Kibu sio mchezaji mbaya ni mzuri sana lkn mpira ni kazi na biashara kwa iyo kama akitaka kuondoka aende tu akatafute chamgamoto nyengine, hata akibaki hatutokaa nae milele
Kwamda mlefu ambao mimi nimekuwa naifatilia timu yangu yasimba, hadi hapo kibu denisi na kanut,ndio mihili yasimba, kwasasa, yani hao 2 wakitoka tu,timu hudhoofu sana
Aamue yeye tu, kuhusu chama tu ndio nimeahirisha abaki simba kwa Bei yoyote ile,chukua 🎉🎉🎉
Soccer dat tulete Scott Yako acha na Hawa shamba wanao chukulia mpira kitu rahisi
Mpir ni kz na mchezaji nibiashara anaeza kununuliwa tem yoyote na akaondoka sioni shida kabis
Uchambuzi mzuri
Nakupata kaka
Kibu sio mchezaji mbaya ni mzuri sana lkn mpira ni kazi na biashara kwa iyo kama akitaka kuondoka aende tu akatafute chamgamoto nyengine, hata akibaki hatutokaa nae milele
Baazi ya mashabiki ambao hawajui mpira watasema kibu nimbovu
Tuachie timu yetu hatumtaki kibu
Kwamda mlefu ambao mimi nimekuwa naifatilia timu yangu yasimba, hadi hapo kibu denisi na kanut,ndio mihili yasimba, kwasasa, yani hao 2 wakitoka tu,timu hudhoofu sana
Kabisa
Kibu ni mwamba kweli kweli
Waswahili wanasema kitu ni kibaya ukiwa nacho ila usipokuwa nacho ndo utaona umuhimu wake
Acha aende
Mtu kama huy mshamba tu
😅Simba tukimng'ang'ania Kibu kweli uongozi utakuwa hauna akili. Mbio za Kibu misimu yote mitatu zimetusaidia mini. Siyo Mfungajiaji. Anakimbia kama gari lisilo na breki. Tafuteni mchezaji mwenye manufaa siyo Kibu.