Dizasta Vina - Wachezaji wa timu

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Official lyric video of Wachezaji wa timu. Marks a 2nd release off the album A FATHER FIGURE
    Stream/download wachezaji wa timu
    Boom play - www.boomplay.c...
    Spotify - open.spotify.c...
    Apple Music - music.apple.co...
    Mdundo - mdundo.com/son...
    Audiomack - audiomack.com/...
    Dizasta Vina
    Instagram - / dizastavina
    Twitter - / dizastavina
    Facebook - / dizastavina07
    Lyrics
    Wanasema duniani kuzimu
    Kwanini ukeshe kushika protocol wakati
    Ulaji muhimu
    Watu wanachohifadhi ni mbinu
    Kucheza kulia kushoto ila wote ila wote
    Ni wachezaji wa timu
    Chumba kilijaa njemba za kisasi
    Walipanga vifaa ka' wanakwenda kwenye kazi
    Palikuwa jitu juu meza yenye glass
    Limeshika tissue kusafisha chemba ya risasi
    Walijaa na maninja na ma bouncer
    Wamevimba wenye sura za kutisha
    Wamekausha,
    Wamegadhibika mpaka amani ilijificha
    Nilihisi mkojo unatiririka kwenye trouser
    Sura za kutisha nafuu devils
    Crate zimemwaguka utadhani sikukuu kesho
    Kulikuwa kumejaa camera full angles
    Huku warembo waki-twerk twerk juu ya pool table
    Huku watemi wa ngenga wameketi
    Mwonekano wa Rostam Bakhresa na Mengi
    Palikuwa na mabegi ya cheda na chenchi
    Yalikuwa mengi hata wachache kubeba hawawezi
    Walikuwepo mabinti wamefanya line up
    Mfano wa dinner set Sura ziko innocent
    Zikionyesha zina majuto ya kusign up
    Na baadhi yao walikuwa wadogo yaani minors
    Babake Jesca alisimama kwenye chanja
    Ametingwa kuchanganya plama kwenye ganja
    Nikamsalimia hakuijibu salamu yangu
    Akavuta beri kisha akapiga chafya mara saba
    Kabla muda wake wa kumaliza
    Akanyonga jani akapaka mate kwenye Lizzla
    Akasnap vidole kuonyesha alikuwa Taita
    Kumwita Mrembo na mrembo akaja Na lighter
    Mrembo akamwashia kipuri wakapiga Puff mbili
    Wakatoa moshi wakaanza kukiss pasi siri
    Ka’ wacheza ngono mbele ya Binti yake Jesca na mbele yangu kiasi nafsi ikakosa tafsiri
    Baba'ake aka-struggle kukumbuka jina langu
    nikamwambia jina langu naitwa Toni Glove
    Akauliza umemjua vipi binti yangu
    Nikamwambia mi na jesca tumekutana kwenye coffee shop
    Akaisogelea glass, akanywa kilichomo kisha
    Aka-scan majibu
    Ili kuhakikisha ninachokiongea fact, akasema sikujui unatokea wapi
    Nikamwambia nimezaliwa hapa Nonde Sua
    Nyumba no 77 kwa mzee Kilua.Akasema ninapiga simu mbili tatu kama hawakujui
    Nitakushauri tu uombe dua
    Akaja mtu akani-snap kwenye IPhone
    Design kama anafanya michongo ya passport
    Akainua uso nikaona umeweka ndita
    Akatikisa kichwa kisha akaendelea ku-type more
    Mkono wa jesca begani ukinipeti peti
    Huku moyo wangu ukienda lesi lesi
    Board guard wake wakinichekicheki
    Mara wani-search mifuko mara wani-search begi
    Nikaletewa maji ili nipoze kiu
    Design hamu ilinikata mzee
    Wasaidizi wakingiza jina langu kwenye simu ya kimtandao
    Kunifanyia background check
    Babake Jesca
    Akanipa face look kisha
    Akaomba simu sikubisha
    Akaanza kukagua photo Akalog in kwenye social kunikagua Facebook Twitter
    Ghafla ukimya ukaitawala nyumba
    Wakati akili ikiwaza kufa
    Nikitushwa Na yale mandhari yanayofanana na nyumba ya mafia mkubwa
    Kutoka Kuala Lumpur
    Akauliza je nipige down town
    Maana najua kila mtu kule ukinidanganya bure
    Nitakukausha kama kau kau mpaka uta shout shout
    Jesca akasema Daddy calm down
    Mi na Tony tayari tumependana
    Amekuja kutoa mahari ili tuishi ka' mke na bwana
    Anaomba kibali anataka kunioa
    Na kama utakubali basi soon tutafunga ndoa
    Baba Jesca akaegemea kwenye kiti mwisho
    Akashusha pumzi kwa masikitiko
    Kwanini unadate na mtu hatumjui
    Na unajua style ya kuleta hawa wakati ringi
    mwiko
    Jesca unajua hadhi ya hii business
    Equation ya ndoa haifiti into this case
    Kwanini usitafute a guy from inside
    Ipo time utaleta ma-spy au ma-witness
    Jesca akajibu daddy Tony Doctor
    PhD holder chuo kikuu cha oxford
    Anamiliki migahawa kadhaa hapa town
    Analipwa vizuri na kipato kinamtosha
    Namfahamu Tony sio mnoko
    Na kwao wana uwezo sana baba yake don sio kitoto
    Tumejuana miaka kadhaa ameshanikaa
    Maana penzi nililolihifadhi moyoni sio kidogo
    Babake Jesca akanicheki amenuna
    Nikawa nimevex nimechuna
    Moyo unaenda resi kama duma
    Mabaunsa yapo next yametuna
    Yakisubiri mechi hii kubuma
    Nikamwona mshikaji ameshika panga bisu
    Alikuwa busy anapanga vitu
    Sura yake ilikuwa tayari kuanza bifu
    Jesca akaniambia yule kaka'angu na ana anger issues
    Akaja ameshika vipisi vya kete
    Kisha akanidadisi si kibwege
    akashout naskia harufu ya polisi kwa huyu bwege
    Jesca akamuwahi akasema we' chizi acha usenge
    Akatoa syringe kwenye small bag
    Akauliza unapendaga cocaine
    Nikamwambia huwa situmii hizo zaga
    Kaka'angu alitumia akabwaga akajibu okay
    Nilihisi harufu ya casket
    Kaka'ake Jesca alihisi mi' shushushu akani-suspect
    Nikahisi napokwenda sio
    Moyo wangu ukienda mbio
    Babake Jesca nae anahamaki
    Baada ya kugundua nina camera kwenye kifungo cha shati
    Akatoa bunduki nikahisi uhai wangu unaishia
    Ndipo polisi wenzangu wakavamia

Komentáře • 887

  • @user-se4fl6fp9c
    @user-se4fl6fp9c Před 9 měsíci +58

    Dizasta is very intellectual, mindful, script writer, lyricist, musician and natural gifted man you can say he has philosophical, transgressive mindset, with unconventional perspective along with marvelous way of narration from his writing which imply the poetic mentality from very different level. To understand what he intent or the way he conveys the message in his songs you need brain man!
    For real he is Genius!
    As ultimatum, has very high consciousness beyond ordinary, he tries to do music in a unique story-telling style way, I have listened 90% of his songs, he did amazing work. I think his work has been very inspirational to young generation musician who fit to this type of music especially in HipHop.
    When different people try to listen to his songs everyone feels they have been touched in very different way.

  • @Priver_Jabir
    @Priver_Jabir Před 9 měsíci +9

    Nasikia harufu ya polisi kwa huyu bwege,
    Jesca akamuwai we chizi acha useng×.
    🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @danielbabere137
    @danielbabere137 Před 9 měsíci +5

    Arusha town wamethibitisha hili ni bonge la ngoma,likes ziko wapi

  • @soccerupdates5
    @soccerupdates5 Před 9 měsíci +5

    Tuzo ya utungaji Bora inamuhusu🎉🎉🎉🌍🙏

  • @abdallahamisi3051
    @abdallahamisi3051 Před 9 měsíci +121

    My children will have all the freedom to listen to dizasta vina's music or else leave my house

    • @Almarsprince254
      @Almarsprince254 Před 9 měsíci +4

      you think just like me brother

    • @nevasonwiston5494
      @nevasonwiston5494 Před 9 měsíci +3

      What a courage 😅

    • @jacksonjulius8760
      @jacksonjulius8760 Před 9 měsíci +3

      Itabidi umfundishe kufikili kwanza😂

    • @nomoboy152
      @nomoboy152 Před 9 měsíci

      100

    • @vincentvalentino1634
      @vincentvalentino1634 Před 9 měsíci +5

      Yaan mm manzi yang mara ya kwanza alikuwa ananiambia nyimbo gani hzo lkn baada ya kuanza kumckilzisha MWANAJUA, SHAHIDI, NDOA, MONEY sasahv yy ndio ananipa update kuwa RAFIKI YAKO DIZASTA KATOA WIMBO MWINGINE HUKO anazipenda hasa zile NOBODY IS SAFE tena hasa Namba 4

  • @abdyissaabdi108
    @abdyissaabdi108 Před 9 měsíci +8

    Nimechelewa kidogo nimekuwa 20😢 lakin kama unaamin dizastavina is number one rapper in Tz like here from BBC London 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿🔥💥👊🇹🇿✈️

  • @daudumdoe6016
    @daudumdoe6016 Před 8 měsíci +11

    Waungwana tusiishie kumsifia tu mwamba anauzaga album zake on line tununue kwa wingi ili jamaa aendelee kutushushi midizasta yenye VINA yake

  • @ahmedramadhani1264
    @ahmedramadhani1264 Před 9 měsíci +5

    Hatua ya kwanza naanza kuisikiliza nilikuwa nimetengeneza mawazo yangu kichwani, hatua ya pili nikabadili welekeo. Ebwana! Hatua ya tatu nikasikigina fegi na kisigino cha kiatu. Nairudia tena hii timu.
    Sina nyongeza brother.

  • @emmanuelodunga5021
    @emmanuelodunga5021 Před 9 měsíci +6

    For those who will be here in 3010 years to come in our absences remember thiz man was our teacher shule nzima kwake❤❤❤❤❤❤❤

  • @SamwellyMillinga-tu7xf
    @SamwellyMillinga-tu7xf Před 9 měsíci +129

    Leo wa kwanza nipen like zangu from songea RUVUMA DIZASTA💥💥💥

  • @franksambo5868
    @franksambo5868 Před 9 měsíci +4

    Dizasta the next earth 🔥🔥wachezaji cheza kwa step mi beki 5😂 respect bob

  • @therealdL188
    @therealdL188 Před 9 měsíci +4

    We Mzee nyoko Sana Yani, umeshindikana, upo nje ya hii sayari, bado sijaona wakufika ulipo kaa wewe🙌🙌🙌bonge la kazi Yani ni 🔥🔥🔥🔥🔥the high voltage ⚡ Mae! Bonge la story Mzee wangu big up Sana 👊👊👊

  • @BasilKiria-wt5jl
    @BasilKiria-wt5jl Před 8 měsíci +8

    Alishasema yupo kwenye top two and he is not the second am here to prove ✔✔
    Vina is the best

  • @EmmanuelZenda-ji5gc
    @EmmanuelZenda-ji5gc Před 9 měsíci +8

    Enyi watu mtakaoishi mpaka mwaka 2080 na mtakaozaliwa mimi Babu yenu niliishi kwenye hii generation ya the best hiphop artist,nimeshuhudia hizi harakati, sijajua kama kizazi chenu kitapata bahati ya Kuwa na Rapper mwenye akili kiasi hiki lakini nawaaambia tu mtu uyu walikua wanam-Underate imagine..Basi mumpe heshima yake Babu yenu huyu.

  • @hellyfridy
    @hellyfridy Před 9 měsíci +4

    Akili kubwa sana unajua sana kuandika imenibili kusikiliza zaid ya mara tano ili kuelewa.

  • @BrightoneAyubu
    @BrightoneAyubu Před měsícem +2

    wachache sana tunamuelewa msela wetu dizasta vina🔥🔥🔥🔥

  • @husseinmtima6106
    @husseinmtima6106 Před 9 měsíci +4

    Watu wanachohifadhi ni mbinu!!!

  • @k_voicetv
    @k_voicetv Před 9 měsíci +4

    Mazee hii sio ngoma ni bonge la movie

  • @abeidsocco6211
    @abeidsocco6211 Před 8 měsíci +7

    My best writer of all time😊,wanaomkubali Vina tugonge like hapa tuendelee kufurahia mziki mzuri

  • @valencepaul4604
    @valencepaul4604 Před 9 měsíci +10

    Best writter,best story teller with incomparable intelligence of the century 🔥🔥viva DIZASTA viva you are a mental therapist

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Před 9 měsíci +4

    Hv Basata na Bakita haimuonag huyu mjamaa wamjengee sanam au kumuandalia kitab cha mhan bora wa muda wote wa mashairi na tenz.

  • @RazaQy
    @RazaQy Před 8 měsíci +6

    vina apa ndo nimekuelewa uliposema upo underground umeshikilia nguzo. apa tanzania hakuna roma mwenye stamina ya kurap na wew coz wee ni god wa rapppp khaleluyaa

  • @DanielJeremia-mj4bj
    @DanielJeremia-mj4bj Před 9 měsíci +3

    Big up nilikuwa nawaza kweli tusipate hata song ya kuvuka mwaka

  • @emmanuelntemi531
    @emmanuelntemi531 Před 9 měsíci +3

    Narudia tena na tena na tena huyo ndio rapper wangu bora wa muda wote achana na wao wapiga kelele more than story taller 🔥 🔥 🔥

  • @officiallblackman
    @officiallblackman Před 9 měsíci +3

    Man of the world 🌍 mzee wa vinaa , nipe like

  • @Yusuph-px6ci
    @Yusuph-px6ci Před 9 měsíci +3

    Bs ndo ivo bhn nusu tumkose dizasta vina 😊😊

  • @pnb-255
    @pnb-255 Před 7 měsíci +7

    Daah. Mwanangu unatisha kinoma. Mimi kuanzia leo shabiki yako

  • @kashindemhapa2015
    @kashindemhapa2015 Před 9 měsíci +4

    Achia jala💥🙌🙌🙏

  • @husseinmussa3331
    @husseinmussa3331 Před 9 měsíci +3

    We jamaaa unajua mpka unajua Tena
    HISIA ZINAZOTEMBEA.✅

  • @AmirNgui
    @AmirNgui Před 9 měsíci +6

    WATOA WAPI VITU HIVI KAKA JAMBAZ,,,,,,AU DUNIA TUNAYOISHI CC SIO DUNIA UNAYOISHI WWE,,,,,,UNA MOYO MKUBWA SANA DIZASTA VINA,,,,,,HOPE KALII✊

  • @MohammedyMagawa
    @MohammedyMagawa Před 8 měsíci +7

    Huyu mwamba inatakiwa awepo kwenye kitabu cha kiswahili (fasii) na asomwe kuanzia la kwanza mpaka chuo. Kaka dizasta unatisha

  • @stanleymartin2943
    @stanleymartin2943 Před 9 měsíci +3

    We jamaa unajua sana aisee sio poa

  • @jumaaothman-dq7du
    @jumaaothman-dq7du Před 9 měsíci +2

    Naaaaam tuko pamoja na dizasta

  • @jeremiahmhini7729
    @jeremiahmhini7729 Před 9 měsíci +3

    Nadhani hii ngoma inahitaji video, itabamba sanaaa 🔥🔥

  • @allyntepatz
    @allyntepatz Před 9 měsíci +3

    Dizasta akitoa ngoma naona kama nimepata mshahara

  • @nassaryvicent9950
    @nassaryvicent9950 Před 9 měsíci +2

    Huyu Ndio Dizasta vinna niliekuwa namsubiri kwa Muda Kidogo!✌️

  • @BonMaro
    @BonMaro Před 9 měsíci +3

    Dizasta vina,thanks for Good music and story teller to us like na watch movie flan mmh Rapper wangu Bora wamda woteeee ✍️🎶🎵🙏♥️🇹🇿

  • @Sharifufaki
    @Sharifufaki Před 9 měsíci +3

    Hakuna rapper kama dizasta huyu jamaa ni fundi sanaa❤❤

  • @k_voicetv
    @k_voicetv Před 9 měsíci +3

    Namba inazidi kupanda kushuka ni mwiko 💯🔥💫

  • @karimjuma8671
    @karimjuma8671 Před 9 měsíci +2

    Umeufunga mwaka kaka .... HAIPINGWI STORY TELLER 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @joxxjonka
    @joxxjonka Před 9 měsíci +2

    Stanza kama zote 🎵🔥🔥🔥🔥🗣️ sauti ya Tanzania. ......✍️from Nairobi Kenya..

  • @sumanyavoice7844
    @sumanyavoice7844 Před 9 měsíci +2

    Ngoma Kali Hadi unatamani kuskikiliza muda wote

  • @albertayubu3377
    @albertayubu3377 Před 9 měsíci +5

    Shule Ulikuwa King kwenye Dorm fight Ila ukapigwa na jamaa Prom Night. Hujawahi kuniangusha Prof Tungo.

  • @kingronnahronnah5186
    @kingronnahronnah5186 Před 8 měsíci +4

    Daaaaaah aiseee we ni Mungu wa rap🔥🙌🙌🙌 hallelujah napenda nijifunze uwandishi wako hakuna rapper wala mc anaekufikia

  • @edwinfweni
    @edwinfweni Před 9 měsíci +3

    The story teller 🎉

  • @user-yk7jk1yi6p
    @user-yk7jk1yi6p Před 9 měsíci +3

    Mr.Dizasta....UNANIDAI, amini!!

  • @Suleiman99
    @Suleiman99 Před 9 měsíci +3

    Mwalimu wangu D zasta nakukubali sana

  • @corrosiveacid8306
    @corrosiveacid8306 Před 9 měsíci +2

    Jamani weekend ilikuwa mbya brother the top of the top best lyrical rapper never seen kabadilisha weekend ninaenjoy popot niendapao na MCHEZAJI WA TIMU💥💥

  • @legawayz6093
    @legawayz6093 Před 9 měsíci +6

    Storytelling ✍️100%
    Strong verses ✍️💯
    Style rap 💪💯
    Hii niyamoto aise 🎶💪👏👏👏👏

  • @HarunaGeorge-bp6hv
    @HarunaGeorge-bp6hv Před 9 měsíci +2

    dah ila dizasta me natamani kila siku uwe unatoa ngoma sitachoka kusikilza wew ni number moja yang🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @castormahava1732
    @castormahava1732 Před 9 měsíci +3

    Heshima Dizasta kila ngoma inatibu.

  • @anatii_podcast254
    @anatii_podcast254 Před 9 měsíci +4

    Great stroyline great punchlines lyrical genius

  • @Ali-kl4zc
    @Ali-kl4zc Před 9 měsíci +2

    Dizasta mashabiki tulimix nyimbo za move❤

  • @MaQajare
    @MaQajare Před 9 měsíci +2

    Sidhani kuna rapper TZ zaidi ya huyu jamaa. More love from Kenya

  • @odiloodilo
    @odiloodilo Před 9 měsíci +2

    Dizasta Vina! We ni mwandishi bora na makini sana Big Up Brother Wewe ndo King 👑 Rapper dunia ya music inapaswa ikupe maua yako. Hii ngoma ya kufungia mwaka, music haikati kichwani👏🏿💪🏿👍🏿🖐🏿🙋🏿‍♂️✍🏿

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd6880 Před 9 měsíci +5

    Dah!!! Kumbe raundi hii Maradona alikua usalama/mpelelezi bana😂 sema story tunaiombea part 2 coz hatujui kua mpenzi wke Dizasta alikua anaelewa kua bwana wake n usalama kwaiyo alitaka aende akamuuze faza wake au na yy pia hakua akijua😂

  • @hassanngozi525
    @hassanngozi525 Před 9 měsíci +4

    DIZASTA VINA IS GINIUS🔥🔥🔥

  • @king_mselem
    @king_mselem Před 9 měsíci +2

    nimemsikia kaa humo ndan . hop kuna goma lingine atahusika mna chemistry nzuri saaana. goma limeenda bro

  • @davabackup7767
    @davabackup7767 Před 9 měsíci +4

    Dizasta wewe basi tena leo ndo nimethibitisha Upo kwenye Sayari Ya Peke Yako Hakuna Mtu Anaefikiria Kuandika More than U 🔥🔥🔥

  • @Heisbry_
    @Heisbry_ Před 9 měsíci +3

    My no 1 rapper in tz🔥🔥🔥

  • @legawayz6093
    @legawayz6093 Před 9 měsíci +2

    Master kama Master storyteller DIZASTA VINA always ubunifu tu👏👏👏💪🎶🔥🔥🔥🔥

  • @shabannyamsalika8959
    @shabannyamsalika8959 Před 9 měsíci +2

    Dizasta Vinna wewe ni toleo la mwisho la viumbe wa aina yako, upo kwenye dunia yako mwemyewe. Huwa nasikitika sana ninaposikia wanavyokulinganisha na wasanii ambao hawafikii hata robo ya uwezo wako

  • @hamimumatola2829
    @hamimumatola2829 Před 9 měsíci +3

    Leta rapcha 200 sawa na d vina 1

  • @mohamedomar34
    @mohamedomar34 Před 9 měsíci +3

    Hii ni zaidi ya nyimbi big brother dizasta vina..asiye kukubali ni mchawi..1000000000🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @shihemicetamol6260
    @shihemicetamol6260 Před 9 měsíci +2

    Professor tungo🔥🔥🔥🔥

  • @piussungwa5386
    @piussungwa5386 Před 9 měsíci +4

    We chizi acha usenge 😁🔥🔥

  • @leonardgabriel6299
    @leonardgabriel6299 Před 8 měsíci +7

    Mpaka unatamani kama Kuna next episode... Mf you rock🔥

  • @user-gq6jr4gw4l
    @user-gq6jr4gw4l Před 9 měsíci +3

    Mwambaa unajuwaa tenaa sanaa 🔥🔥🔥🔥

  • @dattyjeremiah5877
    @dattyjeremiah5877 Před 9 měsíci +2

    Familia Dizasta brother unaweza man calm down utawauwa ao vijana

  • @RamazaniMulongeca
    @RamazaniMulongeca Před 9 měsíci +3

    Vipi mazee, nasoma comments zetu kwa sauti ya Dizasta, nikifatiza hiyo beat, jaribu tu utapenda 😂😂😂

  • @darmianmgallah6210
    @darmianmgallah6210 Před 9 měsíci +4

    Dizasta hajawahi toa boko

  • @ElizabethSitta-f2q
    @ElizabethSitta-f2q Před 8 měsíci +6

    Jama anajua San tumpeni mauwa yak ayanuse👏🥀🌹🌹🌹🌹 mapema kabla ajafa

  • @Emma-mchoraji
    @Emma-mchoraji Před 9 měsíci +2

    Hahahah dah MAUFUNDII🔥🔥🔥🔥.. Yaani ngoma inaanza kwa kukuhudhunisha afu mwishoni unagundua storyteller ni Police Mpelelezi unajikuta unatabasamu automatically😅😅😅..
    Maua kwa @dizasta_vina 🎉

  • @meshack2559
    @meshack2559 Před 9 měsíci +2

    Vina!!! Kichupa kimenyooka we ni nyoko√√√

  • @James-xf9yk
    @James-xf9yk Před 9 měsíci +2

    We mzee akili ni nyingi sana 🙌

  • @kigotymeentertainmentkigoy4858
    @kigotymeentertainmentkigoy4858 Před 9 měsíci +5

    Sikutaka kukurupuka kuisikiliza nilitaka nitulie kama hivi leo ndio niingie darasani. Shule ya bure ada bando lako tu✊

  • @FRVNKFL3X
    @FRVNKFL3X Před 9 měsíci +3

    The best story teller I know 🙌

  • @rakeshmedia8744
    @rakeshmedia8744 Před 9 měsíci +3

    Ngoma kali master lyrical

  • @widevisionE
    @widevisionE Před 9 měsíci +3

    Man dizasta daaah hata sielewi ni semaje but your always the best for me man daaah

  • @officialeranho
    @officialeranho Před 9 měsíci +3

    Black maradona another one🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🔥🔥🔥
    Anajua had anazidi sanaa sasa🔥

  • @kingdyzo4516
    @kingdyzo4516 Před 9 měsíci +1

    Dah speechless, nawaambia kila siku kitaa kuhusu huyu mwana. Umenifanya nifute nyimbo zote, nibaki na zako tu

  • @user-oc7kc5zm7z
    @user-oc7kc5zm7z Před 9 měsíci +2

    Mmmmhhh weweeew moto sana

  • @levelmtindo
    @levelmtindo Před 9 měsíci +2

    Kutoka moyoni Nakuelewa sana Mr Tungo love ftom🇧🇮

  • @user-fh6ez4wm1j
    @user-fh6ez4wm1j Před 5 měsíci +6

    Jesca akasema we boya acha usenge🙌

  • @ibrahimnjohole1684
    @ibrahimnjohole1684 Před 9 měsíci +3

    Kumamakeee.......huu sio wimbo ni movie.We kuma unajua kisenge yaani.Unastahili sana heshima kwa hivi unavyovifanya kwenye mziki wako.Salute kwako mwanetu huna baya hata kidogo🙌

  • @nachatvonline2996
    @nachatvonline2996 Před 9 měsíci +3

    Big up sana bro Vina. Much respect kwa huu uandishi.

  • @amostereba9368
    @amostereba9368 Před 9 měsíci +4

    😂😂jesca akamuwahi we chizi Acha Usenge😂😂 unyama sana

  • @user-tr1nx4tc1t
    @user-tr1nx4tc1t Před 9 měsíci +2

    Big time so kitoto natoa sharout kibaunsa so kinoko......hi ngoma ninyoko nanakukuhakikishia utafika mbali so kidogo.......dizasta we nimbogo kwa round hii madogo watajiona wao maloko....
    Aseeee Tena fyonko......nimekuelewa noma hii ngoma ka msokoto.....aseeeeeeeeee umetisha Kaka big man nimependa script yote Kama kitabu Cha rap😂😂🎉🎉🎉 🔥

  • @nkyaromwanawaarikasi9457
    @nkyaromwanawaarikasi9457 Před 9 měsíci +2

    Mwanahip hop msimuliaji bora, ambaye upo tofauti..

  • @lusekelomwakalinga2133
    @lusekelomwakalinga2133 Před 9 měsíci +4

    Brother unajua vibaya mnoo uko vizuri serikali inabidi ikupe tuzo yako pekeyako much respect for the thoughtfull messages ur providing to your funs respect

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya3020 Před 9 měsíci +2

    Dizasta your the Best All the time 🎉🎉🎉🎉🎉

  • @ayubukaduma1017
    @ayubukaduma1017 Před 9 měsíci +2

    Oaaa d vina ili tambo limesimaaa mnooo 100%

  • @widykicheko4872
    @widykicheko4872 Před 9 měsíci +3

    Dizasta Vina Ni kina Jo 70🙌

  • @shabannyamsalika8959
    @shabannyamsalika8959 Před 9 měsíci +3

    Bongo movie's mnafeli wapi njooni kwa mwamba awape vitu maana movie zenu hazina content za maana

  • @Memes_Swahili
    @Memes_Swahili Před 9 měsíci +2

    Vina ✊🏾✊🏾

  • @user-yv7dg9or9d
    @user-yv7dg9or9d Před 9 měsíci +2

    Dizasta Vina unajuw m2 wang I appreciate u are only one in this country

  • @jerryandrew9989
    @jerryandrew9989 Před 9 měsíci +2

    Uandishi...💥💥💥💥💥

  • @gerardndugulile8614
    @gerardndugulile8614 Před 9 měsíci +2

    Sijawahi Jutia sikiliza Nyimbo za Huyu Mwamba💥💥💥💥💥💥💥💥💥

  • @reganmmasi1246
    @reganmmasi1246 Před 9 měsíci +3

    Ngoja nikomenti ili mwaka 2070 mtu akilike inirudishe kwenye hii masterpiece... hii biti sasa acha tu

  • @jessekent5060
    @jessekent5060 Před 9 měsíci +3

    This one is legendary, will go down in history!