Simba bado hawajajua shida kwenye ulinzi. Pamoja na uchambuzi mzuri uliofanya pia tunahitaji Left centre back na sio Right centre back. Tatizo kubwa la Simba ni uongozi ambao haujui nini tatizo la timu, kama uongozi huu utabakia sitarajii mabadiliko yoyote msimu ujao
Simba bado hawajajua shida kwenye ulinzi. Pamoja na uchambuzi mzuri uliofanya pia tunahitaji Left centre back na sio Right centre back. Tatizo kubwa la Simba ni uongozi ambao haujui nini tatizo la timu, kama uongozi huu utabakia sitarajii mabadiliko yoyote msimu ujao
Nakbare nakbare mlete wajina msimbazi uyo😊😊
Mstar soccer dat ukileta wacheza wa kuchezea simba bas naomba unileta lameck lawi bonge la Baki Lete uchambuzi anafiti simba bila shaka yoyote
nizaid ya inonga huyo mganda
Usajiri uzingatie pia kocha Bora Kama Mguda hapewi timu basi asikose kupewa usaidizi KATU Mguda Asia chwe Jamani Viongozi mmesikia
Mmmmmmhhh, sijampenda kabsa huyo, bado hatufai ana hasara nying kuliko faida
😊 mm niko mwanza nyamagana naomba mumchambue lameck lawi costal union anatumia mguu wa kushoto akikutana na kocha mzur ni lulu tupende vya kwetu
Ni
Kweli 1:11
Kak unachambua kw kuelewekaa
Abaki hiko huko
Bx hafai