RECAP: Vita kati ya Majani vs Sallam SK / Baba Levo, wamemkosea heshima kumuingiza Kajala na Paula?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 13. 09. 2024
  • Baada ya P-Funk Majani kudai kuwa WCB inadidimiza wasanii wake, Baba Levo aliibuka na kumkejeli mtayarishaji huyo mkongwe ambaye alimjibu kwa kuibua mazito.
    Jibu lake lilimuibua Sallam SK ambaye alimchana kwa kumweleza kuwa jukumu la kumlea Kajala na mwanae Paula amemuachia Harmonize. Tunajidili kwenye #Recap

Komentáře • 235

  • @xtashrayvash2996
    @xtashrayvash2996 Před 2 lety +45

    Mnapindisha maneno sana SNS ... Hivi msani anachukua 40% wcb wanabaki na 60%... Bado kwenye hiyo 60% kuna branding ya huyo msani ,kumshutia video,kumrekodia audio,.... surely hapo unyanyasaji unatokea wapi.... Branding ya wasafi iko juu sana na ndo maana wasani wa wcb wanabaki top.... Diamond platinumz should be awarded and not insulted.... Let's speak facts Diamond platinumz is the Godfather of music 🎶 industry in east africa

    • @AbuBakar-fu9ov
      @AbuBakar-fu9ov Před 2 lety +5

      Ww unaushahidi gani ktk hilo acheni kukurupukia mambo ya ndan ya watu msio yajua

    • @mhogofelwa
      @mhogofelwa Před 2 lety +2

      Kweli kabisa simba anafanya wonders kama ni rahisi kila mtu amchukue mtu amfanye kuwa msanii mkubwa

    • @yogopalasolbyogo5219
      @yogopalasolbyogo5219 Před 2 lety

      Kabisa brother

    • @stellachalamila7455
      @stellachalamila7455 Před 2 lety

      Kwaza unatamani diamondi asiwashike tena mukono

    • @pamanyango8917
      @pamanyango8917 Před 2 lety +2

      Fikiria sanaa tena sana tu, ukisema demon ndio father wa east Africa, tutamweka wapi ruge,

  • @archdukejumbe4506
    @archdukejumbe4506 Před 2 lety +11

    Sky mimi nakuomba ujitahid kua na ma board guards maana kipaji chako na ideas zako nzur Allah azidi kukuifadhi na vijicho

  • @egidlukowa5979
    @egidlukowa5979 Před 2 lety +2

    Hapo ndg yang #Sky_walker ni kama mmemuogopa sana P Funk

  • @kabwelerywamwatumu5078
    @kabwelerywamwatumu5078 Před 2 lety +21

    Amna Lebo yenye nguvu na kuwatoa wasanii kimaisha haraka kama wcb kwaiyo mkataba ni mkataba tu! Niwewe kuhamua utakokwenda mwenyewe.

    • @ericklaura7511
      @ericklaura7511 Před 2 lety +4

      Sure thing , majani amesimamia wasanii kibao ila wengi wao hawajafanikiwa

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 Před 2 lety

      Kila kitu kina ku
      Muda wake mzee

  • @geofreymushi5692
    @geofreymushi5692 Před 2 lety +13

    Nyie madogo mnajua Music industry ya 2000??, P funk, alimdulumu Juma Nature, albums,, Tukianza kumchunguza P funk, alikua mpaka a napiga wasanii, mfano sister P, alishushwa on stage TABATA, P FUNK NI MNYONYAJI NO MOJA

  • @francissamson8028
    @francissamson8028 Před 2 lety +10

    P funk kaishutumu kampuni ya wcb ni sawa na kushusha thamani, hakuna Manager wa wcb watanyamaza kuichafua wcb yao lazima watajibu mashambulizi. P funk ana lebel na msanii na wasanii wa zamani anajuwa ugumu wa kusimamia wasanii,

  • @markkayuni9775
    @markkayuni9775 Před 2 lety +5

    Majani kaweka oja nzuri sana mezan tena kinafaida kubwa sana lakini na hamini wataelewa badae big up majan

    • @nawandafamito500
      @nawandafamito500 Před 2 lety

      ni kweli naungana na wewe ila, diamond kaigeuza bongo fleva kua pesa, unasemaje?.

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 Před 2 lety

      Akili ndogo ngumu kuelewa mambo haya wao wcb wcb

    • @jumakapola419
      @jumakapola419 Před 2 lety

      Majani kaongea vizuri unahuhakika uwezi kujua biashala ya mtu majani alikuwa anafanya mziki staree daimond anafanya mziki kazi apo ni vitu viwili tofauti tatizo daimond anajitambua sana

  • @julianamushi3392
    @julianamushi3392 Před 2 lety +6

    Sas ba levo anajua nini zaidi yakutaka kuzaa na sasa hivi anataka kupunguziwa dhambi za daimond jinga san mropokaji hovyo

    • @AliAli-rx6wu
      @AliAli-rx6wu Před 2 lety

      Juliana nakupenda bureeeeee!!! Weweee ni kazuriiii tena xhuma kweliiii!!!!

  • @hassanabdi187
    @hassanabdi187 Před 2 lety +7

    Ifikie hatua majani atunze heshima yake ata yeye kipindi yupo hot alinyanyasa sana watu atulie kwa sasa asiwe na wivu na mafanikio ya watu atulie shindano imuingie vzr

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 Před 2 lety +7

    Big up sky

  • @bhaleeali8459
    @bhaleeali8459 Před 2 lety +6

    tatizo kubwa watu wachache wanachukia lebo ya WCB kuwa wanafanikiwa kwa kila wanachofanya.. wanaipiga vita ili waishushe ila kwa Mungu hata mufanye nini aliempa kishampa na kama kushuka atamshusha mwenyewe Mungu na sio binaadamu.. ukiangalia wasanii wote wa Tanzania waliopata spotlight kwenye muzik na kujulikana Ulimwenguni ni kutoka WCB LEBO sasa wanaona choyo na kujaza watu chuki

  • @geofreymushi5692
    @geofreymushi5692 Před 2 lety +7

    Production especially Music, as technology ina advance, Tanzania 🇹🇿, hakuna Produza Mkali tena , bali kama Mtu anaweza afford kununua soft ware, nzuri za production , yani ukiingiza vocal, software inapanga Biti na melody, gitaa, kinanda, drumz, trumpets, kila kitu, ukiwa na computer knowledge, na hela ya Apple 🍏, umeshamaliza kazi,

  • @Said_Abdul
    @Said_Abdul Před 2 lety +4

    SNS online media ya uhakika. Kwa Diaspora this is among the top 5 most trusted online media from Tanzania

  • @pamanyango8917
    @pamanyango8917 Před 2 lety +11

    Hapa shida si vile majani aliongea, shida ni vile alimtaja harmonize, na huwa hawataki konde boy aongelewe ndio shida inapotokea, konde boy ana wauma sanaaa na bado, konde boy to the world

    • @aminatijuba8252
      @aminatijuba8252 Před 2 lety

      Kwel kabisa

    • @ibrahimkanuto3514
      @ibrahimkanuto3514 Před 2 lety

      Mara ya kwanza hakumtaja huyo hamo

    • @saidymnongerwamgaya6996
      @saidymnongerwamgaya6996 Před 2 lety

      Ww na majani wote mnapigwa pumbu huyo majani hana hela mpk kajala kamuacha unazani padogo huyo majani anatakiwa avexhwe xhanga mxhamba xn tn ni mjinga xn na mpumbabu

    • @pamanyango8917
      @pamanyango8917 Před 2 lety

      @@saidymnongerwamgaya6996ati majani hana hela, wewe unazo? Ama niza w,c,b unaongelea,

  • @Said_Abdul
    @Said_Abdul Před 2 lety +3

    Pamoja na compliment kwa SNS ,p funk kuongelea asimilia za wasani WA wcb ni kosa kubwa Sana.ask country boy contract yake kondey music ulikuwa 40 in kwa 60 !!?

  • @julianamushi3392
    @julianamushi3392 Před 2 lety +14

    Tatizo walitegemea harmonize atapotea sas wameona konde wa moto wamebaki na hasira za kufa mtu. Hivi salam ana mke au ni shoga

  • @jumarajab5316
    @jumarajab5316 Před 2 lety +7

    mpo bize kama mnachambua kombe la dunia vile😄😄

  • @haronnimrud9570
    @haronnimrud9570 Před 2 lety +3

    Wanaojua jua hayo mambo ni wachache sana, masta j, p funk wanaofuata uelewa mchache

    • @chotarawakingoni8148
      @chotarawakingoni8148 Před 2 lety

      Wamesoma hao sio tu Mziko bali hadi Haki ndio maana wana Uelewa mkubwa wa mziki hao maProducer wawili

  • @nz6181
    @nz6181 Před 2 lety

    @🇬🇧🇬🇧🇬🇧 You are the best SnS.🇹🇿🇹🇿 Mko very professional when mkifanya haya haswa panapokuja kwenye udaku ambao unaipoteza out or country. NAWACHUKIA MACHAWA SANAAA WANAHARIBU A LOT OF STUFFs IN OUR COUNTRY
    keep it up for your good work"

  • @khadijarashid3926
    @khadijarashid3926 Před 2 lety +4

    Bila WCB watu hawaendi mjini

  • @majaliwa_tz5004
    @majaliwa_tz5004 Před 2 lety +4

    Sasa Majan Nae Atulie Atuache Sisi Wa WCB Hatimae Mtu Ukiwa Mkubwa Inatakiwa Ujiheshimu

  • @abdulbora812
    @abdulbora812 Před 2 lety +2

    Hermonize alisema wapili kutoka ni rayvan.hamulioni hilo 😄🤣

  • @mwigakatumpula5695
    @mwigakatumpula5695 Před 2 lety +2

    Ushauri wangu kwa WCB huyo p funk anatakiwa kufunguliwa kesi ya ushalilishaji wa label Yao maana kutokufanya hivyo itapelekea kwa alicho kisema p funk kuwa ni cha kweli ili sasa aende aka thibitishe alicho kisema na sio vinginevyo 👏👏👏😀😀😀

  • @hassanabdi187
    @hassanabdi187 Před 2 lety +2

    Kipindi awajawa mastar mbona atukuona malalamiko iweje leo wamekuwa mastar ndoo wanaona wananyonywa

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 Před 2 lety +1

    Yanii apo amesepa na kijijii Cha family ya P 😂😂😂😂😂😂😂 aisee baba levo noma senaaaa

  • @remmynamuhebe2336
    @remmynamuhebe2336 Před 2 lety +1

    Wewe PF Ume watowa wangapi ???

  • @hamissimonami2519
    @hamissimonami2519 Před 2 lety +7

    wcb wamepigwa na kitu kizito baada yakuskia jina la harmonize yaani ukimtaja jeshi mbele yao wpatwa na stress

    • @khadijarashid3926
      @khadijarashid3926 Před 2 lety +1

      Wafanye mambo Yao waachane na WCB

    • @hamissimonami2519
      @hamissimonami2519 Před 2 lety

      @@khadijarashid3926 wcb kubalin ssa kma mko wakandamizaj mbona mkiambiwa ukwel unauma

    • @unclepwechnov1381
      @unclepwechnov1381 Před 2 lety +1

      @@hamissimonami2519
      Taja record label inayotoa msanii mpaka anakuwa mkubwa wa kushindanishwa na mmiliki wa record label husika.
      Hizo record labels nyingine wasanii wake hawapati hata fursa za publicity na promotions na wanabaniwa wanaishia kuwa underground kwenye career zao, kongole pekee zimueendee Diamond kwa moyo alionao kuwainua na kuwaendeleza wasanii mpaka wanashindanishwa naye na wanakuwa International stars.

    • @chilowechilowe290
      @chilowechilowe290 Před 2 lety +1

      jeshiii

  • @patrickvove
    @patrickvove Před 2 lety +14

    Muropokaji bila “Harmo” haitatrendi 😆😆😆😆 so kamuwa kutiandani “Harmo”
    Majani big up kwaku kakimya. anyways how Kajala, Harmo, and Paula wanahusika mulendani mumaneno yamuziki 🤦

  • @simulizi2632
    @simulizi2632 Před 2 lety +3

    Kuna MTU alisikika akisema usicheze na sehemu inayomfanya mwanaume apate riziki yake. Jibu unalo🙋🏾‍♂️

  • @mubarakhassan2618
    @mubarakhassan2618 Před 2 lety +2

    Yan kwawanawo mujua salam nimutumuzima yuko kama hajielew kwakauri zak

  • @lucymolel3036
    @lucymolel3036 Před 2 lety

    Amakweli baba levo nimecheka nikutetee alafu nikulipe nimerogwa🤣🤣🤣

  • @josephmabula9658
    @josephmabula9658 Před 2 lety +1

    Acheni kumtetea p funk

  • @danielmabilika9196
    @danielmabilika9196 Před 2 lety

    Huo n upuzi na wiv diomond angekuw mdidimizaji lini akina mbosso, rayvanny na harmonize wangekua achen kuchafua ukweli diomond fireeeeeeeeee

  • @brunokimaro1053
    @brunokimaro1053 Před 2 lety

    WCB FOR LIFE

  • @erickidangote1234
    @erickidangote1234 Před 2 lety +1

    Hamuani shida kwa alicho ongea p kwer nyie ampo makini ile ni bland wazee bora asinge taja Jina tena kataja na jina wcb,

  • @RoseMary-sw2ec
    @RoseMary-sw2ec Před 2 lety +1

    Saw majan ana matatzo yke sn t ila ameongea kw fact lkn WCB hususan salam sk amejb kienyej san angejb kw fact pia SK amejb kitaarab san😏

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Před 2 lety +2

    Kwa iyo boss na mwajiliwa walingane itakuwa raha Kama ni ivo

  • @stonyshipindi2152
    @stonyshipindi2152 Před 2 lety +3

    sasa kwa wcb kama ikichukua 60% na msanii akichukua 40% shida iko wapi na wakati lebo ndo inagaramia kila kitu??? embu majibu tafadhali

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 Před 2 lety +1

    Ssa kakosea wapi hapa hilo jipua ndo mwijaku husema hakusoma sabbu haelewi cchote

  • @sonimwangi8418
    @sonimwangi8418 Před 2 lety +4

    Majani had a choice of not talking about mikataba ya Wasafi during the interview. How well does he know about it? No one knows the truth about the contracts except the artists and WCB management. Has he ever been part of the WCB team? You just can't go bashing other people's businesses and expect to be left alone. Let's just say, he brought all this to himself.

    • @silverman6930
      @silverman6930 Před 2 lety

      Absolutely you spoke so eloquently there … ma guy just bought a case ya know lol

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Před 2 lety +5

    Baba levo ndio anaharibu sana hadi mengine yanaibuka

  • @Kobe_254
    @Kobe_254 Před 2 lety

    Mada nzuri sana... ila kwa swala la producers kubenefit kwa haki miliki ni ngumu sana Africa... ni hayo tu, juu ya wivu na producer wakubwa hawataki waungane na producers wa underground, Majani kuingilia mikakati ya WASAFI.. hapo amejitia kidole, kutamwalibikia kama FID Q kusupport ule jinga eti akaongoze sijui nini ile.. hadi waleo ata asome vitabu, tulishamsahau na legacy ikashuka, so majani achunge anako kanyaga kabla, stress zimshike!!

  • @bakarially253
    @bakarially253 Před 2 lety

    FRED MBUNDARA WEWE NI MCHAMBUZI MKUBWA SANA PIA TUNAKUANGALIA ZAIDI JARIBU KUWA MAKINI KATIKA KUZUNGUMZIA KITU. P FANK NI MKUBWA ANAA PIA HANA HAKI YA KUZYNGUMZIA MIKATABA KWASABABU HATA YEYE ALIKUWA HIVYO. KUWA MAKINI SSNA PLATFORM TUNAIYAAMIMNI LAKINI USIPOKUWA MAINI BROTHER YOU WILL LET US DOWN

  • @tatutatu1570
    @tatutatu1570 Před 2 lety +3

    P fack upo sawa sana 🤝👊

  • @franciskajessy4468
    @franciskajessy4468 Před 2 lety +1

    Mange kanunua ugonvi wao

  • @rjb31
    @rjb31 Před 2 lety +3

    🔋🔥🔋

  • @ab3ab313
    @ab3ab313 Před 2 lety

    baba revo gajuerewi kbs

  • @sknapoleonshoo3145
    @sknapoleonshoo3145 Před 2 lety

    Tafuta habari zinazo eleweka. Acha uchochezi wakipumbafu🤔😏🤔

  • @mayam709
    @mayam709 Před 2 lety

    😂😂😂baba levo akili yako waijua mwenyewe

  • @bablojamal638
    @bablojamal638 Před 2 lety +4

    Km yy legend hakupasw acritisize biashara z wt in public hlf aachiwe he gt wt he deserved

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Před 2 lety

    Kkkk eti Rapcha angepewa mwana hipop Bora hivi ni kweli?? Lunyaaa , Mbuziii akiwepo wapi??

  • @fredmapunda
    @fredmapunda Před 2 lety

    Kiukweri ankuna muajiri ana weza kumlipa muajli wake pesa inayo zidi kampuni

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Před 2 lety +4

    Wvb for life

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Před 2 lety +1

    Nadhani Kia jambo linapokuja liwe baya au zuri linakuwa na sababu.. 1.huu mdio wakati halisi watu kujua mikataba vizuri
    2. Wakati diomond atakaoleza ukweli kuhusu wasaniii wake na mikataba yao.3. Mengi ya Majani yatajulikana yawe mazuri au mbaya. 4.yataisha na yataleta faida kwa wasani.

  • @twentyacresfarms3464
    @twentyacresfarms3464 Před 2 lety +2

    Wakwanza leo

  • @rahelclement4298
    @rahelclement4298 Před 2 lety

    Nyinyi nanyinyi simuliz inaonekana munamtetea sana majan huyo majan kwann aseme kua wasafi wananyonya anauhakika gan mpaka aseme kwevyomba vyahabali

  • @zahrababygarl1568
    @zahrababygarl1568 Před 2 lety

    Uchambuzi mzuri sana hongereni

  • @lamimreno
    @lamimreno Před 2 lety

    Wewe wa kofia nyeusi umpendi diamond

  • @mimifineliving2022
    @mimifineliving2022 Před 2 lety

    Anaeona label Zina mikataba mibovu na za kudidimiza wasisaini mikataba . Pia waanzishe label zao

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 Před 2 lety

    Pamoja sana kaka

  • @davidndaha9607
    @davidndaha9607 Před 2 lety +1

    Kama upigaji ulikuwepo waache

  • @exaudmphuru6172
    @exaudmphuru6172 Před 2 lety

    P Funk. Ninmkongwe Ila anajishushia heshima Sana. Maana hata yeye alikuwa agawani na msani wake sawa. Hivyo na yeye ni mnyonyaji tu. Awaache wcb maana wameinua vipaji Sana na kwakiwango Cha juu. Maana hata huyo Anatiita Tembo kama sii wcb asinge fahamika. Hivyo P Funk awe na adabu. Kufulia kwake kusiwe tatizo kwa kuwasema wengine vibaya

  • @adamumterume6885
    @adamumterume6885 Před 2 lety +1

    Watu watulize mshono kila mmoja apambane na hali yake

  • @saidomary3370
    @saidomary3370 Před 2 lety

    kuweni ukwery bana mbona ajatoa rebo

  • @sponsor7882
    @sponsor7882 Před 2 lety +4

    sallam sk baba levo na wcb ndio chanzo cha bongo flava kushuka

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Před 2 lety +2

    Bongo 5 ni chawa WA wachafu

  • @timochazze9845
    @timochazze9845 Před 2 lety

    Kwani si amesema kuwa yeye wana maelewano yao. Sasa analalamika nini

  • @chilowechilowe290
    @chilowechilowe290 Před 2 lety +2

    kunamtu kasepa na kijiji uko ahahah

  • @fathiafathia6324
    @fathiafathia6324 Před 2 lety

    na wale wanaonyonya mbona awasemi kama wanaonewa

  • @paulineonkoba1196
    @paulineonkoba1196 Před 2 lety +1

    From clothing, production, everything u want 50% hell no !

  • @jumakapola419
    @jumakapola419 Před 2 lety

    Majani ana eshima gani uyo family yake inalelewa na msanii aliyotokea wasafi

  • @officialoboytz3096
    @officialoboytz3096 Před 2 lety +4

    Ukwel ndo msing wa kila jambo ukali wa majan umefanya bongo fleva imesimama had leo coz hata ngoma zake alizo pika zinaish had leo

  • @Bwenge-minecraft
    @Bwenge-minecraft Před 2 lety +2

    kitu kinzuri kwa watu wanzuri

  • @yuzzohcrayze
    @yuzzohcrayze Před 2 lety +1

    😳

  • @bakarially253
    @bakarially253 Před 2 lety

    PIA WASANII WA TANZANIA WENGI HAWANA SHUKURANI KWASABABU PESA INAHITAJI KULETA FAIDI, PIA KWA SABABBU HII WENGI KUSHINDWA KUSAIDIA WASANII WENGINE WATU WENGI. TUMUULIZE MAJANI YEYE WAKATI WAKE AKIWAMILIKI WAKINA JUMA ALIKUWA ANAWALIPA ASILIMIA NGAPI
    KAMA 60 PERCENT NI KUBWA YEYE ALIKUWA ANALIPA NGAPI

  • @byaminarehema6745
    @byaminarehema6745 Před 2 lety +1

    Wanaho sign wcb uwa awa pewi mukataba ili wakasome ili wahelewe na awo ma beat maker uwa awapewe malipo ? Wcb awaja kosea uwa natia deal mezani yalio baki ni uhamuzi wako una kataaa ama unakubali ?

  • @matanohassan9667
    @matanohassan9667 Před 2 lety

    PENDA NYINYI SANA MUKO POA SANA sns is my home news

  • @mr.vionge
    @mr.vionge Před 2 lety +1

    12:11 kidole cha esko donad 😅😅😅

  • @b-creative4662
    @b-creative4662 Před 2 lety +3

    Sawa majani kaongea point je yeye wasanii wake alikuwa anawalipa!?

  • @eppiemodest
    @eppiemodest Před 2 lety

    Malalamiko hayahusu. Ni mikataba tu inasema.

  • @saidomary3370
    @saidomary3370 Před 2 lety

    acheni ujinga bana majani kamtoa nani majani ana rebo gani

  • @hassan0256
    @hassan0256 Před 2 lety +1

    Sky Mondi kasema kashanunua Jet Huko ktk interview na DW ipo fb .... Wcb ni lidubwasha limoja likubwa mno Kk

  • @abdulrahmankenya5478
    @abdulrahmankenya5478 Před 2 lety +1

    From kenya mbona huzungumzee na mtu mzima harmonize

  • @mtotowaray1726
    @mtotowaray1726 Před 2 lety +1

    Ni producer kutakiwa kujiunga na copyright organization za kimataifa

  • @robertmisako9443
    @robertmisako9443 Před 2 lety +28

    Majani kafanya kazi kubwa sawa hatukatai lkn unapo enda hadharani na kuanza kuongelea biashara ya watu vibaya sio sawa lkn pia majani mambo ya ndani ya wcb yana mhusu nini ? Kwanini asitete watu kama akina Chid benzi kila siku analalamika kama kweli ana pigania haki za wasanii? Kingine yeye ambaye anamikataba mizuri wasanii ambao alifanya nao wana mafanikio gani na wako wapi ,watu waache wivu wafanye kazi afu pia wanao ona wcb wana mikataba mibovu waanzishe lebo zao mbona wasanii ni wengi mtaaani .acheni roho mbaya figisu zote haziwezi kuishusha wasafi ata siku moja

    • @stellah3844
      @stellah3844 Před 2 lety +4

      Kweli kabisa

    • @clausemsemwa297
      @clausemsemwa297 Před 2 lety +1

      Bro wote ni washenzi yaani WCB Wanakupa jina halafu wanakupiga mpunga mrefu....Majani aliwapiga wasanii na hata kuwadharirisha uliza madogo waliokua wanaenda Bongo records nyakati hizo....WCB WANA DHAMBI KUBWA waliotakiwa kuinyooshea kidole WCB sio MAJANI....Anatakiwa mtu msafi afanye hayo

    • @geofreymushi5692
      @geofreymushi5692 Před 2 lety

      Saizi yake ni Ruge, akiyeizima bongo records, jamaa alivimbaga kama mungu. Clouds wakaanza kutopiga nyimbo zinazorecodiwa nae, mamae🙌🙌🙌Ruge sio poa ujue (RIP)

  • @husnahabityhabity9517
    @husnahabityhabity9517 Před 2 lety

    Mbona mnafanana nyie watangazaji jamani😍

  • @rashiduchongole1333
    @rashiduchongole1333 Před 2 lety

    Kuna tafauti ya sponsor na helper watu walio wasaidia wasanii ni madee dongo janja mkubwa fela aslay na Steven kanumba Patrick jenipher Sophia hao waliwasaidia wakiwa bado watoto ila hao weningine walitolewa

  • @مونيكمونيك-ع1غ

    WCB Wamepanic Sasa personal issues za harmonize na kajala inaingiaje hapo,Kipara Ndezi bhana na Mapua kazi Yao kuropoka utumbo tu thatz y Mange hua anawachamba ukweli

    • @khamismurshid9059
      @khamismurshid9059 Před 2 lety

      Kwan mkatb wa wcb majani unamuhusu nn sio personal issue za msanii na wcb kwann majan ameend kuongelea kwen media yy nani ple wcb msianglie personal issue ni watu t hta kaz ni personal issue km mkataba

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před 2 lety

    Hao wasanii anaosema wananyimwa haki zao lkn pia producers hao anaowaonea huruma ye kawasaidia akina nani?

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Před 2 lety +1

    MANDUCHA ndio wanajua wcb wananyanyua wasanii....wasanii wangapi wcb wamewanyanyua..?....huyu Salam sk kwenye muziki huu kafanya kitu gani...!....MAJANI ana mambo yake , lkn katika MUZIKI huu kiukweli kafanya mengi....!

  • @issarafim4458
    @issarafim4458 Před 2 lety

    Por exemplo a música de yamabuluku, buena Boy fez remix o produtor esta colher 25% assim que os músicos colhe dinheiro

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Před 2 lety

    Si wangeenda mahakaman sasa ,au kam walikandamizwa si wangeenda mahakaman ,,,,

  • @majaliwa_tz5004
    @majaliwa_tz5004 Před 2 lety +1

    Ukiachana Hati Miliki Inatokana Na Makubaliano Ya Mikataba Yao Wanavyo Kua Wameelewana Ata Kama Ni Wewe Unaweza Kuajili Alafu Baadae Kwakua Biashara Ikaongeza Kipato Kwani

  • @kopetv6028
    @kopetv6028 Před 2 lety +2

    Aliyataka mwnyewe majni

  • @umutoni-roussel5233
    @umutoni-roussel5233 Před 2 lety +2

    Tired of these guys from WCB
    they talk to much ☹️☹️☹️

    • @SLTN4503
      @SLTN4503 Před 2 lety

      tuliza mshono..wakishambuliwa wasiseme? wakisema eti nye nye nyee..tunajuwa the whole world is against WCB lakin ndo hivyo they keep going higher

  • @saidomary3370
    @saidomary3370 Před 2 lety

    kapigania nini bana achani kutetea ujinga

  • @simontemba1851
    @simontemba1851 Před 2 lety +3

    Sasa wcb wanawatengeneza wasanii kwa gharama kubwa sana na hilo linajulikana

  • @husseinkakanga8273
    @husseinkakanga8273 Před 2 lety

    Nyie kumbe wale wale

  • @everrineanyango7410
    @everrineanyango7410 Před 2 lety +1

    Nani hajui harmonize amevunja WCB na mkono wake Moja mwenyewe 🤣 jeshii salute bro na bado watatii 😂😂

  • @mwikamwika4851
    @mwikamwika4851 Před 2 lety

    Sky unaingia kwenye vita usiyoijua