WANAWAKE SEKTA YA UVUVI AFRIKA, WATOA MCHANGO MKUBWA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 03. 2024
  • Imeelezwa kuwa wanawake wachakataji na wafanyabiashara wa mazao ya uvuvi barani Afrika wana mchango mkubwa katika Sekta ya Uvuvi, hususan katika uchatakaji na kilimo cha mwani.
    Hayo yamebainishwa (21.03.2024) jijini Dar es Salaam na Afisa Uvuvi Mkuu kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Bi. Jovice Mkuchu, wakati akifungua kikao cha mtandao wa wanawake barani Afrika wanaochakata mazao ya uvuvi, kikiwa na lengo la kukuza uelewa kuhusu uongozi katika mitandao wanayoiwakilisha katika nchi zao.

Komentáře •