MAMAMKWE wa BARNABA BALAA! AMRARUA LIVE BARNABA -"HANA HESHIMA -HUWEZI SHIKWA OVYO -NAMTAKA MSHENGA"
Vložit
- čas přidán 1. 05. 2024
- MAMAMKWE wa BARNABA BALAA! AMRARUA LIVE BARNABA -"HANA HESHIMA -HUWEZI SHIKWA OVYO -NAMTAKA MSHENGA"...
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx - Zábava
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Jamani mama imeumia sana
mama acha kuingilia ndoa ya mwanao
Mama mwenyewe shangingi
😂😂😂😂😂
wakati unamwozosha huyo mwanao hukujua Barnabas ni msanii ulitakuwa umeozeshe Kwa sheh acha kelele Barnabas hanashida
Yupo sawa mama kwa sheria za kislam
KAZI KWELI KWELI, KAZI zingine mitihani
Alimshika sana si kidogo😂😂
Mama hyu shida tobaa
Kama una mwanao ameoa au kaolewa huwezi furahia mkwe wako anapiga picha kama hizo na ukacheka wazazi tuwe na heshima
Huyu mama Yuko na hoja sijapenda Ile picha kadamnasi yote imejua😂
HUYU MAMA WA HOVYO SANA YAANI AMEKUWA SEHEMU YA UVUNJIFU NDOA YA MWANAE.MAMA MKWE WA KIDIGITALI
Duh mbn barnaba kazi anayo
Mbona mwanae anashikwashikwa sana, msitake kumpelekesha mtoto wa watu kwendraaaaaaaa
Huyo mama mwenyewe hajui Sheria huwezi ukampokea mke wamtu akae kwako eti mpaka Barnabas aje aombe msamaha iyo Sheria ya wapi jamani uyo nimke wamtu umemuozesha kisheria anatakiwa aende nyumbani kwa mwanaume akatoe malalamiko sio kwao wote mama na mtoto hawajielewi Wala hizo Sheria hawazijui
Hii sio Sawa hata Huyu mama adabi hana pia kuna mambo ayakupaswa kuongerewa huku yeye kama mama then kazi itabaki kua kazi ila huyo mtoto ake mwenyewe mjinga na Huyu mama chizi tu
Barinaba kakoseya mbona nandiy huwa hafanyi hivyo
Nani kama MAMA? Hakuna mwana aso na Mama hata ingekuwa mimi ningemchukua binti yangu kazi na mipaka yake alaa mtoto anauma sio mchezo
Lakini na hao wasanii wajistri hata mimi sijaipenda
Barnaba rudi ulikotoka hapo huna mke wala mkwe
Ma mkwe kama uyu ni shida 😢😢
Kama tukifuata Uislam unavyotaka mama mwenyewe hana stara, mnataka kuishi kimagharib kisha mna mlaumu Barnaba, kama mngehitaji maadili mgefuata taratibu tokea anaoa.
Mwambie mwanao nae ajitahidi kufuata dini inavyotaka.
Hakuna mama mkwe hapo.
Barnaba umepambana
Hapo mbele moto nyuma moto akamuombe msamaha mama mkwe badala ya mke kazini kwa barnaba kuna kazi
Mama kimbo
Hata Mwanaye ni mjinga . Hauwezi ondoka nyumbani kwako kwa sababu za kipuuzi.
Watia aibu watu watanga waongea sn ww
Mama mkwe kishangingi la tanga
Mama mwenyewe mstari wa maziwa wote uko wazi Yammy kuvaa chupi ya kuonekana pia ni sawa tu
Mama hajatulia huyo. Atavunja ndoa ya mwanaye.
Wanataka wampande Barnaba kichwani sheenzi type
Hahaha haha
Tanzania bana
Huyu mama anaingilia ndoa ya mwanae, huyo kijana katekwa na mama mkwe
Uyu mama kweli ovyooo
Kwa hiyo mnataka mahali Mara ya pili au,, yule msanii jmn.
Sasa mama kwnn uongee kweny media mama c umuite mkweo umuonye sio kuitangzia umma
Mama ww mbumbafu sana utapokea nje mke wamtu ?mwanao kaolewa wemama mjinga sana kuliko umusaidiye mwanao kumutuliza ni ww Ndo umekasirika
Mtoto wake mwenyewe mbaya Na familia ya kiswahili kabisa hawajui Barnaba yuko kazini , ndio maana sikutaka kuoa mwanamke wa kitanzania familia nyingi wana mambo ya kiswahili yaani huyu mama anaongea utafikiri yeye pia ameolewa anaingilia mambo ya mume Na mke nyumba ya mtu ! Kama Mimi ningempa taraka ili akae Na mtoto wake .
Uzuri wa dini ya kiisilamu talaka nje nje bora tu barnaba atoe taraka
Yap Mwache atoe talaka Kwani mwanamke mmoja
Wakwanza jamaniiii
Mama Wacha povu nn shida unajizalilisha kwani ww ndio semaji la mwanao tuliya Wacha plsha Kazi Kaz tu kwani ulikujua kazi yake
Mambo haya mama mkwe kiboko mama mpende mtoto wako mwaya.
Barnaba atajutaa 😃😃😃😃😃
Unaendaje oa familia za kiswahili kama hizi kama unaakili , watu wanakelele ka madalali wa mtumbani unaendaje ongea mambo ya ndoa kwenye vyombo vya Habari
Hapo picha tu je akifumaniwa sijui itakuwaje
Huyu mama chizi jaman mim simuelew anapenda kumkamandi mkwewe banamba kazi anayo loooo mama anaongea huyu
Mchukue ukamsage kelele tu.
Tobaaa🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Ww mam hun akil
Ni kosa kumpokea mtoto uliyemuozesha Kwa sababu kama hiyo wewe mama mkwe wa shali
We mama kimbo acha uboya ww huyo nimsanii
Kamchukue c mtoto wako kwani mwanzo hamkujua kma mwanaume ni mwanamziki mkome muache kuwa naa vihere here na wasanii
Uyuuu mama ni chinzi ikiskia kutawaliwaaa ndo ukuuu barinaba achana na hii familia banaaaa familia ya kifala hiii
Broo maadili ya kiislam hayaruhusu watu wanajifanyia tu mama yeye anetetea maadili ya Dini yake wewe kama unaona kwako sawa usimlaumu jisifie wewe na maadili yako ya dini yeye yupo sahihi kabisa
Kweli mama ataingiliaje ndoa ya mwanae??
😂😂😂😂😂tobaa barnaba..kazi ipo.
Mkweo hana Adabu😂😂
Duh huyu mama ni chizi sn anaingila ndoa ya mwanae
jmn barnaba km unataka kufanya mziki wako bilamisukosuko kaambali kdg na hii familia maan wakikwambia awautaki huu wimbo hutautoa kbc kwhy akili kwa mkichwa kijana
Huyu mama kiboko😅
😂😂😂😂😂hao ndio washaur tunao wategemea
😂😂😂😂😂😂😂jmn hyu mama
😂😂😂
Kwanza unalalaje nyumbani na mke wa mtu bila Idhini ya mumewe, halafu pooovu kichwa wazi, wewe mwenyewe huna stara, mwacheni barnaba wetu bana mctupelekepeleke
🤣🤣🤣🤣 na ile sura ya mwanao ataolewa na nani tena
Uyu mama kweli chizi.😂😂😂
Chzii kwel,,,
Ulikua unataka ashike chupi yako malaya wewe
Kwani Duniani hii mwanae ndo wa Kwanza kuolewa unachekesha wewe mpumbavu Kiki za kijinga
😂😂😂