Nawapongeza sana viongozi , benchi la ufundi wachezaji, wadhaminini wettu, pamoja na ss mashabiki, haikuwa kazi rahisi, juhudi, moyo wa kujitoa maombi kwa Mungu wetu , but Asante Mungu kwa hiki ulichotupa tutie moyo, nguvu, ili tuchukue kombe la CRDB , Baba wa mbinguni sifa na,utukufu zikurudie ww uliye juu ya vyote
Amina milele na milele TUNARUDISHA HESHIMA,UKUU, UTUKUFU,,UWEZA,ADHAMA,USHINDI,MAMLAKA, SHUKRAN,HEKIMA,UTAJIRI, SIFA,BARAKA,KWA MUNGU WETU ALIYE JUU MILELE NA MILELE NA MILELE AMINAAAAA❤❤
Tunamshukuru Mungu kwa kutwaa ubingwa kwa mara ya tatu mfululizo. Hongereni sana wachezaji kwa kupambana, haikuwa rahisi. Hongereni benchi la ufundi na viongozi
Hongera kwa wachezaji wetu kwa kujitoa na kufanikisha kutwaa ubingwa kwa mara ya 30, benchi la ufundi, viongozi wote na wadhamini wote wa klabu yetu ya YANGA Kwahakika muunganiko huo ndio umekuwa chachu ya mafanikio haya. Mmetuheshimisha na tunajivunia kuwa wana yanga. Daima mbele nyuma mwiko, mapambano yaendelee bado tunadaiwa FA lets do it WANANCHI.💪
Viongoz sio wa mpira ila hata taasisi za biashara, mashirika ya umma wanakitu cha kujifunza kutoka kwa Eng. Hersi Said amekuwa akishuka down kabisa kujiunga na watendaji wake. Hadhi ya Urais wa klabu kwenye macho ya watu sio hadhi ya kukimbizana na vijana wake wakifurahi ila Eng. cheo kwake sio kitu zaidi ya kuwa ni nendo tu. Kudos and much respect to you Mr. President Eng. Hersi Said👏
Sifa na shukrani tumrudishie Mungu kwani yeye ndiye mpaji wa yote, pongezi za dhati kwa wachezaji wote na benchi la ufundi, viongozi, wanachama na mashabiki uwekezaji na umoja wetu ndio ufunguo wa mafanikio yetu, kwa neema ya Mungu tujaliwe kuwa na mwendelezo mzuri zaidi msimu ujao.
Hongereni sanaa vijana nimefurahi sana zaidi ya sana mmepigana jihad Allahamdulillah mpaka ubingwa! Mengi mmetendewa uwanjani mabaya kudhulumiwa magoli kadi za uonevu kuumizwa kwa makusudi nk Yote Allahamdulillah Asanteni bechi na uongozi mzima yanga oyeeeee!❤❤❤
Congratulations our very own team and everyone took part. Your determination, commitment and hardwork throughout season 2023-2024 lead to these happy moments we are cherishing right now. CONGRATULATIONS Congratulations & congratulations...we love you guys #daimambelenyumamwiko #timuyawananchi
Hakika umekuwa mwisho mzur na wenye mafanikio kwetu wananchi, tuwapongeze wachezaji wetu na hiongoz wetu kwa kujitoa kwa ajil yetu, nas tujipongeze pia kwa furaha tuliyoipata mwanzo had mwisho wa msimu.
Ingetuuma sana kama furaha hii angekuwa anaipata mtan wetu, ila kwa uwezo wa kikos chetu furaha imekuja jangwan, mioyo yetu ina zaid ya furaha, asanten saaaana
Nawapongeza sana viongozi , benchi la ufundi wachezaji, wadhaminini wettu, pamoja na ss mashabiki, haikuwa kazi rahisi, juhudi, moyo wa kujitoa maombi kwa Mungu wetu , but Asante Mungu kwa hiki ulichotupa tutie moyo, nguvu, ili tuchukue kombe la CRDB , Baba wa mbinguni sifa na,utukufu zikurudie ww uliye juu ya vyote
Amina milele na milele TUNARUDISHA HESHIMA,UKUU, UTUKUFU,,UWEZA,ADHAMA,USHINDI,MAMLAKA, SHUKRAN,HEKIMA,UTAJIRI, SIFA,BARAKA,KWA MUNGU WETU ALIYE JUU MILELE NA MILELE NA MILELE AMINAAAAA❤❤
@@joycemmassi5046 Ameen
Najikuta natabasamu jamani yanga rahaaaaaa sana 💛💛💛💚💛🧡👏👏👏👏
Single hii ndo rahaaa yetu gonga like tujuane😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅matumaini na kiwew bado anawatesa makoloo fc
😁😁😁 kwa kweli....
Nakukubali
Tunamshukuru Mungu kwa kutwaa ubingwa kwa mara ya tatu mfululizo. Hongereni sana wachezaji kwa kupambana, haikuwa rahisi. Hongereni benchi la ufundi na viongozi
Duuu nimefrah sana jinsi mnavyofurahia ushind kwa pamoja . hongeren sanaaaaa
Hiyo ndo familia yetu ya yanga watu wanaishi kwa upendo wallah hii team sihami ata ipitie mapitogani i love you yang Africans
Hongera kwa wachezaji wetu kwa kujitoa na kufanikisha kutwaa ubingwa kwa mara ya 30, benchi la ufundi, viongozi wote na wadhamini wote wa klabu yetu ya YANGA Kwahakika muunganiko huo ndio umekuwa chachu ya mafanikio haya. Mmetuheshimisha na tunajivunia kuwa wana yanga. Daima mbele nyuma mwiko, mapambano yaendelee bado tunadaiwa FA lets do it WANANCHI.💪
Leo nimefurahi Kwa ubingwa lakini pia kuwaona Babu kaju akikichafua na Dogo Mushery Kwa kazi nzuri Big up.
Full furaha hadi sisi tunao tazama kwenye tunahisi tupo hapo kweli kuwa mwananchi ni raha 💚💛💚💛
Viongoz sio wa mpira ila hata taasisi za biashara, mashirika ya umma wanakitu cha kujifunza kutoka kwa Eng. Hersi Said amekuwa akishuka down kabisa kujiunga na watendaji wake. Hadhi ya Urais wa klabu kwenye macho ya watu sio hadhi ya kukimbizana na vijana wake wakifurahi ila Eng. cheo kwake sio kitu zaidi ya kuwa ni nendo tu. Kudos and much respect to you Mr. President Eng. Hersi Said👏
MUNGU ni mwema hongera Sana kila la kheri kwenu nyote kazi njema barikiwa Sana Yanga
Sifa na shukrani tumrudishie Mungu kwani yeye ndiye mpaji wa yote, pongezi za dhati kwa wachezaji wote na benchi la ufundi, viongozi, wanachama na mashabiki uwekezaji na umoja wetu ndio ufunguo wa mafanikio yetu, kwa neema ya Mungu tujaliwe kuwa na mwendelezo mzuri zaidi msimu ujao.
Hongereni sanaa vijana nimefurahi sana zaidi ya sana mmepigana jihad Allahamdulillah mpaka ubingwa! Mengi mmetendewa uwanjani mabaya kudhulumiwa magoli kadi za uonevu kuumizwa kwa makusudi nk Yote Allahamdulillah Asanteni bechi na uongozi mzima yanga oyeeeee!❤❤❤
Asanteeeeee Mungu Kwa kunipa ufahamu wa KUIPENDA hii team
I’m so happy
I am so proud to be Young African fan one Love #Yangayetu ❤️🙏🏾
Good job guys congratulations for the achievement you have reached after hard work from the very beginning. You deserve🎉🎉🎉❤❤❤
Tunamshukuru Mungu, aendelee kukupeni nguvu, afya na Kila hitaji lenu la moyo. Yanga bingwaaaaaaaaaaaa❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asante Mungu kutupa ubingwa tenaaa hongereni viongozi benchi la ufundi wachezaji wetu na wanayanga wote Kwa ujumla. I LOVE YOU YANGAAAA SC🎉🎉🎉🎉🎉
Ahsante Mungu,viongozi,wachezaji,benchi la ufundi na mashabiki Mungu atubariki
Congratulations our very own team and everyone took part.
Your determination, commitment and hardwork throughout season 2023-2024 lead to these happy moments we are cherishing right now.
CONGRATULATIONS Congratulations & congratulations...we love you guys
#daimambelenyumamwiko
#timuyawananchi
💛💛💛💛💚💚💚💚 honreni sana viongozi pia benchi la ufundi pia wachezaji na mashabiki kwa ujumla niombe Rais wetu endeleza furah hizi hizii ten msimu hujao
Najisikia rahaa jmn wachezaji wanaishinkwa upendo na viongz wetu,Mungu azidi kuwalindaaa vema
Young Africans...🏆
Team yangu pendwa ina upendo mnoooo
Yaani najiskia raha sana Mungu ulifanya nichague njia iliyo sawa kweli
Hongereni sana wananchi daima mbele
Yanga mnanifanyaa ninunue jezii big up
Kachukue na kadi ya uanachama
Mkudeeee anamimina tu mi champagne 🍾 🍾 kudaderrrrk 😂😅😅😅😂
Akili yako kama mm hapo ka kaukiwa vitu
Azizi k mpunguzie stalehe...sikuiz stalehe...zinazidi...ndo maana afungi🔰🇹🇿🏆🏆🏆
Mwenyezi tunamshukulu saaana
Hongera sana yangaa💚💛💚💛💚💛💚💛💛💛
Big up ENG Hers Said hakika wewe nimfano wakuigwa
Yani Raha iliyopo wallah kama huongozi fanyeni event kubwa itakayo husisha wananchi na mashabiki wa yanga pls
💚💛💛💛💛 hakik ni furaaa mungu ni mwem ongeraa san tem yangu pendw na viongoz
Naipenda yanga yangu daima
Yanga bingwaaaaaa💛💚💛💚
Mkude kaja kwenye furaha maumivu kayaacha huko💚💚💚💛💛
Yanga Raha saana
Mungu mwema
Raha sana..🔥🔥🔥🔥🔥💛💛💛💛💛
Mungu n mwema chama langu
Wooowwww jmn team gan in upendo kama hiiii cjaonaaa
Hakika umekuwa mwisho mzur na wenye mafanikio kwetu wananchi, tuwapongeze wachezaji wetu na hiongoz wetu kwa kujitoa kwa ajil yetu, nas tujipongeze pia kwa furaha tuliyoipata mwanzo had mwisho wa msimu.
Yanga rahaaaa
Nimejikuta nacheka pekeangu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Asanteeee sana 🎉 viongozi na wachezaji wetu
Acha tuenjoy 💚💙💪📌🔥📌
Yanga Bingwa 🏆💛💚
Hongeren sana
Hongereni chama langu😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊
Daa aisee yani mchezaji usipotaka kuichezea yanga basi unamapungufu kichwani aiseee
Yanga safiiiiii
Nimefurahi rais is more friendly kwa team
Yanga mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉🎉🎉
Congratulations 🎊 👏 💐 🥳 🎊 👏 💐 🥳 🎊 👏 💐 🥳 🎊 👏 Yong Africans❤❤❤❤❤❤❤😂 maua yenu kwa kweli🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hiii inaonyesha jinsi wananchi walivyo na upendo wanatani kuiga lkn hawana hiyo nafasi
Saf mitaa ya twiga na jagwan pamoja na family nzima ya yanga kwa kutwaaa ubigwa kwa mala nyingine 🎉🎉🎉🎉🎉
Furahaa ikatawale zaidi
Full mirahaa😊😊😊💚💛💛🏆🏆🏆🥇
Mashaallah hadi raha🥰🥰
Congratulations and you deserve it
Skudu ni mtu anoipenda sana yanga ni mtu alofurahia sana kuwepo TZ ila ndo ivo binaadamu si samaki amekuja ktk kipindi kigumu cha kumaliza
TUNAOMBA MECHI ZA MAANDALIZI YANGA MJARIBU KUJA NA IRINGA TUMEWAMISS BHANA PLZ
Sawa tutakuja😅
Njkiangalia machozibya furah yananitoka kwa vibe kubwa la yanga tulilonalo ongera yanga
Nawapenda
Hongera yanga
Congratulations Young Africans
Yaani hii furaha nimei feel
Sanaaaaà wananchi
Jamani ushindi raha sana taburereeeeeeeee
Nawapenda sana Yanga
Nilikuw na Asira leo na warabu wangu ila nilivyosikia tumeshindaaa furaha imerud upya
Love yanga
Champions 💚💛🏆🏅👍
Yanga wana upendo viongozi wapo vizuri
Yang bigwa🎉🎉🎉🎉
Waziri wa raha
Good job
Tunashukuru sana lakini pia ilitakiwa mkawamwagie mashabiki hata shampeni moja
Yanga laha sn
Qu'elle ambiance!
Hongera sana kwa team yetu , kupitia Rais wetu HERSI kwa kweli unaona furaha kubwa kwa wachezaji wetu
Raha kma nini 💖
Uongozi waweke vifaa vya kisasa zaidi Vya mazoezi na vya mawasiliano nimeona Kama alivyovaa Walter ni safi sana
Mungu atukuzwe kwa ubingwa
Green &yellow
Yanga raha🎉💚💚😂
Jamaa wanaishi Kwa upendo mpaka Raha
Mpira ni furaha huwezi kuamini wachezaji wanammwagia boss wao shampein
Fei angekuwepo angesahau ugali na sukali😂😂😂
Safi sana nchi
Ingetuuma sana kama furaha hii angekuwa anaipata mtan wetu, ila kwa uwezo wa kikos chetu furaha imekuja jangwan, mioyo yetu ina zaid ya furaha, asanten saaaana
Yanga bingwa
Yanga tamu
Good bless all young Africans champion 🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆 🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚🔥💚💛🔥💛💚🔥
Wacha 2enjoy 🖐️🖐️🖐️🖐️🖐️
wa kwanza leooo
Yanga nawapo ngez San hongeren 😭
Yanga Raha jmn
Mlienda kiwandani kuchukua hizo shampeni jamn Dah 😂😂yanga mnaishi vizuri bhna