RECAP: Vita kati ya Majani vs Sallam SK / Baba Levo, wamemkosea heshima kumuingiza Kajala na Paula?
Vložit
- čas přidán 13. 09. 2024
- Baada ya P-Funk Majani kudai kuwa WCB inadidimiza wasanii wake, Baba Levo aliibuka na kumkejeli mtayarishaji huyo mkongwe ambaye alimjibu kwa kuibua mazito.
Jibu lake lilimuibua Sallam SK ambaye alimchana kwa kumweleza kuwa jukumu la kumlea Kajala na mwanae Paula amemuachia Harmonize. Tunajidili kwenye #Recap
Mnapindisha maneno sana SNS ... Hivi msani anachukua 40% wcb wanabaki na 60%... Bado kwenye hiyo 60% kuna branding ya huyo msani ,kumshutia video,kumrekodia audio,.... surely hapo unyanyasaji unatokea wapi.... Branding ya wasafi iko juu sana na ndo maana wasani wa wcb wanabaki top.... Diamond platinumz should be awarded and not insulted.... Let's speak facts Diamond platinumz is the Godfather of music 🎶 industry in east africa
Ww unaushahidi gani ktk hilo acheni kukurupukia mambo ya ndan ya watu msio yajua
Kweli kabisa simba anafanya wonders kama ni rahisi kila mtu amchukue mtu amfanye kuwa msanii mkubwa
Kabisa brother
Kwaza unatamani diamondi asiwashike tena mukono
Fikiria sanaa tena sana tu, ukisema demon ndio father wa east Africa, tutamweka wapi ruge,
Sky mimi nakuomba ujitahid kua na ma board guards maana kipaji chako na ideas zako nzur Allah azidi kukuifadhi na vijicho
Mungu atamlinda
🤭🤭
Hapo ndg yang #Sky_walker ni kama mmemuogopa sana P Funk
Amna Lebo yenye nguvu na kuwatoa wasanii kimaisha haraka kama wcb kwaiyo mkataba ni mkataba tu! Niwewe kuhamua utakokwenda mwenyewe.
Sure thing , majani amesimamia wasanii kibao ila wengi wao hawajafanikiwa
Kila kitu kina ku
Muda wake mzee
Nyie madogo mnajua Music industry ya 2000??, P funk, alimdulumu Juma Nature, albums,, Tukianza kumchunguza P funk, alikua mpaka a napiga wasanii, mfano sister P, alishushwa on stage TABATA, P FUNK NI MNYONYAJI NO MOJA
P funk kaishutumu kampuni ya wcb ni sawa na kushusha thamani, hakuna Manager wa wcb watanyamaza kuichafua wcb yao lazima watajibu mashambulizi. P funk ana lebel na msanii na wasanii wa zamani anajuwa ugumu wa kusimamia wasanii,
Majani kaweka oja nzuri sana mezan tena kinafaida kubwa sana lakini na hamini wataelewa badae big up majan
ni kweli naungana na wewe ila, diamond kaigeuza bongo fleva kua pesa, unasemaje?.
Akili ndogo ngumu kuelewa mambo haya wao wcb wcb
Majani kaongea vizuri unahuhakika uwezi kujua biashala ya mtu majani alikuwa anafanya mziki staree daimond anafanya mziki kazi apo ni vitu viwili tofauti tatizo daimond anajitambua sana
Sas ba levo anajua nini zaidi yakutaka kuzaa na sasa hivi anataka kupunguziwa dhambi za daimond jinga san mropokaji hovyo
Juliana nakupenda bureeeeee!!! Weweee ni kazuriiii tena xhuma kweliiii!!!!
Ifikie hatua majani atunze heshima yake ata yeye kipindi yupo hot alinyanyasa sana watu atulie kwa sasa asiwe na wivu na mafanikio ya watu atulie shindano imuingie vzr
Big up sky
tatizo kubwa watu wachache wanachukia lebo ya WCB kuwa wanafanikiwa kwa kila wanachofanya.. wanaipiga vita ili waishushe ila kwa Mungu hata mufanye nini aliempa kishampa na kama kushuka atamshusha mwenyewe Mungu na sio binaadamu.. ukiangalia wasanii wote wa Tanzania waliopata spotlight kwenye muzik na kujulikana Ulimwenguni ni kutoka WCB LEBO sasa wanaona choyo na kujaza watu chuki
Production especially Music, as technology ina advance, Tanzania 🇹🇿, hakuna Produza Mkali tena , bali kama Mtu anaweza afford kununua soft ware, nzuri za production , yani ukiingiza vocal, software inapanga Biti na melody, gitaa, kinanda, drumz, trumpets, kila kitu, ukiwa na computer knowledge, na hela ya Apple 🍏, umeshamaliza kazi,
SNS online media ya uhakika. Kwa Diaspora this is among the top 5 most trusted online media from Tanzania
Hapa shida si vile majani aliongea, shida ni vile alimtaja harmonize, na huwa hawataki konde boy aongelewe ndio shida inapotokea, konde boy ana wauma sanaaa na bado, konde boy to the world
Kwel kabisa
Mara ya kwanza hakumtaja huyo hamo
Ww na majani wote mnapigwa pumbu huyo majani hana hela mpk kajala kamuacha unazani padogo huyo majani anatakiwa avexhwe xhanga mxhamba xn tn ni mjinga xn na mpumbabu
@@saidymnongerwamgaya6996ati majani hana hela, wewe unazo? Ama niza w,c,b unaongelea,
Pamoja na compliment kwa SNS ,p funk kuongelea asimilia za wasani WA wcb ni kosa kubwa Sana.ask country boy contract yake kondey music ulikuwa 40 in kwa 60 !!?
Tatizo walitegemea harmonize atapotea sas wameona konde wa moto wamebaki na hasira za kufa mtu. Hivi salam ana mke au ni shoga
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Shoga flan tu ivi
Wote mashoga palee mashoga poa
kwakwel harmonaiz anawauwa watu🤣🤣🤣
@@saudazigaba2424 anawauwa kwa kipi pake wasabi wa hamor wote hawana jipya pare
mpo bize kama mnachambua kombe la dunia vile😄😄
Nyoko nyoko wewe pia uko bize unaskiza mbona
Wanaojua jua hayo mambo ni wachache sana, masta j, p funk wanaofuata uelewa mchache
Wamesoma hao sio tu Mziko bali hadi Haki ndio maana wana Uelewa mkubwa wa mziki hao maProducer wawili
@🇬🇧🇬🇧🇬🇧 You are the best SnS.🇹🇿🇹🇿 Mko very professional when mkifanya haya haswa panapokuja kwenye udaku ambao unaipoteza out or country. NAWACHUKIA MACHAWA SANAAA WANAHARIBU A LOT OF STUFFs IN OUR COUNTRY
keep it up for your good work"
Bila WCB watu hawaendi mjini
Sasa Majan Nae Atulie Atuache Sisi Wa WCB Hatimae Mtu Ukiwa Mkubwa Inatakiwa Ujiheshimu
Hermonize alisema wapili kutoka ni rayvan.hamulioni hilo 😄🤣
Watatoka wote
Ushauri wangu kwa WCB huyo p funk anatakiwa kufunguliwa kesi ya ushalilishaji wa label Yao maana kutokufanya hivyo itapelekea kwa alicho kisema p funk kuwa ni cha kweli ili sasa aende aka thibitishe alicho kisema na sio vinginevyo 👏👏👏😀😀😀
Kipindi awajawa mastar mbona atukuona malalamiko iweje leo wamekuwa mastar ndoo wanaona wananyonywa
Yanii apo amesepa na kijijii Cha family ya P 😂😂😂😂😂😂😂 aisee baba levo noma senaaaa
Wewe PF Ume watowa wangapi ???
Wengi tu
wcb wamepigwa na kitu kizito baada yakuskia jina la harmonize yaani ukimtaja jeshi mbele yao wpatwa na stress
Wafanye mambo Yao waachane na WCB
@@khadijarashid3926 wcb kubalin ssa kma mko wakandamizaj mbona mkiambiwa ukwel unauma
@@hamissimonami2519
Taja record label inayotoa msanii mpaka anakuwa mkubwa wa kushindanishwa na mmiliki wa record label husika.
Hizo record labels nyingine wasanii wake hawapati hata fursa za publicity na promotions na wanabaniwa wanaishia kuwa underground kwenye career zao, kongole pekee zimueendee Diamond kwa moyo alionao kuwainua na kuwaendeleza wasanii mpaka wanashindanishwa naye na wanakuwa International stars.
jeshiii
Muropokaji bila “Harmo” haitatrendi 😆😆😆😆 so kamuwa kutiandani “Harmo”
Majani big up kwaku kakimya. anyways how Kajala, Harmo, and Paula wanahusika mulendani mumaneno yamuziki 🤦
Kuna MTU alisikika akisema usicheze na sehemu inayomfanya mwanaume apate riziki yake. Jibu unalo🙋🏾♂️
Yan kwawanawo mujua salam nimutumuzima yuko kama hajielew kwakauri zak
Amakweli baba levo nimecheka nikutetee alafu nikulipe nimerogwa🤣🤣🤣
Acheni kumtetea p funk
Huo n upuzi na wiv diomond angekuw mdidimizaji lini akina mbosso, rayvanny na harmonize wangekua achen kuchafua ukweli diomond fireeeeeeeeee
WCB FOR LIFE
Hamuani shida kwa alicho ongea p kwer nyie ampo makini ile ni bland wazee bora asinge taja Jina tena kataja na jina wcb,
Saw majan ana matatzo yke sn t ila ameongea kw fact lkn WCB hususan salam sk amejb kienyej san angejb kw fact pia SK amejb kitaarab san😏
Kwa iyo boss na mwajiliwa walingane itakuwa raha Kama ni ivo
sasa kwa wcb kama ikichukua 60% na msanii akichukua 40% shida iko wapi na wakati lebo ndo inagaramia kila kitu??? embu majibu tafadhali
Ssa kakosea wapi hapa hilo jipua ndo mwijaku husema hakusoma sabbu haelewi cchote
Majani had a choice of not talking about mikataba ya Wasafi during the interview. How well does he know about it? No one knows the truth about the contracts except the artists and WCB management. Has he ever been part of the WCB team? You just can't go bashing other people's businesses and expect to be left alone. Let's just say, he brought all this to himself.
Absolutely you spoke so eloquently there … ma guy just bought a case ya know lol
Baba levo ndio anaharibu sana hadi mengine yanaibuka
Mada nzuri sana... ila kwa swala la producers kubenefit kwa haki miliki ni ngumu sana Africa... ni hayo tu, juu ya wivu na producer wakubwa hawataki waungane na producers wa underground, Majani kuingilia mikakati ya WASAFI.. hapo amejitia kidole, kutamwalibikia kama FID Q kusupport ule jinga eti akaongoze sijui nini ile.. hadi waleo ata asome vitabu, tulishamsahau na legacy ikashuka, so majani achunge anako kanyaga kabla, stress zimshike!!
FRED MBUNDARA WEWE NI MCHAMBUZI MKUBWA SANA PIA TUNAKUANGALIA ZAIDI JARIBU KUWA MAKINI KATIKA KUZUNGUMZIA KITU. P FANK NI MKUBWA ANAA PIA HANA HAKI YA KUZYNGUMZIA MIKATABA KWASABABU HATA YEYE ALIKUWA HIVYO. KUWA MAKINI SSNA PLATFORM TUNAIYAAMIMNI LAKINI USIPOKUWA MAINI BROTHER YOU WILL LET US DOWN
P fack upo sawa sana 🤝👊
Mange kanunua ugonvi wao
🔋🔥🔋
baba revo gajuerewi kbs
Tafuta habari zinazo eleweka. Acha uchochezi wakipumbafu🤔😏🤔
😂😂😂baba levo akili yako waijua mwenyewe
Km yy legend hakupasw acritisize biashara z wt in public hlf aachiwe he gt wt he deserved
Kkkk eti Rapcha angepewa mwana hipop Bora hivi ni kweli?? Lunyaaa , Mbuziii akiwepo wapi??
Kiukweri ankuna muajiri ana weza kumlipa muajli wake pesa inayo zidi kampuni
Wvb for life
Nadhani Kia jambo linapokuja liwe baya au zuri linakuwa na sababu.. 1.huu mdio wakati halisi watu kujua mikataba vizuri
2. Wakati diomond atakaoleza ukweli kuhusu wasaniii wake na mikataba yao.3. Mengi ya Majani yatajulikana yawe mazuri au mbaya. 4.yataisha na yataleta faida kwa wasani.
Wakwanza leo
Nyinyi nanyinyi simuliz inaonekana munamtetea sana majan huyo majan kwann aseme kua wasafi wananyonya anauhakika gan mpaka aseme kwevyomba vyahabali
Uchambuzi mzuri sana hongereni
Wewe wa kofia nyeusi umpendi diamond
Anaeona label Zina mikataba mibovu na za kudidimiza wasisaini mikataba . Pia waanzishe label zao
Pamoja sana kaka
Kama upigaji ulikuwepo waache
P Funk. Ninmkongwe Ila anajishushia heshima Sana. Maana hata yeye alikuwa agawani na msani wake sawa. Hivyo na yeye ni mnyonyaji tu. Awaache wcb maana wameinua vipaji Sana na kwakiwango Cha juu. Maana hata huyo Anatiita Tembo kama sii wcb asinge fahamika. Hivyo P Funk awe na adabu. Kufulia kwake kusiwe tatizo kwa kuwasema wengine vibaya
Watu watulize mshono kila mmoja apambane na hali yake
kuweni ukwery bana mbona ajatoa rebo
sallam sk baba levo na wcb ndio chanzo cha bongo flava kushuka
Bongo 5 ni chawa WA wachafu
Kwani si amesema kuwa yeye wana maelewano yao. Sasa analalamika nini
kunamtu kasepa na kijiji uko ahahah
na wale wanaonyonya mbona awasemi kama wanaonewa
From clothing, production, everything u want 50% hell no !
Majani ana eshima gani uyo family yake inalelewa na msanii aliyotokea wasafi
Ukwel ndo msing wa kila jambo ukali wa majan umefanya bongo fleva imesimama had leo coz hata ngoma zake alizo pika zinaish had leo
kitu kinzuri kwa watu wanzuri
😳
PIA WASANII WA TANZANIA WENGI HAWANA SHUKURANI KWASABABU PESA INAHITAJI KULETA FAIDI, PIA KWA SABABBU HII WENGI KUSHINDWA KUSAIDIA WASANII WENGINE WATU WENGI. TUMUULIZE MAJANI YEYE WAKATI WAKE AKIWAMILIKI WAKINA JUMA ALIKUWA ANAWALIPA ASILIMIA NGAPI
KAMA 60 PERCENT NI KUBWA YEYE ALIKUWA ANALIPA NGAPI
Wanaho sign wcb uwa awa pewi mukataba ili wakasome ili wahelewe na awo ma beat maker uwa awapewe malipo ? Wcb awaja kosea uwa natia deal mezani yalio baki ni uhamuzi wako una kataaa ama unakubali ?
PENDA NYINYI SANA MUKO POA SANA sns is my home news
12:11 kidole cha esko donad 😅😅😅
Sawa majani kaongea point je yeye wasanii wake alikuwa anawalipa!?
Malalamiko hayahusu. Ni mikataba tu inasema.
acheni ujinga bana majani kamtoa nani majani ana rebo gani
Sky Mondi kasema kashanunua Jet Huko ktk interview na DW ipo fb .... Wcb ni lidubwasha limoja likubwa mno Kk
From kenya mbona huzungumzee na mtu mzima harmonize
Ni producer kutakiwa kujiunga na copyright organization za kimataifa
Majani kafanya kazi kubwa sawa hatukatai lkn unapo enda hadharani na kuanza kuongelea biashara ya watu vibaya sio sawa lkn pia majani mambo ya ndani ya wcb yana mhusu nini ? Kwanini asitete watu kama akina Chid benzi kila siku analalamika kama kweli ana pigania haki za wasanii? Kingine yeye ambaye anamikataba mizuri wasanii ambao alifanya nao wana mafanikio gani na wako wapi ,watu waache wivu wafanye kazi afu pia wanao ona wcb wana mikataba mibovu waanzishe lebo zao mbona wasanii ni wengi mtaaani .acheni roho mbaya figisu zote haziwezi kuishusha wasafi ata siku moja
Kweli kabisa
Bro wote ni washenzi yaani WCB Wanakupa jina halafu wanakupiga mpunga mrefu....Majani aliwapiga wasanii na hata kuwadharirisha uliza madogo waliokua wanaenda Bongo records nyakati hizo....WCB WANA DHAMBI KUBWA waliotakiwa kuinyooshea kidole WCB sio MAJANI....Anatakiwa mtu msafi afanye hayo
Saizi yake ni Ruge, akiyeizima bongo records, jamaa alivimbaga kama mungu. Clouds wakaanza kutopiga nyimbo zinazorecodiwa nae, mamae🙌🙌🙌Ruge sio poa ujue (RIP)
Mbona mnafanana nyie watangazaji jamani😍
Kuna tafauti ya sponsor na helper watu walio wasaidia wasanii ni madee dongo janja mkubwa fela aslay na Steven kanumba Patrick jenipher Sophia hao waliwasaidia wakiwa bado watoto ila hao weningine walitolewa
WCB Wamepanic Sasa personal issues za harmonize na kajala inaingiaje hapo,Kipara Ndezi bhana na Mapua kazi Yao kuropoka utumbo tu thatz y Mange hua anawachamba ukweli
Kwan mkatb wa wcb majani unamuhusu nn sio personal issue za msanii na wcb kwann majan ameend kuongelea kwen media yy nani ple wcb msianglie personal issue ni watu t hta kaz ni personal issue km mkataba
Hao wasanii anaosema wananyimwa haki zao lkn pia producers hao anaowaonea huruma ye kawasaidia akina nani?
MANDUCHA ndio wanajua wcb wananyanyua wasanii....wasanii wangapi wcb wamewanyanyua..?....huyu Salam sk kwenye muziki huu kafanya kitu gani...!....MAJANI ana mambo yake , lkn katika MUZIKI huu kiukweli kafanya mengi....!
Por exemplo a música de yamabuluku, buena Boy fez remix o produtor esta colher 25% assim que os músicos colhe dinheiro
Si wangeenda mahakaman sasa ,au kam walikandamizwa si wangeenda mahakaman ,,,,
Ukiachana Hati Miliki Inatokana Na Makubaliano Ya Mikataba Yao Wanavyo Kua Wameelewana Ata Kama Ni Wewe Unaweza Kuajili Alafu Baadae Kwakua Biashara Ikaongeza Kipato Kwani
Aliyataka mwnyewe majni
Tired of these guys from WCB
they talk to much ☹️☹️☹️
tuliza mshono..wakishambuliwa wasiseme? wakisema eti nye nye nyee..tunajuwa the whole world is against WCB lakin ndo hivyo they keep going higher
kapigania nini bana achani kutetea ujinga
Sasa wcb wanawatengeneza wasanii kwa gharama kubwa sana na hilo linajulikana
U are right
Nyie kumbe wale wale
Nani hajui harmonize amevunja WCB na mkono wake Moja mwenyewe 🤣 jeshii salute bro na bado watatii 😂😂
Sky unaingia kwenye vita usiyoijua