MURO: DEAL DONE! ELLI PANZU MRITHI SAHIHI WA KIBU D SIMBA? ANACHEZA WINGA ZOTE! ANALIJUA GOAL BALAA!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 2. 05. 2024
  • #tpmazembe #timuyawananchi #tpmazembe #rajacasablanca #daimambelenyumamwiko #daimond #timuyawananchi #mkapastadium #sisco #milladayo #tanzania #utalii #simba #simbafans #tff #caf #yanga #michelo #mbwaduke #gsm #nbcsports #nbcsports #sportspesa #feitoto #tpmazembe #robertinho #rajacasablanca #mbet #phiri #baleke #bocco #ntibazonkiza #tanzania #live #livestream #trendingshorts #manara #teamindia #nguvumoNukuu#mamelodi
  • Sport

Komentáře • 27

  • @user-ut2mp3hn9g
    @user-ut2mp3hn9g Před měsícem +5

    Shida hawaendi na hela wanaenda na maneno tutaona

  • @AdamNgogo-gg3tt
    @AdamNgogo-gg3tt Před 15 dny

    Habari za usajili wa wachezaji dirisha kubwa tutazipata kwenye app ya Simba,
    Sio kwenu waandishi njaa

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 Před 28 dny +1

    Hivi ninyi wachambuzi ndiyo huwa mnawachagulia Simba wachezaji wapya? Kama ninyi ni wakweli vyanzo vyenu mmnatakiwa mviweke wazi ili tuwaamini. Vinginevyo ni mbinu yenu ya kubuni vitu ili mpate viewers. Hakuna Kiongozi wa Simba mwenye akili timamu anayeweza kuweka mipango ya timu hadharani. Tabia yenu hiyo ni mbaya sana kwani inawachonganisha Viongozi na Mashabiki pale Uongozi utakaposajili wachezaji tofauti na hao mnaowaimba kisanii ili kujipatia viewers.

  • @user-bf3mm5wu1s
    @user-bf3mm5wu1s Před měsícem +1

    saw simbaaa😢😮

  • @mustafamtanganya7538
    @mustafamtanganya7538 Před měsícem

    Humjui Elli panzu

  • @ShabaniAthumaniDinya
    @ShabaniAthumaniDinya Před 27 dny

    Simba wasituchukulie wachezaji wanaoachwa na vilabi vyao watuletee wachezaji wenye viwango tumeteseka sana miaka 3 si mchezo waache kuokoteza wachezaji

  • @jacksonmofulu9336
    @jacksonmofulu9336 Před měsícem

    Usanii umeanza manzoki tena adebayo na wengine ngoja tuone😊

  • @user-mz4ik1hx1q
    @user-mz4ik1hx1q Před měsícem +2

    Wakwaza mimi naitwa network

  • @user-kg7jc8tb1f
    @user-kg7jc8tb1f Před měsícem

    Elie mpanzu hakuwepo chan 2016,

  • @AmosiManase
    @AmosiManase Před 9 dny

    Nilazma huyu mwamba tunamchukuat

  • @hekimangeze
    @hekimangeze Před měsícem

    Wanasimba mazuzu bado tu wanadnganywa

  • @VenanceNtakabile
    @VenanceNtakabile Před měsícem

    Watu ma midia wakemeeni uwongo wao alafu tusiwaone kataka muhala waharibifu hao kemea !!!!

  • @joanesgerevaz3757
    @joanesgerevaz3757 Před měsícem

    Acha usanii tumechoka na usajili wa mapicha pacha

  • @ernestkamata2555
    @ernestkamata2555 Před měsícem +1

    Tuache uzushi

  • @TimotheoGoloba-vi7cd
    @TimotheoGoloba-vi7cd Před měsícem

    Panzuu

  • @user-rj6fe7dh7z
    @user-rj6fe7dh7z Před měsícem

    Msitoe talifa zauongo ili tu niza ukwel tunamaliza bando

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l Před měsícem

    MIKIA FC WAKISIA YANGA KAENDA MAHALA BASI NAO WANAKWENDA..

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 Před měsícem

    paper players

  • @athuman7480
    @athuman7480 Před měsícem

    Yani nyie mnavyongea nyie ni waongo sana

  • @victornyese9009
    @victornyese9009 Před měsícem

    Mbona sijawahi kuona matajiri wakifanya ushamba huo? ila nimeamini kweli nimpigaji tu wewe

  • @GodfreyJames-zt6ig
    @GodfreyJames-zt6ig Před měsícem

    Danganya neni kuhsu chama Kuma nyie

  • @user-yn1wq3gi7o
    @user-yn1wq3gi7o Před měsícem

    Kiukweli viongozi wetu wanatumizasana mashabiki wasimba hawajambo kwa kusajili majinamakubwa yawachezaji walahawana hata aibu inatosha Sasatukumbuke mazoki mbaka Leo hawajawahi kutoa mulejesho wowo

  • @JobnManase-gh2fp
    @JobnManase-gh2fp Před měsícem

    Sijaelewa bado MO anataka simba inaenda wap??media fikisheni ujumbe huu ,kwani smba ni simba mo ni mo ,mo amekaa mbali mo akitoa hela usajili Ana mpa nanii?? Nani has anatukusanyia aina Jobe?asee aibuuuh

  • @tembonyarobi1007
    @tembonyarobi1007 Před měsícem

    Mmeanza kutuletea akina jobe