LIVE: MAOMBI YALIYOBEBA MAJIBU YETU // KUFUNGUA MBINGU

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 08. 2024
  • Mathayo 18:20
    Kwa kuwa walipo wawili watatu wamekusanyika kwa jina langu, nami nipo papo hapo katikati yao.
    SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
    M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
    CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

Komentáře • 1K

  • @PiliSelemani-yr3dr
    @PiliSelemani-yr3dr Před 2 měsíci +3

    Mungu wangu.naomba baraka ktk maisha yangu unifungulie vifingo vya mapepo wabaya unipe mtaji niweze kumiliki biashara kubwa . Amen

  • @user-ru6gs3ms9c
    @user-ru6gs3ms9c Před 9 měsíci +16

    Yesu wngu naomba unibariki nishinde majalibu ya dunia tizma maadui walivyo mizunguko wnasubili anguko langu na familia yangu bwana yesu nishinde mkono usiache bwana usiniache majaribu yamekuwa mengi niko mbele yako bwana usiku usiniache yesu wangu bariki kazi ya mikono yangu bariki familia yangu na mtoto wangu unibariki aweze kufanya mtihani wa kidato cha nne vizuri mpe ushindi yesu wangu maadui wamekuwa wengi wanataka kuangamiza maisha yangu Mungu simama nami bwana kila ninacho kufanya hakiendi bwana tenda miujiza kwangu bwana

    • @tullysanga453
      @tullysanga453 Před 2 měsíci

      nakusikia vizuri mtumishi naomba uponyaji katika afya yangu

    • @tullysanga453
      @tullysanga453 Před 2 měsíci

      nahitaji afya mtumishi nakusikia vizuri

    • @GiftyPeter
      @GiftyPeter Před 18 dny

      Mung naomb nisaidie kil nilichochang kirejee maadui ni weng san naomb pigan nao wanaopigan nam.mung

  • @FayChalamila
    @FayChalamila Před 2 měsíci +3

    Ee mungu wangu naomba unisaidie kufungua ukoo wangu katika minyororo ya laana tuondolee roho ya umasikini,roho ya kukataliwa nikutanishe na watu sahihi bwana kanimilikishe vitu vya thaman kwa jina la yesu kristo nikawe msaada kwa watu wanaohitaji msaada bwana oooh jesus niinue naikataa roho ya umasikini utajiri,maarifa akili na ujuzi vikadumu ndani yangu na roho wa hekima akajazwe ndani yangu ee bwana kwa damu ya yesu kupitua maombi haya yanaenda kutimia kuazia sasa thank u jesus

  • @Ney01-vd7mk
    @Ney01-vd7mk Před měsícem +1

    Kuwaunganisha watoto wangu wapendane wasaidiane na kushirikiana vzuri mimi ni mjane Mungu anipe nguvu zaidi niweze kumtumikia vema Mungu akuubariki mtumishi kwa kazi njema unaayoifanya

  • @ScholarKadaso-ch3jx
    @ScholarKadaso-ch3jx Před 9 měsíci +7

    Ninaomba. Mungu anitoe kwenye madeni na Mungu aikomboe ndoa yangu iliyoingiliwa na mwanamke suzy aamuachie mume wangu, namm Mungu anipe moyo wa kumsamehe mume wangu, Mungu atuwezeshe kumaliza ujenzi tulionao, na watoto wangu wasome wafikie viwango vya juu naomba uchumi wetu ufunguo iwe na Mungu a niwezeshe kupata biashara kubwa .

    • @magrethmicheal4663
      @magrethmicheal4663 Před 9 měsíci

      MUNGU AKUFANYIE WEPESI DADA ANGU, APIGANE NAO WANAO PIGANA NAWE.

    • @ChikiAbdallah
      @ChikiAbdallah Před 2 měsíci

      Nisaidie mungu wangu familia yao inipoke kwa furaha na uluma mm pamoja na uzao wangu

    • @ChikiAbdallah
      @ChikiAbdallah Před 2 měsíci

      Mungu nisaidie nijufungue salama amina

    • @RehemaRahima
      @RehemaRahima Před 2 měsíci

      Naksikia ktsoka qatar

    • @RehemaRahima
      @RehemaRahima Před 2 měsíci

      Ameeerrrn

  • @auleliamngongo2509
    @auleliamngongo2509 Před 9 měsíci +5

    Bwana Yesu nimekuja Tena mbele zako unisikie Nakuomba:¿Mwanangu Adamu afanye mitihani ya form four vizuri na kufaulu pamoja na wenzake wote,Mwanangu Cleah apate shule,Leo naenda kwenye kesi ya kiwanja nishindie,Imarisha Uchumi wangu,Ugonjwa wa UTI wa mgongo kwa mwanangu apone,nipate kazi nzuri nipate fedha nzuri inisaidie,Nilipie madeni yangu, Nipe Heshima Nitoe kwenye matatizo kwa ujumla kwenye nyumba yangu, Bwana umeona usinyamaze fanya hima inisaidie nope Amani AMINA

    • @ntulianyitike3472
      @ntulianyitike3472 Před 9 měsíci +1

      Naomba Mungu anisaidie mwaka huu usipite ajitoe kwenye. Madeni na anipe kiwanja na watoto.wangu wapate maijati ya watoto ya shule na Mungu amuinue na mume wangu

    • @velmah_96
      @velmah_96 Před 9 měsíci

      Mungu asikie dua zako na akujibu

    • @maseaJoe8676
      @maseaJoe8676 Před 9 měsíci

      Mungu ni mwaminifu tumtumaini kwa lolote tuombalo na atatujibu kwa wakati wake tuko pamoja kwa haya majitaji nami naomba roho ya madeni iniondokee. Amen

  • @zainabusaidi8161
    @zainabusaidi8161 Před 16 dny +1

    Ee mungu nataka nipone kichwa kuvuma na nipone presha na nifunguliwe kiuchumi na nizidiwe na wateja na nibadirishe maisha yangu nataka niwe na maendereo na nimakize madeni na pia nijenge kiurai na watoto wangu wafanikiwe kwenye mihangaiko yao na nataka nipate mtu sahii wa kunipa sapota kwenye biashara zangu na taka nipate mtaji mkubwa kwenye biashara zangu mungu naomba nijibu maombi yote niyokuomba katika jina la yesu🙏🏼

  • @SurprisedHopscotch-fw8rw
    @SurprisedHopscotch-fw8rw Před 2 měsíci +2

    Nina mahitaji mawili:1mungu anisaidiye ni pate mme bora 2unisaidiye nipate kazi nakingine niwe salama 👏👏👏👏👏👏👏

  • @amjedsalam2856
    @amjedsalam2856 Před 9 měsíci +2

    Naomba mungu unisaidie usiniache nakataa maisha ya ufukara kumcha bwana ni chanzo cha maarifa bali wapumbavu wanao dharau hekima na adhabu nikiamini ipo siku utatenda jambo ni kwaajili ya familia yangu amen naitwa jesca niko iraq asante sana mtumishi wa mingu

  • @WinnyMmbaga
    @WinnyMmbaga Před 5 dny

    Eee Mungu wambinguni naomba Baba warehema umkomboe Mtoto wangu wakwanza ache pombe inayomtesa kwamdamrefu umsaidie namtotowangu wamwisho apate chuo umpunguzie maumivu yaroni kwaajili amefeli chuo nisaidie Mimi niweze kuomba niunganishe naroho mtakatifu niwemtii mbelezako umonye mdogo alie pooza kuanzia kiunoni kwennda chini uikoe familia yangu yote ikutambue wewe Ameeni

  • @NannyNanny-fo9yh
    @NannyNanny-fo9yh Před 10 dny

    Nakupata vyema,Ni ombi langu kuwa hoja zangu zote zatimilika Sasa hivi katika jina kuu LA yesu Kristo Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @user-ez9ve7nz7n
    @user-ez9ve7nz7n Před 9 měsíci +1

    Mungu wangu wa mbinguni naomba niepushe na roho ya kucheleweshwa uniepushe na roho ya usingle mother nakataa katika jina la Yesu kristo alie hai, naomba uinue roho ya maombi juu yangu Mungu wangu neno lako likawe kiu na njaa maishani Mwangu.

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před 5 dny

    ❤❤Mtumishi ninaomba mimi na familia yangu ninaomba utuombee kwa Mungu Baba tumjue zaidi pia ninaomba Muñgu akabariki biashara yangu niweze kufanya mamabo yangu na kumtumikia Mungu pia ninaomba urinzi katka familia yangu atuepushe na laana mikosi ya mababu na ukoo wote zaidi ya yote Mungu ninaomba nikawe baraka kwa watu wote ninaweka watoto wangu katka mazabahu hii ninaomba Mungu uwape akili hekima nasiki zote wakujue wewe na si miungu mingine Mungu ninaomba uponyaji Asante Yesu Mungu nitangulie katka biashhara asanteeee nina Amini Mungu kwako yawezekani niepushe na maraki wabaya nk Amina

  • @user-fz3kg2pt3u
    @user-fz3kg2pt3u Před 15 dny

    Yesu naomba unibariki nishinde majaribu,uiokoe ukoo wangu,familia yangu kwenye roho za umaskini,naomba unitimizie hitaji la moto wangu,NAMI naamini napokea kwa jina la yesu amen

  • @EmanuelFransisi-z1v
    @EmanuelFransisi-z1v Před 11 dny

    Asante Mungu kwa lehema yako kufika siku ya leo Mungu hili ni ndo, hitaji langu kwako naomba unisaidie nipate kazi nzuri ili niyashinde majaribu ya shetani

  • @FortunataMbwasi
    @FortunataMbwasi Před měsícem

    Naomba Mungu anikumbuke watoto wangu waokolewe wamjue Mungu pia naomba Mungu anisaidie kiuchumi nahitaji mtaji afungue milango yangu pia Mungu amsaidie Mume wangu alipwe mafao yake ya ustaafu tangu astaafu ana miaka mingj hajalipwa pesheni yake na anaumwa Mungu aondoe roho ya umaskini naomba Mungu anijibu amina

  • @AnnastaziaBandonda
    @AnnastaziaBandonda Před 29 dny

    Ee Mungu nifungue katika magonjwa nivushe na hofu nipe amani,nguvu na unipe kibali kufanikiwa katika usaili wangu wa kazi nifanikiwe,,,,niachie katika vifungu vya maadui nikinge na kila baya lolote, naomba toba katika makosa yangu yote AMINA

  • @NorahLugongo
    @NorahLugongo Před 19 dny +1

    Asante Yesu naamini nimejibiwa kabla ya kujibiwa katika jina la Yesu

  • @FredericovalentiBanda
    @FredericovalentiBanda Před měsícem

    Bwana asifiwe"Naitaj Nipate uwezo wakusimamisha ujenzi WA nyumba yangu kwazia na mwezi kwa jina la yesu amen 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏

  • @NorahLugongo
    @NorahLugongo Před 14 dny

    Ee Yesu naomba nitendee miujiza ili niamkapo asubuhi niweze kulipa madeni yangu yote. Amina

  • @MwaminiNoëlla
    @MwaminiNoëlla Před měsícem +1

    Yesu wangu naomba unijibiye itajizangu mbili niko nakuomba mwa iyi mwezi tunaanza bitimilike kwa jina la Yesu naomba niki amini Amen
    17:01

  • @pendomaloda2849
    @pendomaloda2849 Před měsícem

    Eeeh mungu asante kwa kibali pekee naomba usikie maombi yangu naomba unisaidie kunifungua vifungo vyote nilivyofugwa naomba nifungue njia ya kujifungua, nijifungue salama nijifungue kwa njia ya kawaida, roho ya oppression naikataa kwa damu ya yesu naamin mungu utatenda na nitajifungua kawaida na salama naomba usikie maombi yangu ezzh mungu

  • @salomesanga465
    @salomesanga465 Před 19 dny

    Naomba Munguawakomboe watoto wangu kiuchumi,afya ndoa vifungo vya miungu ya ukoo pia anisaidie kuhitimishi utumishi wangu wa kazi kama alivyoniandalia.Mungu ukaniponye maradhi yanayonisumbua tangu 2010

  • @JulieeRobert
    @JulieeRobert Před 23 hodinami

    Yesu wangu naomba unisaidie juu ya mipango yangu na ndoto zangu baba naomba sana uweze kunitimizia hitaji la moyo wangu baba nikumbuke na mm

  • @user-zn3un8gs3d
    @user-zn3un8gs3d Před 13 dny

    Mungu nashukuru kwa vile umenichora kwenye kiganja cha mikono yako, Baba Mungu naomba unipe Neema ya kushinda dhambi, naomba ufungue familia yangu, ukoo wangu, mponye mdogo wangu Nyemo na ugonjwa wa ziwa, Mungu naomba umkee yeye alaye nikipata hela zangu zinaisha kwenye shida badala ya kufanya kazi za maendeleo, Mungu naomba uwasaidie wanafunzi wangu wafaulu kwa viwango vya A na B, Mungu nisaidie biashara zangu zikue zaidi yaani nizidiwe na wateja kila kona, Mungu naomba unipe wafanyakazi wazuri wa biashara ya mgahawa na maduka, Mungu ilinde familia yangu yaani mme wangu, watoto wangu na wote ninaowasaidia wagonjwa, yatima na maskini, Mungu nisaidie niwe na hatma nzuri ya maisha yangu na nipate kibali chako

  • @WinnyMmbaga
    @WinnyMmbaga Před 12 dny

    YESU kirto naomba uyasikie maombi yangu unisaidie niyashinde majaribu yadunia nilnde mm nafamilia yangu yoyote ana niwazia mabaya ane nisingizia kuwa Mimi nimchawi mungu vikamgeukie mwenyewe wewe wanijua jinalako liinuliwe Ameen

  • @WinnyMmbaga
    @WinnyMmbaga Před 12 dny

    Baba warehema hitaji langu kwako ni mzaliwa wangu wakwanza anateswa na ulevi ulio mpelekea Hadi kufukuzwa kazi Hana makazi anaishi kama ndege mungu umsaidieAmeeni

  • @pacificshuli5415
    @pacificshuli5415 Před 9 měsíci +2

    Goodmrng, Madhabaoni ya siri za Biblia
    "I want to be like Jesus christ inner my heart oh holy spirit take more of me and give me more of your holiness, love, goodness, kindness, fatherlyhood, mercy....
    Your are a Unique Almighty God, open our heart to knw you better oh my lord God, locate me in your mercy and your favor we're victorious having you my God on my side
    Thank you Jesus christ for the salvation of our souls and lives ❤❤❤🙏🙏🙏🙌🙌👏💯💯

  • @judithmasawe5768
    @judithmasawe5768 Před 11 dny

    Bwan yesu asifiwe mchungaji naomba uniombee mama na family yangu naomba mdogo wangu Denison aweze kuajiliwa jeshin naomba ufungue family yangu roho ya kushundwa ,roho zakuto pata kazi naomba uniombee mchungaji Amin

  • @SafoBuke
    @SafoBuke Před měsícem

    Ehe mola wangu, ninaekuabudu usiku na mchana, naomba unitoe kwenye giza nene la madeni, na niweze kumaliza nyumba yangu iliyoshindikana kumalizika, na nakuomba umjalie mwanangu aweze kusoma vizuri katika masomo yake, ameen

  • @velonicacharles-6124
    @velonicacharles-6124 Před měsícem

    Ee Mwenyezi Mungu asante kwa kuniungamanisha kwa maombi naomba damu ya mwanao Yesu kristo ikawafunike familiya yangu ikavinje hila za maadui baba naomba wanangu wakarudi kwenye ndoa zao baba

  • @sharonafica1470
    @sharonafica1470 Před 2 měsíci

    Nakupata vzr,naomba mungu anifungue mimi pamoja na familia yangu mungu tuponye magonjwa tunaomba ulinzi wako nahitaji maisha mapya eeeh mungu wangu....anglia moyo wangu

  • @elizabethmaturino705
    @elizabethmaturino705 Před 2 měsíci

    Mungu ninaomba unijaze roho wako mtatifu Zaid nina kiu nawe pia naomba baraka zako katka kaz yangu nipate wateja katika Jina la Yesu AMEN.

  • @juliethfrancis6170
    @juliethfrancis6170 Před měsícem

    Leo nina Imani kabisa nitashinda katika mapito haya… yakusingiziwa juu yangu naomba Neema yako….Amini

  • @emmanuelamaleo
    @emmanuelamaleo Před 9 měsíci +2

    Baba wa mbinguni naomba uibariki ndoa yangu, mlinde mume wangu, mlinde na mwanangu, uibariki familia yangu kwa jina la Yesu Kristo. Napokea

  • @ElizaAmisa
    @ElizaAmisa Před měsícem

    Natakata mungunanisaidie nizahe vozuri Bila upasuaji na Itaji mungu anisaidie nipatekazi maumivu yatumbo yanihondoke kabisa namuone pia dada yangu amponye machoyake Yana muwasha nakuuma kwajina layesu kwristo anisaidie nipate kazi kwajinalayesukristo amen

  • @WinnyMwenda-dx4cu
    @WinnyMwenda-dx4cu Před 9 měsíci

    Amen 🙏🙏naomba mungu unikumbuke ktk hitaji langu la kutafuta kazi pamoja unitete ktk ndoa ninayoiingia maana maadui wamesimama kunitenganisha n mchumba wangu kwa maneno ya uongo mungu naomba unisaidie kupitia madhabahu hii 🙏

  • @amanalengaiobedi
    @amanalengaiobedi Před 19 dny

    Naomba mafanikio ktk familia na upendo pia madeni yaishe pia kulipwa stahiki za alizofa ya kazi Mungu fungua milango ilya mafanikio ifunguke ,afya njema,amani itawale, Mungu abadili maisha naamini kwakohakuna linalo shindikana baba mtendee mme wangu mtoto wangu mjukuu watoto wajukuu ndg zangu natama I kupata nguvumpya

  • @GaspardNdayiragije
    @GaspardNdayiragije Před měsícem

    Mungu nipe bahati ya kupata pesa iri niripe madeni yote unipe bahati kazini uniepushe napombe nakuweza kua na akiba unirinde kuzurumiwa Tena amen😢

  • @NorahLugongo
    @NorahLugongo Před 19 dny

    Yesu wangu naomba nipate hela kwa miujiza yako popote pale leo nipate kulipa madeni yangu ambayo yananikosesha Amani. katika jina la Yesu

  • @AminaElMmanyi
    @AminaElMmanyi Před měsícem

    Ee Mungu naomba uibariki biashara yang,naomba pia Mungu Wang niingie kwenye ndoa takatifu,Mungu nawaombea watoto wangu wapate kaz na pia waondolee roho ya kukataliwa,naomba Kwa ajili ya ndugu zang Ee Mungu tuondolee roho ya magomvi tupe upendo wa kweli🙏🙏

  • @NaomiBahat-bz6ri
    @NaomiBahat-bz6ri Před 2 měsíci

    Eeee Mungu naomba uweze kunionyesha mume sahihi kwangu pia unifungurie mirango ya mafanikio yangu pia unirindie mwanangu kwa kira hari Mungu kwa jina la yesu kristo amen

  • @Blackafrika861
    @Blackafrika861 Před 21 dnem

    Mungu nisaidie nifaulu mitihani yangu, nisaidie Mungu niolewe na mwanaume aliyetoka kwako, Mungu nisaidie furaha na amani, pia Mungu nisaidie katika uchumi wangu🙏🏽

  • @tunuhaji
    @tunuhaji Před 2 měsíci

    Sharom mtumishi wa mungu naomba nisaidie tuombe kuusu biashara yangu nisaidie kuomba pamoja naitaji kuiamisha niamie sehemu nyengine kwa maombi haya ikatimie ameen 🙏

  • @RayaHawa-w1z
    @RayaHawa-w1z Před 3 dny

    mungu anishimamiye mukazi yangu na mungu anifanikishe kwakila hatuwa nitakayo piga na mungu anipatiye mwisho mzuri kuliko mwanzo.

  • @user-ft9id2rs8v
    @user-ft9id2rs8v Před 14 dny

    Ee Mungu unajuwa mmatatizo ya nyumba ya ngu,nipe kibali ndani mji ambao nîme ingia amo leo,.fungula kazi yangu n'a ya Papa.Mungu Ani nyanganyie vitu vyangu ambao vilipotelea ndani ya uyu mji

  • @EbengoMnene
    @EbengoMnene Před 5 dny

    Naomba kwamungu anisaidie kwajili ya Familia yangu na kwa upande wangu aingie ndani ya moyo wangu ilikuniongeza siku zote za maisha yangu anipe moyo wa upole kwakuwa kila Mara mimi ni wa Asira kila nikifanya hiki hakiendi mpaka Kuna mda nashindwa chakufanya
    Nafika Mahali nakata Tamaa
    Lakini yalio shindikana kwa wanadamu kwa Mungu yanawezekana

  • @faigel
    @faigel Před měsícem

    Mungu naomba msaada wako katika afya yangu na ndoa yangu na pia katika ulimwengu wa ndoto,pia mungu naomba uniondolee roho ya hofu baya,,ee mwenyezi mungu nisaidie🙏🙏

  • @user-gt9tg2ir3k
    @user-gt9tg2ir3k Před 3 měsíci

    Nataka mungu anisaidiye asikiye maitaji yangu namimi anisaidiye anipe ekima naguvu yakushinda majarimbu ❤ayodio maitaji yangu kwamungu namini mungu yupo mahalipote atatenda maitaji Yetu yakilasiku 🙏 Soma ZABURI 117:2nina imani mungu atajimbu maombi Yetu 👏 yakilasiku 🙏 mungu nimuweza wayote

  • @LameckNjole
    @LameckNjole Před 10 dny

    Nakupata vizuri naomba haja yangu Mungu aniongezee uchumi nisaidie watu wengine wenye mahitaji

  • @uwimbabaziesperance8478
    @uwimbabaziesperance8478 Před měsícem

    BWANA Yesu,naomba unipiganie,naomba unijibu maombi yangu Bwana ❤❤

  • @user-kd1io7on6z
    @user-kd1io7on6z Před 9 měsíci +1

    Mungu anibariki nichaguliwe na mimi nipate vizza ya U.S na anibariki niweze kujenga nyumba,awaongoze walinde watoto wangu usiku na mchana🙏

  • @Africanah100
    @Africanah100 Před 22 dny

    Eeeh mungu mwenyezi naomba ulizi juu ya maisha yangu pamoja na watoto wangu nimeangaika ya kutosha naomba upigane nao wanao pigana nami ninaomba ulifungulie njia nipate kumjengea mama yangu nyumba mungu naomba unikumbuke na mimi nimechoka na mangaiko

  • @SmilingArcade-xj7zg
    @SmilingArcade-xj7zg Před měsícem

    Emungu wangu naomba unisaidiee pia naomba uniongoze katika maisha yangu yotee ili nisikutendee dhambi mungu nisaidie bila wewe siwezi asante mungu kwa yotee 🙏🙏

  • @hannyjohn6392
    @hannyjohn6392 Před 9 měsíci

    Naomba Mungu anifungue mimi na mama yangu na atuponye maradhi atushibishe jwa miaka mingi sawa sawa na Zaburi 91

  • @velonicacharles-6124
    @velonicacharles-6124 Před měsícem

    Mungu naomba ukamfungue mtu ambae ninamdai hela yangu nyingi aweze kunilipa kwa uwezo wako baba na shukuru baba kwa neema zako baba na nguvu zako baba ukaniomgoze katika safari yangu niende salama na nifike salama baba

  • @marthakimati8913
    @marthakimati8913 Před měsícem

    Naomba Mungu akumbuke watoto wangu wapewe ulinzi kwenye Maisha yao wawe wanamtumania Mungu kwa kila jambo.

  • @HeriethKichumu
    @HeriethKichumu Před měsícem

    Mungu wangu nashukuru kwa amani na riziki unazonijalia kila siku kwenye Misha yangu,naomba Nuru iongezeke katika biashara yangu wateja waongezeke

  • @anniemwakampya704
    @anniemwakampya704 Před 3 měsíci

    Yesu anisaidie ndoa yangu iwe na amani na tupendane sana na kuchukuliana madhaifu yetu. Mungu anisaidie nimalize deni na pia biashara yangu ikuwee

  • @user-xm5bl5xd8p
    @user-xm5bl5xd8p Před měsícem

    Mungu naomba kwa ajili ya familia yangu uwape furaha na upendo na uwakutanishe wote wawe pamoja kwa ajili ya brother yangu naomba umpatilishe kwa yale anatenda na umwaipishe shetani katika maisha yetu siku ya leo naomba uyatende ...........na unifungulie njia za kupata na biashara

  • @FredericovalentiBanda
    @FredericovalentiBanda Před měsícem

    Naitaj nipoke simo zakunipa mradi na watu saihi kwa jina la yesu Amen 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏

  • @judithmasawe5768
    @judithmasawe5768 Před 11 dny

    Naomba unipe kibali nikubalike na boss wangu naomba na biashara yangu ikuwe naomba family yangu tuweze kulipa madeni yote yaishe kwa jina la yesu mungu naomba unipe mume sahihi naomba nilindie watoto wangu roho za magonjwa zishindwe

  • @user-xn3vq1gq3p
    @user-xn3vq1gq3p Před 2 měsíci

    Mungu fungua mlango wa kufinguliwa kiuchumi, hasa niweze kuanzisha kazi ya kufuga nguruwe, na mgonjwa ya familia yao doke Kwa Baba ile figo, na Mdogo wangu Agostino na mkewe Mungu kawaponye Sasa imetosha na uwasamehe makosa yao

  • @zawadiz482
    @zawadiz482 Před měsícem

    Yes wangu naomba unibariki nishinde majaribu ya dunia tizma waona nizunguka wananisubiri ni anguko langu familia yangu bwana yesu nishinde mkono usiache bwana mm niko na shida pastor ya kichwa cha nisubuwa kweli cha tamba mududu hata kulala ni shida naomba uniombe pastor

  • @user-yr2jr8wt6f
    @user-yr2jr8wt6f Před 9 měsíci +1

    Mungu aniponye jino linaniuma sana ugongwa wa meno naukataa kwa kizazi changu chote mungu anifanikishe nijifungue salama mungu aionekanie ndoa yangu ikawe na amani na furaha watoto wngu wakafunguliwe shuleni akawape uelewa vema mungu aniepushe na mawazo mabaya nayakataa hata kwa kizazi changu mungu akamwonekanie mume wangu akalipe madeni ya watu asiwe wakudaiwa mungu aniandalie biashara yakufanya nisiwe wakukaa bola kazi mungu akaguse kwenye ukoo wa baba yangu. Mungu akawaguse wazazi wangu wakawe na amanj na upendo wametengana ila mungu akawaunganishe mungu atuwezeshe tumalizie nyumba yetu.

  • @alpq-sx6sr
    @alpq-sx6sr Před 9 měsíci +1

    Mungu wangu naomba ubariki ndoa yangu ikawe ndoa YA furaha 🙏🙏🙌

  • @user-os6pi2fd2c
    @user-os6pi2fd2c Před měsícem

    Yesu mim nimechoka kufanya kazi bila mishahara, uciku wa leo nikumbuke yesu, kaifungue milango yangu 😭 😭🙏🙏🙏🙏🙏

  • @SesiliaIlanda-kk2ef
    @SesiliaIlanda-kk2ef Před 2 měsíci

    Nipone kisukari, nifunge ndoa na kuishi maisha ya kukupendeza wewe Mungu,watoto wangu wabarikiwe, Nikujue Mungu, niwe na Amani, Nijalie moyo wa shukrani

  • @beatricenyiro5913
    @beatricenyiro5913 Před měsícem

    Mungu wangu waponye watoto wangu mmoja ana fibroids na mwingine kichwa kinauma sana migraine, pia mjukuu wangu
    Family yangu tukombolewe katika laana ya ukoo

  • @NajmaSaid-u3k
    @NajmaSaid-u3k Před 9 dny

    Mungu wangu naomba unitoe kitu kibaya kilichpo kwenye mwili wangu niweze kupata ndoa familia nzuli

  • @teresiaemmanuelmswamwajuma2464

    EE Mungu Wangu Wangu naomba unifunulia chenye kinaandele kwenye kazi yagu Kwa ajali Kuna Hali Sio za kawaida 🤲

  • @faigel
    @faigel Před měsícem

    Mungu nipiganie nimekuwa mtumwa wa ndoto baya,,nmekuwa mtu wakujiwazia mabaya,, nimekosa hamu ya tendo la ndoa mungu wangu😢nmekua mtu wa kukauka uke hdi nakosa raha ya ndoa😭😭mungu naomba uponyaji kutoka kwako🙏🙏🙏

  • @SophiaNasibu
    @SophiaNasibu Před 20 dny

    Naomba mungu afungue milango ya ofisi yangu ya kiwode.tunalipa CODI pesa hakuna.watoto hawana kazi.madeni.huduma yangu nyumba yangu haeleweki.naomba kubari baba okoa familia yangu.mungu nisaidie.naitwa Anjelina Toka kigoma.

  • @Ney01-vd7mk
    @Ney01-vd7mk Před měsícem

    Naomba unsaidi kuomba juu ya watoto wangu wapapte ajira na kuwa karibu naMungu na kuponya wanougua nami kulipa madeni nakuskia vizuri sana ubarikwe mtumishi

  • @FredericovalentiBanda
    @FredericovalentiBanda Před měsícem

    Naitaj ulinzi ktka mwenendo WA maisha yangu kwa jina la yesu Amen 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏🙏🙏

  • @user-ld1uj2gz4z
    @user-ld1uj2gz4z Před 3 měsíci

    Mungu aniumbie roho mupya,aniwezeshe kuishi maisha matakatifu kwa jina la Yesu

  • @RAHELMSELUKWA
    @RAHELMSELUKWA Před dnem

    Mungu.aniponye.ugonjwa.wangu.na.anionekanie.kwa.watoto.wangu.abadilishe.hItalian.yangu

  • @ZawadiMbatta-lt3yh
    @ZawadiMbatta-lt3yh Před 9 měsíci +1

    Ee Mungu wangu namuweka Mume wangu mbali na uyo mwanamke anaetaka kuivunja amani ya ndoa yangu,nawasambaratisha kwa jina la Yesu, namseta kuzimu uyo mwanamke,Ee Mungu aka ifanye ndoa yangu kuwa ndoa yenye amani na upendo,wafunike watoto wangu wa kiume,funika wazazi na ndugu yangu,bariki uchumi wetu ukanipe kibari kwenye biashara zangu, bariki kazi ya Mume wangu,usiniache Baba, nisaidie kukamilisha ujenzi wangu simama mwenyewe Baba yangu,nipe afya njema utukufu ni wako Bwana

  • @user-xd2gi7hu1o
    @user-xd2gi7hu1o Před 22 dny

    Mungu aniondolee mangonjwa sugu pamoja na watoto wangu kuota nikilishwa manyama ,samaki.maroho za upizani,uchawi laana,umasikini,nuksi mungu niurumie naomba

  • @hamalz
    @hamalz Před měsícem

    Mungu anirejeshe kwenye njia nilikua nikiomba sasa sina iyo nguvu tena mungu anitie nguvu tena naomba kwa jina lake anirehemu

  • @RemmyEdward
    @RemmyEdward Před 20 dny

    Mungu naomba unifungulie mambo yote yanayoendelea kwenye ndoa yang..naombea watoto wangu awaepushe na vifungo vyote ..nafuta kaulizote mbaya zilizotamkwa juu yangu na watoto wangu..

  • @gloriaandrew8806
    @gloriaandrew8806 Před 25 dny

    Naomba Kibali, neema na Baraka za Mungu katika kila eneo la maisha yangu, kazini kwangu, kwenye ndoa mwenza wangu asikawie namngoja Mungu amlete, kwenye biashara zangu naomba ongezeko kubwa kufunguliwa kiuchumi, naomba ulinzi wa Mungu kwangu na Mwanangu. Naomba Mungu aweke nguvu mpya na kunisaidia katika kila udhaifu wangu, yaliyoshindikana huko nyuma yote katika maisha yangu yote yawezekane sasa. Uwepo Wa Mungu usinipungukie Mimi na Mwanangu na damu ya Yesu isimame initetee kila mahali jina langu linapoonekana na linapotajwa

  • @mwasitieliasa7346
    @mwasitieliasa7346 Před 3 měsíci

    Naomba mungu aniondolee usingle mother nilionao nahitaji mume mwema wa maisha yang awe anamjua mungu ajue wajibu wake awe mweny kujielewa kiakili napokea kubarikiwa

  • @karimathchantilal6565
    @karimathchantilal6565 Před 9 měsíci +1

    Mungu afunguwe milango ya afya, kazi, ndoa, masikilizano kwenye familiya

  • @user-fh8ri5qy2g
    @user-fh8ri5qy2g Před 8 měsíci

    Mungu nakuomba unipe ushidi wagushinda kira dhambi majalibu niw mutulivu unikosheshe nguvu zakujibu waliyo nisema vibaya ata namasikio yakuwasikia uyafunge nibaki naneno lako rila time niw nanyimbo zakuabudu your name thanks my God nigupitia uwezo wako yesu imanweli amen Amen ❤❤❤❤

  • @mariagodfrey2341
    @mariagodfrey2341 Před 15 dny

    Ninakupata vizuri Niko sumbawanga ninakuomba mungu uniombee Mimi na familia yangu

  • @LwambanoRehema
    @LwambanoRehema Před 8 měsíci

    Mungu naomba.watoto wangu ufahm wao shuleni.nami pia nipate ndoa na kazini nibali sehemu moja

  • @tinahtinash6160
    @tinahtinash6160 Před 9 měsíci +2

    Amen 🙏🙏 nikumbuke yesu mahali nafanya kazi usiniache yesu wangu pekeangu sitaweza nipee nguvu mungu wangu nakuhitji kumbuka familiar yangu kwa kila changamoto za maisha 😢

  • @thomasmuindi3276
    @thomasmuindi3276 Před 8 měsíci

    Mungu nisaidie ili kumaliza mradi wangu,,fungua mipaka yangu eee yesu nisaidi nitimize malengo yangu.Fungua milango katika biashara yangu.Thank you Jesus because i believe in you

    • @SesiliaStephano
      @SesiliaStephano Před 6 měsíci

      Mungu wa siri za biblia nataka watoto wangu wapate kibali kila mahali.

  • @KabibiMure
    @KabibiMure Před 9 měsíci

    Mathabahu ya achawi inanitesa saana mungu ni shuhulikia na kusihi babaa Ee Mungu wangu

  • @furahamichael6047
    @furahamichael6047 Před měsícem

    Mungu naomba juni kumbuke mchezo wangu nnao ucheza wakupokea milioni 15 ndani ya miezi mi nne naomba unikumbuke nikamilishe amina

  • @lindachaky6763
    @lindachaky6763 Před měsícem

    Mwenyezi Mungu ninue katika nyakati zote iwe giza au Mwanga Mwenyezi Mungu simama nami.

  • @user-oe1cg6tw7y
    @user-oe1cg6tw7y Před 9 měsíci +1

    Nakupata vzr nipo congo lkn nakusikia safi namuomba mungu usiku wa Leo mungu aondoe vizuizi vyovyote vinvyoweza nizua

  • @FredericovalentiBanda
    @FredericovalentiBanda Před měsícem

    Naitaj kupandishwa cheo tarhe 24 ya mwezi huuu na kulipwa pesa zangu zote na kufunguliwa kiuchumi kwazia sasaivi kwa jina la yesu Amen 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🙏 🙏🙏

  • @user-dg3si3rx1r
    @user-dg3si3rx1r Před 2 měsíci

    Mungu baba naomba ushugulike naku ingiliya Kati mafanyikiyo yangu naku ondowa roho ya mapo oza ingiliya Pia ndowa yangu kwa jina la Yesu Christo wa Nazareth

  • @JulitaAndrea-nu6pz
    @JulitaAndrea-nu6pz Před 9 měsíci

    Mungu msaidie Mjukuu wangu aliyeoko chuo ,aweze kupata mkopo na awe kichwa asiwe mkia tena

  • @EdwinNkwendela-r6j
    @EdwinNkwendela-r6j Před 19 dny

    Bwana asifiwe Mimi ninapotaka kufanikiwa kwa kila Jambo napatwa Na mitihani mingiinajitokeza hata tukiwa wawali mwenzangu anafanikiwa lakini Mimi naambiwa siku nyingine kila wakatijambo hili hujitokeza naomba mungu wa Ibrahim yetu anikumbuke amina jina language ni ibrahim

  • @JulitaAndrea-nu6pz
    @JulitaAndrea-nu6pz Před 9 měsíci

    Mungu naba nyumba nzuri ,niweze kitoka katika hili gofu ,naomba kibali ya kuuza hili eneo niweze kujenga nyba nzuri

  • @RayaHawa-w1z
    @RayaHawa-w1z Před 3 dny

    Amen naitaji mungu atulinde mimi na watoto wangu

  • @rosettenyandwi6334
    @rosettenyandwi6334 Před 9 měsíci

    Mungu aniondoleye roho zakiisliam zinazo nifwata nima sijawahi kuwa muisilam na wala familiya yangu hakuna muisilamu Mungu aniondolee balaa hiyo. Isinifuate tena katika jina la Yesu and