UTAPELI WA MA AGENT WA SAFARI ZA ULAYA | NILIKUJA POLAND KUSOMA | MAHUSIANO SIO MTAJI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 09. 2024
  • Maggy ameeleza safari ya maisha yake kutoka Tanzania akiwa ni mwanasheria mpaka kufika Poland kwa lengo la kujiendeleza kielimu.
    Amepata kazi na mahusiano na kuamua kuishi Poland.
    Ameeleza kuhusu fursa za kazi za kimataifa na namna ya kupata kazi hizo.
    Unaweza jifunza yote hayo kupitia CZcams Channel yake @maggy diary
    Thank you Maggy for allowing this to be online
    www.oda.international

Komentáře • 65

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistance  Před 3 měsíci +7

    CZcams channel: Maggy diary
    Instagram: Maggy.diary
    Utapata kujifunza namna ya kuomba chuo Poland, scholarship, namna ya kupata kazi Poland, mahusiano na enjoy lifestyle yake.

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 Před 3 měsíci +3

      Mbona siipati CZcams channel ya Maggy diary? Please help

    • @Mimi.Official
      @Mimi.Official Před 3 měsíci

      Hata mimi ​@@homeandaway2811

    • @annamariajackson4842
      @annamariajackson4842 Před 2 měsíci +1

      Maggie una bahati mshukuru Mungu. Wazungu wanaume wako very shy kum approach mwanamke. Kwanza wanaogopa kutokubaliwa. Huyo ni Mpolo wa aina yake mshukuru Mungu.

    • @flavianakanga4726
      @flavianakanga4726 Před 2 měsíci +1

      Sheena kupata CZcams ya huyu dada ni ngumu pls

    • @Aziza-gv8tm
      @Aziza-gv8tm Před 2 měsíci

      ❤❤❤

  • @annamariajackson4842
    @annamariajackson4842 Před 2 měsíci +5

    Gratulacje Maggy kwa hatua. Nakupongeza.Mimi pia ni matunda ya Warsaw Universty. Nilipomaliza nilifundisha hapo hapo Warsawa University. Kuna Watanzania wengi tu bado wapo hapo ukiwa na tatizo lolote tutafutane. Kwa kupitia Shena nitampa number yangu.Pia waambie ambao hawana kazi wa apply Amazon. Poland kuna Amazon nyingi zimefunguliwa na Wanafunzi wanaruhusiwa kufanya kazi. Process za Amazon ninaweza kuwasaidia pia.

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 Před 3 měsíci +9

    Hongera sana mdada mzuri kwa kuweza kusaka info mwenyewe. Ila agents ni lazima waweke cha juu, ndio SERVICE FEE nao wanasaka ugali wao. Watu wengi sana sana hawajui kutafuta info, Labda kusaidia wengine unaweza pia tengeneza videos kuonyesha watu namna ya kusaka basic information mitandaoni.

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd Před 3 měsíci +4

    Hongera dear Kwa kupata familia nzuri yenye kujali na kuonyesha upendo dhidi yako

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před 3 měsíci +1

    Hongera sana Maggy. Umeelimisha kisomi vizuri sana. Keep it up.

  • @JessicaAllen-ce3ok
    @JessicaAllen-ce3ok Před 2 měsíci +1

    Nimeipenda hii interview, naomba nimcheck maana naumiza kichwa sanaa

  • @pmpaga1063
    @pmpaga1063 Před 2 měsíci +1

    Eeeey mie huyo Poland 🇵🇱 ♥️ 🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @ericfelician7996
    @ericfelician7996 Před 3 měsíci +5

    Ukitaka chuo tafuta Mwenyewe jamani ,Mimi nimepata chuo Australia Kwa kutafuta alone bila hata agent,tuingie mtandaoni tufanye research

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Před 3 měsíci +2

      Hongera sana, Karibu sana kwa kipindi uwafungue wengine +4367764790884

    • @priscasimsonga
      @priscasimsonga Před 2 měsíci

      Sorry, naomba unielekeze nimetafuta sana vyuo lakin nashindwa jinsi ya kuomb
      Naomba msaada wa kunielekeza

    • @maryammrembe345
      @maryammrembe345 Před 2 měsíci

      Nahtaji kusoma australia naomba contact Zako dear

  • @Its_Goodluck
    @Its_Goodluck Před 3 měsíci +2

    Safi sana dada Shena,interview nzuri

  • @samniza1763
    @samniza1763 Před 3 měsíci +1

    Very good question? Wengi tu wamekua wakisema hivyo ooh! Kuna agent anapeleka watu poland.

  • @von-zs4rw
    @von-zs4rw Před 3 měsíci +7

    Anaongea kisomi sana hadi raha

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 Před 3 měsíci +2

      Sana yani mnoo, ndio mana ya elimu hii inafungua upeo wa kufikiri. Huyu ndio wale beauty with brains ❤

  • @ericfelician7996
    @ericfelician7996 Před 3 měsíci +4

    Ndo maana bongo elimu ni ngumu walimu wengi ni wavivu na hawana roho nzuri mishahara midogo zero

  • @CatherineNyange-ku7yk
    @CatherineNyange-ku7yk Před 2 měsíci

    For sure I like the story

  • @zidatv1122
    @zidatv1122 Před 3 měsíci +3

    Ugumu wa kupika afrika ni mazingira ya jiko, mwanaume uanze kukoreza jiko la mkaa ni ngumu

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před 3 měsíci +2

      😂😂
      Kwa hiyo inakuwa rahisi kwa mwanamke kukoleza mkaa? Wanunulieni gas basi kuwarahisishia.

    • @zidatv1122
      @zidatv1122 Před 3 měsíci

      Sio kwamba huwa hatupendi ,mazingira tu ulaya wanafua kwa mashine wanaosha vyombo na mashine bado huoni tofauti

  • @samniza1763
    @samniza1763 Před 3 měsíci +1

    Nimeshaacha hizo story za michango baada ya kuichanga sana tu.

  • @ashafaulkner
    @ashafaulkner Před 3 měsíci +1

    Hongera

  • @hedayamohammed2781
    @hedayamohammed2781 Před měsícem

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd Před 3 měsíci +3

    Mimi huwa najiuliza mbona maisha ya uko yapo juu na elimu ni bure apo inakuwaje?

    • @evanswekesa5372
      @evanswekesa5372 Před 3 měsíci +1

      Wanatozwa ushuru mkubwa mno, hivo hio ushuru inagharamikia masomo

    • @Terryhermajesty
      @Terryhermajesty Před 2 měsíci

      Elimu ni bure kwa shule za msingi, secondary kuna kiwango kidogo mnalipia na vyuo mnalipia sio bure. Na hiyo bure sio kwamba hakuna gharama zozote, kuna gharama kidogo mnalipia kama chakula nakadhalika.

  • @Robert-b2t
    @Robert-b2t Před měsícem

    ❤❤❤

  • @deuskusaga8156
    @deuskusaga8156 Před 3 měsíci +2

    🔥🔥🔥

  • @valentinemulokozi510
    @valentinemulokozi510 Před 3 měsíci +1

    Maggy diary haipatikani.

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt Před 2 měsíci

    Dada Shena, ninakukubali kazi yako kwa jamii. Hapa sipendi niongee mengi, ni mzee miaka yakutosha, nina maoni yangu natamani ningekupata kwa WhatsApp. Je, wapatikana vipi. Yahusu zaidi maelezo ya dada huyu aliyepo Poland.

  • @mariambakari8065
    @mariambakari8065 Před 2 měsíci

    Hasante shena kwakutuletea watu ambao sio wachoyo wa elimu nimempenda maggy ameongea kwa uwazi

  • @SipeKato
    @SipeKato Před 2 měsíci

    Kweli unaongea vizuri

  • @themanofgod7562
    @themanofgod7562 Před 2 měsíci

    Kikubwa Kila Jamii ziishi Kwenye tamaduni zake.

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd Před 3 měsíci

    Wahoooo

  • @justinatemba
    @justinatemba Před 2 dny

    Aunty naoomba namba yako jamani

  • @user-jh3mz5hc7j
    @user-jh3mz5hc7j Před 3 měsíci +1

    Hiyo michango dadangu

  • @maggydiary
    @maggydiary Před 2 měsíci

    Asante Shena kwa interview nzuri

  • @ericfelician7996
    @ericfelician7996 Před 3 měsíci +2

    Ma agent ni wauni wengi

  • @Wondersshallneverend-
    @Wondersshallneverend- Před 2 měsíci

    Kua na fadhila na useme ukweli ulisaidiwa na mTanzania.

  • @SuzanMkeyenge
    @SuzanMkeyenge Před 2 měsíci

    Mbona unaongea kingeleza sana sisi atukuelewi ongea kiswahili

    • @ngwakamongateko8696
      @ngwakamongateko8696 Před 2 měsíci +1

      Wewe ndo usome English

    • @gracemahugi4380
      @gracemahugi4380 Před 2 měsíci

      @@ngwakamongateko8696 utasoma kwa siku moja uelewe siyo jibu hilo yeye nimtanzania aongee kiswahili lugha yetu mama kwenda ulaya siyo kujisahaulisha lugha yako

    • @neemaseiler1122
      @neemaseiler1122 Před 26 dny

      Wewe ht ulaya hufiki😢

    • @gracemahugi4380
      @gracemahugi4380 Před 26 dny

      @@neemaseiler1122 ulaya nimbinguni kwanini hamtaki kuambiwa ongea kiswahili ndiyo wewe si nimtanzania ongea watu wakuelewe siyo kutishia watu eti ulaya huwezi fika wewe ndiyo mwamuzi wamaisha yake au ulaya wako wasomi tu???

  • @JessicaAllen-ce3ok
    @JessicaAllen-ce3ok Před 2 měsíci +1

    Nimeipenda hii interview, naomba nimcheck maana naumiza kichwa sanaa