Aise sns mmchangamka sana kwa sasa mnakuja na habari za kimkakati maana vijana tusibweteke tu anasa uku bara letu likipotea. Ongereni sana sns na Dr Smart + Dr Alli Masubi + Sky
Namkubali mr kisekedi kasbutu japo sio kazi rahis ila naamini alilo lianzisha nijema na Mungu amlinde anatamani kukomboa inchi yake naamini one day atafanikiwa
AHSANTE SAANA KWA KUSIKIA NDUGU YETU TCHESEKEDI KUSEMA UKWELI KUMBE AFRIKA BADO TUNA HAZINA YA MASHUJAA , KABRA YAKE NI MUAMAR GHADAF IN, SHA ALLAH KWELI KUMEKUCHA TULE MATUNDA YETU 🍉🍊🍍🍏🍐🍓🍎🍌🍑🥭🥝🍇🍊🍍🍈🍒🫐🍋🍉✔️✔️✔️✔️✔️
Wion na Firstspot hamna, kwanza ni ma anti China,Pakistan, NK, pro India!! Pia inasemekana mdhamini wao mkubwa ni VOA yani Voice of America, wanapo ongelea sana migogoro ya Ukraine na Gaza huwa wanaripoti ki western style....
Wanangu wabongo tujuwe Wacongo ndo ndugu zetu waukweli siyo hawa wanyarwanda hawa, KAGAME kibaraka tu anatumiwa na wamagharibi kuitesa DRC ila kwa rais huyu Thisekedi kumekuwa na mabadiliko mengi sana inchini humo, mimi nimupe tu THISEKEDI ongera yake anawapenda watu wake
Ubaya wenu ndo uwo president Felix amefanya makubwa kapokeya nchi ilikuwa haina jeshi kabisa lakini leo afadhari lakini bado kwa ujinga wenu hamuyaoni ayo
Kasha washtukia kwani mbinu wanazotumia wazungu wote wanashilikiana ktk mikataba ya nchi za Africa na ni wamoja mnoo kila wakipanga taarifa zao ni moja ila cha ajabu Africa kila nchi inajifanyie yake ndio maana wanatudanganya ktk mikataba kwani wao ndio wanapanga iweje lakini china yupo poa tu hata utaalamu hafichi hao weasten wanafanya siri ni matapeli wazuri sio wa kushilikiana labda wabadili mitazamo yao ya kihuni
magahribi siku zote hawatangaz kitu kisichokua na maslahi na wao chenye kuwaudhi ndio maana nasema hata tecnolojia yao iko chini sema wanazitisha tu na kuzipora nchi maskin lakin wakikaza unaona anarudi nyuma na ushindi wao mkubwa marekani ni kutengeneza vibaraka na magaidi ndio wanaowasaidia kwenye kushinda vita vyao kama nchi itaweza kuziba mianya hiyo miwili marekani hana uwezo wa kuingia hiyo na kuichezea
Nashukuru sana kwasababu watu wanaanza kujuwa ukweli kuusu vita ndani ya congo;wamarekani na wa faranca ni wa janja sana ila mimi na waoana wajinga sana,ni wao walio mu uwa avyarimana na ndagyamira ila wanasema awajuwi nani alifanya ivyo
Waafrika tukiungana na tuondoe issue ya passport. Tuwe tunabadilishana biashara na movement zitaongezeka na tuweke dollar yetu. United States of Africa. Unajua sisi waafrika lazima tushtuke. Huyu mmarekani dollar yake ipo juu kwa sababu yamuungano wa states . Sisi kuungana hatutaki. Hatuwezi kutoboa. Sisi tukiungana tukawa na pesa yetu. Dollar ya mmarekani itashuka. Na hicho kitu mmarekani hakitaki kifanyike africa.
Felix wamarekani wata muagamiza siku simbalu Felix aliigiha kwenye mikatamba .yao .tena Felix die muchuganji mukubwa wa vita kwetu congo .M23 boss Felix
Huo ndio ukwel na ukitak aman ktk nchi ya ongea na putin jesh la Russia liingie hap...Ndan ya wik tu makund yote yameisha ni kher ugawan madin na Urus iman ipatikan kulik vita kuendelea na madin kuibiwa na kutoroshwa
Msi mwamini uyu raisi wa Congo , ni muongo sana, huyo huyo katoka ku saini mikataba na France 🇫🇷 Eti ufaransa ndo wa anze kulinda madini au mali za Congo 🇨🇩
Waafrika sisi ni ndugu tuamke Kwa pamoja ❤❤❤
Hongera chisekedi Kwa kutambua Hilo
kama kweli anamadhumuni ya dhati kwenye izo nchi mbili kati ya Urusi na China basi tutaona mabadiliko nchini DR Congo.
InshaAllah Kheri
Yeah
Aise sns mmchangamka sana kwa sasa mnakuja na habari za kimkakati maana vijana tusibweteke tu anasa uku bara letu likipotea. Ongereni sana sns na Dr Smart + Dr Alli Masubi + Sky
Nimefulah sana Bado Tanzania mazwazwa hatuna maamuzi mpaka mangaribi ituongoze
Tanzania majuzi walipelekwa Viongozi wetu wa Kijeshi wakapate mafunzo
Good one, lkn chunga mabepari wasikuuwe
Hongera snaa kwa kuwa na muamko, amka big blaza na viongozi wa afrika amken
Namkubali mr kisekedi kasbutu japo sio kazi rahis ila naamini alilo lianzisha nijema na Mungu amlinde anatamani kukomboa inchi yake naamini one day atafanikiwa
True bro hat mm nimeon kweny Africa news🤜💥🤛
Congo 🇨🇩 Stand up Na Inatakiwa Wananch Wamuonge Mkono Raisi Yupo Na Akili Pana
Yeah
Waatauwa wangapi msiogope kufa nyie viongozi waafrika pambaneni kwa ajili ya watu wenu ache kwafsidisha wa magharibi
Sasa Ameanza kujitambua. Marekani wajanja sana wanajifanya kukemea lakini ndo wanasapoti hao waasi.
Hongera kwake Felix
Yeah
Marekani walimua Prime Minister Patrice Lumumba 🤦♂️😭😭
AHSANTE SAANA KWA KUSIKIA NDUGU YETU TCHESEKEDI KUSEMA UKWELI KUMBE AFRIKA BADO TUNA HAZINA YA MASHUJAA , KABRA YAKE NI MUAMAR GHADAF IN, SHA ALLAH KWELI KUMEKUCHA TULE MATUNDA YETU 🍉🍊🍍🍏🍐🍓🍎🍌🍑🥭🥝🍇🍊🍍🍈🍒🫐🍋🍉✔️✔️✔️✔️✔️
Safi kabisa amewashtukia. Walinda amani wote wa UN kaz yao ni kuchochea vita ili waibe madini
hawa FIRSTPOST ni watu makini sana na nauona sky na hii simulizi na sauti mkielekea huko.. mnapiga kazi nzuri sana
Firstpost huwa wanaegemeaga upande moja sometimes
Wion na Firstspot hamna, kwanza ni ma anti China,Pakistan, NK, pro India!! Pia inasemekana mdhamini wao mkubwa ni VOA yani Voice of America, wanapo ongelea sana migogoro ya Ukraine na Gaza huwa wanaripoti ki western style....
Wanangu wabongo tujuwe Wacongo ndo ndugu zetu waukweli siyo hawa wanyarwanda hawa, KAGAME kibaraka tu anatumiwa na wamagharibi kuitesa DRC ila kwa rais huyu Thisekedi kumekuwa na mabadiliko mengi sana inchini humo, mimi nimupe tu THISEKEDI ongera yake anawapenda watu wake
Hongera sn Rais wangu Nakupenda sn From U S A kinachobaki atuletee Wagner ili waje wazime mistale yote ya majambazi wa Monusco ❤🇨🇩❤
Hata hawo wachina asiwaamini saana. Kila mtu anatifuta faida.
Kikubwa nikuangaliya atakaye ipa unafuu wa Madigan kwenye inchi yake
Atuna raisi sisi ameshindwa na rwanda na ndo wanauwa wa Congo kila siku
Ubaya wenu ndo uwo president Felix amefanya makubwa kapokeya nchi ilikuwa haina jeshi kabisa lakini leo afadhari lakini bado kwa ujinga wenu hamuyaoni ayo
@@songamberetv2219 bro amefanya nini Kama siyo kuiba millions $ y wa Congo kipeleka ulaya
Kwa hiyo na sisi wataka tuwe wauwaji?
@@mwawekomiuda9779 wewe hujuwi siyo mkongo so kazana na story za TV tu
Mwamba ka thubutu 👏👏👏 👏👏👏
Safi sana Kongo
Dah ishi miaka mingi mchambuzi
Kafanya ukweri zingatia maisha yaraia wako
Kasha washtukia kwani mbinu wanazotumia wazungu wote wanashilikiana ktk mikataba ya nchi za Africa na ni wamoja mnoo kila wakipanga taarifa zao ni moja ila cha ajabu Africa kila nchi inajifanyie yake ndio maana wanatudanganya ktk mikataba kwani wao ndio wanapanga iweje lakini china yupo poa tu hata utaalamu hafichi hao weasten wanafanya siri ni matapeli wazuri sio wa kushilikiana labda wabadili mitazamo yao ya kihuni
Congo bwana niatar kila wakati ni kwetu 😂😂❤
Iyo ndo ilitakiwa cku nyingiii awatimue na Belgium
Kapiga dili la matrilioni na China. Ndio maana anadunda kama anaolewa Jumamosi.
Lina akili hilo😂😂😂
WA Kongo mkiungana na wachina na urus vita itaisha kabisa
Napenda raisi wangu Felix,Mungu amulinde
Mama Samia wetu jibakie kimya 🤪, huu ni wakati mgumu usiingilie ya watu 🫣
Uchaguzi wamwakani ccm njooni nahoja zakutosha. hatutaki mambo yawamagalibi badilikeni tumechoka kutukima😢
Nikweli enough is Enough wallah ningefurah kama ningeona congo majiran zetu wanaaman❤❤❤
Hongera sana kwa hilo ,kongo ikikombole africa imekombolewa
Taratibu anabadilika maana bazungu bhaaana ni wanafiki sana
🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Naomba viongozi wa Africa msiogope ongea ukweli hakuna atakae wazulu kwakuwa walio wazulu wakwaza wameumbuliwajamani
Yeye mwenyewe Ana ishi ulaya, na ame wapa inchi yote. Huyo Tshisekedi ana ongeyaka hovyo hovyo ila matendo yake ni balaa sanna. Ame wauzia inchi.
Safi sana kabisa rais bora kabisa
magahribi siku zote hawatangaz kitu kisichokua na maslahi na wao chenye kuwaudhi ndio maana nasema hata tecnolojia yao iko chini sema wanazitisha tu na kuzipora nchi maskin lakin wakikaza unaona anarudi nyuma na ushindi wao mkubwa marekani ni kutengeneza vibaraka na magaidi ndio wanaowasaidia kwenye kushinda vita vyao kama nchi itaweza kuziba mianya hiyo miwili marekani hana uwezo wa kuingia hiyo na kuichezea
Siku Congo wakiwaKalibisha warusi wailinde Congo. Hiyo ndo itakuwa mwisho wa Mfaransa na marekani kuihujumu Congo.
Asante sn Beton
huyu kweli ni mwanaume yaan maneno hayo kayasemea ndani ya ufaransa kwenyewe
Naione marekani inapoteza ushawishi wake duniani
Kbs yuko sahihi 🇨🇩🇨🇩❤️
Kweli kabisa
Nakubaliana nae
10000%
Uchambuzi umekuwa mfupi sana hizi siku 😢
Nasisi tunaipenda sisi kama wa Congo
aka kawimbo si watoe audio mbona kizur 😅
Rais mpuuzi haijawahi kutokea, kaxi kuwachekeachekea tu mabeberu haswa us na ulaya huyu ni kibaraka mtiifu wa NATO kiujumla
Amebadilisha bwana..
Bro Sky tunaandalieni makala tosha yenye kushiba kuhusu DRC kina Sma&Masubi waende CHIMBO watwambie....
🎉🎉
Amesha wagundua hao wajanjajNja
MUNGU IBARIKI AFRICA MUNGU IBARIKI DRC CONGO
Ni hao ✈️comment sava
Russia ndo dawa
Nice
Nashukuru sana kwasababu watu wanaanza kujuwa ukweli kuusu vita ndani ya congo;wamarekani na wa faranca ni wa janja sana ila mimi na waoana wajinga sana,ni wao walio mu uwa avyarimana na ndagyamira ila wanasema awajuwi nani alifanya ivyo
Utawala wa mashoga nlazima uanguke imefika tamati
Ana jichanganya sana kwa speech zake
Mbele ya raïs Macron wa ufarance amekubali kusaini contrats nyingi na inchi hiyo juzi tu 😂😂😂
Ata kisekedi akatae wamarekani sio wamarekani ndio wanasumbua Congo ,kisekedi mwenyewe ndie aana akili yakuongoza inchi
Ndio marekani n'a ufaranca niwezi 😂😂😂😂 afazali china urusi inchi zenye upendo Kabisa acha wapoteze
vipi yale maharage ya virutubisho yamerudishwa amerika au yameliwa
Daaaah
Kumeanza kuchangamka ndugu msomaji
Waafrika tukiungana na tuondoe issue ya passport. Tuwe tunabadilishana biashara na movement zitaongezeka na tuweke dollar yetu. United States of Africa. Unajua sisi waafrika lazima tushtuke. Huyu mmarekani dollar yake ipo juu kwa sababu yamuungano wa states . Sisi kuungana hatutaki. Hatuwezi kutoboa. Sisi tukiungana tukawa na pesa yetu. Dollar ya mmarekani itashuka. Na hicho kitu mmarekani hakitaki kifanyike africa.
Ndani ya nchi kawachana
Chukua hatua wafukuzwe wote
Kagame kibaraka wa merekani
Mimi nimeona kifo mapema sana , RIP 😢
That’s my president ❤❤
Ulikua nasubiri nini kwenda kwa Puttin...!
tutambue hilo amerika na ulaya yote ni matapeli wa uchumi
Bro sky tunaandalieni makala kuhusu vita vya DRC kina Sma&Masubi waangie CHIMBO watuletee hiyo makala kuhusu jirani zetu
Safisana raisi wacongo ❤❤❤
Anachokfanya marekan mimi skishangai anapambania watotowake bolapunda afe mzgo ufike
Congo DRC 🇨🇩 My Country 🇨🇩😭😭😭😭
Aschokiju uyoniktukmoja mahisha ya skuizi tofaut nazaman skuizi iliufikie marengoyako yoyote yalelazma uwemjanja mjanja akunahakiskuiz hakihataikuta mbngun mahishnivta kilamtu anataman kuwaju tatizo nikianzio akunamtu aliyezaliwa kumfulaisha mtu barinikupambania ndotozake
Felix wamarekani wata muagamiza siku simbalu Felix aliigiha kwenye mikatamba .yao .tena Felix die muchuganji mukubwa wa vita kwetu congo .M23 boss Felix
UMEAMKA KUMBE... SAFI SAANAA
This is big news to ALL CONGOLESE
MTU YOYOTE MWEUPE SIO MTU UKITAKA KUENDELEA PAMBANA NA RASMALI ZAKO NA WATU WAKO BASI .
Kwadunia yaleo hakuna anayefika jukwahak nahakuna hatakaye fikaju bilazulma aukuoneawengne askudangenye mtu sstunashnwa hatunakianzio uwoni atasisi wenye maskin kwamaskn tunaoneana kilasku kwamambo mamadogo yasyo nasababu
Watamuua bure kama magu
AENDE RUSSIA AONGEE NA PUTIN VIZURI
Huyu ni Muongo sana kabla ya kusema ivo asha saini mika taba wazungu warudi Congo kutafuta maeneo Mpia ya madini, huyu ni Kibaraka tu
Uko mnyarwanda
Huo ndio ukwel na ukitak aman ktk nchi ya ongea na putin jesh la Russia liingie hap...Ndan ya wik tu makund yote yameisha ni kher ugawan madin na Urus iman ipatikan kulik vita kuendelea na madin kuibiwa na kutoroshwa
Kwann asimalize makund Syria
Uyoputi alichokifanya silia unakjua .Syria mbakaleo amaniakuna yembona yupopale
@@user-tq4lx9si1n rejea ukanda wa sahel i mean bukinafaso, niger nk...huko syria cjawh kuckia kama jeshi la rusia lipo
Msi mwamini uyu raisi wa Congo , ni muongo sana, huyo huyo katoka ku saini mikataba na France 🇫🇷
Eti ufaransa ndo wa anze kulinda madini au mali za Congo 🇨🇩
Unauakika gani na hicho unachokisema?
China Russian nomaa sanaa 🙏🏼
Na huo ndio ukweli mtupu,waafrika hebu tubadilike sasa,vinginevyo damu za waafrika zitaendelea kumwagika.