SABABU 4: KWANINI SIMBA WANATAKIWA 'KUMNG'ANG'ANIA' KIBU D?

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2024
  • Sport

Komentáře • 16

  • @scollamwanisisi2739
    @scollamwanisisi2739 Před 2 měsíci +1

    Aamue yeye tu, kuhusu chama tu ndio nimeahirisha abaki simba kwa Bei yoyote ile,chukua 🎉🎉🎉

  • @hamisimtente2126
    @hamisimtente2126 Před 2 měsíci +1

    Soccer dat tulete Scott Yako acha na Hawa shamba wanao chukulia mpira kitu rahisi

  • @muyongahassan2188
    @muyongahassan2188 Před 2 měsíci +1

    Mpir ni kz na mchezaji nibiashara anaeza kununuliwa tem yoyote na akaondoka sioni shida kabis

  • @johnjoseph9596
    @johnjoseph9596 Před 2 měsíci +1

    Uchambuzi mzuri

  • @MosesNestory-yu2vz
    @MosesNestory-yu2vz Před 2 měsíci

    Nakupata kaka

  • @alhimnamussasaid3619
    @alhimnamussasaid3619 Před 2 měsíci

    Kibu sio mchezaji mbaya ni mzuri sana lkn mpira ni kazi na biashara kwa iyo kama akitaka kuondoka aende tu akatafute chamgamoto nyengine, hata akibaki hatutokaa nae milele

  • @twalbuhaji
    @twalbuhaji Před 2 měsíci +1

    Baazi ya mashabiki ambao hawajui mpira watasema kibu nimbovu

  • @sebastianbwile6659
    @sebastianbwile6659 Před 2 měsíci +1

    Tuachie timu yetu hatumtaki kibu

  • @barakagwata2378
    @barakagwata2378 Před 2 měsíci +1

    Kwamda mlefu ambao mimi nimekuwa naifatilia timu yangu yasimba, hadi hapo kibu denisi na kanut,ndio mihili yasimba, kwasasa, yani hao 2 wakitoka tu,timu hudhoofu sana

  • @danielnjile883
    @danielnjile883 Před 2 měsíci +1

    Kibu ni mwamba kweli kweli

  • @HamicKauno255
    @HamicKauno255 Před 2 měsíci

    Waswahili wanasema kitu ni kibaya ukiwa nacho ila usipokuwa nacho ndo utaona umuhimu wake

  • @studio..07
    @studio..07 Před 2 měsíci +1

    Acha aende

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 Před 2 měsíci

    😅Simba tukimng'ang'ania Kibu kweli uongozi utakuwa hauna akili. Mbio za Kibu misimu yote mitatu zimetusaidia mini. Siyo Mfungajiaji. Anakimbia kama gari lisilo na breki. Tafuteni mchezaji mwenye manufaa siyo Kibu.