TAZAMA:MKURUGENZI WA ASAS ANENA KUHUSU MBUZI MWENYE MAAJABU MBELE YA RAIS SAMIA, 'UFUGAJI BORA'

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 08. 2023
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan leo August 08 ametembelea banda la Asas Dairies kwenye Kilele Cha Maadhimisho Sikukuu ya kimataifa ya Wakulima Nanenane yaliyofanyika viwanja vya John Mwakangale Mkoani Mbeya ambapo ameonyesha kufurahishwa na kazi kubwa inayofanywa na kampuni hiyo katika kuinua sekta ya Ufugaji.
    Akiwa kwenye Banda Hilo, Mhe. Rais Samia amepokea Maelezo kutoka kwa Mkurugenzi wa Asas Ahmed Salim ambapo ametembezwa na kujionea bidhaa mbalimbali zinazozalishwa.
    Aidha Mhe. Samia amepongeza uamuzi wa Kampuni ya Asas Dairies kuipatia Serikali Ng'ombe Mmoja wa kisasa wa mbegu kwaajili ya Mradi wa Vijana kupitia programu ya wa Build Better Tomorrow, Mbuzi 110 wa nyama na maziwa.

Komentáře • 53

  • @bensonlameck6348
    @bensonlameck6348 Před 10 měsíci +9

    MAMA SAMIA SHE IS UNDERSTANDING,LISTEN HOW SHE RESPONDING WHILE AHMED ASAS EXPLAIN ABOUT THOSE TYPES OF COWS AND GOATS.....SAMIA SULUHU HASSAN OEE......

  • @twororeturimekijambere5491
    @twororeturimekijambere5491 Před 8 měsíci

    napenda kazi hiyi toka BURUNDI👌👌🙏🙏❤❤💯

  • @KaijageEvodius
    @KaijageEvodius Před 21 dnem

    safisan

  • @TheElly1976
    @TheElly1976 Před 3 měsíci

    Well explained hiyo ni mbegu gani
    tena

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před 10 měsíci +1

    Safi sana

  • @Dunia129
    @Dunia129 Před 10 měsíci +4

    nani amenotice mkurugenz anavotumia maneno ya kitalam mama anaitikia tu mm mmm mm mmmm😅😅😅

  • @frankfaraja4767
    @frankfaraja4767 Před 10 měsíci +3

    Ulega umeiona hiyo.....
    Nimeiona mama😂😂😂

  • @HamisHamza-uf6uz
    @HamisHamza-uf6uz Před měsícem

    Hongera Kwa maziwa ,,Ila kwenye upande wa Ku care maderva wako ni asilimia 0 kwa ukumbuke bila maderva pia kz zako haziwezi zikaenda jirekebishe broo

  • @erickmalamsha6938
    @erickmalamsha6938 Před 9 měsíci

    Good work ASAS

  • @meshackmlaki2066
    @meshackmlaki2066 Před 10 měsíci +1

    Mama anapenda ufugaji😊😊

  • @davidrulobhavako8551
    @davidrulobhavako8551 Před 10 měsíci +2

    Apo kwenye majike 30 hadi 50 mother kaguna😅

  • @user-di5jr3wz2n
    @user-di5jr3wz2n Před 7 měsíci

    Hongera mama Kwa kutoa fursa Kwa watanzania wenye uhitaji wa kufuga. Nami sijui nitapataje hiyo mbengu ya Hawa mbizi wa gall

  • @binuqaasha675
    @binuqaasha675 Před 28 dny

    Milard ayo.. wanapatikana wapi hawa nataka nikanunue mbegu za boer

  • @saidkhamisi9592
    @saidkhamisi9592 Před 10 měsíci +1

    Laahaulaa walaaquuwata illa bil laa kuna watu kazi yao nikutukana tuu hivi unadhani haya matusi yatapita hivi hivi ?.....kila kitu kiandikwa na utasimamisha mbele ya Allah acha kutukana bora kukaa kimya

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Před 10 měsíci

    GMO

  • @machasofficialsite6221
    @machasofficialsite6221 Před 10 měsíci

    😂😂😂😂 mama tupe story za salim kikeke

  • @josephmbena611
    @josephmbena611 Před 10 měsíci

    Boer goat's ni mbuzi bora na wenyefaida

  • @godsonandwele5265
    @godsonandwele5265 Před 10 měsíci +1

    Unaulizia mifuta tuu!😂

  • @chuzilapweza6517
    @chuzilapweza6517 Před 2 měsíci

    mm namtaka huyo boer goat

  • @athumanially712
    @athumanially712 Před měsícem

    Tatizo Boer goats hapa nchini kwetu ni ngumu kuwapata em milad ayo waulize mimi naitaji.je?nikija kwao nauziwa pair ? Na ni bei gani?!! Nipo Kagera kwa sasa

  • @kadrimwingamno258
    @kadrimwingamno258 Před 9 měsíci

    😂😂Majike 30 mpaka 40....noma

  • @rachellaiza7779
    @rachellaiza7779 Před 10 měsíci +1

    Mama mafuta yamepanda petrol diesel mama pagumu wanao tunapita punguza mafuta angalau hata mwenye vtz aweze kumudu

  • @abdallahselemani6423
    @abdallahselemani6423 Před 10 měsíci +1

    Jamani humu kuna watu wanatukana matusi mazito ! Afande muliro upo! Wakamateni kimya kimya muashuhulikie !!! Uhuru gani huu wakumtukana kiongozi wa nchi matusi mazito namna hiii!!! Jamani cyber crime wapo wapi! Au serikali imelalaa

    • @winfordmwangonda5375
      @winfordmwangonda5375 Před 10 měsíci

      Polisi wajiongeze ,hawa watu wakiwataka ni dakika 5 tu, Haiwezekani umtukane raisi ,tena mama tusi kama " kuma' ,yaani ata kama hukubaliani naye toa maoni mbadala ili tujifunze kutoka kwako .

  • @HisaniMsigwa-lc6zk
    @HisaniMsigwa-lc6zk Před 10 měsíci +4

    Mama ntakuja unipe story za Salim .Mama Leo hii nimejua hobby yako

  • @classicwaisala6677
    @classicwaisala6677 Před 10 měsíci +1

    Eti anaweza akapanda majike thelathini adi amsini 😂 apo rais kanunu tu uuumh😅

    • @mosseslazaro610
      @mosseslazaro610 Před 10 měsíci

      Vijana wa hovyo mmechukua hiyo tu😂

    • @josephmbena611
      @josephmbena611 Před 10 měsíci

      Yap nikwer broo kwaupande wangu tumechanganya mbuzi mmoja kwa majike arobaini

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 10 měsíci

    Kila Mtu Mama Kila Mtu Mama Sasa Inamana Chini Yake Viongozi C Wapo Na Wao Ndio Wako Kalibu Na Watu Wa Kila Kundi Raisi Kila Akienda Mabodigadi Sasa Shida Zote Atazijua Vipi Ndio Mana Amechagua Viongozi Wa Chini Yake Hao Ndio Wanapaswa Wapigane Zaidi Kwa Watu Wote

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Před 10 měsíci

    Rais nakupenda ilaa GMO achana nayo

  • @bongo39
    @bongo39 Před 10 měsíci

    Safibsana hivi ndio tunavyotaka kupeana ushirikiano sio kubwaka tuu kama mbwa mtapata maradhi ya makoo kwa kusema uongo na kubadilisha ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do Před 10 měsíci

    Kila ndiyo raisi Gani huyu

  • @muhammedwakif6216
    @muhammedwakif6216 Před 10 měsíci

    Tutapata vp hz mbegu ??

  • @sulimanmzee2310
    @sulimanmzee2310 Před 10 měsíci +2

    HUYO MMBWA TU C RAIS WALA NINI KIBARAKA WA MABEBERU SERIKALI MNAJIVUNJIA HESHIMA KWA KUMLINDA HUYO KIBARAKA

    • @muhammedwakif6216
      @muhammedwakif6216 Před 10 měsíci

      Kuwa na heshma kaka hata ww una mama akitwa hv utafurahi

    • @paulmushi2428
      @paulmushi2428 Před 10 měsíci

      Laa! Wakati mwingine hata Mimi Mama huwa simuelewi ila mwenzetu umeenda mbali sana hayo Matusi hata kama una stress ya maisha la! Kumbuka una mama, Shangazi, Dada! Matusi na chuki haziwezi kukupa nafuu ya maisha Mwombe Mwenyezi Mungu atakusaidia!

    • @asalkhan9168
      @asalkhan9168 Před 10 měsíci

      Ok ushatukana je tatizo lako lomeondoka? Bado unaendelea nalo matusi hayasaidii kitu

    • @SAM_163
      @SAM_163 Před 10 měsíci

      HUNA ADABU MSHENZI WEWE UWE NA ADABU NA RAISI WETU.
      Huyo unayejitoa ufaham kumtusi si rais tu Bali pia Ni Mama yetu .
      NINGEWEZA NINGEKUFUNGIA HIYO ACCOUNT YAKO MAAANA UNAKICHAA WEWE

    • @mohamedsuleiman2785
      @mohamedsuleiman2785 Před 10 měsíci

      Mbwaaa mwenyeooo na nguruwewee

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do Před 10 měsíci

    Mama muza bandari huyo

  • @coj7920
    @coj7920 Před 10 měsíci +1

    Msiangalie tu faida ya kuuza, wa kienyeji ndio salama kwa afya ya watanzania. No to GMOs

    • @joesimba
      @joesimba Před 10 měsíci +1

      Huwezi kukwepa GMO kwenye dunia ya leo mdogo angu, hizi zama sio 1940s wakati dunia bado ilikua na population ya billion 2 tu.

    • @ME-kb8rk
      @ME-kb8rk Před 10 měsíci +1

      Shukuru kwanza!!!
      Mengine baadae.....
      ASAS angalalau wana moyo wa kutoa, wapo wangapi mbona hawatoi?

    • @coj7920
      @coj7920 Před 10 měsíci

      @@ME-kb8rk kuna faida gani yakushukuru poison. The issue sio asas tu, kuna wengine wengi tu.

  • @mafurumatijo8803
    @mafurumatijo8803 Před 10 měsíci

    Bandari zetu

  • @sulimanmzee2310
    @sulimanmzee2310 Před 10 měsíci +1

    ETI MWESHIMIWA KUMA KIBARAKA ANAWAPA MALI ZA WATANZANIA WAARABU NA ANAJENGA KWAO NYINYI MNALINDA MSHENZI TU

    • @bongo39
      @bongo39 Před 10 měsíci

      Hayo matusi unayo tukana yatakufikisha sehemu mbaya sana jee mama yako angekuwa nafasi hiyo jee ungekubali unajiamini sana

    • @asalkhan9168
      @asalkhan9168 Před 10 měsíci

      Ndugu sio ustaarabu huo kutukana matusi, zungumza jambo lako usitoe matusi

  • @DaimaNyakunga-jb6do
    @DaimaNyakunga-jb6do Před 10 měsíci

    Majambazi wanakupa SoMo situka wote hao wapigaji

  • @ElishaJoakim-ir2qf
    @ElishaJoakim-ir2qf Před 10 měsíci

    Sasa kamer man mbon mshamb san unamchu rais t chukua n mifug tuione

  • @KEVINPHANUEL
    @KEVINPHANUEL Před 10 měsíci

    Tuko vijana tunapenda mifugo tusaidie tufunge