Tazama NARCO Kongwa walivyofanikiwa kwenye malisho ya Juncao!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 4. 04. 2024
  • Mkurugenzi wa Maeneo ya Malisho na Rasilimali za vyakula vya Mifugo Dkt. Asimwe Rwiguza ametembelea ranchi ya Mifugo ya Kongwa iliyopo chini ya Kampuni za Ranchi za Taifa (NARCO) ili kuona namna walivyofanikiwa kwenye kilimo cha malisho ya mifugo aina ya Juncao.. Tazama hapo mazungumzo yake na wao yalivyokuwa..

Komentáře • 17

  • @GeraldinaGerard-xy6pl

    No za Jossam kwa kqgera

  • @cyprianmgogo7625
    @cyprianmgogo7625 Před 9 dny

    Nimekupata toka Zambia mkuu,nitaanza ufugaji wa ngo'mbe baada ya kuona video hii,umehamasisha sana .unapatikana upande upi na mbali gani toka mbeya mjini?

  • @ekyochisikitaya5354
    @ekyochisikitaya5354 Před 14 dny

    Jani hilo linaitwa aje?

  • @GeraldinaGerard-xy6pl

    Tuwekeeni no za simu zenu na wapi tuwapate kwa kagera

  • @ekyochisikitaya5354
    @ekyochisikitaya5354 Před 14 dny

    Na mbegu tutaipata wapi?

  • @SaidKondo-rw8wb
    @SaidKondo-rw8wb Před 2 měsíci

    Hongereni sana

  • @jacob.surassa725
    @jacob.surassa725 Před měsícem

    Hongereni. Dodoma mbegu tunapata wapi

  • @hildakamugisha1135
    @hildakamugisha1135 Před měsícem

    Dar tunapata wapi

  • @davidkelvin1692
    @davidkelvin1692 Před 3 měsíci

    Wizara ingejitahidi kusambaza mbegu kwa kila kanda ili wafugaji wazipate kwa urahisi nakuanza kufuga kisasa

  • @user-li5ub9sb7v
    @user-li5ub9sb7v Před 2 měsíci

    Utaratibu wa kupata mbegu ya hayo ukome kwa hapa dodoma

  • @MATHIASLUGIKO
    @MATHIASLUGIKO Před 2 měsíci

    Ni kiasi gani Cha mbegu Kwa hekta

  • @mifugouvuvionlinetv9032
    @mifugouvuvionlinetv9032  Před 2 měsíci

    Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)

  • @user-iw4ho4wb5p
    @user-iw4ho4wb5p Před 3 měsíci

    Kwa Kagera ulizia mbegu kwa Bwana Jossam wa Kahama Fresh, Alhaji Shakiru Dangote na Katongo kwenye bustani ya mbunge Mwijage. Shambani kwa mbunge mbegu ni bure

    • @felixchristopher7018
      @felixchristopher7018 Před měsícem

      Mawasiliano mkuu. Hongereni sana kwa jitihada za kufikisha majani haya nyumbani. Omukama abebembele muno mwaakora!!!

  • @user-iw4ho4wb5p
    @user-iw4ho4wb5p Před 3 měsíci

    Tayari Muleba tuna mbegu nyingi

  • @GeraldinaGerard-xy6pl

    No za Jossam kwa kqgera