HIZI HAPA TAKWIMU ZA AUGUSTINE OKEJEPHA MKATA UMEME MPYA WA SIMBA SC

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 06. 2024
  • Simba Pro tunafahamu kua Simba SC imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji Augustin Okejepha kutoka Rivers United ya Nigeria na kwa kulitambua hilo tumeona tuje na Takwimu zake akiwa na Rivers United msimu uliopita katika kombe la Shirikisho barani Afrika
    Dullah anatupitisha katika Takwimu hizo zinazopima ubora wake akiwa dimbani
    Kama unataka kuungwa katika group letu la Simba Pro tucheki kwa namba 0626629644 tuweze kukuunga pamoja na mashabiki wengine wa Simba
  • Sport

Komentáře • 24

  • @omarysebwa8280
    @omarysebwa8280 Před hodinou

    Nafurahia sana usajili unaofanywa na viongozi. Simba inatengenezwa timu ya ushindani ya muda mrefu

  • @user-vv8js4cz2h
    @user-vv8js4cz2h Před 6 dny

    Naomba kujiunga na Simba pro

  • @user-mi3jn7rq3k
    @user-mi3jn7rq3k Před 7 dny

    Naomba kujiunga na group lá Simba pro

  • @brianbatoleki6531
    @brianbatoleki6531 Před 7 dny

    Mtafika mbali Sana, mko vizuri

  • @LeonardJustice-v1g
    @LeonardJustice-v1g Před 4 dny

    Niunge na Simba proo

  • @AbdalahAlly-pw4dt
    @AbdalahAlly-pw4dt Před 7 dny

    Naombakujiungansgropyasimba

  • @AbisinaRashidi-wg5jt
    @AbisinaRashidi-wg5jt Před 7 dny

    Yupo vizuri

  • @sangaelly8548
    @sangaelly8548 Před 4 dny

    Wote bora

  • @KHALIDMULILO
    @KHALIDMULILO Před 7 dny

    Good signing 👍

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Před 7 dny +1

    Huyo akejepha na babacar sarr nani bora zaidi

  • @boazmpazi260
    @boazmpazi260 Před dnem

    Kwnn mnaomba hela kujiungabna hilo group?

  • @joshuamtagwa347
    @joshuamtagwa347 Před 7 dny +1

    Hakuna mchezaji asie na weakness ya kimchezo na hiyo ndiyo kazi ya kocha sasa kuzirekebisha kasoro za mchezaji!

  • @hamisiabdallah1337
    @hamisiabdallah1337 Před 7 dny

    Naomba uniunge kwenye grop

  • @SeifKarata-fr7dv
    @SeifKarata-fr7dv Před 5 dny

    Huyo sio mchezaji hata hapa tunao wengi mfano yule kiungo wa ihefu nashon bonge la kiungo mkabaji sijui mnahangaika nn

  • @agreymwanga
    @agreymwanga Před 6 dny

    Yuko vizuri kwa maelezo hayo lkn mpira sio mchezo wa maneno, ni wahadharani hivyo tusubiri

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 Před 6 dny

    Big disaappointment! Huyu atamshinda Kalabaha wa Simba yule Mzazibar? Achene bwana huyu hakuna kitu.

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 Před 6 dny

    Hela zake wamsajiri Kapumbu na huyu miaka 20 tatuteni Watanzania au Wageni wanaocheza hapa TZ walioko Ihefu, Singida au Azam kuliko huyu sogo

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 Před 7 dny +1

    Kwa data hizo huyo mnigeria hafai anaporwa mipira mara nyingi tutafungwa sana jamani. Maana yake hawezi kuhold vizuri kati. Huyo ni jipu tafuteni mwingine kama fraga vile.

  • @deusmanyenye5190
    @deusmanyenye5190 Před 6 dny

    Hapa Simba wana fail. Hawa ndiyo wachezaji ambao Rage anasema utawakuta hata Manzese. Unafikiri watanzania kama hao hawapo?

  • @brianbatoleki6531
    @brianbatoleki6531 Před 7 dny

    Yeye na kapumbu nani bora?

  • @rashiditekway3242
    @rashiditekway3242 Před 6 dny

    Labda namb8