RECAP: RAY VANNY na vita vya maneno na PAULA, nani alimpenda zaidi mwenzie? FAHYMA amedhalilishwa?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 08. 2024
  • Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Komentáře • 185

  • @user-hn3km9ex5r
    @user-hn3km9ex5r Před rokem +26

    Rayvanny mwanaume mpumbavu sana yaani ogopa sana mwanaume asiyekuwa na msimamo,anaeza sababisha muuwane mkiwa hamjielewi kutokana na upuuzi wa mwanaume

    • @allanothuman2941
      @allanothuman2941 Před rokem +1

      kwanini mahusiano yaje mtandaoni kwann yasiwe kimy kimy kwann wakifany mapenz yao awatuonesh wakiachan na story kibao n ujinga tuh akun upend apo n el tuh nd zinafatwa alaf Paul anaend na upep wa msanii kweny game

  • @stevenckanumba7
    @stevenckanumba7 Před rokem +11

    Sns tunawapenda sana munajuwa sana afu sauti zenu zote fire 🔥🔥🔥🔥🔥 Mungu awabariki mufanye mengi mazuri 🙏🙏🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩❤❤❤❤100%

  • @user-hn3km9ex5r
    @user-hn3km9ex5r Před rokem +16

    Nashindwa kuelewa why fahyma anazidi kumng'ang'ania Rayvanny wakati jamaa hamheshimu

  • @Lina4285baby
    @Lina4285baby Před rokem +6

    Fayma is back up in rayvanne is life believe me 🤦🏾‍♀️ I like them together but sometimes you need to move on

  • @olivemauwa2877
    @olivemauwa2877 Před rokem +4

    Jama wa kofia nyeupe uko right sanaaaa

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Před rokem +13

    Fahima anatumiwa tu maana mwanamme kama anakupenda hawezi kufanya yote hayo

  • @eliakejijoseph1422
    @eliakejijoseph1422 Před rokem +8

    That’s why I love u guys 😊😊

  • @rossarutasha9391
    @rossarutasha9391 Před rokem +3

    Nami napenda Raivanny akiwa na Faivanny yule mwanamke materiel❤❤

  • @anicyaedward6257
    @anicyaedward6257 Před rokem +15

    Mimi tu niseme apart from your works 💪 guys this utube chanel its growing mpaka nafurahi kiukweli. Keep it up SNS

  • @JudithKigalu-ue3in
    @JudithKigalu-ue3in Před rokem +10

    Paula wewe ni super star. Unatikisa tanzania. Wache wakuseme kupitia masemi yao njoo mungu atakubari wache wakuchambe ginsi wanapenda. Na bila kuzarauliwa mungu awezi kukuinua. Baraka yako iko njiani. You are the best ❤❤❤❤

    • @Chrisblaze-beats
      @Chrisblaze-beats Před rokem +3

      Supastar wa nyoko😂😂😂Yani we unajifunza kwa paula nini?😂

    • @JudithKigalu-ue3in
      @JudithKigalu-ue3in Před rokem +1

      @@Chrisblaze-beats kukuwa superstar sio tabia ni kujulikana...mitandaoni sio fasi ya kujifunzia...

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le Před rokem

      Ahahaaa halooooo

  • @massejobbs4284
    @massejobbs4284 Před rokem +41

    Rayvany anampenda paula kuliko fahyma. Lakini Paula anamuumiza kichwa. Fahyma wife materiel… rayvany anapenda watoto wadogo, ariziki. Mimi nampenda fahyma, anaakili sana.

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před rokem +2

      Hiyo ndo shida ya wanaume wetu, Kwa nini aliachana na Paula kama bado anampenda? Ok hata hivyo ya nini kuchambana kwenye mitandao?

    • @massejobbs4284
      @massejobbs4284 Před rokem +1

      @@MsAggie5 ameachana na Paula sababu ni ametembea na kaka yake wamuziki. Iyo niishara ya kudanga.

    • @michellekiilu621
      @michellekiilu621 Před rokem +1

      @@massejobbs4284 bona Ray alitebea na dada wa kazi ??

    • @massejobbs4284
      @massejobbs4284 Před rokem +1

      @@michellekiilu621 Ndio Rayvany ariziki… ana tamaa yangono . Ficheni vitoto vyenu 🤣🤣🤣

    • @amanimapenzi571
      @amanimapenzi571 Před rokem

      Kweli kabisa

  • @michellekiilu621
    @michellekiilu621 Před rokem +12

    Nakubaliana na mweye kofia , Ray anampenda paula ,juu y Ray kama alirundi kwa faima alienda kwa show ya kina paula kufaya nn ??. . Faima kuzaa na mwanaume sio kumanisha anakupenda .

  • @videlialabeka4899
    @videlialabeka4899 Před rokem +9

    Paula anajiona sukari ..atachezew tu kama wema Sepetu

  • @maryamconstantine2232
    @maryamconstantine2232 Před rokem +10

    Kuna mtu mmoja alisema kuzaa na mwanaume haimaanishi atakupenda daima, kuna wakat ni lzm kukubali matokeo Ray bado anampenda paula.

  • @ZuenaAbdallah-ne6zt
    @ZuenaAbdallah-ne6zt Před rokem +4

    They love each another

  • @fannyfarrah
    @fannyfarrah Před rokem +7

    Nilikua nasubiri sana hii recap 🙌

  • @ghadaalzuhari2739
    @ghadaalzuhari2739 Před rokem +12

    Paula kajuwa kumchamba rayvanny kweli kweli khaaaa 😂😂😂❤

  • @nazzmalicha1836
    @nazzmalicha1836 Před rokem +1

    You guys are talking facts

  • @user-yd8sp4es9n
    @user-yd8sp4es9n Před rokem +1

    Ravnyn Chuiii kasha kuja faihiyma ❤

  • @hakizimanamoosa1157
    @hakizimanamoosa1157 Před rokem +12

    Paula anampenda sana chui iyo aina ubishi

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp Před rokem +11

    Paula hapo kusema alikuwa bikra
    Ni kujizaririsha mwenyewe
    Paula atulize akilii

  • @bama9271
    @bama9271 Před rokem +5

    Rayvanny alitakiwa kukaa kimya tu na wala asingemjibu chochote kile na mwishowe Paula angekaa kimya!!! Na hii pia inampa Marioo nafasi ya kujitasmini na kujua huko na mtu gani katika mausiano maana Kama kwa Rayvanny yametokea haya,ajuwe hata kwake pia inaweza kutokea!!!!!!

  • @hi-fx1er
    @hi-fx1er Před rokem +2

    Chris ni fire 🔥

  • @alinebakome
    @alinebakome Před rokem +1

    Cruiz unaakili sanaaa rayvany hamtaki fahyma wanalea mutoto tu ,ila Mungu amjalie paula apate mume

  • @kevinishailiza
    @kevinishailiza Před rokem +3

    Rey hajielewi ni mwehu from 254.

  • @user-hn3km9ex5r
    @user-hn3km9ex5r Před rokem +11

    Ila Paula kajua kumsuza Rayvanny 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @agwalubifaridah7079
    @agwalubifaridah7079 Před rokem +7

    Creez is right esco wacha zako Rayvanny doesn't respect fayma Rayvanny anaposti posti Fay kumuumiza Paula tu ila bado anampenda Paula sana.

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před rokem +3

    Kwakweli naungana na criz juu ya Mario awe makini ❤

  • @emanuelkitojo-mp1ks
    @emanuelkitojo-mp1ks Před rokem +1

    True faymah n back

  • @millymack1370
    @millymack1370 Před rokem +2

    Ray hakua na nia ya Kumjibu Paula lakini Fayma ndio alimpush Ray aseme jambo ili aonekane ako upande wa Fayma(baby mama).

  • @lucymtuka6393
    @lucymtuka6393 Před rokem +3

    Rayvanny si mwaminifu hpo fayma ajiandae

  • @Zinbo-pc9uu
    @Zinbo-pc9uu Před rokem +6

    Rayvanny anampenda paula sema fahyama hajiamini

  • @salamanauthar5261
    @salamanauthar5261 Před rokem +2

    Tusojua kuongea Ila kuandika tupo vizuri' tujuane hapa kwa like👇

  • @emilymula645
    @emilymula645 Před rokem +2

    I also have a feeling Fayma is just used used as a standby generator.
    Chui knows she'll more often than not b there anytime anyhow..🤔🤔

  • @barankenyereyejosh8410
    @barankenyereyejosh8410 Před rokem +1

    You are great researchers. No information goes unnoticed for you ...I love you guys and then you form a magic trio. Baby sky nani tena😂😂😂 mke wa sky worker? Eti nini??muuzaduka ni kisuuuu ni pisi kali😂😂

  • @trendz_2548
    @trendz_2548 Před rokem +1

    Napenda hii segment sana 😂😂😂😂😂❤❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @JescaTapule-ln9qu
    @JescaTapule-ln9qu Před rokem +1

    Paula Hana mpango wa kurudiana na rayvany ndy maan amejiachia kwa kumchamba..
    Mkumbuke fahyma alivotunza heshima ya rayvany alikua anaweka matumain na uhuru wa rayvany kurudi kwake...
    So Paula amemove on..
    Kikawaida

    • @vickydan2869
      @vickydan2869 Před rokem

      Unaakili ww sisi wanawake tunajijua kama mtu tunamhitaji tunamchia madhaifu ila pau ni wazi hamtaki fat guy na ikitokea wamerudiana bac fat guy atakua ametumia nguvu nyng sana na pesa

    • @nahimagingo1289
      @nahimagingo1289 Před rokem

      @@vickydan2869 kweli kabisa💯💯

  • @bigirumanalululouise4540

    Leo mimi wakwaza like zangu nipeni❤❤❤

  • @suzan4200
    @suzan4200 Před rokem +4

    Ni kwel kabisa marioo anapotezewa muda apo na anaharibiwa uvulana wake tu hahahahaha unaona kabisa hata wakiwa out the girl hayuko happy kabisa like anaforce kuwa happy kwenye hayo mahusiano

  • @user-hn3km9ex5r
    @user-hn3km9ex5r Před rokem +5

    Ray kilichompeleka bagamoyo ni nini??

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před rokem +4

    Kwa Sasa Mario ashapoteza mashabiki ,,,,,mm sitamfatilia tena😁😁😁

  • @bullsjoy254
    @bullsjoy254 Před rokem

    Rayvanny anampenda sana paula fayma ni backup umeongea ukwel kabisa chriee❤❤❤❤

  • @user-hn3km9ex5r
    @user-hn3km9ex5r Před rokem +7

    Rayvanny aende gym apate pumzi ya kitandani 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂ila Paula

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 Před rokem

    Sijui kwa nini watu wengi wanaangalia ukali wa shape na uzuri. They are other important things to make a woman good

  • @meedahasger2715
    @meedahasger2715 Před rokem

    Dahhh i love you guys 👌

  • @uwinezajohara8362
    @uwinezajohara8362 Před rokem +2

    Wote walipendana

  • @massejobbs4284
    @massejobbs4284 Před rokem +4

    Cris anaongea ukweli.

  • @merinakassembe4251
    @merinakassembe4251 Před rokem

    Appendix marioo

  • @merinakassembe4251
    @merinakassembe4251 Před rokem

    Nikweli chriss

  • @KayagoAziza
    @KayagoAziza Před rokem +1

    Kwenye picha kwa kweli ray anampenda Paula kuliko fayma ye mwenyewe kasibitisha amerudi kwa sababu paula katembeya na diamond ila bila Ivo asingerudi mazima

  • @xingho3990
    @xingho3990 Před rokem

    Kapole kale...lakini kanafirwaa!

  • @efrahfarahahmed8960
    @efrahfarahahmed8960 Před rokem +1

    😂😂😂 leo mmenichekesha sana dah

  • @willsalsina220
    @willsalsina220 Před rokem +1

    Daah naomba sikumoja nije nihojiwe nanyie ....maana iyi u tube channel inaoitwa sns inanifurahisha saana Sky na chris munakiwasha kweri keep it up guys we love what u did

  • @NoorAli-gk8bj
    @NoorAli-gk8bj Před rokem

    Uyo reivani kama anampenda mzazi mwenzie kwann asimuowe namtu kabadilisha adi dini anaupendo wadhati kuwa chezea wanawake tu mwanaume asojielewa nimtihani mtupu uyo awapendi anawatamani tu

  • @maryamsaid3297
    @maryamsaid3297 Před rokem +1

    Napia marioo kutembea napaula kashajengachuki kwa chui na harmonize kwasababu yamama namtoto

  • @pichunakichuna2111
    @pichunakichuna2111 Před rokem

    Paula she’s not a kid she’s 22 years she knows men way back before sio rayvanny alimtoboa anyways blame the mother 🇰🇪🇨🇭

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 Před rokem +1

    Mimi apa naona rayvanny n paula bado wanapenda na sana ila ndo ivyo n mda wote wote wakasema warudiane watarudiana na fahyma kumuacha Ray ni ngumu yaan atabki kuwa side chick 2😂😂is

  • @angyadongo3534
    @angyadongo3534 Před rokem +1

    Faima ndio back up

  • @rosejoely4518
    @rosejoely4518 Před rokem +1

    Yani haina tochi chui anampenda sana paula

  • @olivemauwa2877
    @olivemauwa2877 Před rokem

    Chris u are very vry right 🤜🤜🤜

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 Před rokem

    Ajiue tu

  • @ZuenaAbdallah-ne6zt
    @ZuenaAbdallah-ne6zt Před rokem +1

    Jamani si mume wake

  • @mkamajames2786
    @mkamajames2786 Před rokem

    Mngeangalia interview ya wasafi Mario alivyo muongelea mboso na mboso na akajibu kwenye inter view ya the switch sns fatilieni iyo afu miweke recap

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Před rokem +2

    Mama anaejitambua hawezi kusaport umalaya wa mwanae kubadilisha wanaume eti kila achotaka amfanye tu nimchekee kajala ni mtu mzima kisoda na mtoto ana sauti kuliko mama

    • @CollisBill-mu3zp
      @CollisBill-mu3zp Před rokem

      Ni kwelii

    • @pendo8082
      @pendo8082 Před rokem

      Kweli

    • @agwalubifaridah7079
      @agwalubifaridah7079 Před rokem +1

      Wanaumme wangapi amebadilisha ?ukiwa na mtoto msichana na unaongea vibaya kwa mtoto wa mtu wako atakufunga mdomo

    • @CollisBill-mu3zp
      @CollisBill-mu3zp Před rokem

      @@agwalubifaridah7079 😅😅😅😅 Hangalia ww sio mtoto wa m2
      Lazma tukosoe

    • @salmaathuman9156
      @salmaathuman9156 Před rokem

      @@agwalubifaridah7079 mie kama mzazi siwezi kulea huo ujinga mtoto umleavyo ndivyo akuavyo acha kusapot ujinga

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 Před rokem

    Kapata umarufu wa kubadilisha wanaume na ku share wanaume na mamake

  • @merinakassembe4251
    @merinakassembe4251 Před rokem

    Sio kweli hampelnde nakutoa Ainu kwawote

  • @mwezzireen17
    @mwezzireen17 Před rokem +7

    Paula anaumia san na penzi la rayvnny😂

  • @uwinezajohara8362
    @uwinezajohara8362 Před rokem +2

    Mwenye kosa ni Rey sababu fay ana Luhusa ya kusema eti Rey wamtowe kwenye kipindi Chao na wajuwi yenye yako nyuma ya pazia

  • @classicwaisala6677
    @classicwaisala6677 Před rokem

    Kalisa achafuwa Ali ya ewaa sns..... # fahima kama faima rooh inapiga kwa kasii...

  • @chainbre275
    @chainbre275 Před rokem +1

    Escko Bana eti global boy

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 Před rokem

    Kama mimi ningekuwa Fayvanny ningeachana na huyo mwanaume maana ningewaza alishawahi kuniacha sababu ya demu mwingine na ataniacha tena yaani ni kama vile mwanaume akikupiga siku ya kwanza atarudia kukupiga tena Fahyma ni mrembo sana angeweza kupata mwanaume aliyetulia ambaye atampenda yeye kama yeye sio kuwa na tamaa na wanawake wengine

  • @zinthaahmed5751
    @zinthaahmed5751 Před rokem +1

    Lakini kwa kuchamba juma lokole kakubali mwenyewe yy alimsaidia kuchamba

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 Před 8 měsíci

    Paula anampenda Chui na Chui anampenda paula

  • @Bwenge-minecraft
    @Bwenge-minecraft Před rokem

    Creez ume ongeya point kama kweli ana mpenda asinge muhonesha baby mama wake zaruu zile!!

  • @freadyjackson315
    @freadyjackson315 Před rokem +1

    Nakutambua sana Chuiii ravnnyn kwakweli rayvanny wanapedana fahiyma♥️😃

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Před rokem

    kweli Fayma anauwezo wakumuasha.

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 Před rokem

    Hawapendi wote ana play tu!
    Paula ni vile kijana wanaume hawatosheki bora a move on aachane na huu upuuzi, Fayvan ni material jamaa anahangaika lakini aki compare anaona hamna future anarudi kwa Rayvan

  • @user-hn3km9ex5r
    @user-hn3km9ex5r Před rokem +3

    Ni kweli mondi kamla Paula tena kwa nyumba yao wakati mamake alihamia kwa harmo

    • @freelancer6368
      @freelancer6368 Před rokem

      Tupe picha wewe mmbea..Mondi Kwanini aende kwa nyumba ya kajala wakati ana nyumba yake statehouse mbezi hata hamjui kutunga uongo... Mwingine alisema alimla kwenye gari so which is which hebu mkubaliane mtuambie uongo official ni upi

    • @pendojeremiah1023
      @pendojeremiah1023 Před rokem +1

      Mitandao itawapoteza mnahukumu sana

  • @millymack1370
    @millymack1370 Před rokem

    Chris ako sahihi kwa hilo la Ray hampendi Fayma...ni vile tu kazaa naye na anajua Fayma atamkubali siku zote hata afanye mangapi.

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Před rokem

    Chris unampnda Paula uyo Fahim kwann alikuja kuuliza kwann asimuulize uyo rayvany achenii izo

  • @christinembeye5489
    @christinembeye5489 Před rokem

    Nakubaliana na Creez 100💯✔ Ray anamdhalilisha sana Fahyma. Uvumilivu wa Fahyma ni wa Kijingaaa. Kwanini Uzalilishwe kama vile Mwanaume ni Mmoja tu Duniani?
    Fahyma amka!!!!

  • @bovickpascal6554
    @bovickpascal6554 Před rokem

    Utafiti unasema kana wa toto hote wanao lelewa na mama zao huwa hawana heshima kwa hiyo m,we makini ninyi wa toto wa mama

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Před rokem

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌.

  • @merinakassembe118
    @merinakassembe118 Před 8 měsíci

    Hata sasa yuko na marioo Chui akimwambia tika njol paula anatoka upesi kwenda kwa chui

  • @anicyaedward6257
    @anicyaedward6257 Před rokem +1

    Mange kimangi aliadress issue ya mond kudate na Paula before kwiki tatu zilizopita na kwann urafik wa zuchu nq paula ulikufa kisa ni hicho

    • @freelancer6368
      @freelancer6368 Před rokem

      Urafiki ulikufa baada ya kajala na mtoto wake kurudi kwa Kondeboy na yeye alikuwa mtu wa karibu wa Diamond so she cut ties..Yaani kila Zuchu akipunguza ukaribu na mtu basi diamond kammega.I understand those blogs without that name diamond hakuna mtu atafuatilia habari zao especially mange without diamond is just useless .That name alone brings enough traffic to bloggers. Now issue ya Diamond inatrend kuliko drama yenyewe.... No pictures No videos not even hearsays kwani walidate in which world?

  • @sistersade9039
    @sistersade9039 Před rokem

    Mie naona Marioo pia ni smart enough kujitoa kwenye ukimya na ku play on his comfort zone na kuingia mtaani kwa kuzungumzwa kila kukicha, he needed that nayeye anajua hivo. Atajenga fan base yake na atagain viewers and subscribers anohitaji at this point. Na achangamke kidogo, kwani watu wa wcb ndio iliowajenga. Marioo anaingia kwenye ulimwengu wama stars sasa 😊 atajufunza tu 😂😂😂😂

  • @mohammedkombo9798
    @mohammedkombo9798 Před rokem

    Samaki ukishamvua humpi chambo Fayma vs Rayvani!😊

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před rokem

    Ila Esko😅😅😅😅😅😅

  • @ayubundossi8903
    @ayubundossi8903 Před rokem

    Save my comment fyma yupo kwenye maumivu flani hivi makali sana ila kuna dude analiandaa Rayvan atapigwa na kitu kizitoo sanaaa

  • @pendo8082
    @pendo8082 Před rokem +1

    Ety ooh kifupi km Red Bull ooh Paula ni mjinga anavyozidi kumuongelea Rayvanny ndio anazidi kuchafuka tena anazidi kuonekana kahaba😂😂😂

    • @jescatebuye2287
      @jescatebuye2287 Před rokem

      Kwani yeye alikwambia anywe maziwa ! Tusi ni tusi tu 😂😂

    • @pendo8082
      @pendo8082 Před rokem

      @@jescatebuye2287 sasa hapa Paula ndio changu na ivo ndio inavoonekana

  • @loicebaraza
    @loicebaraza Před rokem +2

    Mwanaume anaweza kuwa nawe na hakupendi,Ray alipokuwa na Paula,hakuruhusu mtu amuongee vibaya Fayma,atazurura kote arudi nyumbani

  • @pendojeremiah1023
    @pendojeremiah1023 Před rokem

    IPO siku fahma atamchamba rayvany kuliko Paula maana 100% rayvany Hana true love na fahma

  • @merinakassembe4251
    @merinakassembe4251 Před rokem

    Alafu trip za Zanzibar na Dubai kwa Paula Simonides tena

  • @josephinerclemence7804
    @josephinerclemence7804 Před rokem +2

    Paula hampendi marioo anafosi love tu ili kumuumiza reyvany Paula anampenda Rey naamini hilo

  • @africanbeauty6556
    @africanbeauty6556 Před rokem

    I think Chui he mean Jux

  • @popiya2368
    @popiya2368 Před rokem

    Chris hivi hujijui wanamme mlivyo nyie, Fayhima siyo backup Hilo hapana jamaa wa katikati ana point sana

  • @mkamajames2786
    @mkamajames2786 Před rokem

    Na ata juma lokole alisema kuwa alikua na Paula alivyo kua anamjibu vanny msikilize masham sham then mtengenez recap ingine

  • @mariamibrahim6738
    @mariamibrahim6738 Před rokem

    Ray sngekuw ansmpnd Fahim swezii kumuonesha ushenzi

  • @aminaabdallah3644
    @aminaabdallah3644 Před rokem +1

    Chris 😂😂😂😂ww

  • @millymack1370
    @millymack1370 Před rokem +2

    Kama Ray alimwacha Paula kisa Simba..Mbona bado kamfuata fuata baadaye