MAMAMKWE wa BARNABA BALAA! AMRARUA LIVE BARNABA -"HANA HESHIMA -HUWEZI SHIKWA OVYO -NAMTAKA MSHENGA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 05. 2024
  • MAMAMKWE wa BARNABA BALAA! AMRARUA LIVE BARNABA -"HANA HESHIMA -HUWEZI SHIKWA OVYO -NAMTAKA MSHENGA"...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
  • Zábava

Komentáře • 75

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 14 dny +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz Před 14 dny +3

    Jamani mama imeumia sana

  • @lulugama1547
    @lulugama1547 Před 14 dny +5

    mama acha kuingilia ndoa ya mwanao

  • @FrolahRimo-cm3tu
    @FrolahRimo-cm3tu Před 14 dny +4

    Mama mwenyewe shangingi

  • @user-yu3kg6zl8q
    @user-yu3kg6zl8q Před 14 dny +6

    wakati unamwozosha huyo mwanao hukujua Barnabas ni msanii ulitakuwa umeozeshe Kwa sheh acha kelele Barnabas hanashida

  • @michaelminja
    @michaelminja Před 14 dny +1

    Yupo sawa mama kwa sheria za kislam

  • @vero57
    @vero57 Před 14 dny +1

    KAZI KWELI KWELI, KAZI zingine mitihani

  • @shamlimah5682
    @shamlimah5682 Před 7 dny

    Alimshika sana si kidogo😂😂

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s Před 14 dny

    Mama hyu shida tobaa

  • @user-fl1xz3ln3c
    @user-fl1xz3ln3c Před 14 dny +2

    Kama una mwanao ameoa au kaolewa huwezi furahia mkwe wako anapiga picha kama hizo na ukacheka wazazi tuwe na heshima

  • @babanadia3201
    @babanadia3201 Před 14 dny +2

    Huyu mama Yuko na hoja sijapenda Ile picha kadamnasi yote imejua😂

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 14 dny

    HUYU MAMA WA HOVYO SANA YAANI AMEKUWA SEHEMU YA UVUNJIFU NDOA YA MWANAE.MAMA MKWE WA KIDIGITALI

  • @WilsonWaryoba
    @WilsonWaryoba Před 14 dny

    Duh mbn barnaba kazi anayo

  • @mamuuchany6386
    @mamuuchany6386 Před 10 dny

    Mbona mwanae anashikwashikwa sana, msitake kumpelekesha mtoto wa watu kwendraaaaaaaa

  • @user-xb8lu5ci7t
    @user-xb8lu5ci7t Před 9 dny

    Huyo mama mwenyewe hajui Sheria huwezi ukampokea mke wamtu akae kwako eti mpaka Barnabas aje aombe msamaha iyo Sheria ya wapi jamani uyo nimke wamtu umemuozesha kisheria anatakiwa aende nyumbani kwa mwanaume akatoe malalamiko sio kwao wote mama na mtoto hawajielewi Wala hizo Sheria hawazijui

  • @NOELAMAKOYE-qs7eu
    @NOELAMAKOYE-qs7eu Před 14 dny +1

    Hii sio Sawa hata Huyu mama adabi hana pia kuna mambo ayakupaswa kuongerewa huku yeye kama mama then kazi itabaki kua kazi ila huyo mtoto ake mwenyewe mjinga na Huyu mama chizi tu

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před 14 dny +2

    Barinaba kakoseya mbona nandiy huwa hafanyi hivyo

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman9334 Před 14 dny +1

    Nani kama MAMA? Hakuna mwana aso na Mama hata ingekuwa mimi ningemchukua binti yangu kazi na mipaka yake alaa mtoto anauma sio mchezo

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Před 14 dny +1

    Lakini na hao wasanii wajistri hata mimi sijaipenda

  • @mamuuchany6386
    @mamuuchany6386 Před 10 dny

    Barnaba rudi ulikotoka hapo huna mke wala mkwe

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před 14 dny

    Ma mkwe kama uyu ni shida 😢😢

  • @ip_header
    @ip_header Před 14 dny +2

    Kama tukifuata Uislam unavyotaka mama mwenyewe hana stara, mnataka kuishi kimagharib kisha mna mlaumu Barnaba, kama mngehitaji maadili mgefuata taratibu tokea anaoa.
    Mwambie mwanao nae ajitahidi kufuata dini inavyotaka.

  • @user-fs5jc4it7i
    @user-fs5jc4it7i Před 11 dny

    Hakuna mama mkwe hapo.

  • @mamuuchany6386
    @mamuuchany6386 Před 10 dny

    Barnaba umepambana

  • @lazarodavid545
    @lazarodavid545 Před 14 dny

    Hapo mbele moto nyuma moto akamuombe msamaha mama mkwe badala ya mke kazini kwa barnaba kuna kazi

  • @TalentMapenzi-ie1dr
    @TalentMapenzi-ie1dr Před 14 dny

    Mama kimbo

  • @nyandabusiga5637
    @nyandabusiga5637 Před 14 dny +1

    Hata Mwanaye ni mjinga . Hauwezi ondoka nyumbani kwako kwa sababu za kipuuzi.

  • @user-zk8jy4zz4f
    @user-zk8jy4zz4f Před 14 dny +1

    Watia aibu watu watanga waongea sn ww

  • @MaryamRashid-zd6gl
    @MaryamRashid-zd6gl Před 7 dny

    Mama mkwe kishangingi la tanga

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před 9 dny

    Mama mwenyewe mstari wa maziwa wote uko wazi Yammy kuvaa chupi ya kuonekana pia ni sawa tu

  • @nyandabusiga5637
    @nyandabusiga5637 Před 14 dny +1

    Mama hajatulia huyo. Atavunja ndoa ya mwanaye.

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 14 dny +1

    Wanataka wampande Barnaba kichwani sheenzi type

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před 14 dny

    Tanzania bana

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před 14 dny +1

    Huyu mama anaingilia ndoa ya mwanae, huyo kijana katekwa na mama mkwe

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea5223 Před 14 dny

    Kwa hiyo mnataka mahali Mara ya pili au,, yule msanii jmn.

  • @nassibu-hy5ny
    @nassibu-hy5ny Před 11 dny

    Sasa mama kwnn uongee kweny media mama c umuite mkweo umuonye sio kuitangzia umma

  • @RachelMwamini-wt4tq
    @RachelMwamini-wt4tq Před 6 dny

    Mama ww mbumbafu sana utapokea nje mke wamtu ?mwanao kaolewa wemama mjinga sana kuliko umusaidiye mwanao kumutuliza ni ww Ndo umekasirika

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Před 14 dny

    Mtoto wake mwenyewe mbaya Na familia ya kiswahili kabisa hawajui Barnaba yuko kazini , ndio maana sikutaka kuoa mwanamke wa kitanzania familia nyingi wana mambo ya kiswahili yaani huyu mama anaongea utafikiri yeye pia ameolewa anaingilia mambo ya mume Na mke nyumba ya mtu ! Kama Mimi ningempa taraka ili akae Na mtoto wake .

  • @bitecastory2137
    @bitecastory2137 Před 14 dny

    Uzuri wa dini ya kiisilamu talaka nje nje bora tu barnaba atoe taraka

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js Před 14 dny

    Wakwanza jamaniiii

  • @salmaebrahim2058
    @salmaebrahim2058 Před 11 dny

    Mama Wacha povu nn shida unajizalilisha kwani ww ndio semaji la mwanao tuliya Wacha plsha Kazi Kaz tu kwani ulikujua kazi yake

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s Před 14 dny

    Mambo haya mama mkwe kiboko mama mpende mtoto wako mwaya.

  • @Milcah2
    @Milcah2 Před 14 dny

    Barnaba atajutaa 😃😃😃😃😃

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari Před 14 dny

      Unaendaje oa familia za kiswahili kama hizi kama unaakili , watu wanakelele ka madalali wa mtumbani unaendaje ongea mambo ya ndoa kwenye vyombo vya Habari

  • @chogaissa1619
    @chogaissa1619 Před 14 dny

    Hapo picha tu je akifumaniwa sijui itakuwaje

  • @aishamwinyi7820
    @aishamwinyi7820 Před 14 dny

    Huyu mama chizi jaman mim simuelew anapenda kumkamandi mkwewe banamba kazi anayo loooo mama anaongea huyu

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Před 8 dny

    Mchukue ukamsage kelele tu.

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 14 dny

    Tobaaa🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

  • @user-xt3ii9dd5k
    @user-xt3ii9dd5k Před 14 dny

    Ww mam hun akil

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 14 dny

    Ni kosa kumpokea mtoto uliyemuozesha Kwa sababu kama hiyo wewe mama mkwe wa shali

  • @user-zk8jy4zz4f
    @user-zk8jy4zz4f Před 14 dny

    We mama kimbo acha uboya ww huyo nimsanii

  • @Ayuminchasi
    @Ayuminchasi Před 14 dny

    Kamchukue c mtoto wako kwani mwanzo hamkujua kma mwanaume ni mwanamziki mkome muache kuwa naa vihere here na wasanii

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js Před 14 dny

    Uyuuu mama ni chinzi ikiskia kutawaliwaaa ndo ukuuu barinaba achana na hii familia banaaaa familia ya kifala hiii

    • @mzeemzee4748
      @mzeemzee4748 Před 14 dny +1

      Broo maadili ya kiislam hayaruhusu watu wanajifanyia tu mama yeye anetetea maadili ya Dini yake wewe kama unaona kwako sawa usimlaumu jisifie wewe na maadili yako ya dini yeye yupo sahihi kabisa

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 Před 14 dny

      Kweli mama ataingiliaje ndoa ya mwanae??

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Před 14 dny

    😂😂😂😂😂tobaa barnaba..kazi ipo.

  • @user-ui4oh8gf8n
    @user-ui4oh8gf8n Před 14 dny

    Mkweo hana Adabu😂😂

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před 14 dny

    Duh huyu mama ni chizi sn anaingila ndoa ya mwanae

  • @MohamedMkota
    @MohamedMkota Před 14 dny

    jmn barnaba km unataka kufanya mziki wako bilamisukosuko kaambali kdg na hii familia maan wakikwambia awautaki huu wimbo hutautoa kbc kwhy akili kwa mkichwa kijana

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews Před 14 dny

    Huyu mama kiboko😅

    • @petermanala6138
      @petermanala6138 Před 14 dny

      😂😂😂😂😂hao ndio washaur tunao wategemea

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před 14 dny

    😂😂😂😂😂😂😂jmn hyu mama

  • @shamlimah5682
    @shamlimah5682 Před 7 dny

    😂😂😂

  • @mamuuchany6386
    @mamuuchany6386 Před 10 dny

    Kwanza unalalaje nyumbani na mke wa mtu bila Idhini ya mumewe, halafu pooovu kichwa wazi, wewe mwenyewe huna stara, mwacheni barnaba wetu bana mctupelekepeleke

  • @jecciemario9869
    @jecciemario9869 Před 14 dny

    🤣🤣🤣🤣 na ile sura ya mwanao ataolewa na nani tena

  • @user-yb1ut1yo8u
    @user-yb1ut1yo8u Před 14 dny

    Uyu mama kweli chizi.😂😂😂

  • @mamaleo5047
    @mamaleo5047 Před 9 dny

    Ulikua unataka ashike chupi yako malaya wewe

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před 14 dny

    Kwani Duniani hii mwanae ndo wa Kwanza kuolewa unachekesha wewe mpumbavu Kiki za kijinga

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s Před 14 dny

    😂😂😂