kwa elimu sis. Hiyo Asylum unaweza kwenda na famili?? Pili unaweza fanya kazi? Yani unapewa kazi?.
Tunasubir video ya kuwekeza 🥰
Ndio unaweza kuomba ukimbizi na familia- au ukawaleta familia baadae- video ya Kuwekeza inakuja- sorry for delay
Tupe more video za info usikawie sana tunakumic jumamos mpaka jumamosi mbali
Nahitaji kuja ulaya bt sijui nitaamzia wap dada nisaidie please
Video zangu ndo zinakupa info ili ujue uanzie wapi
Minataka kutuma mkewangu na watoto kwampango wa ukimbizi nahadi sasa wako kambini nifanyeje ili wafike huko kwa rahisi?
@@user-rp9dm5vo9f nitumie meseji ulayalive@gmail.com ntakupa ushauri
samahani sister nahulidha, mfano nilihishi kambi fulani africa,nikapata vitambulisho vyote vya ukimbizi na nikaja uko ulaya nikaonesha hivyo vyeti zangu kwawo, je? watanipokea moja moja au watazinguwa?
watanipokea moja kwa moja au watanizinguwa?
moja kwa moja ao watanizinguwa?
Watajiiza kwanini unakuja huku kuomba ukimbizi wakati umeshapewa ukimbizi nchi nyingine- so nice bira ukija huku uaanze upya
Asante sana dada kwa kuwa mshindi wa leo.. jamni..🙏🙏🙏🙏
Hongera
Sawa, nimekutumia ujumbe kwenye email yako..
Twajitaafuta tuje
Dada mm nataka kwenda uk kwa sasa nipo omani ila sijui chochote nifanyaje ili.nipate viza hapa omani ya kwenda UK nipo nafanya ky za ndani hapa ila natamani kwenda UK
Ntakuangalizia procedure ya kwenda UK -
I am new subscriber please na wewe ni follow. Kwa msaada zaidi pia nahitaji kupata Information za kuja Ulaya. I have Experience ya nch za kiarabu nimefanya kazi huko miaka 10 ila kwa sasa nahitaji kuingia nch za kizungu please I need your help how I can start