SABI FINAL | Trailer

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 08. 2024
  • Usiche kununua episode za Sabi episode 11-13
    Tuma kiasi cha shillingi 5000 kwenda namba 0766135528

Komentáře • 92

  • @user-og7dy2qf7q
    @user-og7dy2qf7q Před 5 měsíci +6

    Next part plzzz mamb ya kutwambia Whatsapp unatuchangany af utapoteza mashabiki

    • @kadkadzo7543
      @kadkadzo7543 Před 5 měsíci +1

      Acha ajaribu akifanikiwa kupata mashabiki wengi sawa akishindwa ata upload tu

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 4 měsíci

      Hahaha

  • @user-mx4zo3ep6h
    @user-mx4zo3ep6h Před 5 měsíci +2

    😂😂😂ila sema kiukweli mm niliinjoi sana hasa wewe na jumanne kijiji kilivyowafanya mbwembwe zote ziliishia kwenye mabegi kwa road .. keep it up br ..tumeinjoy

  • @casmillyoundo8072
    @casmillyoundo8072 Před 5 měsíci +3

    Siyo kila maji yanatiririka ya kisima mengine ya mvua,video nzuri hua natamani ziwe ndefu kama saa moja ivi

  • @AishaAishaathuman-ov5pk
    @AishaAishaathuman-ov5pk Před 5 měsíci +2

    Hongera Sana Adam Kwa kazi nzuri 🎉

  • @user-og7dy2qf7q
    @user-og7dy2qf7q Před 4 měsíci +1

    Adam jmn part 11 plz tunaisubr sanaaaaaa❤

  • @ginafaruque5335
    @ginafaruque5335 Před 4 měsíci +1

    Aija noga kabisa EP final

  • @zuheorsalim7759
    @zuheorsalim7759 Před 5 měsíci +5

    adamu amekua chizi kwa kula nyama ya chumu manina ulifikir utakula nyama kisha ukimbie mjini😅

  • @dastandasque5239
    @dastandasque5239 Před 5 měsíci +10

    Sasa ww adam umeanza kuleta uhuni kwenye kazi. Nikuulze swali umeona lini donn yen wachna akiweka vidio alaf anasema vipande kazaa njoo watsapp au jetlee ko adam achausanii huo ieshmu kaz yako ss nimashabik wako tunakufatia kilasku ila kwastaili hii sjui

    • @kadkadzo7543
      @kadkadzo7543 Před 5 měsíci +1

      Ni kama anataka kuweka kwa DStv kama wengine walivyofanya

    • @bunuadiyo5944
      @bunuadiyo5944 Před 5 měsíci +1

      Wacha kumuingia mwenzako kwa kazi yake. Ikiwa kwa ubahili wako hutaki kulipia Wacha mwenzake wenzako wafanye hivyo.
      Kumtukana Adam no sawa na kutoheshimu KAZI.
      Kuwa muungwana.

    • @ottomanmorand8087
      @ottomanmorand8087 Před 5 měsíci +1

      Aweke t coz kasha tukata moto😢

    • @user-mx4zo3ep6h
      @user-mx4zo3ep6h Před 5 měsíci

      Adam ndio Kwanza anajitafuta usimfananishe na wasanii wakubwa .. Kwan kuchangia aftano tu nayo izue mijadala unakausha tu anaeweza kuchangia acha achangie huwez piga kimya

    • @ChimamamermitaKatembo-vm8vt
      @ChimamamermitaKatembo-vm8vt Před 5 měsíci

      @@bunuadiyo5944 ivi unajuwa kulipia wewe kwahajili ya movi moja mtu alipie duuh azamu mtu analipia anaona kila aina ya michezo Sasa apo kwa Adamu mtu anaona nini sabi 🤣🤣

  • @TuwanoMwantumu
    @TuwanoMwantumu Před 5 měsíci +1

    MashaAllah Kazi nzur kaka

  • @ChimamamermitaKatembo-vm8vt
    @ChimamamermitaKatembo-vm8vt Před 5 měsíci +2

    Adam eti kaona mumeipenda sana sabi ivyo muna enda WhatsApp tu si mumekataa kununuwa apa CZcams 😂😂😂

  • @munaqtr8985
    @munaqtr8985 Před 5 měsíci +2

    Mmmh sasa n yapi tuje WhatsApp kufatq nn angalia mwenyewe acha kutuboa broo

  • @rosemarymuna543
    @rosemarymuna543 Před 5 měsíci +1

    Kulipia tena duh

  • @Saumu254
    @Saumu254 Před 5 měsíci +3

    Adam leo wajuwa nmecheka kwa saut kubwa😂😂😂❤

  • @marianakamb-fg7sk
    @marianakamb-fg7sk Před 5 měsíci +1

    The courage of asking mm ni nan then u laugh made the series to be more stronger and fantastic💯 was nice one keep it up✌️

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 Před 5 měsíci +1

    Hongera Adam⚘️⚘️⚘️

  • @ireneirene4024
    @ireneirene4024 Před 5 měsíci +3

    Adam leta ingine tumechoka na hii sabi

  • @user-og7dy2qf7q
    @user-og7dy2qf7q Před 4 měsíci

    Adam jmn kwa niaba ya mashabiki naomb utuambie part 11 itatoka lin ili tuisubir mpk itàkapokuwà tayar maana mm kila siku naingia kuangalia af nakuta bdo🙏🙏🙏 tuambie plzzzzzzzzzzzzzzzzZzz 🙏 here waiting for it ❤❤

  • @saidiabdalahshabani941
    @saidiabdalahshabani941 Před 5 měsíci +1

    Mzee wakichupa kimejaa mazto yameshamkuta pole snaa broo 😂😂😂😂😂😂

  • @Tesocomedian
    @Tesocomedian Před 5 měsíci +2

    Very nice ❤❤❤

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e Před měsícem +1

    Kijijini kimeumana ukoo😂😂

  • @salamarashid3687
    @salamarashid3687 Před 5 měsíci +1

    Tugaiye iyo movie hatuna pesa😂😂

  • @tima5679
    @tima5679 Před 5 měsíci +2

    nilipe wapi Adam mm niangalie iyo sabi😢

  • @sophiashamimah5895
    @sophiashamimah5895 Před 5 měsíci +1

    ❤❤❤good job

  • @liylahahmed829
    @liylahahmed829 Před 5 měsíci +1

    Tumalizie jpo kipande ki1 Adam dah

  • @sylvia3999
    @sylvia3999 Před 5 měsíci +2

    😂😂😂 Adam

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu Před 5 měsíci +1

    Pole kaka vingine hajikimbiwi ndo maana uliambiwa si kila pori utataka kujificha😂

  • @user-il8wx3eq8i
    @user-il8wx3eq8i Před 5 měsíci +1

    Adam nilikwambia litakukuta jambo ukasema kichupa kimejaa haya kichupa kimekuponza

  • @veronicasolange930
    @veronicasolange930 Před 5 měsíci +2

    Umeaanza kuleta uhuni mpaka mtu alipie ndo nini sasa

  • @johntarimopianolist6977
    @johntarimopianolist6977 Před 5 měsíci +1

    Kazi nzuri brother Adam..

  • @mcotiicomedy4200
    @mcotiicomedy4200 Před 5 měsíci +6

    Siwezituma hata 30 Kenya shilling

    • @jacklinepeter4158
      @jacklinepeter4158 Před 5 měsíci +2

      Umelazimishwa kama huwezi kutuma kaa kimya shombo zako ziache kenya huko zisivuke mpka

    • @mcotiicomedy4200
      @mcotiicomedy4200 Před 5 měsíci +1

      Ebu enda uoshe kuma yako na uko,,, matako hii,, nitakurarua

    • @jacklinepeter4158
      @jacklinepeter4158 Před 5 měsíci +1

      Wapuuz utawajua tu tafta hata mtaji wa kuuza karanga upate hela uache makasiriko na kazi za watu ni umaskini unakusumbua

    • @AishaAishaathuman-ov5pk
      @AishaAishaathuman-ov5pk Před 5 měsíci

      Sio lazima kama wewe huezi wenzako wanaweza so,🤫

    • @mcotiicomedy4200
      @mcotiicomedy4200 Před 5 měsíci

      @@jacklinepeter4158 unabishana na Mimi na uko na subscribers mbili kama makende ya mbuzi🤣🤣

  • @user-oh9bh9ko8j
    @user-oh9bh9ko8j Před 5 měsíci +1

    Hyu kma haja yke tununue naona amechoka sa ssi mashabiki w u tube 😂😂😂

  • @jacklineernest3155
    @jacklineernest3155 Před 5 měsíci +3

  • @Smallybee
    @Smallybee Před 5 měsíci

    Na ikumbukwe Chumu alishawahi kumwambia Adam kuwa wanaishi pia na wasioonekana

  • @elizabethkinyua5823
    @elizabethkinyua5823 Před 4 měsíci +1

    Adam, umeanza kutuchezea,, utapoteza machabiki wako, kuna movie mob Sana, kama za akina zebuu na KP za kuzizimua na hawaitishi pesa, wewe umetutyma WhatsApp tulipe 5000 ,,utajipanga,, Hii sabi uta act na u watch,, Ile wako, watching from Kenya, umeanza maringo, utatukosa, ATA ni ku unsubscribe Tu, hakuna lingine,,

  • @nicksonngetich9882
    @nicksonngetich9882 Před 5 měsíci +1

    Am a big fan for Adam but hapo kwa kulipa hiyo ni ujeuri uhuni, after subscribing and watching your videos on CZcams hautosheki, Stephen kanumba, Vincent kigosi na waigizaji wengine wengi wa Tanzania na dunia nzima halipishi to watch there videos, you're going in wrong direction Adam

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 5 měsíci +1

      I appreciate ur opinion! Respect mine! Niko na sababu nyingi ulizochagua kutokuelewa za kwanini nimefanya hivyo! Hata hivyo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza!

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 5 měsíci +1

      Kwa wale waliochagua kuelewa wanaendelea kununua!

    • @nicksonngetich9882
      @nicksonngetich9882 Před 5 měsíci +1

      Yeah I understand everyone has aims and opinion on there content creation may God give you good health and wisdom as you continue entertaining us your fans mkuu be blessed, mine was just an opinion tu

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 5 měsíci

      @@nicksonngetich9882 bless

  • @patiencedorika9354
    @patiencedorika9354 Před 4 měsíci +1

    💩💩💩🤣🤣🤣🤣 upuzi

  • @elizabethkinyua5823
    @elizabethkinyua5823 Před 4 měsíci +1

    Adam, umeanza kutuchezea,, utapoteza machabiki wako, kuna movie mob Sana, kama za akina zebuu na KP za kuzizimua na hawaitishi pesa, wewe umetutyma WhatsApp tulipe 5000 ,,utajipanga,, Hii sabi uta act na u watch,, Ile wako, watching from Kenya, umeanza maringo, utatukosa, ATA ni ku unsubscribe Tu, hakuna lingine,,

    • @AdamLeoStudios
      @AdamLeoStudios  Před 4 měsíci

      utapotea wewe! Mashabiki wa kweli watabaki! Kingine ndiyo maana kuna machaguo mengi kama hayo uliyoyataja sijui zebuu nenda kawaangalie! Siwezi kukufurahisha wewe wakati mimi nateketea! unsubscribe tu mpendwa!