ASALI NA KITUNGUU SAUMU VINALETA HESHIMA YA NDOA, MUME ANAKUWA RIJALI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 08. 2024
  • #MbeyaYetuTv

Komentáře • 32

  • @batashqiraa9936
    @batashqiraa9936 Před 9 měsíci +5

    Tunaomba namba ya simu ya huyo mtabibu tunahitaji tupate maelekezo

  • @AnithaPaulkarwenda
    @AnithaPaulkarwenda Před 10 měsíci +1

    Nimependa mawaidha 🥰

  • @user-ju1pl7rr8n
    @user-ju1pl7rr8n Před 2 měsíci

    Shukran sana kaka.

  • @ConfusedArchaeology-bi8ho
    @ConfusedArchaeology-bi8ho Před měsícem

    Barikiwa shekh

  • @Abdulkarimu-mm5ph
    @Abdulkarimu-mm5ph Před 7 měsíci

    Respect mr doctor 🙏

  • @user-su5cw6ur9e
    @user-su5cw6ur9e Před měsícem

    Ongera sana

  • @ramadhanideu6444
    @ramadhanideu6444 Před 3 lety +1

    Allah akuhifadh

  • @irenemacha7457
    @irenemacha7457 Před 4 lety +1

    Msaada hapo kwa mama mjamzito asali anakula kila siku

  • @ZabronidaudiKabhinako-we8cr
    @ZabronidaudiKabhinako-we8cr Před 4 měsíci

    Good

  • @zuhuramike1399
    @zuhuramike1399 Před 3 lety +1

    Amen

  • @ramadhanjuma312
    @ramadhanjuma312 Před 3 lety

    Like it

  • @irenemacha7457
    @irenemacha7457 Před 4 lety +1

    Au anakula wakaty wa kujifungua

  • @TumaMsigwa-iz9uh
    @TumaMsigwa-iz9uh Před 7 měsíci +1

    Jeyule anaetokwanauchafu ukeni atumie nn

  • @tawlibngwandani7552
    @tawlibngwandani7552 Před 4 lety +1

    Shukran maalim

  • @Eldoret94
    @Eldoret94 Před 3 lety

    Waaau

  • @israelikitomari2613
    @israelikitomari2613 Před 3 lety +1

    Unaitumiaje naasali tunatafuna kituu ukimaliza unakula asali au

  • @patriciarudolph9089
    @patriciarudolph9089 Před rokem

    He is talking to first!

  • @khamissalum9285
    @khamissalum9285 Před 4 lety +1

    Angelewapi kanisani aw lete dozi

  • @leonardgaspar6418
    @leonardgaspar6418 Před 2 lety +2

    Tatizo unaongea haraka sana

  • @salmsaid9700
    @salmsaid9700 Před 2 lety

    Shekhe sijui nnakufananisha ulikuja basiya ulitoa mawaidha msgtn

    • @issaswedi6974
      @issaswedi6974 Před 10 měsíci

      Kwa magonjwa sugu kama vile UKIMW , sicke cell , saratani I kwanza unatakiwa umche mungu alafu Kisha ukubaliane na Hadith ya mtume kwamba habbat soda inatibu magonjwa yote isipokuwa kifo BiidhiniAllah lakini unatakiwa utambue vile vile ili habbat soda ifanye kazi haswa haswa ni kheri utumie dawa na habbat soda au hata dawa nyengine asilia kama asali mbichi na nakadhalika kwa pamoja achana na dawa za mfumo sumu za hospital sisi watafiti tumegundua dawa mpya ya kisasa ya mfumo wa Gene Therapy ambayo ni maboresho ya dawa za kisasa ambazo zinachukuliwa vitu asilia tuh na hazina madhara yoyote hizi dawa ni tafiti za madaktari tumefanya kwa miaka 25 Ni dawa ambayo tafiti imefanywa kwenye Qur'an pia . Ni dawa ambayo inaendana na mfumo wa seli wa mwili wa binaadam kwa maelezo na mafunzo yetu tembelea page zetu Katika mitandao ya kijamii LinkedIn, Facebook , Twitter , Instagram
      Jina " Nehemiah II intermolecular Health Drugs LTD " hii dawa inatibu Ukimwi , cancer za stage ya mwanzo mwanzo, magonjwa ya uzazi , homa ya ini , presha , kisukari na magonjwa kadha wa kadha ila Cha muhimu lazima ujue sisi ni kina na Nani ?
      Alafu ukubali kumcha Mwenyezi mungu bila kukubali hatutibii ?
      Alafu Cha tatu weka yakini kwamba Allah atakuponesha hizi zengine Ni kutafuta sababu tuh
      Ahsante Sana au Kama una maswali piga simu number
      0694027242

  • @chrismo9916
    @chrismo9916 Před 3 lety

    Amazing

  • @tawlibngwandani7552
    @tawlibngwandani7552 Před 4 lety +3

    Ww unataka akaongelee porini

    • @shabanhussen8600
      @shabanhussen8600 Před 4 lety

      Usichoke /kutoa elimu misikitini Allah atakulipa kila lakhayr fid-dun-ya wal Aakhirah.

  • @AAs-lq6sn
    @AAs-lq6sn Před 5 lety +2

    Huyu mbona anahutubia hayo msikitini?

    • @muhammedkhamis416
      @muhammedkhamis416 Před 4 lety +1

      Iyo ni elimu ikaongelewe wapi kwenye elimu hakuna haya

    • @rehemamkumba9233
      @rehemamkumba9233 Před 4 lety

      Unatk akuje nyumban kwako

    • @aliommy6396
      @aliommy6396 Před 3 lety +2

      Kwani kuna tatizo anapo hutubia hayo msikitini? Na wakati tunapewa cc ilimu ya manufaa tusije tukaharibikiwa kwenye maisha yetu na kwenye ndoa zetu

    • @grandsonmasoud9753
      @grandsonmasoud9753 Před 3 lety

      @@rehemamkumba9233 mmmmmh

    • @oscarsheha4602
      @oscarsheha4602 Před rokem

      Kwny elimu hakn matusi