Tazama NARCO Kongwa walivyofanikiwa kwenye malisho ya Juncao!
Vložit
- čas přidán 4. 04. 2024
- Mkurugenzi wa Maeneo ya Malisho na Rasilimali za vyakula vya Mifugo Dkt. Asimwe Rwiguza ametembelea ranchi ya Mifugo ya Kongwa iliyopo chini ya Kampuni za Ranchi za Taifa (NARCO) ili kuona namna walivyofanikiwa kwenye kilimo cha malisho ya mifugo aina ya Juncao.. Tazama hapo mazungumzo yake na wao yalivyokuwa..
No za Jossam kwa kqgera
Nimekupata toka Zambia mkuu,nitaanza ufugaji wa ngo'mbe baada ya kuona video hii,umehamasisha sana .unapatikana upande upi na mbali gani toka mbeya mjini?
Jani hilo linaitwa aje?
Tuwekeeni no za simu zenu na wapi tuwapate kwa kagera
Na mbegu tutaipata wapi?
Hongereni sana
Hongereni. Dodoma mbegu tunapata wapi
Dar tunapata wapi
Wizara ingejitahidi kusambaza mbegu kwa kila kanda ili wafugaji wazipate kwa urahisi nakuanza kufuga kisasa
Utaratibu wa kupata mbegu ya hayo ukome kwa hapa dodoma
Ni kiasi gani Cha mbegu Kwa hekta
Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)
Kwa Kagera ulizia mbegu kwa Bwana Jossam wa Kahama Fresh, Alhaji Shakiru Dangote na Katongo kwenye bustani ya mbunge Mwijage. Shambani kwa mbunge mbegu ni bure
Mawasiliano mkuu. Hongereni sana kwa jitihada za kufikisha majani haya nyumbani. Omukama abebembele muno mwaakora!!!
Tayari Muleba tuna mbegu nyingi
Hongereni sana mkuu. Mawasiliano yenu tafadhali
No za Jossam kwa kqgera