![mifugouvuvi Online Tv](/img/default-banner.jpg)
- 785
- 240 158
mifugouvuvi Online Tv
Registrace 16. 01. 2018
Wizara ya Mifugo na Uvuvi
Dodoma
Dodoma
Mnyeti ageuka "Mbogo" kwa wafugaji wasiobadilika!
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti amesema kuwa Serikali itaendelea kutounga mkono wafugaji wanaofuga kimila badala ya ufugaji wa kisasa unaoweza kuboresha uchumi wao na Taifa kwa ujumla.
zhlédnutí: 150
Video
Wavuvi Wadogo wampa maua yake Rais Samia! Ulega ampa "Uchampioni" wa Uvuvu Mdogo Afrika!
zhlédnutí 30Před 21 dnem
Wavuvi wadogo hapa nchini wamejinasibu kutembea kifua mbele kwa sababu ya mipango mizuri ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan aliyoiweka juu ya kuwasaidia wavuvi kuinuka na kuboresha shughuli zao.
Historia yaandikwa Tanzania! Mkutano wa Wavuvi wadogo Afrika 2024 wafana!
zhlédnutí 65Před 28 dny
Tanzania imeandika historia ya kuwa nchi ya kwanza barani Afrika kuandaa Mkutano wa Wavuvi wadogo barani humo ambapo Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Doto Biteko alikuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa Mkutano huo ulioanza Leo Juni 05, 2024 kwenye Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar Es Salaam.
Wakaguzi wa Mifugo na Mazao yake Vituoni wapigwa Msasa!
zhlédnutí 94Před měsícem
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi leo Mei 22, 2024 imeanza kutoa mafunzo ya siku 3 kwa Wakaguzi wa mifugo na mazao yake waliopo kwenye vituo mbalimbali vya ukaguzi ikiwa ni pamoja na vile vilivyopo kwenye mipaka yote nchini zoezi litakalofanyika mkoani Morogoro.
Pazeni sauti tumuokoe Punda-Mnyeti
zhlédnutí 59Před měsícem
Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Alexander Mnyeti amewataka wadau wote wanaosimamia ustawi na haki za wanyama kukemea vikali vitendo vitakavyosababisha kutoweka kwa Punda ili wanyama hao waendelee kuwasaidia wananchi katika shughuli mbalimbali za kijamii na kiuchumi.
BIL. 3.1 KUTUMIKA KWENYE UKUZAJI VIUMBE MAJI RUVUMA, LINDI
zhlédnutí 134Před měsícem
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi chini ya uratibu wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu imeanza utekelezaji wa mradi wa kuendeleza Lishe na Ufugaji endelevu wa Viumbe maji kwa wakulima wadogo thamani ya shilingi Bil. 3.1 uliozinduliwa mkoani Ruvuma Aprili 4, 2024.
MAFANIKIO YA MIFUGO NA UVUVI MIAKA 60 YA TANZANIA
zhlédnutí 218Před 2 měsíci
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mhe. Abdallah Ulega (Mb), akielezea mafanikio ya miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika sekta za mifugo na uvuvi.
Jinsi mahindi yanavyoweza kuwa malisho bora ya Mifugo!
zhlédnutí 471Před 2 měsíci
Mfugaji wa mfano kutoka Jijiji Tanga Bi. Mariam Shekue anaendelea kutoa somo la ufugaji bora na safari hii anatuelezea namna alivyoweza kufanya zao la mahindi kuwa sehemu ya malisho bora ya Mifugo yake..Tazam hapo.
Hatua kwa hatua namna ya kupanda malisho ya Juncao!
zhlédnutí 685Před 2 měsíci
Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa upande wa sekta ya Mifugo imetoa elimu ya namna ya hatua kwa hatua namna ya kupanda malisho ya mifugo aina ya juncao wakati wa tukio la kumuwezesha mfugaji wa mfano jijini Tanga Bi Mariam Shekue kilo 250 za malisho hayo lililofanyika Aprili 7, 2024 mkoani Tanga... Mtazame hapo Mkurugenzi wa Maeneo ya Malisho na Rasilimali za Vyakula vya Mifugo Dkt. Asimwe Rwiguza a...
TUACHE MAJUNGU, UNAFKI NA KUCHUKIANA TUFANYE OFISI ZETU KUWA MAHALI PAZURI PA KUISHI - PROF. SHEMDOE
zhlédnutí 192Před 2 měsíci
Video from Godizagiver
Prof. Riziki Shemdoe azindua bweni la Wasichana la Wakala ya Mafunzo ya Mifugo (LITA) Morogoro.
zhlédnutí 67Před 2 měsíci
WizaraMifugoUvuvi
Tazama NARCO Kongwa walivyofanikiwa kwenye malisho ya Juncao!
zhlédnutí 2,7KPřed 2 měsíci
Mkurugenzi wa Maeneo ya Malisho na Rasilimali za vyakula vya Mifugo Dkt. Asimwe Rwiguza ametembelea ranchi ya Mifugo ya Kongwa iliyopo chini ya Kampuni za Ranchi za Taifa (NARCO) ili kuona namna walivyofanikiwa kwenye kilimo cha malisho ya mifugo aina ya Juncao.. Tazama hapo mazungumzo yake na wao yalivyokuwa..
Maafisa Ugani 1058 wafikiwa na Mafunzo Rejea 2024!
zhlédnutí 42Před 3 měsíci
Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imehitimisha zoezi la Mafunzo Rejea kwa Maafisa Ugani 1058 waliokuwa katika kanda mbalimbali ikiwa ni juu lengo la awali la kuwafikia Maafisa Ugani 1000.
WAZIRI ULEGA NA KURASA 365 ZA DKT. SAMIA
zhlédnutí 94Před 3 měsíci
WAZIRI ULEGA NA KURASA 365 ZA DKT. SAMIA
MIAKA MITATU YA DKT. SAMIA (MIFUGO NA UVUVI)
zhlédnutí 166Před 3 měsíci
MIAKA MITATU YA DKT. SAMIA (MIFUGO NA UVUVI)
VIKUNDI SABA VYA WANUFAIKA WA MKOPO USIO NA RIBA WA VIZIMBA WILAYA YA NYAMAGANA WAFIKIWA.
zhlédnutí 72Před 3 měsíci
VIKUNDI SABA VYA WANUFAIKA WA MKOPO USIO NA RIBA WA VIZIMBA WILAYA YA NYAMAGANA WAFIKIWA.
WANUFAIKA WA MKOPO WA VIZIMBA WILAYA YA NYAMAGANA WAMSHUKURU MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
zhlédnutí 50Před 3 měsíci
WANUFAIKA WA MKOPO WA VIZIMBA WILAYA YA NYAMAGANA WAMSHUKURU MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN
Serikali yakabidhi mradi wa Ujenzi wa Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Songwe!
zhlédnutí 68Před 3 měsíci
Serikali yakabidhi mradi wa Ujenzi wa Chuo cha Mafunzo ya Mifugo Songwe!
Nyanda za Juu Kusini ni eneo letu la kimkakati - Prof. Mushi
zhlédnutí 93Před 3 měsíci
Nyanda za Juu Kusini ni eneo letu la kimkakati - Prof. Mushi
WANAWAKE SEKTA YA UVUVI AFRIKA, WATOA MCHANGO MKUBWA
zhlédnutí 23Před 3 měsíci
WANAWAKE SEKTA YA UVUVI AFRIKA, WATOA MCHANGO MKUBWA
AWFISHNET WORKSHOP ON LEADERSHIP 2024 (Miss Jovice Mkuchu)
zhlédnutí 11Před 3 měsíci
AWFISHNET WORKSHOP ON LEADERSHIP 2024 (Miss Jovice Mkuchu)
AWFISHNET WORKSHOP ON LEADERSHIP 2024 (Miss Editrudith Lukanga)
zhlédnutí 9Před 3 měsíci
AWFISHNET WORKSHOP ON LEADERSHIP 2024 (Miss Editrudith Lukanga)
Maafisa Ugani kanda ya Kusini wanolewa!
zhlédnutí 53Před 3 měsíci
Maafisa Ugani kanda ya Kusini wanolewa!
Maafisa Ugani Pwani na Mashariki waahidi kwenda kuchapa kazi!
zhlédnutí 61Před 3 měsíci
Maafisa Ugani Pwani na Mashariki waahidi kwenda kuchapa kazi!
"Livestock Guest house" inahamasisha ufugaji wa kisasa" - Ulega
zhlédnutí 124Před 3 měsíci
"Livestock Guest house" inahamasisha ufugaji wa kisasa" - Ulega
Maafisa Ugani wasisitizwa kuhusu malisho ya mifugo!
zhlédnutí 831Před 3 měsíci
Maafisa Ugani wasisitizwa kuhusu malisho ya mifugo!
Sekta ya Uvuvi yapokea Magari, Pikipiki za mradi wa AFDP!
zhlédnutí 50Před 3 měsíci
Sekta ya Uvuvi yapokea Magari, Pikipiki za mradi wa AFDP!
TALIRI West Kilimanjaro kuwa Kitivo cha Ubora uzalishaji wa Mbuzi na Kondoo!
zhlédnutí 738Před 3 měsíci
TALIRI West Kilimanjaro kuwa Kitivo cha Ubora uzalishaji wa Mbuzi na Kondoo!
Nimekupata toka Zambia mkuu,nitaanza ufugaji wa ngo'mbe baada ya kuona video hii,umehamasisha sana .unapatikana upande upi na mbali gani toka mbeya mjini?
Tunashindwa kudownload
Njooni Tuwauzie vifaranga kama kilo 10000 tutawapatia kwa idadi mnayohitaji
Na mbegu tutaipata wapi?
Jani hilo linaitwa aje?
Naomba namba zenu za simu
Namba za simu
Aina gani ya samaki?kambale?
Yaani huyu mkuu wa mkoa alikuwa yuko vizuri sana, sijui hiyo kashifa ilitoka wapi, na hawa ndiyo viongozi wanaotakiwa
Ufugaji n mzur lkn achen kumnad samia kusko na maana kwan hapo ana uckaje ?alikupa hao ng'ombe bule au kapen zimeanza
Good news ✅
Good news ✅
Ninaomba namba simu jinsi kuwapata
Naomba jinsi ya kunenepesha ngombe
Dar tunapata wapi
Hii ni nzuri saana kwa maendeleo ya mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla
Hongereni. Dodoma mbegu tunapata wapi
Kaz njema na madini mengi napatq
Mimi mfugaji wa sungura
Shukrani sana, kwa elimu hii ya upandaji wa majani
Kilimo cha simu kizuri no stress
Kilimo cha simu kizuri no stress
nimevutiwa na huu mradi
Safi sana
Hongera mama,upo wapi tuje tukutembeleee
Hawatoshi watam boda san
Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)
Mbegu za malisho ya Juncao zinapatikana kwenye mashamba ya Serikali ya mbegu za malisho likiwemo shamba la Vikuge (Pwani) na Langwira (Mbeya), Kwa mawasiliano piga simu namba 0714060849 (Reuben, Meneja wa shamba la Vikuge)
Kwa Moshi mbegu mnauza wap
Ni kiasi gani Cha mbegu Kwa hekta
Utaratibu wa kupata mbegu ya hayo ukome kwa hapa dodoma
Nahitaji vifaranga vya sato
Hongereni sana
Nimeipenda sana hiyo fursa naomba mawasiliano yako
Kwa Kagera ulizia mbegu kwa Bwana Jossam wa Kahama Fresh, Alhaji Shakiru Dangote na Katongo kwenye bustani ya mbunge Mwijage. Shambani kwa mbunge mbegu ni bure
Mawasiliano mkuu. Hongereni sana kwa jitihada za kufikisha majani haya nyumbani. Omukama abebembele muno mwaakora!!!
Tayari Muleba tuna mbegu nyingi
Hongereni sana mkuu. Mawasiliano yenu tafadhali
Wizara ingejitahidi kusambaza mbegu kwa kila kanda ili wafugaji wazipate kwa urahisi nakuanza kufuga kisasa
Hapa ndio tuonaona ubaguzi wa wazi wazi wa serkali kwa wananchi wake. Maziwa yapo mengi tu nchini, lakini naona mengne hayafai kwa miradi kama hiyo ispokua Victoria tu. Huko kwingine serkali inaweza kufunga ziwa, hata watu wakipata madhara yoyote, ni sawa tu, maana binaadam ni hawa walioizunguka Victoria.
Safi
Naitaji naomba ya sm yenu
Tunafikaje huko ofisini kwenu,west Kilimanjaro,tupeni msaada wa taarifa.
Tupo pamoja
Wataalamu waongezwe
Safi sana
Naomba mawasiliano yenu
Westkilimanjaro@taliri.go.tz, Mkurugenzi TALIRI West Kilimanjaro 0758518304
Naomba kuuliza Mradi WA Mkuu WA Mkoa upo sehemu Gani Bariadi?
Hiyo mbegu inapatikanaje kwa mtu binafsi
Nakubali sana hii kazi ya unenepeshaji wa ng'ombe, lakini ufanisi huo ndo sina
Namba zenu za simu
Westkilimanjaro@taliri.go.tz, Mkurugenzi TALIRI West Kilimanjaro 0758518304
Mr William Mushi my greatest tutor from lita tengeru
Kaka habari naomba nije nijifunze kwako kaka
Du majani mazuri sana vipi tanga yatatufikia