LIVE: JINSI YA KUOMBA MAOMBI YA VITA NYAKATI ZA USIKU
Vložit
- čas přidán 21. 09. 2023
- 2 Tim 4:7
Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/sirizabiblia
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Mtumishi naomba maombi naumwa kichwa ni zaidi ya miaka 5 hospital hawaoni tatizo zaidi ya kunipa dawa za maumivu naamini Mungu wa Bwana wetu Yesu hashindwi
Barikiwa sana mtumishi wa mungu Kwa maombi mazuri.
Asante sana mutumishi wa MWENYEZI MUNGu
Asante mungu kwa kunikomboa sitachoka kukutumikia eeh mungu wangu🙏🙏🙏
Nashukulu mtumishi kupitia wewe mungu amenifungua vitu vingi
Nimejifunza kitu, " vita ya kiroho haipiganwi kimwili" Asante mtumishi wa Mungu.
Damu ya yesu ifunike maisha yangu na mume wangu na watoto wangu na familia yangu
Amina
Imekaa sawa mno maombi ni vita kama wakristo tungefanya vita namna hii shetani asingepata nafasi na mungu angetenda mambo makuBwa sana kwetu ❤❤
Mungu simama nami pamoja nwatoto wangu mungu aturetee kwenye maisha yetu
Amina 🙏
❤❤❤Amina najiumanisha na hii mazabahu mtumishi ninavita nyīngi kiasi kwamba Kuna muda kuomba siwezi Ila nasemga Muñgu naomba msaada wako tu
Utukufu kwa Mungu aliyekuwepo,yupo na atakuwepo🙏🏾🙏🏾
Amen Amen Amen
Amen Amen
Mungu akubariki Kwa kuwa nimeipata kibali cha kushiriki MAOMBI haya ya vita ni Imani kuwa mungu amisikia n maana sikio lake sio zito asisikie 🙇🙇🙇🙏🙏🙏
Asante Mungu kw utukufu wko.umenifanya kiumbe kibya katika Maisha yg
Amina🙏🙏🙏🙏🙏🍏
Oooo yesss ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Asante yesu wangu kwaukombozi 😭😭😭😭🙏🙏🙏
Asante yesu wangu kwaukombozi
Asante Yesu kwa ukombozi kwa maisha yangu pamoja na familia yangu na watoto wote wa Siri za Bibilia ❤❤❤
Vunja babamilango iliyotengenezwa kwa ajili ya uchumi wangu mungu fungua
Mungu Asate Mungu Kwa kutuwezesha kufika apatulipo fikaleo ni kwauwezo wako nihondoleye mbipigamizi vaibirisi vinavyo nipotosha navivyojavyoja Kwa Damu YESU Kristo
Asante YESU kwajili ya mafundisho naomba roho mtakatifu anisaidie kuelewa neno la MUNGU
Amen
Mungu.wangu.najiunganisha kwa.maobi👏👏
Damu ya yesu inanena ❤
Amen amen
Asante mungu Kwa kusikiliz maombi yangu Ee mungu naomba unipe nguv nizidi kuku omba Asante mungu wangu mbariki mtumishi wangu azidi Ku ombe Kwa jina lako
Asante yesu,kwa neno lako.
Amen and amen
Amen🙏
Asante mtumishi kwa mafundisho yako mungu azidi kukupa hekima naufunuo ubarikiwe sana tuko pamoja
Napokea uponyaji kwa jina la yesu
Mungu niludishie mausiano yangu🤲
Asante mungu kwa siku hii ya leo na Asante pia kwa kunifikisha hapa nilipo amina Asante mtumishi
Ufalme wa Mungu uzidi kutamalaki duniani na mbinguni
Amen 🙏🏼
Hallelujah
Damu ya yesu kristu ipite katika maisha yangu , ya familia yangu, kwa biashara zangu na kwa mahusiano yangu 🙏🙏🙏🙏
Amen 🙏 🙏 Utukufuu kwa mwenyezi Mungu.... .
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu
Neema ya mungu itusaidie
Very powerful prayer. Thank you Pastor!
Asante mungu Kwa zawadi ya uhai nakuniwezesha kuyasikia mafundisho haya naomba nikainuke kiroho nanijitambue mm ninan na nipo hapa kwakusudi Gani eee roho wa mungu kaniongoze
Naomba kuwa huru kuanzia leo Mimi familia yangu kutokakatika vifungo vyote ogunga maisha yetu,faya zeta uchumi wetu ,kazi biashara,na hata katika elimu, Mungu Baba kwa jina la mwanao Yesu Naomba unikumbuke katika haya maombi na katika sala zeta za kila siku,
Asante yesu kwa kuñipigania vita zangu
Ameeeeeen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙌🙏🙌🙌🙏
Ameen
Nanamushukuru.mungu.waziriza bibiliazuri .mungu..akubariki saaaaaaana kwakutufunulia..majiramapya..yakuongeza.sikuzakuomba
Asantee Bwana yesu kwa maomb ya kumpiga shetan, tunaomba pia uzd kubarik. Mtumish wako uliemleta kwetu. Kwaajili ya kutufundisha nano lako
Imeni
Barikiwa sana mtumishi wa mungu na mwenyezi mungu azidi kukupa umri
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤️
Nipone mungu na linda mama na. Baba na watoto wagu mungu awapegufu
Ameni ameni Wana wamungu
MUNGU nipiganie mm mana moyo umechoka mungu nisaidie yeyote aliye nidhulumu mungu namleta mbele Yako muone Amal ndoro Kwa chochote alicho nifanyie mm na dadangu😭😭😭🙏🙇🙇
Asante Yesu Kristo
Asante mungu wangu kwa kunipingania vita Kali sana.
Namshukuru mungu kw kuona cku hii.ya leo
Asste mtumishi wa Mungu kwa maombi haya nina vita vikali vya ugonjwa wa mishipa ya fahamu na ganzi mikono na miguu ns kupungukiwa na mguvu naomba maombi yalo na ushauri
Asante roho wamungu kwakunishindia vita yangu ya umasikini magonjwa uchungu huzuni mashaka kutokuamini upumbavu ujinga kuchanganyikiwa ukichaa uwaribifu tamaa hisia mbaya 🙏
Asante Bwana Yesu
Amina mtumishi nimbarkiwa
Amina,ninaamini hata nguvu zikaongeke
Barikiwa mtumishi
Asante mungu Kwa kunipigania kwenye vita yangu
Naomba Mtumishi unitumie hivo vipengere vya maombi ubarikiwe sana
Kupitia maombi haya mungu nifulie njia.
Damu ya yesu ituokoe eeh mungu
Amen. Nitumicnge na Mimi maombi
Mungu wewe ninguzo sitaacha kukutumikia
Amen nimefunguliwa na kuwekwa huru
Simama mwenyew mungu wangu mwenyew siweziii bab
Amen amen na sa sa Mungu ametusaidia katushindia haleluya amen 🙏🙏
In jesus name amen🙏🙏
Asante Mungu wangu kunifungua
Asante mungu Kwa kusikia maombi yangu.
Asante Yesu
Ee mungu nakushkuru kwa yote unayonitendea
Asante mungu kwa siku nyingine tena nakuomba baba fanya muujiza juu ya watoto wangu na mm mzaxi wao, mungu bila wewe mm siwezi.
hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah 🙏🙏🙏
Ubalikiwe mungu azidi kuikuza uduma yako nime pokea
Asante YESU
Asante yesu
Barikiwa sana mtumishi🙏
Karibu bwana katika vita yangu nipe ujasiri wala imani yangu isitingisike kwa jina la byesu.Shalom
Damu ya yesu ifunike family yangu ifunike kazi yangu
Ameen ameen asnte kw maombi Hy naomba Mungu azidi kuniungasha n maombi hyaa barikiwe
Nakushukuru jehova❤
asante kwa maombi ya vita ubarikiwe n'a mungu
Ashukuliwe Mungu wa mbinguni Kwa muongozo wa maombi haya nateketeza na kuvunja nila zote za muovu shetani hazina mamlaka Tena Kwa damu ya Yesu...naachilia nguvu za Mungu zitawale kote pale niliposhindwa ,Mungu Baba ananipitisha na kunipa umiliki hallelujah 🙏🙏
amina asantebyesu
Mungu anisaidie ktk maisha yangu! Mimi na watoto wangu aniongoze na anifungilie mlango wa mafanikio
Mungu nisaidie kutoka katika sheria za kuzimu
maombi haya ya leo najiungamanisha nayo mm na uzao wangu tunajitoa huko kwa nguvu ya Damu ya Yesu Mungu tusaidie kutoka huko.
Najiugamanisha na Ibada hii amen 🙏
Nimebarikiwa baba asante sana
Asante Mungu kwa wema na wingi wa fadhiri zako nazidi kubarikiwa mbariki Mtumishi wako mjaze uwezo wa Roho mtakatifu awe shupavu ktk huduma hii ya kinabii kupitia kwake tuzidi kupokea uponyaji na ushindi ktk kristo yesu Amen
Mungu naomba unipe kicheko
Amina napokea kwa utukufu wa Mungu 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🧎
Ameeeeeeeeeeen
Asante mungu unanitoa kweny vita biashara yangu kukosa wateja wenye fedha
Nimebarikiwa sana
Asante sana Mungu wangu kwa kunipigania katika vita zote kupitia madhabahu hii ya siri za biblia