Mh.Raisi kweli huyu Mkurugenzi yuko vizuri kujieleza pia huu mradi Ni mkubwa wa kisasa na mzuri sana sana Watanzania walio na upendo na nchi yetu wamefurahi huyu MD apewe green kardi ya kuingia ikulu muda wowote kuhusu huu mradi, maana akiwa na Jambo la la dharura Basi aweza Anza zungushwa ss wa TZ twajua hilo.Asante sana Mheshimiwa wangu Inshaala Mola akulinde Amina.
Asante boss wangu Hamad umeelezea vizuri sana good
Mh.Raisi kweli huyu Mkurugenzi yuko vizuri kujieleza pia huu mradi Ni mkubwa wa kisasa na mzuri sana sana Watanzania walio na upendo na nchi yetu wamefurahi huyu MD apewe green kardi ya kuingia ikulu muda wowote kuhusu huu mradi, maana akiwa na Jambo la la dharura Basi aweza Anza zungushwa ss wa TZ twajua hilo.Asante sana Mheshimiwa wangu Inshaala Mola akulinde Amina.