VIBE LA RAIS ENG. HERSI, WACHEZAJI BAADA YA UBINGWA WA LIGI - MOROGORO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 12. 05. 2024
  • Sport

Komentáře • 179

  • @user-uo6nw1gb8b
    @user-uo6nw1gb8b Před 15 dny +41

    Nawapongeza sana viongozi , benchi la ufundi wachezaji, wadhaminini wettu, pamoja na ss mashabiki, haikuwa kazi rahisi, juhudi, moyo wa kujitoa maombi kwa Mungu wetu , but Asante Mungu kwa hiki ulichotupa tutie moyo, nguvu, ili tuchukue kombe la CRDB , Baba wa mbinguni sifa na,utukufu zikurudie ww uliye juu ya vyote

    • @joycemmassi5046
      @joycemmassi5046 Před 15 dny +4

      Amina milele na milele TUNARUDISHA HESHIMA,UKUU, UTUKUFU,,UWEZA,ADHAMA,USHINDI,MAMLAKA, SHUKRAN,HEKIMA,UTAJIRI, SIFA,BARAKA,KWA MUNGU WETU ALIYE JUU MILELE NA MILELE NA MILELE AMINAAAAA❤❤

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 Před 14 dny

      @@joycemmassi5046 Ameen

  • @kanchitarshi
    @kanchitarshi Před 15 dny +27

    Najikuta natabasamu jamani yanga rahaaaaaa sana 💛💛💛💚💛🧡👏👏👏👏

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 Před 15 dny +20

    Single hii ndo rahaaa yetu gonga like tujuane😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅matumaini na kiwew bado anawatesa makoloo fc

  • @teopistakomba2189
    @teopistakomba2189 Před 15 dny +11

    Tunamshukuru Mungu kwa kutwaa ubingwa kwa mara ya tatu mfululizo. Hongereni sana wachezaji kwa kupambana, haikuwa rahisi. Hongereni benchi la ufundi na viongozi

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 Před 15 dny +6

    Duuu nimefrah sana jinsi mnavyofurahia ushind kwa pamoja . hongeren sanaaaaa

  • @PiliAbdallah-vc2no
    @PiliAbdallah-vc2no Před 15 dny +6

    Hiyo ndo familia yetu ya yanga watu wanaishi kwa upendo wallah hii team sihami ata ipitie mapitogani i love you yang Africans

  • @issaramadhani9141
    @issaramadhani9141 Před 15 dny +16

    Hongera kwa wachezaji wetu kwa kujitoa na kufanikisha kutwaa ubingwa kwa mara ya 30, benchi la ufundi, viongozi wote na wadhamini wote wa klabu yetu ya YANGA Kwahakika muunganiko huo ndio umekuwa chachu ya mafanikio haya. Mmetuheshimisha na tunajivunia kuwa wana yanga. Daima mbele nyuma mwiko, mapambano yaendelee bado tunadaiwa FA lets do it WANANCHI.💪

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo Před 15 dny +13

    Leo nimefurahi Kwa ubingwa lakini pia kuwaona Babu kaju akikichafua na Dogo Mushery Kwa kazi nzuri Big up.

  • @marosproduction01
    @marosproduction01 Před 15 dny +15

    Full furaha hadi sisi tunao tazama kwenye tunahisi tupo hapo kweli kuwa mwananchi ni raha 💚💛💚💛

  • @FahadiSaidi-my4kc
    @FahadiSaidi-my4kc Před 14 dny +4

    Viongoz sio wa mpira ila hata taasisi za biashara, mashirika ya umma wanakitu cha kujifunza kutoka kwa Eng. Hersi Said amekuwa akishuka down kabisa kujiunga na watendaji wake. Hadhi ya Urais wa klabu kwenye macho ya watu sio hadhi ya kukimbizana na vijana wake wakifurahi ila Eng. cheo kwake sio kitu zaidi ya kuwa ni nendo tu. Kudos and much respect to you Mr. President Eng. Hersi Said👏

  • @naliakafatuma9870
    @naliakafatuma9870 Před 13 dny +2

    MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p Před 15 dny +3

    Sifa na shukrani tumrudishie Mungu kwani yeye ndiye mpaji wa yote, pongezi za dhati kwa wachezaji wote na benchi la ufundi, viongozi, wanachama na mashabiki uwekezaji na umoja wetu ndio ufunguo wa mafanikio yetu, kwa neema ya Mungu tujaliwe kuwa na mwendelezo mzuri zaidi msimu ujao.

  • @fatmasuleiman3885
    @fatmasuleiman3885 Před 15 dny +3

    Hongereni sanaa vijana nimefurahi sana zaidi ya sana mmepigana jihad Allahamdulillah mpaka ubingwa! Mengi mmetendewa uwanjani mabaya kudhulumiwa magoli kadi za uonevu kuumizwa kwa makusudi nk Yote Allahamdulillah Asanteni bechi na uongozi mzima yanga oyeeeee!❤❤❤

  • @emmanuelmtonyole9958
    @emmanuelmtonyole9958 Před 12 dny

    Asanteeeeee Mungu Kwa kunipa ufahamu wa KUIPENDA hii team

  • @bujabestonlinetv
    @bujabestonlinetv Před 15 dny +3

    I’m so happy
    I am so proud to be Young African fan one Love #Yangayetu ❤️🙏🏾

  • @ellamsakafu60
    @ellamsakafu60 Před 15 dny +5

    Good job guys congratulations for the achievement you have reached after hard work from the very beginning. You deserve🎉🎉🎉❤❤❤

  • @user-bw1hs2nd8p
    @user-bw1hs2nd8p Před 14 dny +2

    Tunamshukuru Mungu, aendelee kukupeni nguvu, afya na Kila hitaji lenu la moyo. Yanga bingwaaaaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @perepetuajohn
    @perepetuajohn Před 15 dny +3

    Asante Mungu kutupa ubingwa tenaaa hongereni viongozi benchi la ufundi wachezaji wetu na wanayanga wote Kwa ujumla. I LOVE YOU YANGAAAA SC🎉🎉🎉🎉🎉

  • @anetboaz8783
    @anetboaz8783 Před 15 dny +4

    Ahsante Mungu,viongozi,wachezaji,benchi la ufundi na mashabiki Mungu atubariki

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA

    Congratulations our very own team and everyone took part.
    Your determination, commitment and hardwork throughout season 2023-2024 lead to these happy moments we are cherishing right now.
    CONGRATULATIONS Congratulations & congratulations...we love you guys
    #daimambelenyumamwiko
    #timuyawananchi

  • @user-yc3yf7io7g
    @user-yc3yf7io7g Před 14 dny +2

    💛💛💛💛💚💚💚💚 honreni sana viongozi pia benchi la ufundi pia wachezaji na mashabiki kwa ujumla niombe Rais wetu endeleza furah hizi hizii ten msimu hujao

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Před 15 dny +2

    Najisikia rahaa jmn wachezaji wanaishinkwa upendo na viongz wetu,Mungu azidi kuwalindaaa vema

  • @mwansasujonny3536
    @mwansasujonny3536 Před 15 dny +5

    Young Africans...🏆

  • @azizasaid7660
    @azizasaid7660 Před 14 dny

    Team yangu pendwa ina upendo mnoooo

  • @MTUMZIMADAWA
    @MTUMZIMADAWA Před 15 dny +4

    Yaani najiskia raha sana Mungu ulifanya nichague njia iliyo sawa kweli

  • @michaelminja
    @michaelminja Před 15 dny

    Hongereni sana wananchi daima mbele

  • @user-sx2kx9hx5x
    @user-sx2kx9hx5x Před 15 dny +4

    Yanga mnanifanyaa ninunue jezii big up

    • @chng1990
      @chng1990 Před 14 dny

      Kachukue na kadi ya uanachama

  • @babitojnr4886
    @babitojnr4886 Před 15 dny +5

    Mkudeeee anamimina tu mi champagne 🍾 🍾 kudaderrrrk 😂😅😅😅😂

  • @andersonbruno6255
    @andersonbruno6255 Před 14 dny +1

    Azizi k mpunguzie stalehe...sikuiz stalehe...zinazidi...ndo maana afungi🔰🇹🇿🏆🏆🏆

  • @WahabiNgaeka-ij7el
    @WahabiNgaeka-ij7el Před 15 dny +2

    Mwenyezi tunamshukulu saaana

  • @emankupe6864
    @emankupe6864 Před 14 dny +1

    Hongera sana yangaa💚💛💚💛💚💛💚💛💛💛

  • @MarryToba
    @MarryToba Před 11 dny

    Big up ENG Hers Said hakika wewe nimfano wakuigwa

  • @user-hr5hy7lp5l
    @user-hr5hy7lp5l Před 15 dny +2

    Yani Raha iliyopo wallah kama huongozi fanyeni event kubwa itakayo husisha wananchi na mashabiki wa yanga pls

  • @choyorashidichoyo8067
    @choyorashidichoyo8067 Před 14 dny

    💚💛💛💛💛 hakik ni furaaa mungu ni mwem ongeraa san tem yangu pendw na viongoz

  • @divaidachboy2339
    @divaidachboy2339 Před 12 dny

    Naipenda yanga yangu daima

  • @hggvg9809
    @hggvg9809 Před 15 dny +3

    Yanga bingwaaaaaa💛💚💛💚

  • @user-bh9if3bo8r
    @user-bh9if3bo8r Před 12 dny

    Mkude kaja kwenye furaha maumivu kayaacha huko💚💚💚💛💛

  • @HassanSwaliadhi
    @HassanSwaliadhi Před 15 dny +4

    Yanga Raha saana

  • @AdelinaLusekelo-xl4bm
    @AdelinaLusekelo-xl4bm Před 14 dny +2

    Mungu mwema

  • @cessianthony2644
    @cessianthony2644 Před 12 dny

    Raha sana..🔥🔥🔥🔥🔥💛💛💛💛💛

  • @mwanahamisijuma7270
    @mwanahamisijuma7270 Před 15 dny +4

    Mungu n mwema chama langu

  • @hildakiyabo
    @hildakiyabo Před 3 dny

    Wooowwww jmn team gan in upendo kama hiiii cjaonaaa

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations Před 15 dny +1

    Hakika umekuwa mwisho mzur na wenye mafanikio kwetu wananchi, tuwapongeze wachezaji wetu na hiongoz wetu kwa kujitoa kwa ajil yetu, nas tujipongeze pia kwa furaha tuliyoipata mwanzo had mwisho wa msimu.

  • @HasnatShaban
    @HasnatShaban Před 15 dny +4

    Yanga rahaaaa

  • @TabiaMwaisumo-ss7pz
    @TabiaMwaisumo-ss7pz Před 14 dny

    Nimejikuta nacheka pekeangu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @josepeter8033
    @josepeter8033 Před 14 dny

    Asanteeee sana 🎉 viongozi na wachezaji wetu

  • @mayrose9772
    @mayrose9772 Před 15 dny +1

    Acha tuenjoy 💚💙💪📌🔥📌

  • @ChenchiKing
    @ChenchiKing Před 14 dny

    Yanga Bingwa 🏆💛💚

  • @rahelingumbi7728
    @rahelingumbi7728 Před 12 dny

    Hongeren sana

  • @lucymsheshi5871
    @lucymsheshi5871 Před 15 dny +1

    Hongereni chama langu😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊

  • @crespomaeromajigo1180
    @crespomaeromajigo1180 Před 13 dny

    Daa aisee yani mchezaji usipotaka kuichezea yanga basi unamapungufu kichwani aiseee

  • @FaustinaMkama
    @FaustinaMkama Před 15 dny +4

    Yanga safiiiiii

  • @stevenmasangula2104
    @stevenmasangula2104 Před 15 dny +3

    Nimefurahi rais is more friendly kwa team

  • @anithqpaul3923
    @anithqpaul3923 Před 14 dny +1

    Yanga mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 Před 14 dny

    Congratulations 🎊 👏 💐 🥳 🎊 👏 💐 🥳 🎊 👏 💐 🥳 🎊 👏 Yong Africans❤❤❤❤❤❤❤😂 maua yenu kwa kweli🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @hamisibofu6620
    @hamisibofu6620 Před 14 dny +1

    Hiii inaonyesha jinsi wananchi walivyo na upendo wanatani kuiga lkn hawana hiyo nafasi

  • @michaelmisana650
    @michaelmisana650 Před 14 dny

    Saf mitaa ya twiga na jagwan pamoja na family nzima ya yanga kwa kutwaaa ubigwa kwa mala nyingine 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-ef8bw9sw1t
    @user-ef8bw9sw1t Před 13 dny

    Furahaa ikatawale zaidi

  • @mwajumampokileomckapela7541

    Full mirahaa😊😊😊💚💛💛🏆🏆🏆🥇

  • @user-gi1ez6fc1y
    @user-gi1ez6fc1y Před 15 dny +1

    Mashaallah hadi raha🥰🥰

  • @wang_youmuhoza6643
    @wang_youmuhoza6643 Před 15 dny

    Congratulations and you deserve it

  • @othmanali7408
    @othmanali7408 Před 14 dny +1

    Skudu ni mtu anoipenda sana yanga ni mtu alofurahia sana kuwepo TZ ila ndo ivo binaadamu si samaki amekuja ktk kipindi kigumu cha kumaliza

  • @bahatisanga8664
    @bahatisanga8664 Před 15 dny +6

    TUNAOMBA MECHI ZA MAANDALIZI YANGA MJARIBU KUJA NA IRINGA TUMEWAMISS BHANA PLZ

  • @avituskatunzi1180
    @avituskatunzi1180 Před 15 dny

    Njkiangalia machozibya furah yananitoka kwa vibe kubwa la yanga tulilonalo ongera yanga

  • @DamaIbra-gk4lr
    @DamaIbra-gk4lr Před 8 dny

    Nawapenda

  • @priskatemu3781
    @priskatemu3781 Před 11 dny

    Hongera yanga

  • @prosperabison1368
    @prosperabison1368 Před 14 dny

    Congratulations Young Africans

  • @kashiririrkaasongwisye9487

    Yaani hii furaha nimei feel

  • @sitewaldkamanga682
    @sitewaldkamanga682 Před 11 dny

    Sanaaaaà wananchi

  • @kissanjulumi-vt3yl
    @kissanjulumi-vt3yl Před 15 dny +3

    Jamani ushindi raha sana taburereeeeeeeee

  • @DamaIbra-gk4lr
    @DamaIbra-gk4lr Před 8 dny

    Nawapenda sana Yanga

  • @HIDAYASAID-ue1df
    @HIDAYASAID-ue1df Před 15 dny +1

    Nilikuw na Asira leo na warabu wangu ila nilivyosikia tumeshindaaa furaha imerud upya

  • @user-qm5un9yc8r
    @user-qm5un9yc8r Před 14 dny

    Love yanga

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 Před 14 dny

    Champions 💚💛🏆🏅👍

  • @user-jg4vq8fk6j
    @user-jg4vq8fk6j Před 14 dny

    Yanga wana upendo viongozi wapo vizuri

  • @Boydavid-oh3iw
    @Boydavid-oh3iw Před 15 dny +1

    Yang bigwa🎉🎉🎉🎉

  • @user-fb8ju1nv2j
    @user-fb8ju1nv2j Před 14 dny +1

    Waziri wa raha

  • @Emanuelimiyonjo
    @Emanuelimiyonjo Před 13 dny

    Good job

  • @Baraka-kaguo
    @Baraka-kaguo Před 12 dny

    Tunashukuru sana lakini pia ilitakiwa mkawamwagie mashabiki hata shampeni moja

  • @user-vf5pp2wn1f
    @user-vf5pp2wn1f Před 15 dny +2

    Yanga laha sn

  • @MalkiaMurekezi
    @MalkiaMurekezi Před 14 dny

    Qu'elle ambiance!

  • @yahayalugongo4825
    @yahayalugongo4825 Před 14 dny

    Hongera sana kwa team yetu , kupitia Rais wetu HERSI kwa kweli unaona furaha kubwa kwa wachezaji wetu

  • @minazsaid2470
    @minazsaid2470 Před 15 dny +1

    Raha kma nini 💖

  • @johink3831
    @johink3831 Před 14 dny

    Uongozi waweke vifaa vya kisasa zaidi Vya mazoezi na vya mawasiliano nimeona Kama alivyovaa Walter ni safi sana

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa5444 Před 15 dny

    Mungu atukuzwe kwa ubingwa

  • @fatumabanda1290
    @fatumabanda1290 Před 11 dny

    Green &yellow

  • @TabuSebastian
    @TabuSebastian Před 13 dny

    Yanga raha🎉💚💚😂

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Před 14 dny

    Jamaa wanaishi Kwa upendo mpaka Raha

  • @user-gi2tx2gv2t
    @user-gi2tx2gv2t Před 14 dny

    Mpira ni furaha huwezi kuamini wachezaji wanammwagia boss wao shampein

  • @katapaj2336
    @katapaj2336 Před 13 dny

    Fei angekuwepo angesahau ugali na sukali😂😂😂

  • @isayadotto1583
    @isayadotto1583 Před 15 dny +1

    Safi sana nchi

  • @KitangariGenerations
    @KitangariGenerations Před 15 dny

    Ingetuuma sana kama furaha hii angekuwa anaipata mtan wetu, ila kwa uwezo wa kikos chetu furaha imekuja jangwan, mioyo yetu ina zaid ya furaha, asanten saaaana

  • @bm4tv602
    @bm4tv602 Před 14 dny

    Yanga bingwa

  • @saliieking7279
    @saliieking7279 Před 13 dny

    Yanga tamu

  • @user-kp7em6zt1g
    @user-kp7em6zt1g Před 14 dny

    Good bless all young Africans champion 🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆 🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚🔥💚💛🔥💛💚🔥

  • @MuddyZege
    @MuddyZege Před 15 dny +1

    Wacha 2enjoy 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️

  • @deogratiusladislausi179
    @deogratiusladislausi179 Před 15 dny +2

    wa kwanza leooo

  • @ShabanLamadhan
    @ShabanLamadhan Před 15 dny +1

    Yanga nawapo ngez San hongeren 😭

  • @WhitnessDavid-tv1jb
    @WhitnessDavid-tv1jb Před 14 dny

    Yanga Raha jmn

  • @cchuwa6980
    @cchuwa6980 Před 14 dny

    Mlienda kiwandani kuchukua hizo shampeni jamn Dah 😂😂yanga mnaishi vizuri bhna