UNAPOCHOKA,NANI ANAKUBEBA KATIKA MAOMBI?? // MUHIMU SANA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 08. 2024
  • MATENDO 12
    1 Karibu wakati huohuo, mfalme Herode alianza kuwatesa baadhi ya Wakristo.
    2 Alimuua kwa upanga Yakobo, ndugu yake Yohane.
    3 Alipoona kuwa kitendo hicho kiliwapendeza Wayahudi, aliendelea, akamkamata Petro. (Hiyo ilifanyika wakati wa sikukuu ya mikate isiyotiwa chachu).
    4 Baada ya kutiwa nguvuni, Petro alifungwa gerezani, akawekwa chini ya ulinzi wa vikundi vinne vya askari wannewanne. Herode alikusudia kumtoa hadharani baada ya sikukuu ya Pasaka.
    5 Basi, Petro alipokuwa gerezani, kanisa lilikuwa linamwombea kwa Mungu kwa moyo.
    Malaika anamtoa Petro gerezani
    6 Usiku, kabla ya siku ile ambayo Herode angemtoa Petro hadharani, Petro alikuwa amelala kati ya askari wawili. Alikuwa amefungwa minyororo miwili, na walinzi walikuwa wanalinda lango la gereza.
    7 Ghafla, malaika wa Bwana akasimama karibu naye na mwanga ukaangaza kile chumba cha gereza. Malaika akamgusa ubavuni akamwamsha akisema, “Ondoka upesi!” Mara ile minyororo iliyomfunga mikono ikakatika na kuanguka chini.
    8 Malaika akamwambia, “Jifunge mshipi wako, vaa viatu vyako.” Akafanya hivyo. Kisha huyo malaika akamwambia, “Vaa koti lako, unifuate.”
    9 Petro akamfuata nje lakini hakujua kama hayo yaliyofanywa na huyo malaika yalikuwa ya kweli; alidhani alikuwa anaota ndoto.
    10 Walipita kituo cha kwanza cha ulinzi na cha pili, halafu wakafika kwenye mlango wa chuma wa kuingilia mjini. Huo mlango ukawafungukia wenyewe, nao wakatoka nje. Wakawa wanatembea katika barabara moja na mara yule malaika akamwacha Petro peke yake.
    11 Hapo ndipo Petro alipotambua yaliyotukia, akasema, “Sasa najua kwa hakika kwamba Bwana amemtuma malaika wake akaniokoa mikononi mwa Herode na kutoka katika mambo yale yote watu wa Israeli waliyotazamia.”
    Maarifa ya Ki-Mungu
    @SIRI ZA BIBLIA
    www.sirizabiblia.com
    +255 758 708 804
    linktr.ee/siri...
    Instagram Account
    / siri_za_biblia
    SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
    M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
    CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI

Komentáře • 2,4K

  • @hamidarose9019
    @hamidarose9019 Před 3 měsíci +11

    Bwana yesu asifiwe mtumishi , hakika wewe umetumwa na roho wa mungu , mungu aendelee kunipa kibali cha kuweza kukusikiliza , kwan moyo wangu umechoka sana , nipo ktk gereza lisiloelezeka , naomba msaada wako mtumishi , nazizidi kudidimia kiuchumi , kila nikifanyacho hakuna nachofanikiwa , mm ni wamagonjwa kila kukikucha , roho za kichawi zimenizonga kila sehemu ya maisha yangu , niokoe kwenye hili gereza 🙏🙏

    • @LatifaShabani-jl8ew
      @LatifaShabani-jl8ew Před 2 měsíci

      Najua nmechelewa kupata haya main ila nime niko kwenyechangamoto ya familia tangu changamoto ya chini mshikaji kabsa mtu wa kukushika mkononi nmebanwa kwenye kona kabisa

    • @LatifaShabani-jl8ew
      @LatifaShabani-jl8ew Před 2 měsíci

      Naomba uongee na mm kwa kina

  • @maryamsylivester8662
    @maryamsylivester8662 Před rokem +65

    Sina chaguo Naamini umeomba Mengi kwa Ajili yangu kwaniliyokuwa nikiyapitia😭😢 maana Imani yangu Inaniambia Tayari Mungu Amemtuma Malaika wake kwa Ajili yangu Utunzwe na Bwana Yesu Mtumishi wa Mungu Na Ubarikiwe sana Na nitarudi kwaajili ya Ushuhuda kwaatakayoyatenda kwangu 🙏🙏🙏

    • @harrietmukhemba7680
      @harrietmukhemba7680 Před rokem

      Amen Amen ubarikiwe sana mutumishi wa mungu

    • @renfridakomba7499
      @renfridakomba7499 Před rokem +2

      Bwana Yesu asifiwe, nipo ktk mahusiano ambayo sio sahihi ila nashindwa kutoka naomba niombee niweze kutoka

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Před rokem +1

      ​​@@renfridakomba7499
      Omba Toba kwa kuingia kwenye hayo mahusiano
      Halafu Anza kujitoa Kwa kutumia damu ya Yesu, FUTA Kwa damu ya Yesu km umeingizwa kwenye maagano yyt usiyoyajua
      Zaburi 51,Isaya 1:18......tubu
      Halafu Kiri ,sema nafutaa Kwa damu ya Yesu haya mahusiano

    • @leontinaaugustine4337
      @leontinaaugustine4337 Před rokem +1

      Mtumishi naomba maombi Kwa ajili ya changamoto yandoa nimarayakwanza kutuma ombihili la ndoa nilikuwanikiomba nawewekupitia yutyubu naomba msaada Kwa hili

    • @peninabensonpen870
      @peninabensonpen870 Před rokem +1

      Bwana yesu asifiwe mtumishi wa Mungu roho ya talaka iondoke kwa familia yetu niombee mtumishi wa Mungu

  • @KombeJustine
    @KombeJustine Před 14 dny +2

    Praise the Lord! Ninahitaji maombi yako mtumishi wa Mungu

  • @AnnaChambo-m4c
    @AnnaChambo-m4c Před 2 dny +1

    Asante mtumishi, namshukuru Mungu kuniunganisha katika madhabahu hii amen

  • @termankalendo1439
    @termankalendo1439 Před rokem +10

    Nawapenda sana watumishi wamungu.munatutia moyo kila wakati God bless you always

    • @ElinuruKaaya-fz1vi
      @ElinuruKaaya-fz1vi Před 3 měsíci

      Asante nashukuru kwa maombi y jioni hii yameribiki sana ubarikiwe

  • @bitihaywajean3563
    @bitihaywajean3563 Před rokem +8

    Amen mtu wa Mungu, kwa Imani yote yawezekana

  • @leahezekia7497
    @leahezekia7497 Před 25 dny

    Asante MUNGU kwaajili yako mtumishi MUNGU azidi kukutumia kwaajili yetu,naelewa nalinganisha wakati ninao upitia MUNGU anikumbuke 😭😭

  • @user-xf8jd3kt3t
    @user-xf8jd3kt3t Před 11 dny

    Bwana Yesu asifiwe Mtumishi Mungu, nashukuru kwa hayo maarifa ya neno. Naamini Mungu nami anaenda kunitoa katika gereza mateso

  • @user-oe1cg6tw7y
    @user-oe1cg6tw7y Před 8 měsíci +3

    Ni kweli mtumishi wangu unaloongea baba Mimi naitajtaji mtu aniombee kweli kanisa Asante Kwa roho mtakatifu amen

  • @kawirajoseph8910
    @kawirajoseph8910 Před rokem +7

    Mimi ni mjane bwana amekufa juzi nafanya kazi Kwa nguvu dio watoto wangu wasilale badala nihinuke katika kibiasara ina zorota tuu niombee nitoke katika umaskini Amen

    • @AliceBarasa-ko9ul
      @AliceBarasa-ko9ul Před 4 měsíci

      Bwana asifiwe pst ni Alice mim mmoja ninaye pitia mambo mengi sana Sina ndoa usiku silali mchungaji naomba uniweke kwa maombi

    • @DeusdeditMathias
      @DeusdeditMathias Před měsícem

      ​@@AliceBarasa-ko9ulMungu akujibu kwa wakati wake

  • @ZuenaMsuya-ub8wq
    @ZuenaMsuya-ub8wq Před dnem +1

    Bwana asifiwe🙏, naomba nisaidie kimaombi kutoka kwenye gerezan la umaskin na maden,mtume maden ni mengi,sana mtume😭😭🙏nisaidie baba

  • @jacintakiloko
    @jacintakiloko Před měsícem +1

    Bwana yesu asifiwe mtumish wa mungu naombo unishike na maombi kwa ndoa yangu na kwa KAZI yangu na kwa watoto wangu na familia yangu na kwa kuomba unishike mono Amen.

  • @Mr.HassanHussen
    @Mr.HassanHussen Před 4 měsíci +3

    Mimi nataka Mungu anisaidie kuiokoa familia yangu ilio katika maisha magumu na vita vya waovu amina🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mercychesang9749
    @mercychesang9749 Před rokem +5

    Nakusia nikiwa Saudi Arabia nashukuru kwa mafunzo Yako umenifuza mengi mungu hakubariki sana mtumishi wa mungu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @evelinakungi2854
    @evelinakungi2854 Před 19 dny

    Amen napokea uchumi mzuri,kupata mwenza sahihi, familia yangu ikafunguliwe kwenye vifungo vya umasikini, vifungo vya kutoolewa, vifungo vya kukataliwa, vifungo vya unzinzi, vifungo vya ulevi KATIKA JINA LA YESU AMEN

  • @user-lu4ie4fp1o
    @user-lu4ie4fp1o Před 13 hodinami

    Mtumishi Umekuwa baraka katika maisha yangu me napita sana katika gereza la magonjwa Mungu anikumbuke leo

  • @zedrickwanjaza5263
    @zedrickwanjaza5263 Před rokem +6

    Mtumishi wa mungu akika umeiguza moyo wangu ni zedrick kutoka western Kenya

  • @edithaabel7858
    @edithaabel7858 Před rokem +6

    Asante mtumishi wa Mungu hakika neno hili limeyagusa maisha yangu, nami nimepokea maombezi haya na asante sana Mungu akubariki na madhabahu hii idumu daima katika kutukomboa🤲🙏

  • @HhMm-w3l
    @HhMm-w3l Před měsícem

    Amen mtumishi wa mungu naitaji nisaidie kwa maombi

  • @Mwx-zd4ov
    @Mwx-zd4ov Před měsícem

    Amen niombee mtumishi wa mungu nipate nguvu ya maombi

  • @herielizakayonyari71
    @herielizakayonyari71 Před rokem +4

    Amen .Amen nashukuru kwa Mungu anavyoktumia tunapata ufaammu wa nano la Mungu na maarifa na nguvu iliyomo ndani ya nani la Mungu 37:41 37:41

  • @mariabasso7466
    @mariabasso7466 Před rokem +5

    Bwana yesu asifiwe mtumishi naomba uniombee mambo yangu yamefungwa kila nitakachokifanya hakionekani,na natamani mungu anijalie mume wangu nifunge ndoa

  • @Victoria-bv6xu
    @Victoria-bv6xu Před 12 dny

    Nimepokea msimu mpya wa kucheko kipya tena Amina💞😘👏 God bless prophet 😘

  • @agnessmwasumbi4965
    @agnessmwasumbi4965 Před 18 dny

    Bwana Yesu asifiwe, mahitaji mtu atakayenibeba kwenye maombi napitia changamoto ya kutopiga hatua kwenye maisha yangu, masomo ya watoto wangu

  • @dativaoscar2723
    @dativaoscar2723 Před rokem +3

    Ameen ameen ameen Ubarikiwe sana, Sina la kusema zaidi ya uweza wake Mungu 🙏🙏🙏🙏

  • @furahazero6559
    @furahazero6559 Před rokem +4

    Acha Mungu anifungulie njia nyepesi nitoke hapa EE Mungu wayakobo Niko mbele Zako msalabani Na nyenyekea unitangulie unifinike Na damu ya mwanao yesu Christo Amen

    • @omegashuma6584
      @omegashuma6584 Před rokem

      Nimimi mtumishi nipo chini sana kiuchumi nahotaji mtu anibebe kiroho

    • @victorwesamba2520
      @victorwesamba2520 Před rokem

      😢😢😢😢😢😢😢 Mungu nikumbuke na family yangu roho yavumasikini nimekataa roho ya ugovi Kwa mausianovyangu aut😢😢😢

  • @zakayomwashilindi-cf5kh
    @zakayomwashilindi-cf5kh Před 21 dnem

    Barikiwa mtumishi wa Mungu hakika Mungu ni mwema kila siku Mungu akuongezee mwaka 10000000 ❤❤❤❤

  • @Stellanovatus751
    @Stellanovatus751 Před 12 dny

    Nipo katika gereza ma nguvu zagiza limeharibu maisha yangu kazi mahusiano mgonjwa kukosa Amani kujikataa nakukataliwa Sina msaada isipokuwa Mungu pekee🙌🙌

  • @rodahshikhaya8628
    @rodahshikhaya8628 Před rokem +3

    Ndoa familia imesambaratika kabisa, naitaji mtu wa kusimama na mimi kwa jina la yesu amen. Rodah from Kenya.

    • @FaustaShirima
      @FaustaShirima Před rokem +1

      Mungu ndio kimbilio nanguvu rodah nami nautwa fausta shirima kutoka Arusha Tanzania nitakua naww katika maomb Mungu atarejesha furaha yako na Aman yako itarejea

    • @rodahshikhaya8628
      @rodahshikhaya8628 Před rokem +1

      @@FaustaShirima Amen

  • @monicamgwasa
    @monicamgwasa Před 6 dny

    Amina mchungaji Mungu azidi kukubari umebarikiwa uzidi kubarikiwa natamani niwe mwombaji wa viwango vya juu Nisaidie kuniombea

  • @elizabethwanjiru9543
    @elizabethwanjiru9543 Před 2 měsíci

    Baba watoto wangu kwa ajiri ya kazi pastor unanibariki sama

  • @user-qc1bk5zn8w
    @user-qc1bk5zn8w Před rokem +4

    Thank you Lord

  • @aksamsemwa5302
    @aksamsemwa5302 Před rokem +4

    Ameeen napokea uchumi mzuri, elimu, watoto, afya njema, kwa jina la Yesu

    • @lilianmagava6854
      @lilianmagava6854 Před rokem

      Mungu anitoe kwenye magumu ninayopitia

    • @zawadsimon7940
      @zawadsimon7940 Před rokem

      Eemungu nakuomb uniepushe n watu wabay kwenyefamiliy yang amina

    • @lidyanapegwa8154
      @lidyanapegwa8154 Před rokem

      Ni kweli kabisa nahitaji mtu atakayenisaidia juu ya Afya yangu na afya za familia yangu

    • @lidyanapegwa8154
      @lidyanapegwa8154 Před rokem

      Natamani Mungu anitie kwenye gereza la magonjwa mm pamoja na familia yangu

  • @esterminja5414
    @esterminja5414 Před měsícem

    Amen napokea mabadiko kwà jina la yesu..naimani mungu atayendo yote🙏

  • @RozinaChami
    @RozinaChami Před 27 dny

    Asante mtumishi wa MNGU tunakushukuru kwa mafundisho yako

  • @SusanAshle-zj8do
    @SusanAshle-zj8do Před rokem +3

    Hallelujah... I receive in the name of Jesus Christ...God bless you 🙏🙏

  • @adelasumaili8149
    @adelasumaili8149 Před rokem +4

    Namimi naitaji msahada wamaombi kwashida ninazo pitiya katika maisha yangu mimi nilikuwa napenda sana kusoma neno la mungu naku funga siku moja moja nakuhenda ibadani kila ifikapo Sunday lakini kwasasa Sina hamu tena yaku soma neno lamungu nakwenda ibadani amu imenitoka kabisa lakini namshukuru mungu sana kwaku kuleta wewe mtu mishi wake ambaye maombi yako inayo patiya watu nguvu zakusimama imara bila kukata tamaha naamini iposiku kwaimani yangu nita funguliwa milango Asante sana na mungu aku bariki Amina 🙏🙏🙏🙌🙌

    • @lwambamiriam586
      @lwambamiriam586 Před rokem

      Mimi ni maman miriamu Niko apa kongo naitaji maombi maisha yangu ikokatika jifungo jyagiza Mimi pamoja namume wangu

    • @adnesadnes8268
      @adnesadnes8268 Před rokem

      Amen amen

    • @adnesadnes8268
      @adnesadnes8268 Před rokem

      Hatamm nahitaji MTU wakunibeba n mefungu sana

    • @adnesadnes8268
      @adnesadnes8268 Před rokem

      N mm Mtumishi niko Lebanon napitia changamoto sana nilikuja mwezi wakumi namoja lakini bass aliye nitoa kenya akanirejesha kwa office nimekua napitia shida mm nahitaji kurudi kenya plz nmeomba sana hatanakosa chakuomba tena nahitaj msada nrudi kenya sina msada wowote naomba

    • @blandinathomas4519
      @blandinathomas4519 Před rokem

      Najua Mungu kupitia mtumishi wako, utafungua vifungo vyote katk maisha ya familia yangu na biashara yangu itakuwa kiuchumi

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před 23 dny

    Mtumishi wa Muñgu nakuelewa Sana na imetumwa kwa mpango wa Muñgu kwa sisi tunaoshindwa kujiombea vizuri mtumishi Mimi nachangamoyo nyīngi kwenye familia yangu na pia nasumbuliwa kuumwa umwa naomba unisaidie uniombee Muñgu akubariki ombea mwanangu yupo shule mkubwa yupo kazini lakini kwenye kampuni natamani apate kazi ya kudumu Asante ❤❤❤❤

  • @FlorenceObed
    @FlorenceObed Před 19 dny

    Bwana yesu asifiwe mtumishi. Naomba ukomboz wa Familia yangu biashara yangu.umaskin. Maden. Watoto wangu.

  • @dafrozasimwanza700
    @dafrozasimwanza700 Před rokem +3

    Amen mungu akuinuwe sana mtumishi wa mungu

    • @kisandosamy4924
      @kisandosamy4924 Před rokem

      Ule ni mimi lutumishi ninaitaji

    • @lindanyakile2345
      @lindanyakile2345 Před rokem

      Barikiwa mtumishi wa Mungu nahitaji mtu wa kunibeba ktk MAOMBI maana nakufa na tai shingoni sababu ya uvimbe shingoni ktk mshipa wa damu zaidi ya miaka 12 sasa na pia nimezurumiwa haki zangu zote Kwny ndoa ya miaka 25

  • @esterkimalio8846
    @esterkimalio8846 Před rokem +4

    Mtumishi uliyoyaongea yote haya ndio ninayopitia mimi, naamini kupitia maombi haya MUNGU atafanya jambo jipya kwenye maisha yangu 😭😭😭😭😭😭😭 naweza kuwa na furaha siku 2 mwezi nalia Mungu nisaidie

  • @MussashilindeLichard
    @MussashilindeLichard Před 2 měsíci

    Amin tunashukur mtumishi wa mung kwa neno hill mungu atusaidie amen mungu atufungulie milango ya amina

  • @GressGress-fd9xl
    @GressGress-fd9xl Před 2 měsíci

    Bwanayesu asifiwe mtumishi wa mungu naomba uniombee nimekuwa mtu wakuumizwa kila mausian nikifikia ndowa panatokea vurugu naitaji furah ya kutuliya na maisha mazuri nilee watoto wangu na kila nikifanyacho nifanikiwe katika kazi yangu nisaidiy mtumishi nimechoka na maisha

  • @mbusuromwita4724
    @mbusuromwita4724 Před rokem +4

    Amen naomba Mungu anitoe kwenye gereza la magonnjwa yote ktka mwili wangu na familia yetu na ukoo wetu ,gereza la madeni yasiyoisha , ,naamini Maombi haya yatafungua Kila kitu

  • @user-dq5kw4tk5n
    @user-dq5kw4tk5n Před rokem +6

    Pastor ubarikiwe sana wewe MUNGU amekutumia kusaidia maisha yangu na maisha ya wengine asante sana

  • @MarieMakiwa
    @MarieMakiwa Před měsícem

    Asente mungu kwa kunitumiya mtumishi wako kwa Jina la Yesu 🙏

  • @fridashani6562
    @fridashani6562 Před 14 dny

    Namshukuru Mungu kwa ajili yako Mtumishi wa Mungu
    Hakika nshitaji mtu atakae nineba kwenye hili pito langu 🙏😭

  • @martherteresa8108
    @martherteresa8108 Před rokem +4

    Ningependa mungu aniondolee gereza la kupendana na wanaume wa wenyewe ,anipariki na ndoa yangu mwenyewe ,anibariki na kifedha 😢🤲🙏

  • @josykogei7647
    @josykogei7647 Před rokem +4

    Natamani kufunguliwa nielewe neno la mungu pia kupokea uponyaji

  • @SesiliaMorice
    @SesiliaMorice Před 14 dny

    Natamani MUNGU amtume malaika wake kwangu ,abebee mzigo wangu nipate amani ya moyo kulingana na changamoto nilizowahi kupitia 🙏💚

  • @elishaathumanathuman16
    @elishaathumanathuman16 Před 6 měsíci

    Hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah hallelujah

  • @stevelebanon8231
    @stevelebanon8231 Před rokem +4

    Kweli kabisaa ninahitaji mtu wakunisaindia kwa maombi 😢..kwa ajiri ya doa yangu 😢🙏

  • @user-qc1bk5zn8w
    @user-qc1bk5zn8w Před rokem +3

    Nahitaji maombi mtumishi napitia magumu Ila naamini mwenyezi mungu

    • @FatumaKashindi-l3h
      @FatumaKashindi-l3h Před měsícem

      Nahitaji maombi mtumishi wa mungu napitia shida kubwa sana ya ndoa yangu nahitaji maombi mtumishi kwasasa nikombali na mume wangu naitaji msahanda wamaombi nimemuacha mume wangu naitaji halikute uko niliko naitaji mungu hanipe wepesi nifanikiwe Amina 👏👏🧎🧎

  • @loemabee3728
    @loemabee3728 Před 18 dny

    Bwana yesu asifiwe,namuhitaji Mungu katika maisha yangu, Mungu atuponye mimi na mme wangu,

  • @user-wl2oe4xn4z
    @user-wl2oe4xn4z Před měsícem

    Naomba mungu anitoe kwenye gereza la uvivu wa kusal mtumish nisaidie kuniombea kwa hlo pia anitoe kwenye gereza la kujua kuwa ya Dunia yanapita bali nihangaike kuomba msamaha wa dhamb na kuutafuta ufalme wa MUNGU na afya ya kiroho na kimwil pia nipate hitaji la maisha kwa ajil yang na wengine pia Ameen 🙏🙏🙏🙏

  • @benardnzale6025
    @benardnzale6025 Před rokem +8

    Being from Kenya,I am always inspired by the preaching of Innocent Mashauri.Mungu akubariki sana

    • @millieholmst6628
      @millieholmst6628 Před rokem

      Kenya🇰🇪

    • @zawadikimaro4087
      @zawadikimaro4087 Před rokem +1

      Mtumishi wa MUNGU. Nahitaji mtumishi wa kuniombea mm napitia changamoto ya kila ninachofanya hela siioni nazidi kushuka madeni yameandamana nami

    • @user-mq9fr3st5w
      @user-mq9fr3st5w Před rokem

      Gereza la.kesi za kusingiziwa na kuchukuliwa mshamba yangu na viwanja vyangu viludishwe

    • @user-mq9fr3st5w
      @user-mq9fr3st5w Před rokem

      Maombi wazazi wangu wapone na watembee waongee kwa jina la yesu

    • @user-qt7py1yy4p
      @user-qt7py1yy4p Před 10 měsíci

      Mtumishi naomba Mungu atutoe familiar yetu kwenye liana magomvi na umasikini

  • @celinaduka3346
    @celinaduka3346 Před rokem +5

    Naomba msaada wa Mungu anitoe katika gereza ya Magonjwa, Madhabahu ya kutofanikiwa ,kukosa Amani katika maisha yangu Mungu afungue familia yangu katika mateso.. Amen

    • @matildakilufi7739
      @matildakilufi7739 Před rokem

      Amina 🙏🏽
      Naomba Mungu aniondolee roho ya mauti kwenye familia yangu, magonjwa ya kufanana ya akili yaliyofatilia watoto wangu waliotangulia mbele za haki, yasiendelee kwenye vizazi vijavyo vya uzao wa tumbo langu
      Nahitaji mtu wa kusimama na mimi kwenye maombi.
      Mungu akubariki sana Mtumishi 🙏🏽

    • @espesifa5661
      @espesifa5661 Před rokem

      Amina mimi na zarauliwa saaanaaa na mme wangu kwajili ya wamalaya mpaka hameniacha mimi na watoto na hameenda kuhishi nao bali ni mengi saaaaaaaanaaaa

    • @akhanntahena2544
      @akhanntahena2544 Před rokem

      '

  • @PatrickThomas-s5y
    @PatrickThomas-s5y Před 26 dny

    Amina mtumishi nahitaji kuombeewa kwa habari ya familia yangu

  • @ElizabethSimon-uu7wh
    @ElizabethSimon-uu7wh Před 2 měsíci

    Mtumish wa mungu unafundish ile kweli ya mungu ni kweli tunapoteza muda ,miez, miaka kwa kuomba vibaya mpaka tunakata tamaa ya kuomba Tena Asante mungu kwa kukutumia ww kutufundisha jinsi ya kuomba vizuri na bila kupoteza miez mwaka na muda

  • @miriamisaya3878
    @miriamisaya3878 Před rokem +4

    AMEEEN AMEEEN AMEEEN 🙏🏼

    • @deborahkelvin4528
      @deborahkelvin4528 Před rokem

      Shalom Mtumishi Ni kweli kabisa Mimi na Watoto wangu tunamuhitaji MUNGU maana Mimi Ni Mama Mimi na Watoto wangu tuna matatizo makubwa Ni kweli tunahitaji Maombi ya nguvu

    • @deborahkelvin4528
      @deborahkelvin4528 Před rokem

      Tunapitia magumu Nina Mtoto wangu yupo Ujermani na ndio Msaidizi wa hatma yangu kafukuzwa kazi haya na mdogo wake kaolewa Mume wake pia kafukuzwa kazi wote Hawa wanawatoto nahuyu mdogo wake alikua amefungu Saloon lakini Wateja hakuna haya na mdogo wao wa mwisho nae pia Hana kazi inayoeleweka Mimi Mama sasa Niko njia panda kote naona Giza Mtumishi Naomba msaada wa Maombi

    • @deborahkelvin4528
      @deborahkelvin4528 Před rokem

      Namshukuru Sana MUNGU Kwa Maombi haya Roho Mt ameyaleta kwaajili yangu na familia yangu Asante Roho wa MUNGU

    • @hildakahaso849
      @hildakahaso849 Před rokem

      Naomba kufunguliwa katika pingu na minyororo pamoja na watoto wangu na mume wangu na jamii yangu yoote madhabahu ya ukoo kuteseka katika masomo yao naomba Mungu atukumbuke ameen

    • @hildakahaso849
      @hildakahaso849 Před rokem

      Gereza ya mashetani magonjwa umaskini,madeni,ndoa uzinzi naomba kufunguliwa,masomo ya watoto wangu,huduma ya mtoto wangu

  • @user-qc1bk5zn8w
    @user-qc1bk5zn8w Před rokem +3

    Ameeeeeeeeen

  • @EmunguPaul
    @EmunguPaul Před 2 měsíci

    Nashukurukwaufariji muchungaji laneno mungu akuinueju Sana nikonakufata APA Congo mji wa tenke Jimbo la Katanga asante kwaneno

  • @tabithamugure9920
    @tabithamugure9920 Před 11 dny

    Wao Mungu akumbaliki pia nimesaindika sana

  • @emohsteve2186
    @emohsteve2186 Před rokem +4

    AMEN 🙏🙏

  • @termankalendo1439
    @termankalendo1439 Před rokem +3

    Amen let the will of God be done in jesus name

  • @user-zg3mv9dg6w
    @user-zg3mv9dg6w Před 3 měsíci

    Mimi niko hapa jwa hiyo massage mangu niobe sana mti yayeyuke in Jesus might name Amen

  • @user-zs2yl6sw6b
    @user-zs2yl6sw6b Před 9 měsíci

    Amina mtumishi wangu napitiwa.na.changamoti nyingi kupitia maombi haya yesu nivushe

  • @peninahchizi3629
    @peninahchizi3629 Před rokem +3

    Mtumishi wa mungu yote unayo yasema tunayapitia kwenye family yetu

    • @zawadikimaro4087
      @zawadikimaro4087 Před rokem

      Bwana YESU kristo asifiwe. Naomba maombi yako kwaaji ya uchumi wangu yaani mtaji wangu umeishia huku ninamadeni mengi naomba mwenyezi MUNGU anisaidie na kunivusha kwenye hili.

    • @zawadikimaro4087
      @zawadikimaro4087 Před rokem

      Naitwa ZAWADI BETUEL KIMARO nipo dar manispaa ya kinondini kata ya kawe.

    • @kentkizzy
      @kentkizzy Před 11 měsíci +1

      mm naitwa latifa ninayopitia nmengi naomba mungu anisaidie kila unacho kiongea kinaniusu mm baba niombee

  • @GetrudeMasale
    @GetrudeMasale Před měsícem

    Asante kwa neno na mafundisho hayo Mungu akubariki sana

  • @gfcgghh9138
    @gfcgghh9138 Před 3 měsíci

    Amen amen, barikiwa zaidi ❤❤❤

  • @Mwx-zd4ov
    @Mwx-zd4ov Před měsícem

    Amen. Mtumishi naomba unisaidie kwa hiyo hali napitia

  • @jonakax
    @jonakax Před 7 měsíci

    Mimi hapa muzigo.umekua.asante sana kwasomo hiri.mungu amekutuma.kwamba.nifunguriwe.niripo aza.kusikiriza.asubuhireo.nimemuonamungu mukubwa akapitia.kwako

  • @LeonChoaji-n8z
    @LeonChoaji-n8z Před měsícem

    Hakika Mungu wangu ni mmoja tu na wa kweli, hajawahi kushindwa kamwe na hajawahi niacha! Hata pale nilipoingia kwenye fedheha ya shida ya umasikini na maradhi, ilikuwa ni funzo na namna ya kunionyesha niwe imara vipi kwa nyakati zijazo. Nipo katikati ya daraja la changamoto ya kiuchumi. Najua utanivusha salama. Na damu ya Yesu kristo ipo kusafisha maovu yangu pale ninapoteleza, Ameen!

  • @norahogero8217
    @norahogero8217 Před 3 měsíci

    Mtumishi was Mungu kwa kweli umenibariki sana Naomba Sana unibebe kwa maombi Mimi ni mgonjwa miguu inaniuma Sana siwezi kutembea naumwa

  • @user-io1tp6nz8m
    @user-io1tp6nz8m Před 5 měsíci

    Ameeeeeen ameeeeeen pstr barikiwa sanaaaana

  • @LynetWatson-fj7in
    @LynetWatson-fj7in Před 4 měsíci

    Amen amen napokea msimu mpya

  • @Christina-dz7ff
    @Christina-dz7ff Před 2 měsíci

    Aminaa 🙏🙏 mungu akubariki mtumishi wa mungu

  • @JESCAKISAILA
    @JESCAKISAILA Před 15 dny

    Bwana Yesu asifiwe, naomba uniombee mtumishi niweze kupata mwenza sahihi, pia niweze kukua kiuchumi na MUNGU aikomboe familia yangu juu ya umasikini

    • @GraceMtoi
      @GraceMtoi Před 13 dny

      Amen nahitaji msaada wa maombi kwaajili ya elimu ya watoto wangu

  • @AnjelaKavishe
    @AnjelaKavishe Před 2 měsíci

    Asante mtumishi kwa maombi yako yamenijenga

  • @user-cq1dp6yy3u
    @user-cq1dp6yy3u Před 4 měsíci

    Nasikia kugusika sana barikiwa sana mtumishi

  • @ZaifathAhmadnapokea
    @ZaifathAhmadnapokea Před 3 měsíci

    Mtumishi wa mungu niombee kuusu afya yangu, niombee mwana wa mungu, nimepofuka jicho Moja lakulia kwa ajiri ya situroko ya kichwa .

  • @AbimanaJumakatiti
    @AbimanaJumakatiti Před měsícem

    Mungu anifunguwe katika vifungo vyote vya ukoo Kabila mababu na bibi wazazi wangu aiza nilijifunga pekee yangu kwa jina wangu Mugu anifunguwe amen

  • @user-fz3xl7js3m
    @user-fz3xl7js3m Před 3 měsíci

    Nataka mungu asaindie watoto wangu na kuwafunika na damu ya yesu,na mausiano yenye niko nayo na mpenzi wangu🙏🙏🙏

  • @VedinaGesare
    @VedinaGesare Před 25 dny

    Ninaitaji mtu wa kunibeba kwa maombi na nina imani Mungu ametenda❤❤❤

  • @rachelgidion8782
    @rachelgidion8782 Před měsícem

    Mtumishi niombee nponywe na magonjwa ya kipepo nimetembea kila hospital hakuna ugonjwa roho mtakatifu anipende,Amen

  • @FausterLawrence
    @FausterLawrence Před měsícem

    Amina mtumishi wa Mungu Nibebe nami katika maombi haya, mwanangu amelazwa hospital anaumwa na Jumatatu anafanyiwa upasuaji wa kutoa kizazi

  • @MicalSemu
    @MicalSemu Před 4 měsíci

    Mtimishi wa mungu Asante kwa neno la Leo,naomba Leo ninapoenda kutafuta kazi nipate kazi mzuri na ya kudumu napata kazi nasikia ninapoanza kujijenga TU hapo ndio gafla magonjwa visirani vinatokea naninafutwa kazi naomba uniombee.

  • @everlynemabialo
    @everlynemabialo Před 2 měsíci

    Bwana yesu asifiwe mutumishi wa mungu mimi naomba kusaitiwa kwavita via makanisa

  • @user-tm6st9qh2l
    @user-tm6st9qh2l Před 2 měsíci

    Nilisimamishwa job bila sababu naitaji mungu anisaidie Asante ndungu.

  • @LeoniaKoloseni
    @LeoniaKoloseni Před 3 dny

    Umaskini na roho wa kifo anaeandama familia yangu nitengane na wàtu wa baya kwenye maisha yang 🤲🤲🤲🤲🤲🤲 🙏🙏🙏 🙏 🙏

  • @salamasalama1428
    @salamasalama1428 Před 5 měsíci

    😢😢 amen ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @user-oy4gj7cx2y
    @user-oy4gj7cx2y Před 4 měsíci

    Amen asante sana kwa neno lako mutumishi mwanadamu haezi kuishi k 2:27 wa chakula bali kwa neno LA mungu😭😭😭🙏

  • @estergasaya6935
    @estergasaya6935 Před měsícem

    Amina mtumishi natamani kupata mtu anisaidie kutoka kwenye vifungo vya magonjwa ya mapepo na vifungo vya familia yangu natamani

  • @aminambuligu4571
    @aminambuligu4571 Před 3 měsíci

    Ameeeen,Neno limenigusa kabisa,Nahitaji kushikwa mkono kabisa.

  • @agnesspaul1866
    @agnesspaul1866 Před 23 dny

    ❤❤❤❤Amina Ubarikiwe yalishanikuta baada ya kufiwa na wazazi wangu lakini Muñgu hakuwai kuniacha alisimama na alinipa ujasili wa Hali ya juu

  • @user-tx1zr3kb1j
    @user-tx1zr3kb1j Před 5 měsíci

    Natamani sana mungu anitowe kwa madhabau ya ukoo wangu watu hawajai ishi na amani watu walikosana karibu mika kumi na mbili na hawasikizani naomba hiyo madhabau isinifuate ninaomba nikilia mungu asikize maombi yangu

  • @pius-mu5dc
    @pius-mu5dc Před 4 měsíci

    Mtumishi wamungu asante kwa yote nimeokoka na ninampenda mungu naomba msaada wa kuiombea familia na uzao wangu maranyingi nimekuwa nikifunga juu ya uzao wabadilike kwani wanakunywa sana pombe naomba waache na wamrudie mungu

  • @RoseMapunda-qn3nm
    @RoseMapunda-qn3nm Před 3 měsíci

    Barikiwa mtumishi

  • @user-li2ux2zn3g
    @user-li2ux2zn3g Před 2 měsíci

    Bwana Yesu asifiwe.nahitaji maombi yko mtumishi wa Mungu
    Maisha yg ni magumu.

  • @PaulDeogratius
    @PaulDeogratius Před 2 měsíci

    Mtumishi wamungu naomba uniweke kwenye maombi juu ya maisha yangu elimu yangu