Rapa alivyokosa cha kuandika kwenye collabo na dizasta/Dogo janja /The verteller Album

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 09. 2024
  • Instagram: / madinidotcom
    facebook : / madinidotcom. .
    PODCAST: www.audiomack....

Komentáře • 71

  • @stevemwachi254
    @stevemwachi254 Před 2 lety +15

    Kwa kweli D uwezo wake wa kufikiri siwezi mlinganisha na yeyote..akisema yeye ni kiumbe wa mwisho wa watu aina yake namuunga mkono

  • @immanuellucass6327
    @immanuellucass6327 Před 4 měsíci +2

    Wengi Huwa hawamuelew dizasta hii n kutokan na uwez wao wa kiakil ukiwa genius dizasta unamuelew vzur 2 mwamba anajua so poah

  • @gisogiso9186
    @gisogiso9186 Před rokem +5

    Ukiwa kwenye interviews na wasanii wazito kama uyo please hold ma vitu yamaaana sio note book. Tumia ata sim au ipads

  • @stiffmenake4700
    @stiffmenake4700 Před 2 lety +10

    This man is going to be the next big thing in Rap history

  • @stiffmenake4700
    @stiffmenake4700 Před 2 lety +7

    Verteller is the best album of 2021 mtaa umeipa hadhi hiyo trust me

  • @alkaullahmediaTz
    @alkaullahmediaTz Před 2 lety +3

    ngoma zote za uyu mamba bhn, zimetungwaaa...
    he's a master.....

  • @hans_killz2624
    @hans_killz2624 Před rokem +2

    Wasanii wengi hawajajua dhana ya usanii ni nini hivyo wanaenda by vibe respect to dizasta mbali na uwezo wake katika rap huyu ni kiongozi.

  • @charlesmasali9267
    @charlesmasali9267 Před 2 lety +7

    Pale elimu inapojizihirisha

  • @semenitheclassic
    @semenitheclassic Před 2 lety +3

    Kichwaa ichoo!! “Me” nimeamuka na mskiza yeye!! Anajuwa sana!! Skiza HATIA IV and Wimbo usio bora

  • @EzzyK438
    @EzzyK438 Před rokem +2

    My man Dizasta, I love you man... You're always real in the rap game ✊

  • @shabansalum1102
    @shabansalum1102 Před 4 dny

    Wew ndyo unasikiliza mala mbili sisi tunaskiliza mala moja na tunaelewa hoja

  • @TellaaxisTz
    @TellaaxisTz Před 2 měsíci

    Noma sana

  • @bulayaconfidential7212
    @bulayaconfidential7212 Před 2 lety +3

    My verteller of all time

  • @kisabaonesmo2343
    @kisabaonesmo2343 Před 2 lety +3

    Dizasta vina wa moto kushinda jua

  • @maleek11flacko
    @maleek11flacko Před rokem +2

    Nmemjua baada ya beef na rapcha ila ni mkali tribulation aliuwa sana💯🇰🇪🇰🇪🖤

  • @officallymbonde9257
    @officallymbonde9257 Před 2 lety +3

    kwann wanajua tz awazingatiwi daah 🥲🥲🥲 vina awakuzingatii

  • @zainabmaulid9637
    @zainabmaulid9637 Před rokem +1

    Dizasta ww zaidi ya msanii yani nyimbo zako zote in mafunzo tosha nyimbo zinafaa kuhifadhiwa makumbusho ili vizazi vijavyo vije sikiliza maneno ya chakula cha ubongo%

  • @Skipa_01
    @Skipa_01 Před 2 lety +5

    Living legend

  • @nicksoncharles8240
    @nicksoncharles8240 Před 2 lety +3

    Mmetsha sana

  • @farajimwaipungu3200
    @farajimwaipungu3200 Před 2 lety +1

    Htr profesa tungo, hatia Iv , kikao , siku mbaya

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Před rokem +1

    Jamani Kama mpo lecture room 😁😁madini mengi, mtahani lini?

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 Před rokem +1

    Aliyo ongea vina ongeza na yakwako, maana sio vyote ni sahihi

  • @Paplick9
    @Paplick9 Před 2 lety +5

    Dizasta vina the brain act

  • @jophreymsona8849
    @jophreymsona8849 Před 2 lety +2

    Mtangazanji mahojiano yako umeharibu kwa kutaka kuongea zaidi ya dizasta maswali juu ya juu mpka dizasta alikuwa kama yy ndio mtangazanji daaa

  • @Makavelithedon2086
    @Makavelithedon2086 Před rokem +3

    *Watu wa aina hiyo ni mimi na Dizasta Vina na tumebaki wachache yaani sisi ni ma optimist pia ma philosopher*

  • @ernestmlonganyundo1139
    @ernestmlonganyundo1139 Před 9 měsíci

    dizasta ukitak kumtafsiri utaishia kiumwa kichwa . he s so gineous

  • @Thedonrboysuper_tz
    @Thedonrboysuper_tz Před 2 lety +1

    Dizasta vina noma sana kaka

  • @eddiemohamed9003
    @eddiemohamed9003 Před 2 lety +1

    MASTER MIND Blexx xana Dizasta👊👊👊

  • @luckylakey0613
    @luckylakey0613 Před rokem

    Jamaa ameiva fasihi✌️🇰🇪

  • @WakujaTech
    @WakujaTech Před 2 lety +3

    Huyu sio mtu ni jini 🤔

  • @johnrichard5482
    @johnrichard5482 Před 6 měsíci

    #Dizasta_Vina 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @elibarikilukasimakala5534

    Asili ya ndoa ni ...

  • @KenzoVEVO
    @KenzoVEVO Před rokem

    Nkukubal San mwalim wangu

  • @buruanisaidi2411
    @buruanisaidi2411 Před rokem +1

    MUNGU WA RAP

  • @Sharifufaki
    @Sharifufaki Před 9 měsíci

    Dakika kumi za maangamiz zimenifanya nimjuwe huyu jamaa na kumkubali na nitamkubali daima

  • @hustlaztv2352
    @hustlaztv2352 Před 2 lety +1

    👑✍️

  • @freemonhenry3448
    @freemonhenry3448 Před rokem +5

    Huyu jamaa level yake ya elimu ni ipi? naomba jibu wadau. Vitu anavyoongea si vya level ya degree 1, kibogo bongo.

  • @neymarkusekwa3059
    @neymarkusekwa3059 Před 2 lety

    Lost one
    Alivaa siketi
    Unaweza than ni kident

  • @JapharyKinyanyu
    @JapharyKinyanyu Před 4 měsíci

    Is most brroo

  • @alfaheduwad8537
    @alfaheduwad8537 Před 2 lety

    Jiniiiiiii

  • @mchovungangari1889
    @mchovungangari1889 Před 2 lety

    Muscular feminist... I got you vina from +254

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 Před rokem

    Dizasta Vina heshima

  • @hemednassor4560
    @hemednassor4560 Před rokem

    Hamna kitu apo

  • @paticotz2513
    @paticotz2513 Před 2 lety

    Uyu jamaa mi ntakuja kumpa tuzo atakama ni uzeeni

  • @bigdasso2825
    @bigdasso2825 Před 2 lety +3

    Acha kujisifu wew kaa na one the incredible tuone au Nash mc Nikki mbish nd kiboko yako

  • @mcgeemwamba9303
    @mcgeemwamba9303 Před rokem

    Kado Kitengo vs Gee Mwamba X Nikki mbishi czcams.com/video/txNU3kpJQ60/video.html

  • @Edward_Simon6
    @Edward_Simon6 Před 2 lety +2

    Wew mtafte fid q tuu ndio mnaendana hawa wengine kwa rap yako n vichwa panzi tuu mwamba #disaster wew n tatizo brooo🤣

  • @g-father9352
    @g-father9352 Před rokem

    Fundi, atengeneze shule yake ,,atugaiye iyo technology.
    youtube.com/@g-father9352