BIL. 3.1 KUTUMIKA KWENYE UKUZAJI VIUMBE MAJI RUVUMA, LINDI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 05. 2024
  • Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi chini ya uratibu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu imeanza utekelezaji wa mradi wa kuendeleza Lishe na Ufugaji endelevu wa Viumbe maji kwa wakulima wadogo thamani ya shilingi Bil. 3.1 uliozinduliwa mkoani Ruvuma Aprili 4, 2024.

Komentáře •