Nini maana ya Hakika na Kwanini tunatakiwa Fanya Hakika

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 08. 2021
  • Sheikh Mussa Kundecha hapa anaeleza kwa Kina juu ya Hakika

Komentáře • 25

  • @Abdulrahmanhassan18
    @Abdulrahmanhassan18 Před 2 měsíci

    Shukran sana shekh kwa elimu Kuna baadhi ya watu hawana maarifa hufanya hakika baada ya miaka 2 kisa tu babake yupo safarini kwahivyo anangojewa arudi ndio mtoto achinjiwe mnyama

  • @hawahassan1623
    @hawahassan1623 Před 2 lety

    I love the restaurant

  • @hawaazizy5071
    @hawaazizy5071 Před rokem +2

    Navip kumyoa kwenye siku ya 40 haifai?

  • @athumanikhamisi3377
    @athumanikhamisi3377 Před 7 měsíci

    Shukraan 🙏

  • @abubakarmuhammadsaid3244
    @abubakarmuhammadsaid3244 Před 2 lety +3

    Yafuatayo ni mambo ya kizushi na Itikadi za kutungwa ambazo huenda zikasababisha shirk:
    1. Nyama ipikwe kwa kuchanganywa na sukari au vitu vitamu au kuliwa na asali kwa madai kwamba mtoto awe na tabia nzuri.
    2. Mifupa ya nyama isivunjwe, eti na mifupa ya mtoto huenda ikapata ajali ya kuvunjika, n.k.
    3. Mifupa ya nyama ifukiwe baada ya kuliwa, au ikazamishwe baharini.
    Huwezi kupata aya wala hadithi wala aathaar inayoamrisha mambo hayo matatu.

    • @hawaazizy5071
      @hawaazizy5071 Před rokem

      Bc tuambie tufanye vp mnatuchanganya jmn

    • @hassaniidrissa5916
      @hassaniidrissa5916 Před rokem

      Sheikh shukrani kwa mawaidha lkn siungetolea darsa sehemu iliotulia kama mskitini?

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 Před rokem

      @@hassaniidrissa5916
      Ndio
      Huwa natoa

    • @drimaz2692
      @drimaz2692 Před 10 měsíci

      wew toa aya au hadithi inayo kataza maan kila jambo shirk na sijui kama shirk inajulikana au unazijua vizur kwa upana wake shirk? kaziyetu ni kukufurishana na kuingizana moton na kutoana au kuchagulian milango yapepo na milango ya mto nikam tumeimilik hiyo pepo au moto je kunashirk kubwa zaid ya hii?

    • @abubakarmuhammadsaid3244
      @abubakarmuhammadsaid3244 Před 10 měsíci

      @@drimaz2692
      Wewe ni pocho
      Hapo sijataja motoni wala Peponi na wala sijamuita mtu kafiri wala mshirikina, bali nimevitaja vitendo tu.
      Sasa wewe endelea kushajahisha ujinga na upumbavu.

  • @othmanabdalla5295
    @othmanabdalla5295 Před 2 lety

    Mbona hutoi Salam

  • @maryamhamad494
    @maryamhamad494 Před 2 lety

    Shukran sana

  • @husnasalehe6452
    @husnasalehe6452 Před 2 lety

    Je unaweza ukfnya kabla ya 40 yake

  • @ommytoza6971
    @ommytoza6971 Před 4 měsíci

    Ni uzushi tu hauna dalili kua usivunje mifupa si laxima iwe ndani ya siku saba ni muda wowote utakaponafasika nywele aziitwi akika akika ni kichinjo kile kinachochinjwa ndio akika kwa lugha ya.kiarabu

  • @malcommshana3955
    @malcommshana3955 Před 2 lety

    Asalaam alaikum, Je kama wakati huo uliotaja hakuwa na uwezo wa kuchinja?! je unaweza ukamfanyia hata kwa badae mathalani mtoto akiwa ametimiza miaka 2 au 3?!