Pata Hifadhi Ulaya Kwa Urahisi na Haraka - Fuata Haya

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 21. 06. 2024
  • Hi all,
    Hongera kwa mshindi wetu wa pili wa EUR 50, Nitumie information zako. Asanteni kwa wote mlioshiriki,msife moyo endelea kusupport channel tutatangaza tena give away nyingine.
    Kwa wale waliokuwa na maswali ya kuja ulaya kama wakimbizi - please make sure unasikiriza hii video hadi mwisho. Kama unaswali acha kwenye comment section.
    Please endeleni kunisupport, asanteni sana
    #kiswahili #tanzania #ulaya #kenya #diamondplatnumz #swahili #zuchu #kiswahili ##uganda #rwandaupdate #viral #waswahili #watanzania #eastafrica #ukimbizi #daressalaam #zanzibar

Komentáře • 39

  • @NyangusiTv
    @NyangusiTv Před měsícem +1

    Hello,,.Madam Nashkuru Sana.. Nimepata Zawadi Yangu..🙏🙏 Jaman tuendelee kussaport hii chanel ...

  • @salomemkilima5732
    @salomemkilima5732 Před 13 dny

    ahsante kwa taarifa umeongea vizuri tupo pamoja

  • @user-rc9qm2tw2o
    @user-rc9qm2tw2o Před měsícem

    Asante nduguyangu sana mimi napenda sana Tafadhali tusaidie ndoto yangu nifike huko

  • @allenismail6295
    @allenismail6295 Před 20 dny

    Mimi my sister one day ngoja nimalize masomo tu nina ndoto za kuja ku fanya kaz ya chef cook hotel na kuishi i hope hii njia ya ukimbizi ina weza work pia kwangu one day yes tuombe uzima tu Mungu akubariki unatu sanua ili tusafir wote

  • @joycelucas405
    @joycelucas405 Před měsícem +1

    Hi, nimekutumia ujumbe kwenye gmail yako hujanijib

  • @ndikumanapegbmashin1940
    @ndikumanapegbmashin1940 Před měsícem +1

    I like it gisi unatupa ushauri

  • @davidshaban7375
    @davidshaban7375 Před měsícem +1

    Hongera sana dada, kwa kuendelea ku support EURO 50 uko kwenye mission nzuri sana God bless you... binafsi nimekuwa interesting kwa topic ya leo maana inawagusa wengi nikiwemo mimi wanao tafuta njia mbalimbali zinazoweza kuwasaidia kwenda Ulaya... ni shauku yangu kubwa na nina imani nitakuja one day YES.

  • @rebeccajaphet6032
    @rebeccajaphet6032 Před měsícem +1

    Utaratibu unaanzaje sasa

  • @msalikemedia
    @msalikemedia Před 17 dny

    I am new subscriber please na wewe ni follow. Kwa msaada zaidi pia nahitaji kupata Information za kuja Ulaya. I have Experience ya nch za kiarabu nimefanya kazi huko miaka 10 ila kwa sasa nahitaji kuingia nch za kizungu please I need your help how I can start

  • @jewelleryjewellery9724
    @jewelleryjewellery9724 Před měsícem

    Nakupata vnzr kutoka tanzania asante sana.

  • @manirakizanocia3391
    @manirakizanocia3391 Před měsícem

    Kazi nzuri sana dada❤❤❤

  • @Formula_Tz
    @Formula_Tz Před měsícem

    Kazi nzuri san dada

  • @emachrissdalah8602
    @emachrissdalah8602 Před měsícem

    Asante kwa kutupa taarifa muhimu kama hizi

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Před měsícem

    Tunakusapoti tuko pamoja nawewe dada yetu

  • @FredyIsseme
    @FredyIsseme Před měsícem

    Tunakupata sana

  • @MaryMatereadvicer011
    @MaryMatereadvicer011 Před měsícem

    Asante sana dada kwa maelezo mazuri barikiwa ❤

  • @user-fh5fz6rn6x
    @user-fh5fz6rn6x Před měsícem

    Asante sana

  • @Mimi.Official
    @Mimi.Official Před měsícem +1

    Kuhusu lugha pia

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Před měsícem +1

    Ndomana Tundulisu kakimbilia Belgium

  • @dorcasmwesiga2795
    @dorcasmwesiga2795 Před měsícem +1

    Asante kwa elimu sis. Hiyo Asylum unaweza kwenda na famili?? Pili unaweza fanya kazi? Yani unapewa kazi?.
    Tunasubir video ya kuwekeza 🥰

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  Před 21 dnem

      Ndio unaweza kuomba ukimbizi na familia- au ukawaleta familia baadae- video ya Kuwekeza inakuja- sorry for delay

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Před měsícem

    Tupe more video za info usikawie sana tunakumic jumamos mpaka jumamosi mbali

  • @zawadiharrison1285
    @zawadiharrison1285 Před měsícem +1

    Nahitaji kuja ulaya bt sijui nitaamzia wap dada nisaidie please

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  Před 21 dnem

      Video zangu ndo zinakupa info ili ujue uanzie wapi

  • @user-rp9dm5vo9f
    @user-rp9dm5vo9f Před 20 dny +1

    Minataka kutuma mkewangu na watoto kwampango wa ukimbizi nahadi sasa wako kambini nifanyeje ili wafike huko kwa rahisi?

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  Před 20 dny

      @@user-rp9dm5vo9f nitumie meseji ulayalive@gmail.com ntakupa ushauri

  • @farajalusambo9485
    @farajalusambo9485 Před 29 dny +1

    samahani sister nahulidha, mfano nilihishi kambi fulani africa,nikapata vitambulisho vyote vya ukimbizi na nikaja uko ulaya nikaonesha hivyo vyeti zangu kwawo, je? watanipokea moja moja au watazinguwa?

    • @farajalusambo9485
      @farajalusambo9485 Před 29 dny +1

      watanipokea moja kwa moja au watanizinguwa?

    • @farajalusambo9485
      @farajalusambo9485 Před 29 dny +1

      moja kwa moja ao watanizinguwa?

    • @MaishaYaUlaya
      @MaishaYaUlaya  Před 27 dny

      Watajiiza kwanini unakuja huku kuomba ukimbizi wakati umeshapewa ukimbizi nchi nyingine- so nice bira ukija huku uaanze upya

  • @NyangusiTv
    @NyangusiTv Před měsícem

    Asante sana dada kwa kuwa mshindi wa leo.. jamni..🙏🙏🙏🙏

  • @jaffjeff6912
    @jaffjeff6912 Před měsícem

    Twajitaafuta tuje

  • @user-dh7yg6dl5e
    @user-dh7yg6dl5e Před měsícem

    Dada mm nataka kwenda uk kwa sasa nipo omani ila sijui chochote nifanyaje ili.nipate viza hapa omani ya kwenda UK nipo nafanya ky za ndani hapa ila natamani kwenda UK

  • @msalikemedia
    @msalikemedia Před 17 dny

    I am new subscriber please na wewe ni follow. Kwa msaada zaidi pia nahitaji kupata Information za kuja Ulaya. I have Experience ya nch za kiarabu nimefanya kazi huko miaka 10 ila kwa sasa nahitaji kuingia nch za kizungu please I need your help how I can start